Saturday, 29 September 2018

JUU YA NGORI LYRICS BY KHALIGRAPH JONES



Kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (raah)
kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (iyee)

kama unangori, (kama unangori)
me sina worry, (me sina worry)
me sina worry, (me sina worry)
juu nitakukokia feng

ngoma zangu - ngori (eeh)
flow nayo - ngori, (flow)
nguo nazo - ngori, (wuu)
kadem nako - ngori, (haa)
juu ya ngori - ngori, (buda)
ati nini - ngori ,(ngori)
ngori ngori - ngori, (ngori)
ngori ndori - ngori. (haa)

flow nayo - ngori,
shot nayo - ngori
(kila kitu - ngori,)X2
nairobi - ngori,
254 - ngori
eeh eeh - ngori
juu ya ngori - ngori

yeah, ushaijua vile unaeza kuleta ngori,
ukileta ngori, uku ni ngori joh
unatabia za kishodi shodi
kesi na OG ni horrible.

morio, hukumbuki juzi ni nini ilifanyika kwa corridor
ulijaribu kuziba ngori, kumbe nilikuwa nishakutoa corridor
sorry bro, hatuko kimoja, saa me niko category soo.
niko na akina sokodi, kaa unacopy then i just told you so
no worries though, testimony imefanya nijue za kodi msoo,
90 percent of you rappers, bado mnazimwa na shorti kaa notiflow

but know tukienda kigongi kombi
kuje na packo ya condico
Nairobians know vile nikona mapepo
nahitaji maombi boss
kila siku me na mourn medoss,
ndo reason nifuatwe na horny horse
my life is like a movie,

(wuuh) wacha niwapatie chronicles
so stay on your lane kaa doriko
juu simple utapigwa makofi bros
skotoshi knows ilibidi baki
nimekuwa nikiziaforfdi koo
mapro ni pro, form ni show
nilidhani itakua impossible.
instead kutype kwa simu,
we nitafute kaa ukona ngori joh

Kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (raah)
kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (iyee)

me sina worry, (me sina worry) X3
juu ninakukokia feng

ngoma zangu - ngori (eeh)
flow nayo - ngori, (flow)
nguo nazo - ngori, (wuu)
kadem nako - ngori, (haa)
juu ya ngori - ngori, (buda)
ati nini - ngori ,(ngori)
ngori ngori - ngori, (ngori)
ngori ndori - ngori.

kama unangori, (kama unangori)
usichoche kwa twitter na insta story,
name a location nikuje katambe,
twitter fingers tunajua ni boring.

kama unangori, (kama unangori)
tukuchatishe na mateke na dondi
kama ni kudiss mliona nini
nilifanyia vera na Eric omondi

kama  unangori, (kama unangori)
Tukikutana usijifanye Holy
juu nitakuchangamkia ukoro
na wale ninja umeseti kwa koyi

kama unangori, (kama unangori)
hakikisha unatembea na mboggi
juu wale kiawa wananitambua
si wale hudance hizo ngoma za odi

shine on nimepita na Glory
jwang inapiga nikiwa na mashodi,
nipate mollys,mimi na mollys on
the purple kama Francis Atwoli
hapa ni teke hakuna cha slowly,
me sina time kama mbota
si rolling nikisema nikona kimuthongi

ujue si challenge ya Kobi.
si ndio waswang ya tonj ya mbono
tunawaimgiza na ii Origi
si ndio hupita na vibeti kwa mkono
si ndio huongelewa daily TV.
si ndo con wa Tao.
pata potea na base ni stage ya Bangu
supplier wa nyama ya paka
mlikuwa mnaekelewa kwa sambu

so kama ni ngori jua ni
akina nani unadeal na wao
coz none of my niggas
are keeping it 100
zetu ni mabills za thao

so before muulize nani amekafunga
kwanza mjue nani amevunja rekodi
izo pang'ang'a kujicompare na
me haziwezi nyi ni matothi

Kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (raah)
kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (iyee)

kama unangori, (kama unangori)
me sina worry, (me sina worry)
me sina worry, (me sina worry)
juu nitakukokia feng

Kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (raah)
kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (iyee)

me sina worry, (me sina worry) X3
juu ninakukokia feng

ngoma zangu - ngori (eeh)
flow nayo - ngori, (flow)
nguo nazo - ngori, (wuu)
kadem nako - ngori, (haa)
juu ya ngori - ngori, (buda)
ati nini - ngori ,(ngori)
ngori ngori - ngori, (ngori)
ngori ndori - ngori. (haa)

flow nayo - ngori
short nayo - ngori
(kila kitu - ngori) X2

Nairobi - ngori,
254 - ngori,
eeh eeh - ngori,
juu ya ngori - ngori


a

Monday, 17 September 2018

NIACHENI LYRICS BY OTILE BROWN



maneno yatanichoma moyo ila hayawezi kunizui
ungeshanitoa roho neno lako lingekua sheria
tena nidhairi nidhairi utanichukia
japo sijui ni kwa nini maana sababu zangu za kuondoka unazijua
tena nizamsingi.

tatizo hisia zangu haziheshimiwi
mama nakujuwaa
usijifanye eti hujui tatizo mimba yangu ulioitoa

niacheni msione nipo kimya mwezenu nina mengi
wacha nilie na moyo wangu maneno maneno mingi sipendi

i will do better, better, better
i will do better, better, better
tena hauna shukurani utasemaje sikukupenda
nikutumie kwa msingi gani wakati ulinikuta na tesa

nilivyo kupenda na shidi zako mama
na madhaifu yako mama
nikapigana ata vita vyako mama
nikuridhie

nilivyo kupenda na shidi zako mama
na madhaifu yako mama
nikapigana ata vita vyako mama
nikuridhie

niacheni msione nipo kimya mwezenu nina mengi
wacha nilie na moyo wangu maneno maneno mingi sipendi
niacheni msione nipo kimya mwezenu nina mengi
wacha nilie na moyo wangu maneno maneno mingi sipendi

i will do better, better, better
i will do better, better, better
tena hauna shukurani utasemaje sikukupenda
nikutumie kwa msingi gani wakati ulinikuta na tesa a

TWO IN ONE LYRICS BY NAIBOI



A1, A1, A1
For the money
two for the shawties
A1 two for the shawties Naiboi

si Beiby now we are two in one (2 in 1)
we are two in one (2 in 1)
when am away you call me (call me)
i call you (call you)
nikikumiss nakam through (iye) to pick you
coz beiby now we are two in one (2 in 1 iye)
we are 2 in 1

A1, A1, A1
For the money
two for the shawties X2

nikiwa mbali siwezi concentrate
ooh beiby gal you gotta hold on i make it.
look hata kidogo nikama ni everyday
beiby wacha mchezo hebu come my way (mmh)

you man a good man side to show
kama haujaijua mummy now you know
ukiwa nami wanishika moo
ndani ndani mpaka kwa roho

ooh beiby come slowly go slowly (eeh)
my electric shock will shock on you
come slowly go slowly (eeh)

si Beiby now we are two in one (2 in 1)
we are two in one (2 in 1)
when am away you call me (call me)
i call you (call you)
nikikumiss nakam through (iye) to pick you
coz beiby now we are two in one (2 in 1 iye)
we are 2 in 1

A1, A1, A1
For the money
two for the shawties X2

na tunawapa pole (iye)
mastory za obore (iye)
wape kitabu wakasome (beiby)
wamalize na mayowe

wanaleta chuki chuki
chuki chuki aaah eeeh
ooh beiby you looky looky
looky looky fine (ki-design eeh)

come slowly go slowly (eeh)
my electric shock will shock on you
come slowly go slowly (eeh)

si Beiby now we are two in one (2 in 1)
we are two in one (2 in 1)
when am away you call me (call me)
i call you (call you)
nikikumiss nakam through (iye) to pick you
coz beiby now we are two in one (2 in 1 iye)
we are 2 in 1

A1, A1, A1
For the money
two for the shawties X2

i look you beiby, you diggy me polepole pole
i feel you beiby, you feel me polepole pole

everything about you beiby am loving
show them, show them, show them
ooh you complete me, you complete me

si Beiby now we are two in one (2 in 1)
we are two in one (2 in 1)
when am away you call me (call me)
i call you (call you)
nikikumiss nakam through (iye) to pick you
coz beiby now we are two in one (2 in 1 iye)
we are 2 in 1

A1, A1, A1
For the money
two for the shawties X2

a

Friday, 14 September 2018

WHY LYRICS BY BEN POL FT HARMONIZE



Ndugu zangu napata, malipo ya usaliti
yakupendwa lakini ikawa sipendeki
sikujua machungu makali kiasi hiki

hii dozi inatibu vilivyo
me staki ooh why
umenifanya nawaza
wangapi ninaowatenda
kila nikikumbuka
najiona mashamba

nguvu zinaniisha
siwezi hata kusimama
kinacho nisikitisha
nastahili haya nguvu zinaniisha
siwezi ata kusimama
kinacho nisikitisha
nastahili haya

why why why why ooh
why why why why ooh
why why why why ooh
why why why why ooh
silali silali silali fofofo X2

ona hayaniishi mawazo ahh
nyingi zinajirudia ahh
penzi lake ndio chanzo ahh
mmmh malipo ni duniani
ahela kuhesabiwa
me nipo bado rehani
nimejitela mwanamkiwa
eeh mmmh

zile heshima kuninyenyekea
nikamuona si chochote kwangu aah
eti maziwa nikampotezea
nilivyomaliza tu shida zangu aah
ukimuona mwambieni
najiuguza najutia

tena najiona limbukeni
yamenifunza ya dunia
yale machozi yasiyo na hatia
yananisurubu (majonzi)
upweke na jiinamia
nimeisha tubu nisamehe

why why why why ooh
why why why why ooh
why why why why ooh
why why why why ooh
silali silali silali fofofo X2

ona hayaniishi mawazo aah
penzi lake ndio chanzo  aah
nguvu zinaniisha
siwezi ata kusimama
kinacho nisikitisha
nastahili haya

a

BORA UHAI LYRICS BY WILLY PAUL FT KHALIGRAPH JONES



Mmmmh mamamama
uuuuuuh mamamama
Uh mamama

uyu ni poze sio, sio Rozay uyu ni pozee
uyu ni poze sio, sio Rozay uyu ni pozee
ieeea

sijui ni shaku ama ni kuku
wananitingi tingi kama bantu
some people make me go crazy
wananiita ata ngombe

wananifollow willy willy kama drama
utadhani mimi willy instagramer
wanauliza naendesha gari gani
ni ipi ma ama ile benz

wanauliza mimi naishi nyumba gani
ni Runda one ama Runda mbili
wananiuliza nahubiri injili gani
injili ya mwokozi ama ya mabinti
but asante mungu kwa uhai
Ei, mmh bora uhai

Tey tekin rababababa
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamamama
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamaye

Napokea baraka toka most high (bora uhai)
ndae, big mansion iko close by (bora uhai)
and a private jet men i dont lie (bora uhai)
hii yote bila white collar ama bow tie

husemanga God husaidia wale ujipea motisha
so call me David vile mkono narudisha
nasema Asante na si pupa msee, so wivu ya nini
na atakupa, that is, if can pray

na ata ka ninawabore
nikishinda niwatajia Kayole
bora ujue sina ngore
Bado tunashine
ama vipi poze

kushine tunashine ama vipi OG
kuna mwenyezi tuko fiti OG
wenye roho mbaya tunawaeka fitti
hatuwakanyangi feet-Ndi
ndio baraka zikikam waona kwa mbali
wabaki wakilia kama tumbili ieeee

i got the congregation saying
uyu Pastor ni moto, nikitibu nakafunga
mi si daktari msoto
brand international, sa staki local
bora uhai whether chai cudburry coco

Tey tekin rababababa
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamamama
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamaye

uyu ni poze sio, sio Rozay uyu ni pozee
uyu ni poze sio, sio Rozay uyu ni pozee
Ei bora uhai, eh bora uhai

Tey tekin rababababa
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamamama
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamaye

a

KWATU LYRICS BY ASLAY



Mmwaaah mmwaaah mmwaaah

Baby mi na we nganganga
Usije ukaenda kwa mgaga
Dj ebu piga charanga tuchezee
Wanauliza maswali
Tuwajibu kwa vitendo

Waambieee wajue
Mi kwako nishatia nangaaa
Fumba macho usije danga
Utaniumiza roho
Nikila korosho
Kula karanga, tuzimeze ooh
Usiniache nitatangatanga
Yatima ooh

Unionyeshe alokufunza nyakanga
Kitandani ooh

Nimeona wengi sana
Wazuri sana
Ila kwako nimekwama
Sijatereza kukuchagua
Nichochee, nichochee
Kama moto unichochee

Kwatu
Roho yangu kwatuu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu kwatu
Roho yangu kwatu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu

Ukiwa mbali mwili wote unapooza
Nahisi kama nimekufa na tayari nishaoza
Chai sukari

Mupenzi hebu koleza  Usije ukakurupuka ukajaniacha kwa jeneza
Familia yangu iko polisi inakutafuta wewe
Nasikia unabonge la kesi la kuniteka mie
oooh loo loo loooh
La kuniteka mie
aaaaaah aaaaah aaaaaaaaah
Wambie wajue
Mi kwako nishatia nangaa
Nimeona wengi sana
Wazuri sana
Ila kwako nimekwama
Sijatereza kukuchagua
Nichochee, nichochee
Kama moto unichochee
Vunja mifupa kama meno ipooo

Kwatu
Roho yangu kwatuu
Kua na wewe

Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu kwatu
Roho yangu kwatu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu

Nikishika kiuno
Unishika mabega
ayayaaah
Unavonigusa kokote mwenzako naregea
ayayaaaaaah
Baby humo humo
Uliponishikia
ayayaaaayaah
ayayayaaayaah

waambie wajue mi kwako nishatia nangaaaa  a

Sunday, 26 August 2018

JIBEBE LYRICS BY WCB WASAFI FT DIAMOND PLATNUMZ $ MBOSSO $ LAVALAVA



Intro:
Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee

Verse 1 : Diamon platnumz

i say wee ngoja nijiseti, siwalisusa nakula
fanya wainama kisha rotate, tuwakunjishe na sura
leo shimo limetema nimeshinda beti (shinda beti)
tuwaoneshe sinema wakina fetty

Hook up : Diamond platnumz
asaa joo nijoo (i like it)
when i dance jogodo  ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kouno lasotojo (i like it)
baby joo joo joo  ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kifupa joghodo ( i like it)
Uno lasotojo ( i like it)

Chorus : Diamond platnumz
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee

oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee

Verse 2: Lava lava

anhee!!!
nataka kwenye pachu pachu
  (pachu pachu)
kitandani mwendo  kwachu kwachu
(kwachu kwachu)
nichanganye wauone niwe fyatu fyatu
(fyatu fyatu)
 ilipenzi walikumoe washakunaku
(shakunaku)

enh baby sankololo (ennhee)
kerewa (ennhee)
naija soco soco

asa ndombolo (ennhee)
malewa (ennhee)
aya loco loco

mikwako shoti ya takila lewa vimba(vimba)
nikuchekeshe kama gwakila mkudesimba

Hook up : Diamond platnumz
asaa joo nijoo (i like it)
when i dance jogodo  (i like it)
anh jinkolo jinkologo ( i like it)
kouno lasotojo (i like it)
baby joo joo joo  (i like it)
anh jinkolo jinkologo ( i like it)
kifupa joghodo ( i like it)
Uno lasotojo (i like it)

(Chorus : Diamond platnumz)
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee

oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee


Verse 3: Mbosso
oh darling
 nipe chuzi lachuku chuku ninywe bakuli zima
mshede mtukutu azame kwenye kisima
fatuma wee kishtobe
mwite aisha miugunoee
alivo nyonde nyonde kama gobe
nimshindue na miunoee

twende kopa kabana (nheee)
kupumuana nana (nheee)
kwakugandana ( i like it)
nimufuate banna (nheee)
kwani nananaa (nheee)
tukikanana ( i like it)

Baby papasa kichwa jusi kafiri nisafishe mtaro
naulivo jaza nyuma kilo mbili nyanya za mataro

Hook up : Diamond platnumz
asaa joo nijoo (i like it)
when i dance jogodo  ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kouno lasotojo ( i like it)
baby joo joo joo  ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kifupa joghodo (i like it)
Uno lasotojo (i like it)

Chorus : Diamond platnumz
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee

oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee a

Wednesday, 22 August 2018

TUJIANGALIE LYRICS BY SAUTI SOL FT NYASHINSKI


Barua toka Jaramogi na kenyatta,
wanauliza kama kenya kuko sawa
Nikawajibu kenya tukona disaster
Watoto wetu wanazidi kuzikana
Na Tom Mboya ameshika tama
Alituacha kama angali kijana
Je?
Angekua mambo yangekua sawa?
Ndivyo alivyopanga maulana

Deni mlizowacha bado tunalipa (tunalipa)
Na tumekopa zingine China
Tukajenga Reli pia barabara
Zilizobaki watu wakasanya

Tujiangalie tujiangalie
Tuko pabaya Leo kuliko jana
Sikio la kufa halisikii dawa
Tuko kwa Twitter tunajibizana
Tujiangalie

Tujiangalie tujiangalie
Tuko pabaya Leo kuliko jana
Tusipoziba ufa tutatenga ukuta
Tusake zetu tugali vijana

Waumini kwa mathree
Na passie kwa Bimmer
Kushoto fungu la kumi
Sadaka kulia
Ndio maana mbele ya kanisa
Mheshimiwa anakula sacramenti kabla ya raia
Siku za mwisho zimeshawadia
Na revelation inatuambia
Hii generation inachoma picha
Ni generation yetu so

Tujiangalie tujiangalie
Tuko pabaya Leo kuliko jana
Sikio la kufa halisikii dawa
Tuko kwa Twitter tunajibizana
Tujiangalie tujiangalie tujiangalie

Tujiangalie tujiangalie tujiangalie
Tuko pabaya Leo kuliko jana
Tusipoziba ufa tutatenga ukuta
Tusake zetu tugali vijana

Michuki alisema tufungeni mikanda
Ona leo twavuna tulichopanda
Kura zetu zilitugawanya
Makabila na pesa pia tulimanga

So when you make your "bed-oh"
You lie on it ooh
Usingizi ngani tumelala ?
Tutajua hatujui
Vision 2030 itabaki story

tujiangalie tujiangalie
Tuko pabaya Leo kuliko jana
Sikio la kufa halisikii dawa
Tuko kwa Twitter tunajibizana
Tujiangalie tujiangalie tujiangalie

Tujiangalie tujiangalie tujiangalie
Tuko pamoya Leo kuliko jana
Tusipoziba ufa tutatenga ukuta
Tusake zetu tugali vijana

Mdosi aliniambia freedom never comes for free
We vote in tribe ama real cash Ask Boni
Tuna roho mahali hamwezi
Ita gsu plus doggy
World mzima twitter
KOT ndio first body
Burn picha si ni waAfrica
Black koffi Annan

Am richer than my neighbour
But we both live in the slum
If the rich always win
Why should the popular run
Unless democracy ni word si usema only for fun

Tujiangalie tujiangalie
Uuh na hii weekend
Tuko church tunauza sura kabisa
Post ya haga huenda poa
Sana na caption ya scripture
Kaa ndio gospel pitisha bag ya sadaka kwa club

Tujiangalie uuh traffic madrug ubuy ndai
Traffic Mandai zinadrag
Kuadmire mwizi amemek it
Story za shamba wamegrab
Mkono nahoga imevaa bracelet
Ya colours za flag yeah a

Tuesday, 21 August 2018

BABY LOVE LYRICS BY OTILE BROWN

BABY LOVE LYRICS BY OTILE BROWN


Dhamani yako Uzuri wako, Naujua mwenyewe
Sikuach, pengine uniache wewe Raha ili mradi unanipenda
Peke yetu tutaishi kwenye dunia Sikuachi Pengine uniache wewe

We ni jiko Wewe jiko langu mama, Mboni ya macho yangu
Nitakulinda mpenzi wangu, We ni jiko jiko langu mama
Mboni ya macho yangu, Nitakulinda mpenzi wangu

Achana nao (nao)
Achana nao (nao)
Uuuuh Achana nao
Hao wenye roho mbaya wanatusema vibaya
Baby love Wewe wangu mimi wako wa moyo
Oooh baby love Usije niacha kwa fitina Na maneno yao
Baby love wewe wangu mimi wako wa moyo
Oooh baby love Usije niacha kwa fitina Na maneno yao

Huna habari jinsi gani, moyo Wangu unaupendeza
Wewe ndio furaha yangu, wewe ndo wa maini yangu
wewe ni jiko langu mama, Mboni ya macho yangu
Nitakulinda mpenzi wangu, wewe ni jiko jiko langu mama
Mboni ya machoa yangu, Nitakulinda mpenzi wangu

Achana nao (nao)
Achana nao (nao)
Uuuh achana nao
Hao wenye roho mbaya
Wanatusema vibaya
Achana nao (nao)
Achana nao (nao)
Uuuh achana nao
Hao wenye roho mbaya
Wanatusema vibaya

Baby love Wewe wangu Mimi wako wa moyo
Oohh baby love usije niacha Kwa fitina na maneno yao
Baby love Wewe wangu Mimi wako wa moyo
Oh baby love usije niacha Kwafitina na manero yao
Baby love Wewe wangu Mimi wako wa moyo
Oh baby love usije niacha kwa fitina Na manero yao
Baby love wewe wangu mimi wako wa moyo
Oh baby love usije niacha kwa fitina Na manero yao
Jiko langu mama Mboni ya macho yangu Nitalinda mpezi wangu a

Monday, 20 August 2018

ATARUDI LYRICS BY HARMONIZE





Angalieni wanadamu na Dunia tunapita
Kama kupata kwa zamu Ooh! Zamu yangu itafika
Suizika na damu kesho watajanizika
Ila ningependa fahamu haya mateso ulonipa

Mmh tena mwambieni aloninyima mimi
Ndio kampa yeye yee
Kupata foleni nasubiri yangu mimi
Ata ichelewe eheee !! Ooh

Sina furaha naingiza Ili mradi watoto wasijihisi vibaya
Aah uyu mdogo ananiuliza,eti Dad mama amehihama kaya
Cha kujibu sina nabaki tu kusema.

Aah atarudi (eeh) atarudi mama
Aah atarudi anawapenda sana
Aah atarudi atawaletea zawadi
Aah atarudi atarudi mama
Aah atarudi atarudi mama
Aah atarudi anawapenda sana
Aah atarudi atawaletea zawadi
Aah atarudi iiiih

Siwezi sema sijui tatizo, hali yangu duni
Imefanya ukanikimbia
Ni vyema ungefanga maigizo
Mara kumi usingenizalia
Mmh ingali mapenzi pekee
Ningesema ni changa moto nijifunze
Ameniacha mpwekee na watoto niwatunze

Eeh ila siwezi mlaumu aah
Uenda yupo sawa Aah
Kipato changu kigumu Aah
Kutwa kumunda na kahawa Aah

Mmh ila mwambieni aloninyima mimi
Ndio kampa yeye yee
Kupata foleni nasubiri yangu mimi
Ata ichelewe eheee !! Ooh

Sina furaha naingiza Ila mradi watoto wasijihisi vibaya
Aah uyu mdogo ananiuliza,eti Dad mama amehihama kaya
Cha kujibu sina nabaki tu kusema

Aah atarudi (eeh) atarudi mama
Aah atarudi anawapenda sana
Aah atarudi atawaletea zawadi
Aah atarudi atarudi mama
Aah atarudi atarudi mama
Aah atarudi anawapenda sana
Aah atarudi atawaletea zawadi
Aah atarudi iiiih
a

HELLO LYRICS BY NYASHINSKI



 
 Paposera bu find you
And I now see iiiih (Hello)
Ata tukikosana isikie nafsi iiiih (Hello)
Mi naomba usiwe (usiwe)
Mkali sana
Oh na na na  na na
Usiwe mkali sana
Ona na  na na na  (Hello)
Eh! Eh!
 From the first time I looked in your eyes I knew
(Eh ! eh)
Shinski!

Loving you feels like destiny
Zawadi yangui sauti Yako
 Even a rich man envies me
Utajiri wangu tabia zako
I wish I could give you the world
Thamani yako haipimiki
The world would not be enough
Oh na na  na na na na
Roho yangu hairidhiki inakuita

Paposera bu find you
And now I see iiiih (Hello)
Ata tukikosana isikie nafsi iiih (Hello)
Mi naomba usiwe
Mkali sana ukiziwi war oho
Mama usiwe
Mkali sana itikia roho inakuita

Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello

Na kitu nakuahidi
Hautawahi boeka ukiwa na mimi
Mahali nimekuweka ni mahili sijawahi weka mwingine
Roho inakuita itikia usikimye
Kitu nakuahidi
Hautawahi boeka ukiwa na mimi eh
Mahali nimekuweka
Ni mahalo sijawahi weka mwingine
Roho inakuita itikia usikimye yeah

I wish ungejua tu
Sio kuzingua tu
Unanifungia roho yangu nikikufungulia ndani
Najua unajiambia mi ni sumbua tu
Na kitu nakuahidi
Hautawahi boeka ukiwa na mimi
Mahali nimekuweka
Ni mahali sijawahi weka mwingine
Roho inakuita itikia usikimye

Paposera bu find you
And now I see iiiih (Hello)
Ata tukikosana isikie nafsi iiih (Hello)
Mi naomba usiwe
Mkali sana ukiziwi wa roho
Mama usiwe
Mkali sana Itikia roho inakuita

Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello

Thank God for life (thank God for Life)
Sunshine for light (sunshine, sunshine for light)
And you for making me feel all right
Oh na na na na (feel alright)

Thank God for life (Thank God for Life)
Sunshine for light (sunshine for light…)
And you for making me feel all right (making me feel, feel alright)

Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello a