Thursday 29 March 2018

KWA NGWARU LYRICS BY HARMONIZE FT DIAMOND PLATNUMZ


[Verse 1: Harmonize
Mh! I wish ningekuwaga na mavumba, Mkwanja manoti ni kuhonge vya dhamani,
Ama niwefundi wa kuigiza ka-Kanumba, Masanja Joti usiwembali nami,
Mh! my darlin i need your Love Oh, uwe nami hakia Mungu nakupenda,
No body Can show you Love Oh, Usiwaamini, ukishawapa wanakwenda,

[Pre-hook: Harmonize]
Oh basi jilegeze nikubebe mgongoni (Iyelewi),
Deka nikudekeze nikutunze kama mboni (Iyelewi),
Wakija wapoteze jifanye kama hauwaoni (Iyelewi),
Kisha uniongeze ulivyo funzwaunyagoni (Iyelewi),

[Hook: Harmonize]
Oh baby asa dance nikuone (Kwa ngwalu),
Uwabamijo (Kwa ngwalu), Ululufemi (Kwa ngwalu),
Oh baby asa cheza nikuone (Kwa ngwalu),
Uwabamijo (Kwa ngwalu), Basi cheza na mimi (Kwa ngwalu),

[Verse 2: Diamond Platnumz]
Aga moyo wangu muarobaini, mchungu ukiuziwa,
Samehe mara sabini, huo uzungu sijajaliwa,
Ukipenda chunga majini, kwenye uvungu
Kumbatie ubaridini, kwenye tundu kama njiwa,
Moyo wangu ni wamakuti usinijie na kiberiti (Asa wee),
Penzi likageuka chuki nyumba ikawa kibiti (Asa wee),
nipatie vya kitandani nipe mpaka kwenye kiti (Asa wee),
ili asiniingie shetani nawe nikaja kuku-cheat,

[Pre-hook: Diamond Platnumz]
Oh basi jilegeze nikubebe mgongoni (Iyelewi),
Kitandani nikoleze kwa miuno ya kingoni (Iyelewi),
Kisha nibembeleze nirudishe utotoni (Iyelewi),
Weka mate niteleze kama nyoka pangoni (Iyelewi),

[Hook: Diamond Platnumz]
Oh baby asa dance kidogo (Kwa ngwalu),
ooh ubanwe (?) (Kwa ngwalu), Ululufemi (Kwa ngwalu),
Oh baby asa cheza nikuone (Kwa ngwalu),
Uwabamijo (Kwa ngwalu), Basi cheza na mimi (Kwa ngwalu),

[Bridge: Diamond Platnumz & Harmonize]
Aga Nataka kucheza chura naingai ungesimama (ainama inama),
Asa Waonyeshe (ainama inama), unachezaje (ainama inama),
Unataka maji ya kisima na muoga kuchutama (ainama inama),
Nimuonyeshe (ainama inama), wanachotaja (ainama inama),
Unataka kupiga deki, wima umesimama (ainama inama),
Ebu tuonyeshe (ainama inama), unapiga je? (ainama inama),
Siunataka vya pool table asa mbona unajibana (ainama inama),
Embu tuonyeshe (ainama inama), unalenga je? (ainama inama),

[Outro: Diamond Platnumz & Harmonize]
Ii Oya wanangu wa kigogo (ainama),
Nipe za Mose Iyobo (ainama),
Vunja vunja kidogo (ainama),
Aniongezee mikogo (ainama Inama). a

Friday 16 March 2018

AFRICA BEAUTY LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ FT OMARION



I’m in love with you, cause nothing I wouldn’t do,
Catch a bullet for you, as long as you want me to
I’m in love with you, cause nothing I wouldn’t do,
Catch a bullet for you, as long as you want me to
Penzi nitalipamba ngonjera, huba kana Tanga segera
Kwa viuno vya Baikoko, kutoka madzabe
Picha twazi twanga kisela, Post Insta mwanga kwa kyela
Baada ya chali kimoko

Cause I just wanna let them know
You’re my African beauty
African beauty
You’re ma’
African beauty
Aaah you’re ma’
African beauty
You’re ma’
African beauty

Uuh na na na’
Uuh na na na’

By the way girl I’ve been looking for you
I think am just a fire in Africa
Girl you know the sound which will come out
Cause we win the crowd  (unclear words)
Do it now, do it do it now
Do it now, do it do it now

Penzi nitalipamba ngonjera,
huba kana Tanga segera
Kwa viuno vya Baikoko,
kutoka madzabe
Picha twazi twanga kisela
Post Insta mwanga kwa kyela
Baada ya chali kimoko
Cause I just wanna let them know

You’re my African beauty
African beauty
You’re ma’
African beauty
Aaah you’re ma’
African beauty bembea
nitakupepea
African beauty

Ooh love is what I see,When I look into your eyes
Hata nikiugua huwaga napona NAPONA
And you know you deserve to be
The one that I text you HI
Timbwili chumbani kila kona

Penzi nitalipamba ngonjera,
NGONJEERA
huba kana Tanga segera
SEGEERA
Kwa viuno vya Baikoko,
kutoka madzabe
Picha twazi twanga kisela
Post Insta mwanga kwa kyela
Baada ya chali kimoko

Cause I just wanna let them know
You’re my African beauty
Ooh you’re my, you’re my
Yes you’re my
African beauty

I’m in love with you cause nothing I wouldn’t do,
Catch a bullet for you, as long as you want me to
I’m in love with you cause nothing I wouldn’t do,
Catch a bullet for you, as long as you want me to
a