[Intro: Supa Marcus]
Tuko ndani kama
Hii track ni ya kuji-nice
Ikubambe through the stereo kwenye ma-three
Ukiwa kwenye disco yenye dancehall
254's Supa Marcus
Huyu ni mejja
Madtraxx
(The Kansoul)
Cheki
[Chorus]
Mifuko zimejaa joh nikuji-nice
Ka-swagger nimegonga joh inani-nice
Vile track inagonga joh ni kuji-nice ku kuji-nice ku kuji-nice
Mkulima ni tembe leo ni kuji-nice
Ule dame ako na teke joh anani-nice
Ukiskia magenge leo ni kuji-nice ku kuji-nice ku kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji eeh kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji eeh kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji eeh kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji-nice kuji-nice
[Verse 1: Mejja]
Nilikuwa nimeenda dunda na mabeshte
Meditation nilikuwa nachoma
Kidogo nikaona manzi ameiva
Nikashindwa niaje ametulia
Si unajua mwanamke ni tabia
Ka' ni sura hata mbuzi alipatiwa
Mimi huyo nikaenda kumkatia
Excuse me shawty very nice
Mtoto wa Khadija nakuambia ameku-like
Akanipa number akipiga smile
Nikamwabia "nimetoka ghetto" akasema "usi-mind"
Ha, akani-nice
[Chorus]
Mifuko zimejaa joh nikuji-nice
Ka-swagger nimegonga joh inani-nice
Vile track inagonga joh ni kuji-nice ku kuji-nice ku kuji-nice
Mkulima ni tembe leo ni kuji-nice
Ule dame ako na teke joh anani-nice
Ukiskia magenge leo ni kuji-nice ku kuji-nice ku kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji eeh kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji eeh kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji eeh kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji-nice kuji-nice
[Verse 2: Madtraxx]
A gal a gal a gal on my cell phone
A mama katananga na hio tempo
Mdogo mdogo tuonje ka' sample
Ni kuji kuji-nice flow mi hustle
Miko zote mbili weka chini
Awache tei angalie mimi
Na 'shara yangu si unajua ni nini
Nashika waist nimetoa ulimi
Kudunga ni ma-jeans na ma-timbo
Kunuka ni kunuka tu ulaya
Wafala wanakaza sura mbaya
Mimi naji-nice mambo mbaya
[Chorus]
Mifuko zimejaa joh nikuji-nice
Ka-swagger nimegonga joh inani-nice
Vile track inagonga joh ni kuji-nice ku kuji-nice ku kuji-nice
Mkulima ni tembe leo ni kuji-nice
Ule dame ako na teke joh anani-nice
Ukiskia magenge leo ni kuji-nice ku kuji-nice ku kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji eeh kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji eeh kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji eeh kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji-nice kuji-nice
[Outro: Supa Marcus]
a
Showing posts with label KANSOUL. Show all posts
Showing posts with label KANSOUL. Show all posts
Saturday, 5 May 2018
Friday, 12 May 2017
DANGERLASS REMIX LYRICS BY BUBBAH FT THE KANSOUL
SONG: DANGERLASS
ARTIST: BUBBAH FT THE KANSOUL
AUDIO DIRECTOR: CEDO/PACHO ENTERTAINMENT
VIDEO DIRECTOR: JOHNSON KYALO OJ MEDIA
LYRICS.
Friday, 17 March 2017
BABLAS (HANGOVER) LYRICS BY THE KANSOUL
RedREPUBLIK 2017 The Kansoul Official Video
Mejja Maddy and KidKora are back on a hot dancehall tune.
The track is called Bablas, which is sheng for Hangover.
Produced by Maddy and KidKora, and concept cooked by Mejja,
this track demonstrates the monstrous trio that is THE KANSOUL! Play, Share
LYRICS
Nataka nilewe waite ambulance
Niamke kesho na mabablas
Nikunywe supu niskie fambulas
Hangie ikiisha tena repeat repeat
Nataka nilewe waite ambulance
Niamke kesho na mabablas
ikiwa imeshika niskie eh eh eh
wacha niende take lewa
eh eh he niskie eh eh eh
i need an ambulance
i need a gyal dem
rewind selector pon de anthem
teach me a dat a to come on de floor
coz this gal a feel dat she murder she wrote
no woman no pantie me say dat before
am high and you are high but we want some more
me hand on your waist and my stick on your gram
teach me teach me coz you are number bum bum eh
Nataka nilewe waite ambulance
Niamke kesho na mabablas
Nikunywe supu niskie fambulas
Hangie ikiisha tena repeat repeat
Nataka nilewe waite ambulance
Niamke kesho na mabablas
Niamke kesho na mabablas
ikiwa imeshika niskie eh eh eh
wacha niende take lewa
eh eh he niskie eh eh eh
Jana nilikua na shida mingi
nisha zisort niko eazzy
leo nakunywa ndogogio
mie lazima leo nikunywe ndogogio
dunda niliingia na miguu
nataka nikitoka wanibebe juu juu
leo ni siku yangu ya kamnyweso
ka hujui ni okwonko
Nataka nilewe waite ambulance
Niamke kesho na mabablas
Nikunywe supu niskie fambulas
Hangie ikiisha tena repeat repeat
Niamke kesho na mabablas
Nikunywe supu niskie fambulas
Hangie ikiisha tena repeat repeat
nataka nilewe waite ambulance
sina time for rest uku si karura
niko papers jamaa leo ni kurarua
kuzurura buda unanitambua
niko famous kuharibu uliza kafula
eeh kwani jana nilivuruga
amelala juu yangu buda ruhuzas hio lungula
nipeleke Ruunda juu sina Huruma
Nataka nilewe waite ambulance
Niamke kesho na mabablas
Nikunywe supu niskie fambulas
Hangie ikiisha tena repeat repeat
Niamke kesho na mabablas
Nikunywe supu niskie fambulas
Hangie ikiisha tena repeat repeat
Nataka nilewe waite ambulance
Niamke kesho na mabablas
Nikunywe supu niskie fambulas
Hangie ikiisha tena repeat repeat
Niamke kesho na mabablas
Nikunywe supu niskie fambulas
Hangie ikiisha tena repeat repeat
Nataka nilewe waite ambulance
Niamke kesho na mabablas
Nikunywe supu niskie fambulas
Hangie ikiisha tena repeat repeat
Niamke kesho na mabablas
Nikunywe supu niskie fambulas
Hangie ikiisha tena repeat repeat
Nataka nilewe waite ambulance
Niamke kesho na mabablas
Niamke kesho na mabablas
ikiwa imeshika niskie eh eh eh
wacha niende take lewa
eh eh he niskie eh eh eh
Wednesday, 2 November 2016
NO WOMAN NO PARTY LYRICS BY THE KANSOUL (MEJJA KIDKORA MADTRAXX)
NO WOMAN NO PARTY- THE KANSOUL 2016
PRODUCED BY RedREPUBLIK
Kenyan Based Super Group The Kansoul return with NO WOMAN NO PARTY produced by RedREPUBLIK studios. A tune to celebrate the role of the young, confident woman in any party scene. You know no party is worth going to without the presence of females. Turn it up, enjoy the african sounds.
Lyrics will be available soon
Thursday, 11 August 2016
UTAMU WA LIFE LYRICS BY THE KANSOUL (MEJJA KID KORA MADTRAXX)
Utamu wa lorry ni ku RUSHWA RUSHWA
Utamu wa riot ni ku ZUSHA ZUSHA
Utamu wa mlango ni ku BISHA BISHA
Utamu wa life ni ZILE SHIDA UMEPITIA (X2)
(Verse 1- Madtraxx)
I said they try to bring me chini
Sijacrack humpty dumpty's on the fence
I hear some people diss me
Pole boss that only boost my confidence
Na sina snida mingi
I like to call that Sh*t experience
And when i see myself on TV
I just smile and then i tell my haters thanks
Because I'm boss like that
I take the bullet then i throw a bomb right back
DJ's always pull it when they hear a song by Mad
My life is trial and error since i lost my Dad
So i been there
and i dun that
I dun made some good decisions and I've blundered
I dun met some good people and some mendes
They say its not how you fall but how you come back
(Chorus X2)
(Verse 2- Mejja)
Utamu wa ku sota ni kujipata Majengo
Utamu wa njaa nikufungua ubongo
Utamu wa dream ni ku kazaa moyo
Utamu wa ku anguka ni ku amkaa tena
Waliniambia Siwezi ungeona wakinicheka
Ati unafanya mziki? Mziki ata ni Kazi?
Unajiita msanii uoni unapoteza wakati
Sikuhizi tukipatana
Wananiita OKWONKWO
Niaje brathe si utuwachie za macho
Utamu wa kuchekwa ni kutoboa
Nikiwa Majengo nilikuwa na uza njugu
sikujikashif nilikuwa na omba Mungu
Nachukuwa kalamu naandika ngoma usiku
Utamu wa passion ni kupenda kazi yako
Utamu wa hustle nikufungua macho
OKWONKWO
(Verse 3- KidKora)
Blessings
Blessings on Blessings
Thank God for these Blessings
And life is a lesson
Thank God for the life that I'm living
Thank you
Like YOYOYOOO-YOYO
Life is up and down baby like YOYO
But never quit never stress jipe MOYO
Middle finger in the air screaming YOLO
And I'm highly underrated and I'm quick to be hated
But i don't give a sh*t guess I'm too constipated
And I'm so motivated my moves are too calculated
And life can be crazy but nigga let's celebrate it
I said it
KIDKORA
(Chorus X4)
Thursday, 14 July 2016
TWENZETU LYRICS BY THE KANSOUL
Twenzetu leo ni lazima niende dunda mwanangu
Twenzetu leo ni lazima niende dunda kwa raha zangu (x2)
Du-dunda
VERSE 1
Leo ni lazima niende dunda
Nione kina njeri kina kilunda
Achieng’ eh! kina Nduta
Cheki nimeng’ara marinda
Akala chini juu label ya adidas
Nawashwa nina mapesa
Waiter chafua meza
Ukiona shawty beshte kuja
Akikulenga katika na ukuta
Dj akiboo tunamshtuka
Akwende achapwe na machupa
Lakini akibamba tunawika
Leo staki shida kusumbua medulla
Cheki ule ameingia club na miwa
Mistari zimekwisha zote kwa kichwa
So verse mi namada papaparipa
papaparipa
CHORUS
Twenzetu leo ni lazima niende dunda mwanangu
Twenzetu leo ni lazima niende dunda kwa raha zangu (x2)
Du-dunda
VERSE 2
Leo ni lazima niende dunda
Lakini kwanza kuku beba kisha kadunga
Mashawty hao manze nawazungusha
Ai si madtrizzy anakuaga lugha
Na mi ni mwenye naingia club na miwa
Wadhani kumerera lakini nalima
Najifanya siezi kudrop sina ngata
Afadhali mchezo kwa sofa paka
Nacheza reggea reggea madoba ragga
Mared red wine UB40 ahaa
Raundi mwenda nitoke hapa
Next time tuonane mwisho wa mwaka
Kisha unipate kwa mbar
Eish boss leta round moja jamaa
Iyo si ueke kwa bill ya mejja
Siezi amini vile club imenjaa aish!
CHORUS
Twenzetu leo ni lazima niende dunda mwanangu
Twenzetu leo ni lazima niende dunda kwa raha zangu (x2)
Du-dunda
VERSE 3
Verse ya tatu mic check one two
Tizi bake huku babu
Beef na jasho nenda bafu
Naingia mtaa kuskia udaku
Unakumbuka yule chali wa viatu
Yule chali kutoka kiambu
Anaiba tu akiwapiga bafu
Wacha alafu
Mama Kathanja anacon watu
Na akiganga watu anaongeza taabu
Dadake abdul amebeba
Aiyaya manyu?
Madtraxx jo ni bibi watu
Naona sa takosana na watu
Acha verse ikwishe twenzetu
Twenzetu
CHORUS
Twenzetu leo ni lazima niende dunda mwanangu
Twenzetu leo ni lazima niende dunda kwa raha zangu (x2)
Du-dunda
Twenzetu leo ni lazima niende dunda kwa raha zangu (x2)
Du-dunda
VERSE 1
Leo ni lazima niende dunda
Nione kina njeri kina kilunda
Achieng’ eh! kina Nduta
Cheki nimeng’ara marinda
Akala chini juu label ya adidas
Nawashwa nina mapesa
Waiter chafua meza
Ukiona shawty beshte kuja
Akikulenga katika na ukuta
Dj akiboo tunamshtuka
Akwende achapwe na machupa
Lakini akibamba tunawika
Leo staki shida kusumbua medulla
Cheki ule ameingia club na miwa
Mistari zimekwisha zote kwa kichwa
So verse mi namada papaparipa
papaparipa
CHORUS
Twenzetu leo ni lazima niende dunda mwanangu
Twenzetu leo ni lazima niende dunda kwa raha zangu (x2)
Du-dunda
VERSE 2
Leo ni lazima niende dunda
Lakini kwanza kuku beba kisha kadunga
Mashawty hao manze nawazungusha
Ai si madtrizzy anakuaga lugha
Na mi ni mwenye naingia club na miwa
Wadhani kumerera lakini nalima
Najifanya siezi kudrop sina ngata
Afadhali mchezo kwa sofa paka
Nacheza reggea reggea madoba ragga
Mared red wine UB40 ahaa
Raundi mwenda nitoke hapa
Next time tuonane mwisho wa mwaka
Kisha unipate kwa mbar
Eish boss leta round moja jamaa
Iyo si ueke kwa bill ya mejja
Siezi amini vile club imenjaa aish!
CHORUS
Twenzetu leo ni lazima niende dunda mwanangu
Twenzetu leo ni lazima niende dunda kwa raha zangu (x2)
Du-dunda
VERSE 3
Verse ya tatu mic check one two
Tizi bake huku babu
Beef na jasho nenda bafu
Naingia mtaa kuskia udaku
Unakumbuka yule chali wa viatu
Yule chali kutoka kiambu
Anaiba tu akiwapiga bafu
Wacha alafu
Mama Kathanja anacon watu
Na akiganga watu anaongeza taabu
Dadake abdul amebeba
Aiyaya manyu?
Madtraxx jo ni bibi watu
Naona sa takosana na watu
Acha verse ikwishe twenzetu
Twenzetu
CHORUS
Twenzetu leo ni lazima niende dunda mwanangu
Twenzetu leo ni lazima niende dunda kwa raha zangu (x2)
Du-dunda
Saturday, 5 December 2015
Nyongwa lyrics by kansoul
Nyongwa lyrics by kansoul
Intro(Mejja)
Yoo, Manze, Huu Ni Mejja Manze Okwonkwo
Madtraxx, Hii Track ni Noma,
Chorus:
Chini Kwa Chini,
Chini Kwa Chini,
Chini Kwa Chini,
Chini Kwa Chini,
Twende,
Juu Kwa Juu,
Juu Kwa Juu,
Juu Kwa Juu,
Juu Kwa Juu,
Chini Kwa Chini,
Chini Kwa Chini,
Chini Kwa Chini,
Chini Kwa Chini,
Verse 1(Mejja):
Twende Juu, Twende Chini,
Ukichoka Shikilia Chini,
Uwe Na Miaka Themanini Ama Arubaini,
Kata Kiuno Kama Una Mashini,
Ni Sisi Tena, Mejja Na Mad-Trizzy,
Combination, Utachizi,
Weka Manzi Poa Ama Nimpeleke Missing,
Ule Dem Ako Na Micro Mini,
Anaku Bamba Piga Kiswahili,
Kama Umekwama Fanya Hivi,
Nyongwa,
Nyongwa,
Nyongwa,
Nyongwa,
Nyongwa,
Nyongwa,
Nyongwa,
Nyongwa,
Verse 2(Madtraxx):
I Said It, Who Got The Biggest Appetite For Kenyan Ladies,
Haiwezi Kua Madtraxx, Its Your Boy Mad-Trizzy,
Tha, Tha, Tha, Thats A Lie,
I'm A Super Crazy Guy Jo Kutoka Nai,
Ooooooookay, I Sey Di Aii Di Jammy Jammy
Jammy Jammy,
I Sey Di Aii Di Jammy Jammy,
Jina Ni Mad-Trizzy,
A.K.A Mwenda Mchizi,
Kama We Ni Manzi, Unakatika Hivi,
Juu Kwa Simiti, Ingine Juu Ya Kiti,
Unazungusha Tu, Ukienda Chini,
Unaniangalia, Nakurushia Mbili,
Nakuguza Haga, Unaskia Thithi,
Wacha Haraka, Vuta mini Chini,
Tukifika Home, Ntakupiga Mi,
Ntakupiga Mi,
Anza Kwa Kitanda Tumalizie Kwa Ki(ti),
Ntakupiga Mi,
Ntakupiga Mi,
Anza Kwa Kitanda Tumalizie Kwa Ki(ti),
Manze Hiyo Ni Fiti,
Chorus:
Chini Kwa Chini,
Chini Kwa Chini,
Chini Kwa Chini,
(Ndio Mchezo Wa Kisasa)
Juu Kwa Juu,
Juu Kwa Juu,
Juu Kwa Juu,
(Ndio Mchezo Wa Kisasa)
Chini Kwa Chini,
Chini Kwa Chini,
Chini Kwa Chini,
(Ndio Mchezo Wa Kisasa)
Subscribe to:
Posts (Atom)
-
(E-Sir) Jo nimefika fika wapi ? pirate na mambo bado Kuna kuna kuna kuna kuna kijana mmoja kutoka south c …..Jo! Kijana mwen...
-
Double tap lyrics by kansoul Chorus[Mejja]: Ilianza Na Ka Selfie(Dabotap) Nikaona TBT (Dabotap) Akapiga Screenshot Ya Likes ...