Showing posts with label DARASSA. Show all posts
Showing posts with label DARASSA. Show all posts

Friday, 9 June 2017

KAMA UTANIPENDA LYRICS BY DARASSA FT RICH MAVOKO





LYRICS


Mrembo, njoo tujenge malengo

Nikikutazama naona nyufa kwenye mjengo

Unaonekana kama mji wenye upendo
Unafanana na mtu aliochoshwa na mwendo
Si nikupe namba yangu unipigie weekend (weekend, weekend baby)
Moyo unasema mchukue huyu mtoto yuko stendi
Vile anavyohema sio kama mtu hapendi
Anauelewa mziki anahofia kuucheza
Anasema na lugha chafu ameshakuwa kifimbo cheza
Sema nini na Marlaw nabembeleza
Kwa Sera za Suma Lee nakula chungwa mpaka chenza
Heh shida kujuiuguza
Mama you hot na uko ndani unaniuguza
Staki kujua hata nkikijua ntapuuza
Ukitaka kula bata uache kumchunguza

Ah kama utanipenda sitojali shida ulizobeba
Na kama unataka kucheza katafute refa wa kukubeba
Na kama utanipenda sitojali shida ulizobeba
Na kama unataka kucheza katafute refa wa kukubeba

You know I like you
Mi nakupenda and I give you what you want eh
(eh whatchu want)
Nipe uchizi nidate hata nikilala kwenye usingizi ufuate
(the way you talk mama)
You know I like it
Me nakupenda and I give you what you want eh baby
(eh what you want)
Nipe uchizi nidate na nikilala kwenye usingizi ufuate

Hakuna single wala movie mama kwangu you’re my star
Mi shabiki yako nasimama hata ukikaa
Nahangaisha paa brake ziko Dar
Jitazame kwenye kioo how beautiful you are
Mapenzi ukichaa mapenzi uchizi
Uwe nacho ukikataa mwingine inamnyima usingizi
Mwingine atakesha mwingine atatesa
Mwingine atataka akutumie kama pesa
Yanajuana madini yakikutana
Mwanamke anahitaji matunzo na ndo kitu nachofanya
We utasema mi kichaa
Kumbe mwenzako nafuata what I feel inside

Ah kama utanipenda sitojali shida ulizobeba
Na kama unataka kucheza katafute refa wa kukubeba
Na kama utanipenda sitojali shida ulizobeba
Na kama unataka kucheza katafute refa wa kukubeba

You know I like you
Mi nakupenda and I give you what you want eh
(eh whatchu want)
Nipe uchizi nidate hata nikilala kwenye usingizi ufuate
(the way you talk mama)
You know I like it
Me nakupenda and I give you what you want eh baby
(eh what you want)
Nipe uchizi nidate na nikilala kwenye usingizi ufuate

Unataka nini mama
Usiniumizi moyo waweza kupaa
Mi niko loyal uendeshe motoka
Punguza uchoyo nguo za kuvaa
You’re my everything for me
Na ukiwa out oh what you want
Waweza kupaa baby
Uwendeshe motoka
Nguo za kuvaa
Na ukiwa out oh what you want
You’re my everything for me you’re my only one

Monday, 8 May 2017

HASARA ROHO LYRICS BY DARASSA



SONG : HASARA ROHO
ARTIST : DARASSA
DIRECTOR:HANSCANA
AUDIO DIRECTOR: ABBAH,T TOUCH,MR VS

LYRICS.


Ah kama unataka kiki kwa pikipiki

Mara black mara white vipi
Kama unatikisa kibiriti
I play no game I’m sorry rafiki
Ukija kama upepo utapepea
Ukijifanya una mapepo tunakemea
Kama unataka mchezo kawashe runinga
Siku hizi hakuna mtu anataka ujinga
Ujanja wa nyani mjini utaingia kingi
Meli inaelea feri inazama shilingi
Haraka na harakati zako za pimbi
Unataka kucheza wewe na ushike filimbi

Binadamu angekua neja
Maneno yangeshutiki kama risasi
Vitu vingine vikienda
Havirudi reverse kama samaki
Hasara roho inachopenda tunasemaga pesa makaratasi
Hakuna wasiwasi tukaze mwendo ili tuende na wakati eh

Tuweke tuzo za wachukiaji
Bongo kuna watu wana vipaji
Utarusha madongo kwenye maji
Bora upige michongo utanipa midadi
Mara chenga mara no networki
Zigizaga vitu havieleweki
Life siku hizi imezidi kuwa complicate
Ukichanganya na mambo ya internet (jeraha)
Mwisho utatukana picha ukutani (jeraha)
Si atutafuti mchawi nani
Sasa chagua utajifungia chumbani
Au unatoka goma lipo uwanjani
Kushoto kulia juu chini kamatia
Mzigo wa abiria dereva dakia
Kichwa cha panzi alewe sifa kama pia
Situko serious we unatuactia eh

Binadamu angekua neja
Maneno yangeshutiki kama risasi
Vitu vingine vikienda
Havirudi reverse kama samaki
Hasara roho inachopenda tunasemaga pesa makaratasi
Hakuna wasiwasi tukaze mwendo ili tuende na wakati
(eh na wakati eh)

Utasema nakudisi
Ila mi mwenyewe unanimix
Mengine ni madalansi na sura ya machungwa utajua vipi
Kuji switch switch
Nusu viatu mtu fifty fifty
Hujafai hutaki chai moja haikai mbili haifai we wapi una fit eh (eh)

Monday, 28 November 2016

MUZIKI LYRICS BY DARASSA FT BEN POL

. . . . . .
  Darassa and Ben Pol release MUZIKI 
the song is all about Music and Life but also is a party song as produced by Three Upper Class Tanzanian Different's Producers Mr. Vs, Abbah and Mr T Touch . This is the second collaboration of Darassa and Ben Pol after four years Since " SIKATI TAMAA "

The Music video was shot in Tanzania as Directed By Hanscana

LYRICS

Wameota mapembe waongezee mkia na ukinibeep nakupigia
let me make one thing clear, blah blah blah sitaki kusikia
sio simba,sio chui sio mamba  sauti yangu inatosha kujigamba
na sina maneno kwenye kanga kazi juu ya kazi yaani Bumper to Bumper

mzaa unaweza kuzaa kizaazaa si eti unafegi uchome kibada
ulale uote ndoto zako za kitanda, sisi bado tuko macho mida ya wanga
funga mkanda kaza na kamba ama ufuate nyayo uchane msamba
pasua miamba pasua anga ,tunasemanga chambua kama karanga


maisha na muzuki acha maneno weka muziki
chuga unachopenda na ukitaka kucheza cheza muziki
bambata, shika kamata, kumba shakata
ako kamchezo shadata shadata aaaah

unataka kukimbia na hauna break, what do you expect 
bongo congo upata break cheza lukasa ya bongo uwezi kumake
watch yourself usije ukajiconfuse msupa wa kuruka reggae kwenye blues
una mchuuzi no excuse, maisha yetu ya kila siku kama vile movie
vitu zingine havitangagi ujuaji utajikuta unatandikia wati chamvi
kusubiria embe chini ya mnazi ,kumwelewesha chizi utajipa kazi
funga mkanda kaza na kamba ama ufuate nyayo uchane msamba
pasua miamba pasua anga ,tunasemanga chambua kama karanga


maisha na muzuki acha maneno weka muziki
ukiwa sad, ukiwa up ukiwa juu ukiwa chini piga muziki
safari na muziki,acha maneno weka muziki
kibao unachopenda na ukitaka cheza muziki

wanatamani tupotee kwenye map,tunapeleka game kwenye top top
ishara tosha we dont stop stop dont stop, we dont stop X2 a