Monday, 17 September 2018
NIACHENI LYRICS BY OTILE BROWN
maneno yatanichoma moyo ila hayawezi kunizui
ungeshanitoa roho neno lako lingekua sheria
tena nidhairi nidhairi utanichukia
japo sijui ni kwa nini maana sababu zangu za kuondoka unazijua
tena nizamsingi.
tatizo hisia zangu haziheshimiwi
mama nakujuwaa
usijifanye eti hujui tatizo mimba yangu ulioitoa
niacheni msione nipo kimya mwezenu nina mengi
wacha nilie na moyo wangu maneno maneno mingi sipendi
i will do better, better, better
i will do better, better, better
tena hauna shukurani utasemaje sikukupenda
nikutumie kwa msingi gani wakati ulinikuta na tesa
nilivyo kupenda na shidi zako mama
na madhaifu yako mama
nikapigana ata vita vyako mama
nikuridhie
nilivyo kupenda na shidi zako mama
na madhaifu yako mama
nikapigana ata vita vyako mama
nikuridhie
niacheni msione nipo kimya mwezenu nina mengi
wacha nilie na moyo wangu maneno maneno mingi sipendi
niacheni msione nipo kimya mwezenu nina mengi
wacha nilie na moyo wangu maneno maneno mingi sipendi
i will do better, better, better
i will do better, better, better
tena hauna shukurani utasemaje sikukupenda
nikutumie kwa msingi gani wakati ulinikuta na tesa a
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Verse 1 Pombe ni kichwa kinauma, kishalewa, anajipoza na maji Na mimi hata muda sina, nishamkanya, ninasikiza mamelody Nis...
-
[Chorus] Watu walishachonga sana Eti Vailet simpati tena Na kuongea uzushi bwana Kwa kuona mambo yetu yananyooka Hata kiss, hug si...
No comments:
Post a Comment