Thursday 30 June 2016

CHACUN POUR SOI lyrics by Papa Wemba ft Diamond Platinumz (Kila Mtu Kwake)

www.charloh.com

Motema ezo lela est ce que ozo yoka nga
Mawa na nga pe pinzoli eh
(Moyo unaniuma, hivi unaskia maumivu na machozi yangu?)
Mboka nini na kende epayi ya nga, Nakeyi Dar-Es-Salaam
(Niende wapi mbali na haya, nakwenda Dar-Es-Salaam)
Kolela na nga eleki ya moto mohumbu oya azangaki liberté
(Kilio changu kinazidi cha mutumwa asie kuwa huru)
Kuna kuna na Zanzibar
(Kule kule Zanzibar)

DIAMOND (PRE-CHORUS)
Alfajiri huwa ni kitendawili
Nafikiri pindi tukiwa wawili
Tena nakiri inanitesa mwili
Bora tu niache


  (CHORUS)
Chacun pour soi eh, mélodie na nga
(Kila mtu kivyake, melody yangu)
Chacun chez soi eh
(Kila mtu kwake)
Chacun pour soi eh, mélodie na nga
(Kila mtu kivyake, melody yangu)
Chacun pour soi eh
(Kila mtu kivyake)
Ukweli roho inanisonona
Tena moto hadi sijapona
Ila naamini Mola ataniona
Nitakuja pata wakuniponya
Ila tu chonde ma nikuombe
Usiniseme vibaya
Tena nakuombea kuongezewa
Kwa Mola mwaya

   (PRE-CHORUS)
Alfajiri huwa ni kitendawili
Nafikiri pindi tukiwa wawili
Tena nakiri inanitesa mwili
Bora tu niache
Nibaki mwenyewee


   (CHORUS)
Chacun pour soi eh, mélodie na nga
(Kila mtu kivyake, melody yangu)
Chacun chez soi eh
(Kila mtu kwake)
Chacun pour soi eh, mélodie na nga
(Kila mtu kivyake, melody yangu)
Chacun pour soi eh
(Kila mtu kivyake)
Aah chacun soi eh
(Kila mtu kivyake)
   

(CHORUS)
Tucheze rumba
Tena taratibu na mtumba
Twapenda rumba
Wote na marafiki wa kunyumba
Cheza rumba
KINSHASA
Tobina rumba
NAIROBI
Cheza rumba
BRAZZAVILLE
Tobina rumba
Cheza rumba
ABIDJAN NA YAOUNDE
Tobina rumba
NA COTONOU LOME
Mambi na mwana Africa
Rumba ya bana mboka
(Rumba ya wananchi)

Friday 17 June 2016

WAFULA LYRICS BY ALAINE FT CHURCHILL


Wee Ruby karibu mkubwa na wanawe
Haya haya ×4
Nachojua undugu ni ule wa damu, kuzaliwa tumbo moja
We na mimi hatunaga uharani, basi punguza uonga
Nitakupa mapenzi matamtam
Napendaga namba moja
Pilipili yawasha lakini tamu tunapozanga na soda
Nitamushawishi mama, amupende sana babaako
Tutakuchezea chezea, mdogo mdogo utazowea
Kupiga selfie selfie kila siku hazina maana
Nitadondosha simu makusudi, tuonekane hatuna maana ×2
Turuba initandikie, naamusha usimamie
We mtoto wa baba Eh! Eh! Eh!
Undugu kaunganusha baba, kwa mama yenu nyie
Mnapaswa muniite dada na muniheshimu mie ×2
Kweli baba anaishi kwa mama yenu
Naomba sana dada yenu munieshimu

 (CHORUS)
Hili zizi la kondoo dume
We ni apple lazima uchumwe
Acha niombe mungu kidume aye-ye-ye-ye
Suu nitamwambia baba
Nitamwambia baba
Nitamwambia baba
Munanisumbua ×2
Ruby, mama kaniambia nioe-nioe-nioe
Ila mimi nataka nikuoe wewe Ruby
Ayii Ruby!
Basi punguzanga kiwewe
Niruhusu Ruby na mimi nikuite baby
Hapana aaa
Funika kombe mwana haramu apite, apite
Mimi kwako wewe nitakifanya chochote, chochote
Ruby si dada yangu kusema tumetoka wote kwa mama yangu
Ukinipenda akitokei chochote
Pam Pam ru-ma
Mlango wa chuma, ukiufungua hauna
huruma
Mama anataka mjukuu, yani ni kuweka usiku
Pam Pam ru-ma
Mlango wa chuma, ukiufungua hauna huruma
Wouho, wouho, iyoo mama
Yo iyo, yo iyo
Iyoo mama, mame eeh!
Kwanza moja nikwambie, wewe unaendana na mie
Wengine we wakunjie, ni mimi tu niwe na wewe
Nataka kufurahisha baby, komando nitalinda kidonda
Nzi wasije fonza nitaumia
Usiku waaga vinanitoka, mi siri ya bomba nimefunguka
Nahisi waniita mwenzako pwa ka cha lishafunguka 

(CHORUS)

SUU LYRICS BY YAMOTO BAND FT RUBY



Wee Ruby karibu mkubwa na wanawe
Haya haya ×4
Nachojua undugu ni ule wa damu, kuzaliwa tumbo moja
We na mimi hatunaga uharani, basi punguza uonga
Nitakupa mapenzi matamtam
Napendaga namba moja
Pilipili yawasha lakini tamu tunapozanga na soda
Nitamushawishi mama, amupende sana babaako
Tutakuchezea chezea, mdogo mdogo utazowea
Kupiga selfie selfie kila siku hazina maana
Nitadondosha simu makusudi, tuonekane hatuna maana ×2
Turuba initandikie, naamusha usimamie
We mtoto wa baba Eh! Eh! Eh!
Undugu kaunganusha baba, kwa mama yenu nyie
Mnapaswa muniite dada na muniheshimu mie ×2
Kweli baba anaishi kwa mama yenu
Naomba sana dada yenu munieshimu

  (CHORUS)
Hili zizi la kondoo dume
We ni apple lazima uchumwe
Acha niombe mungu kidume aye-ye-ye-ye
Suu nitamwambia baba
Nitamwambia baba
Nitamwambia baba
Munanisumbua ×2


Ruby, mama kaniambia nioe-nioe-nioe
Ila mimi nataka nikuoe wewe Ruby
Ayii Ruby!
Basi punguzanga kiwewe
Niruhusu Ruby na mimi nikuite baby
Hapana aaa
Funika kombe mwana haramu apite, apite
Mimi kwako wewe nitakifanya chochote, chochote
Ruby si dada yangu kusema tumetoka wote kwa mama yangu
Ukinipenda akitokei chochote
Pam Pam ru-ma

Mlango wa chuma, ukiufungua hauna
huruma
Mama anataka mjukuu, yani ni kuweka usiku
Pam Pam ru-ma
Mlango wa chuma, ukiufungua hauna huruma
Wouho, wouho, iyoo mama
Yo iyo, yo iyo
Iyoo mama, mame eeh!
Kwanza moja nikwambie, wewe unaendana na mie
Wengine we wakunjie, ni mimi tu niwe na wewe
Nataka kufurahisha baby, komando nitalinda kidonda
Nzi wasije fonza nitaumia
Usiku waaga vinanitoka, mi siri ya bomba nimefunguka
Nahisi waniita mwenzako pwa ka cha lishafunguka 

(CHORUS)

MOYO MASHINE LYRICS BY BEN POL

Najua kukikucha ntajuta kama nikikuta unanitania
Maana moyo wangu nimekupa uweke
Mimi ni mfungwa tena mjinga
Nimejileta gerezani
Tena sikuwaza nitakuwa mateka mmmh

 (PRE-CHORUS)

Najua ulinizungusha sana
Sijali huwa ni mambo ya ujana
Kukupenda wewe sijuti
Maneno yalisemwa mengi sana
Kuna wakati nilikata tamaa
Kukupenda wewe sichoki

 (CHORUS)

(Moyo mashine)
Ila majibu ya upendo ulishakosa
(Acha wasema)
Nimekupendea nini
(Moyo mashine)
Ila majibu ya upendo uloshakosaga
(Wacha waseme)
Nimekupendea nini
Nafsi inanituma upendo uko nje ya maneno, ila vitendo
Kama bubu akipenda atanena vipi kwa maneno
Pasina vitendo?
Kiziwi, ata ukimwambia nakupenda wala hasikii
Ila vitendo ooh
Wewe sijui sababu za kukupenda
Siwezi sema, ila utaona aah

(PRE-CHORUS)

  (CHORUS)

Ooh kama moyo ulisimama nilipokuona
Hukuongea, hukucheka, nilikuona tu
Na tabia sikufahamu, labda niache mwanadamu
Ukipenda usishangae ni upofu wa moyo
Kumbe moyo ulinirubuni, hukusema umependa nini

  (CHORUS)

IBAKI STORY LYRICS BY RICH MAVOKO

Matapishi ni kinyaa, kuzirudisha tena kwenye kinywa
Japo mengi ulisema, kama nuru ghafla ukazima
Ikawa ngumu kukusahau, nikasema moyo ukome
Kwa kali sulu na madharau, penzi ulivunja na ngome 

   (PRE-CHORUS)
Na unajua ata nikilia siwezi kutokwa na machozi
We ndo ulifanya macho yangu nione wengi waongo
Aah ukaudhulumu moyo wangu, uliuza penzi kwa magendo
Leo unatamani wewe kurudia zamani ni ndoto
Wewe ni rubuni kwa penzi la kidani kama mtoto

  (CHORUS)
Mi na wewe, acha ibaki story mina wewe
Mapenzi mina wewe, acha ibaki story mi na wewe
Mi na wewe, acha ibaki story mi na wewe Mapenzi mi na wewe, acha ibaki story mi na wewe
Kiliniumiza kitanda na shuka tuliolalia
Mapenzi yana siri kubwa, sishangai mtu akilia
Nimekubali mboni zangu, zimtazame mwingine
Maridhia ya moyo wangu, huenda si fungu pengine
Cha kushangaza hadharani mengi ya kuficha ukaweka wazi
Nikahisi sijui mapenzi labda kwako sinogi nazi 

  (PRE-CHORUS)
Na unajua hata nikilia siwezi kutokwa na machozi
We ndo ulifanya macho yangu nione wengi waongo
Aah ukaudhurumu moyo wangu, uliuza penzi kwa magendo
Leo unatamani wewe kurudia zamani ni ndoto
Wewe ni rubuni kwa penzi la kidani kama mtoto 

  (CHORUS)
Yalinitesa mazoea aya lakini nishazoea mwaya
Ila tambua mapenzi mabaya, kidonda chake hakinanga dawa
Eeh mazoea aah, lakini mi nishazoea mwaya
Ila tambua mapenzi mabaya, kidonda chake hakinanga dawa
  (CHORUS)

NATAFUTA KIKI LYRICS BY RAYMOND

Nataka nitoke kwenye gazeti, niuze sura
Niseme ninatoka na Jokate
Kitandani kisha na Fezakessy ama Snura
Nilete matata mpaka kwa Grace
Kwenye radio zote mpaka runinga
Nitangaze kukuvimba kwamba Lulu ana yangu mimba
Au niwatukane wote wanaoimba kwa dharau na kuvimba
Mpaka yule anayejiita simba
Niseme madam Rita katetema akiniona anashindwa ata kuhema
Au Venessa kanena ananitaka na Jux atatemwa
Nataka nifanye sinema kwa waliozaa na Nay, siwema
Kiki ipo njema au niende kwa Sepetu Wema

 (CHORUS)
Ati ntokejee....
Mwenzenu ntokejee...
Ati ntokeje
Mwenzenu ntokejee
Naskia uwoya mkalii
Wanasemanga Shishi asali
Wolper atakubali akimwagikia Mo chai
Ninatafakari kichwani maswali
Nimtongoze Zari akijua Mondi si atari eeeh
Rose ndauka kaja na bia adi na salama
Mose Iyobo asiye ninunie kwa aunt Lawama
Mkubwa Fella Tale Salam leaders
Mnizushie pesa wamenipiga
Chege na Madee wasije nipiga
Iyo weeh nataka nibadili ratiba
Kwangu isijeleta misiba
Nitoke wasafi niende kwa kibaa yeahh

  (CHORUS)
Nataka nifanye masegere eeh
Segere ooh segere
Segeree segeree ooh segere
Segeree segeree ooh segere
Yani bongo nzima makelele eeh
Segere ooh segere segere
Segere ooh segere segere ooh segere
Segere segere ooh segere
Uwii nikinukishee kinoma noma
Segere ooh segere segere
Segere ooh segere segere
Macho kivimba wataisoma
Segere ooh segere eeeh..........

AJE (REMIX) lyrics by Alikiba ft M.I

Uchesi na sauti, amenifanya namisi tu
Mwambie asiogope, Ali ni kipenzi cha watu
Tafanya party nyumbani, hiyo yote kwa ajili yake
Tena asije pekee yake, aje na wenzake
Tafanya party nyumbani, hiyo yote kwa ajili yake
Tena asije pekee yake, asiogope aje na rafiki zake

  (CHORUS)
Basi mwambie ohh aje  (Aje)
Ohh aje (Aje)
Aje na rafiki zake  (Aje)
Asije pekee yake (Aje)
Ohh aje  (Aje)
Aje ohh aje  (Aje)
Aje jamani aje  (Aje)
Aje namisi aje  (Aje)
Uzuri wake timlifu, nishamwona na watu maarufu tu
Kina Wema Sepetu, nikaomba namba bichwa kanishushwa tu
Ilinikosesha raha
Lulu naye kamdanganya, kwamba mimi ni wa kwake
Aniogope tena asinichekelee, ilinikosesha raha
Lulu naye kamdanganya, kwamba mimi ni wa kwake
Aniogope tena asinichekelee..
Basi mwambie aje...

  (CHORUS)
  M.I
I am gonna marry you one day (Aje)
Come to me baby girl, I just want us to speak since we met on a Monday (Aje)
You must be next one coz you make it weekly****
Forget about what you see on Nollywood films
I wanna be your best guy (Aje)
So let's try to testify what's better than them
So baby give me your digits (Aje)
Lemi Google my location come and visit (Aje)
Let's show up there's nothing exclusive (Aje)
I can come over ***
You can teach me Swahili (Aje)
Like sawasawa, mambo vipi (Aje)
Can you tell them I am feeling you really (Aje)
Alikiba and M.I baby
  (CHORUS)

NDI NDI NDI lyrics by Lady Jay Dee



  Ndi Ndi Ndi
  Tolly..... Ndi
  Ndi Ndi Ndi Ndi
  Tolly..... Ndi ×2
Unanipa nafasi ya kuendelea, na sababu kuamini
Unatakiwa uishi ooh... bila kujali wafikiria nini mmh
Sababu......
Siangalii nyuma na sitorudi nyuma
Fondo nura fizo so mya, ndoto zimetimia

  (CHORUS)


Ze
Ndi Ndi Ndi
(Navyoroll, Navyoflow, Navyogrow)
Tolly Ndi ×4
Niliwezaje kutoa vyote eeh, ili hali wewe uliniyima vyote eeh
Kama ni jipu lilovimba zaidi
Nikasahau chizi huwa haponi, kama chozi mvuani
Hatimaye kumekucha milembe nimekushusha
Na geti likifungwa naondoka Ndi Ndi Ndi

  (CHORUS)

Hatua kwa hatua ngazi nazipanda
Nayo makovu yameni imarisha
Moyo mfukoni tabasam mdomoni, furaha yangu
Ooh yaja kwanza mambo yotee, nimeyavua ooh chini
Nimeyatua kikomando!!

  (CHORUS)

WORK LYRICS BY RIHANNA FT DRAKE

 Work, work, work
   Work, work, work
   You see me I be
   Work, work, work
   Work, work, work
   Do me dirt, dirt, dirt
   Dirt, dirt, dirt
   For some of that
   Work, work, work
   Work, work, work
   For you I got love,
   Love, love, love
   Love, love, love
   When I come for my
   Turn, turn, turn
Join me I deserved it
No time to have you lurking
If I got night, then you might like it
You know I dealt with you, the nicest
Nobody touch me, I'm the righteous
Nobody text me in a crisis
I believe all of your dreams are fruition
You took my heart and my keys and my vision
You took my heart off my sleeve a decoration
You mistaken my love I brought for you for foundation
All that I wanted from you was to give me something that I never had
Something that you've never been
But I wake up and everything's wrong
Just got ready for work, work, work 
       (CHORUS)
   Work, work, work
   Work, work, work
   You see me I be
   Work, work, work
   Work, work, work
   You see mee do me
   Dirt, dirt, dirt
   Dirt, dirt, dirt
   For some of that
   Work, work, work
   Work, work, work
   Duh, duh, duh, duh
   For you I got
   Nah, nah, nah
   Nah, nah, nah
   Before the tables
   Turned, turned, turned, turned
Baby something please
Baby don't you leave
Don't leave me stuck here in the streets
If I get another chance to, I will never, no never neglect you
I mean who am I to hold your past against you
I just hope that it gets to you
I hope that you see this through
I hope that you see this true
What can I say?
Please recognise I'm trying baby
I been.....
  (CHORUS)
  DRAKE
Yeah okay
You need to get done, done, done, done
That'll work, come over
We just need to slow the motion
Don't give that away to no one
Long distance, I need you
When I see potential I just gotta see it through
If you had a twin I would still choose you
I don't wanna rush into it, if it's too soon
But I know you need to get done, done, done, done if you come over
Sorry if I'm way less friendly
I got niggas tryna end me
Oh year
I spelled all my emotions tonight, I'm sorry
Rolling, rolling, rolling, rolling
How many shots untill your rolling?
We just need a face to face
You could pick the time and the place
You spent some time away
Now you need to forward and give all the.... 
  (CHORUS)