Showing posts with label Ay. Show all posts
Showing posts with label Ay. Show all posts

Friday, 22 July 2016

MAWAZO LYRICS BY LADY JAY DEE FT AY

[Chorus – Lady Jay Dee]
Mawazo kila mtu anayo mawazo
Tukikaa tukitembea tuna mawazo
Tukilala tukiamka tuna mawazo
Mawazo, mawazo
Haijalishi ni mazuri au mabaya
Suala bado liko pale pale ni mawazo
Tukitembea na tukikaa tunawaza
Mawazo, mawazo
[Verse 1 – Lady Jay Dee]
Hata ukiwa na pesa lazima uwaze
Utapanga bajeti ni nini ukafanye
Ukiwa hunazo pesa ndio yazidi
Utawaza ni wapi uende ukasake
Toto lako likiwa tukutu utawaza ulichape viboko vingapi ili likome
Walimwengu nao wakiwa ni wakusakama
Utawaza ni jinsi gani uwaepuke
Hakuna binadamu asiye na mawazo
Hata vichaa nao huwa wanawaza
Kila kitu duniani lazima uwaze
Hakuna litendekalo bila ya mawazo
[Chorus – Lady Jay Dee]
Mawazo kila mtu anayo mawazo
Tukikaa tukitembea tuna mawazo
Tukilala tukiamka tuna mawazo
Mawazo, mawazo
Haijalishi ni mazuri au mabaya
Suala bado liko pale pale ni mawazo
Tukitembea na tukikaa tunawaza
Mawazo, mawazo
[Verse 2 – Lady Jay Dee]
Hata mimi Jay Dee pia nina mawazo (sexy Lady Jide huuu!)
Wazo langu nataka nunua Freelander
Ila si lazima wazo langu litimie
Wengine wawaza kuiba watajirike
Wengine kuwa warembo wasifike
Mwavita anataka kuwa mwanasheria
Amina kuwa mtangazaji maarufu
Toyoyo kujenga nyumba ya kifahari
Lenee hata yeye kuishi na mzungu
Kila mtu duniani lazima uwaze
Hakuna litendekalo bila ya mawazo
[Chorus – Lady Jay Dee]
Mawazo kila mtu anayo mawazo
Tukikaa tukitembea tuna mawazo
Tukilala tukiamka tuna mawazo
Mawazo, mawazo
Haijalishi ni mazuri au mabaya
Suala bado liko pale pale ni mawazo
Tukitembea na tukikaa tunawaza
Mawazo, mawazo
[Verse 4 – AY]
Mawazo nami, mi na mawazo
Haya ndio maisha yangu ya kila siku wa commercial
Yananitinga mpaka naonekana ka mjinga
Always dili zinakataa lakini haikumkinga
Nikitembea, nikiongea kichwa changu chawaza
Yaani mawazo kibao, yaani ni ya kusaza
Nawazo kuhusu maisha, wapi ntapata pesa
Wapi zipo sasa na ni vipi ntazinasa
Mara nyingine mi nadata
Maisha yamenielemea wengine wananicheka (owh owh owh owh)
Nshasikia wengine washajitoa roho
Machoni naona giza, unafuu hata siuoni
Msaada ntapata wapi kwenye shida hatujuani
Wengine wanaongea peke yao njiani
Yote kuwaza, yote mawazo tu
[Chorus – Lady Jay Dee]
Mawazo kila mtu anayo mawazo
Tukikaa tukitembea tuna mawazo (uuh Jay Dee nina mawazo)
Tukilala tukiamka tuna mawazo
Mawazo, mawazo (kila mtu na mawazo)
Haijalishi ni mazuri au mabaya (uuuh uuh)
Suala bado liko pale pale ni mawazo
Tukitembea na tukikaa tunawaza (uh lala lala lala lalaa)
Mawazo, mawazo

Wednesday, 20 July 2016

NI RAHA TU LYRICS BY AY FT COMPLEX


[Hook – AY]
Alright, njoo huku bado tight
Ipendeze siku ya leo mchana mpaka night
Aah ni raha tu, raha tu
Ndani ya game mi huwa skai macho juu, macho juu
Alright, njoo huku bado tight
Ipendeze siku ya leo mchana mpaka night
Ee bwana eh, muda bado unaruhusu
Aah ni raha tu, raha tu
[Verse 1 – AY]
Watu hao, watu hey
AY na Complex ghetto tume-stay
Kamili ile CBM Crew na Crazy GK
Iteme mineri koh! Tustuke
Watu wameshatinga nyomi si la kitoto
Sir Nature na mi tume-chill ngoma nzito
Niite AY, P call me Commercial
Ndani ya Cannival turuke leo mpaka kesho
Ingawa mambo ya noti bado tage no
Usinyooshe nyonge, we jirushe mi nizidi flow
Whaddup son, mbona umepoza namna gani?
Mfukoni hauna money, au kichwani mambo flani?
Ndani ya nyumba we zama bado shwari
Na hapa tupo ambao tumezama ile kidili
Haina noma kibongo bongo hakuna hatari
Nafanya hivi nipate pombe hata mbili
Ila tukishalewa lugha yetu hatuijui
Hata yule asiyeenda shule humtambui
Tesa na hii saa bado raha tu, raha tu
Ndani ya game mi skai macho juu, macho juu
Kama bitozi cheza mbali na makauzu
Kama una toto chunga sana kupigwa kanzu
Wakoro nao wanalanda nyeo na chupa zao mkononi
Wanawasaka wakuwafaa kwa usiku mmoja hawawaoni
Usifanye mchezo bro zebidi toto mwendo wa pini
Kosa kumuachia dakika moja cross kumi
Lakini si ma-hardcore, mwendo wa chama sado
Tuendelee jirushe mchezo uishe bado
[Hook – AY]
Alright, njoo huku bado tight
Ipendeze siku ya leo mchana mpaka night
Aah ni raha tu, raha tu
Ndani ya game mi huwa skai macho juu, macho juu
Alright, njoo huku bado tight
Ipendeze siku ya leo mchana mpaka night
Ee bwana eh, muda bado unaruhusu
Aah ni raha tu, raha tu
[Verse 2 – Complex]
Fungua vitafa vya fedha, mwaga lager juu ya meza
Kama unaweza kucheza, cheza track inapendeza
Tume-chill na AY mambo tunasebenza
Pumbavu ukijikweza… (tunakumeza!)
Eyo ni raha tu ndani ya nyumba ya wengi wachumba
Vioja watu kuyumba pombe zikiwakumba
Hakuna dosari mambo sasa ni shwari
Mapene yapo mshazari tumia bila kujali
Kijemedali, mambo ya kujivinjari
Utamu unazidi asali, mentali sichezi mbali
Nipo na DVJ, Benny Boy na Simple X
Super mapigo makali, kifo cha matofali
Zarani ametanda, mabinti wanamganda
Dau wanapanda mapochopocho zali kamanda
Fanya mazabe kwa pose kama toto unataka
Pima fikra zao kama havipandi we kula chaka
Watu gado kama Zay B (wa visado)
Mikoko imetanda huku mabenz kule maprado
We ruka mkwanja now, here we go (here we go)
Ee bwana eh muda bado unaruhusu
[Hook – AY]
Alright, njoo huku bado tight
Ipendeze siku ya leo mchana mpaka night
Aah ni raha tu, raha tu
Ndani ya game mi huwa skai macho juu, macho juu
Alright, njoo huku bado tight
Ipendeze siku ya leo mchana mpaka night
Ee bwana eh, muda bado unaruhusu
Aah ni raha tu, raha tu
[Verse 3 – AY]
Tuendelee ku-bang bang bila uwoga
Leo tulambe ninga sio TZ 11
Ndio muda wa kujirusha zip zidude za kushusha
So mikono juu, mikono juu ni remix nakita
DJ sema nazo tracks nyingi Bongo Flavors
Daz Nundaz, Jay, Unique Dadaz
Usiku bado mchanga, no blaga daa
Tikisa anga Bongo Records, no blaga daa
Kamili ile king tone yo, no blaga daa
Straight from the suicide mpaka till I die
Zero brain pande hii ni vibe, no blaga daa
Ujumbe sa ni mwingi leo hapa nakuwakilisha
Kama napenda hii njoo tuzidi kudatisha
Hata kama ngoma simple tusote
Tupate kitu halisi nacho kisipotee
AY naleta new style
Straight from the dump kama vipi we try
Mademu wa viwanja mjomba usijitusu
Usije honga saa, minoti ubaki mtupu
Daka gari jibaba kama uchumi unaruhusu
Usipangue kilometa ukalale panapokuhusu
Hata hivyo umebakiza noti za kesho
Sio unajirusha tu, future yenyewe michosho
[Hook – AY] x2
Alright, njoo huku bado tight
Ipendeze siku ya leo mchana mpaka night
Aah ni raha tu, raha tu
Ndani ya game mi huwa skai macho juu, macho juu
Alright, njoo huku bado tight
Ipendeze siku ya leo mchana mpaka night
Ee bwana eh, muda bado unaruhusu
Aah ni raha tu, raha tu

NIPE NIKUPE LYRICS BY AY FT PREZZO


[Hook – AY] x2
Nipe nikupe, raha tupate
Njoo upate mambo matamu toka kwangu
Nipe nikupe, raha tupate
Njoo upate mambo matamu toka kwangu
[Verse 1 – AY]
Come baby, come baby
Come baby, come baby, come baby, come
Come-come baby, come-come baby, come, come
Njoo upate mambo matamu toka kwangu
Njoo upate true love na masham sham
Usihofu mi ni wako ila napenda uwe wangu tu
Ukiona wanaleta uchochozi
Hawana nia njema kama vipi achana nao
Blam blam, wacha wana hamu
Fanya nao mema, mabaya wakate stim
Ikibidi hivyo nipe mambo, nidate, nikupe yangu hadimu
Njoo nikupe
[Hook – AY] x2
Nipe nikupe, raha tupate
Njoo upate mambo matamu toka kwangu
Nipe nikupe, raha tupate
Njoo upate mambo matamu toka kwangu
[Verse 2 – Prezzo]
Nipe nikupe na raha tupate
Njoo sogea karibu nikupe mate, baby
Nataka uwe my one and only
Kila napokaa nakuwaza tu shore
Believe me kwako wewe nimedata
Najua kwangu mimi hata wewe umenata
Anza kukata, kukata the cat walk
I like the way you smile, your lips, the way you talk
Napenda unavyo-shake behind, this ain’t a joke!
(So wacha nikupe mapenzi tele)
Na wenye wivu wajinyonge
(Wacha nikupe raha mpaka chee)
Mimi na wewe tu maisha milele
(So wacha nikupe mapenzi tele)
Na wenye wivu wajinyonge
(So wacha nikupe, wacha nikupe)
[Hook – AY] x2
Nipe nikupe, raha tupate
Njoo upate mambo matamu toka kwangu
Nipe nikupe, raha tupate
Njoo upate mambo matamu toka kwangu
[Bridge – AY] x2
Owhh
(Usiwe na shaka)
Girl, kwako nimeridhika
Vumilia hali yangu nilio nayo
Naamini ipo siku tutafika
[Verse 3 – AY]
Kiuno unavyokikata mpaka nadata
Kiuno unavyokikata mpaka nadata
Kiuno anakata mpaka nadata
Mpaka wengine wanasema umenipa limbwata
Sogea karibu maa, ni mi nikupendae kwa dhati nakupenda sana
Ila kuna wengine hawapendi kutuona hao
Sijali nipe raha, nami nikupe raha
[Hook – AY] x2
Nipe nikupe, raha tupate
Njoo upate mambo matamu toka kwangu
Nipe nikupe, raha tupate
Njoo upate mambo matamu toka kwangu
[Outro]
Nairobi
Kampala, Dar Es Salaam, Kigali
You know I love you

YULE LYRICS BY AY


Kutoka kwa AY
[Chorus] x2
Yule, nampenda sana jinsi alivyo
Yule, nampenda sana jinsi alivyo simple
Yule, nampenda sana jinsi alivyo
Nitafanyaje? Patamu hapo!
[Verse 1]
Anavyotabasamu ndipo anaponipa hamu
Sura umbo lake basi lanipa wazimu
Nataka kumfuata, nahisi atakataa
Naogopa akinimwaga, story zitazagaa
Napenda miondoko yake, tabia yake
Umaskini wangu utanifanya nisimpate
Yule, anayesumbua akili yangu
Yule, anayeumiza moyo wangu
Najua hafahamu, najua hafahamu
Moyoni mi nabaki na mawazo
Lakini kumwambia ndo siwezi
[Chorus] x2
Yule, nampenda sana jinsi alivyo
Yule, nampenda sana jinsi alivyo simple
Yule, nampenda sana jinsi alivyo
Nitafanyaje? Patamu hapo!
[Verse 2]
Tatizo hajui, bila penzi lake mazee sijitambui
Mi nitafanyaje, hata nikimuona mdomo unajaa mate
No no, no no
Napomuona, pindi tukikutana
Iwe club, kapozi na rafiki zake
Huwa tabu, napofikiria ni vipi nimfuate
Muda utafika napo ukweli ntamueleza
Nakosa raha pale washkaji wakinicheka
Sijitambui, nae hajui kama kwake nimefika
[Bridge]
Anavutia..
Cha ajabu hajidai
Nataka awe wangu tu, lakini kumwambia ndo siwezi
[Chorus]
Yule, nampenda sana jinsi alivyo
Yule, nampenda sana jinsi alivyo simple
Yule, nampenda sana jinsi alivyo
Nitafanyaje? Patamu hapo!

BINADAMU LYRICS BY AY FT MAURICE KIRYA


[Intro – Maurice Kirya]
This is AY from Tanzania
Maurice Kirya and MD from Uganda
It’s a dedication to all Africans living in poverty
Yeah!
[Verse 1 – AY]
Usiombee mambo yaharibike
Pesa usiishike mfano wa mti upukutike
Utaonekana si lolote, si chochote
Utaonekana karaha kwa watu siku zote
Walimwengu hawatakupa mkono
Magonjwa yatakuvuta ndani ya shimo
Utakata tamaa, utaandamwa na balaa
Pumzi hutoivuta kwa raha
Kweli usiombe ikuwai
Survive for fittest, never trust nobody this world of weakness
Watakukana hata kama ndugu zako
Watadiriki sema hawajui utokako
Mama acha kulia, hali ulio nayo ni majaribu tu ya dunia
Ipo siku mambo yako yatatulia
Utaweza hata kusahau ya zamani uliopitia
Oh hii dunia!
[Chorus – Maurice Kirya]
Baga lalinaa aah, gendo okore
You should think about tomorrow, not only today
Baga lalinaa aah, gendo okore
Oo uuh, gendo okore
[Verse 2 – AY]
Wapo wapi marafiki ulokuwa nao
Enzi zile pesa imekutembelea?
Hawapo tena nawe wamekukimbia
Sasa uko waliko tayari wanakukandia
Mke wako nae anataka taraka
Anasema maisha nawe ameshachoka
Anataka arudi kule kwao alipotoka
Sababu maisha anayoishi nawe ameshachoka
Ada ya watoto hujalipia
Kodi ya chumba nayo unadaiwa
Unazidi changanyikiwa hata unajuta oh kwanini ulizaliwa
Piga moyo konde, maisha uyashinde
Bado safari ndefu yenye miba na mabonde
Usiweke kinyongo hata kama alikutupa
Remain strong, these tryna be jealous
That’s all!
[Chorus – Maurice Kirya]
Baga lalinaa aah, gendo okore
You should think about tomorrow, not only today
Baga lalinaa aah, gendo okore
Oo uuh, gendo okore
[Bridge – Maurice Kirya]
Binadamu sio watu
Ukiwa na shida hutowaona
Ona sasa wamekimbia, uuh oh
Ona sasa wamekimbia!
[Chorus – Maurice Kirya] x2
Baga lalinaa aah, gendo okore
You should think about tomorrow, not only today
Baga lalinaa aah, gendo okoreOo uuh, gendo okore
[Outro – Maurice Kirya & (AY)]
Binadamu sio watu
(Ni kweli watakupenda ukiwa na kitu tu)
Ukiwa na shida hutowaona
(Watakujali vipi ukiwa na shida ndugu yangu?!)
Ona sasa wamekimbia, uuh oh
(Kali, Rasheed)
Ona sasa wamekimbia!
(ECT, Master Jay)
Ona sasa wamekimbia!
(Maisha yana pande mbili, usife moyo)
Ona sasa wamekimbia!
(Zingatia, sikia, siku zote ndo yanavyotokea)

MIKONO JUU LYRICS BY AY

[Intro]
Let me talk to ya!
Nataka kusema sana (no, si sana)
Kuhusu watu wa aina fulani
Mzeiya, AY, sema
[Hook]
Mikono juu, onyesha kama hufagilii mambo ya kishamba
Mikono juu, onyesha kama hufagilii mambo ya kishamba
Mikono juu, onyesha kama hufagilii mambo ya kishamba
Mikono juu, onyesha kama hufagilii mambo ya kishamba
Haa juu! Nyosha mikono ishara tumewapiga bao
Haa juu! Nyosha mikono ishara tumewapiga bao
Haa juu! Nyosha mikono ishara tumewapiga bao
Haa juu! Nyosha mikono ishara tumewapiga bao
[Verse 1]
Yatazame vyema macho yangu right now
Nishapitia mambo mengi hata zaidi yao
Unapongata kwangu na kupulizia kwao
Unapochoka zaidi baada ya kuona mi nacheka nao
Oh! Leo nakupa ukweli baada ya kuona unanispy
Oh! Cheza nami mbali sitaki hata unisabahi
Sikujui, niaje nipoteze muda nikuchunguze
Hunijui, vipi utunge uzushi kwangu uyasambaze
Mind your business hujui style ya maisha yangu
Basi sitaki ubishe hadi kwenye anga zangu
Kila siku unayafuatilia nayoyahangaikia
Lakini huwezi kuniharibia
Usione nime shh ukataka kupima
Nilikuona mwema kumbe Z nishakusoma
Nikiwepo mtu poa, nikiondoka unanichoma
Sasa unapochoma kama unaoga nje mchana ah
Niko imara zaidi ya chuma cha pua
Sitabiriki ujio wangu moyo wako unajua
Mlango wa ngome yangu mjomba noma ngumu kuingia
Ndo maana bado mi nakamua border nyingi napasua
[Bridge 1]
Shida zangu kwani zinakuhusu nini (wewe)
Hata raha zangu zinakuhusu nini (wewe)
Pia Maisha yangu yanakuhusu nini (wewe)
Hoya, hoya
Hoya, hoya
[Hook]
Mikono juu, onyesha kama hufagilii mambo ya kishamba
Mikono juu, onyesha kama hufagilii mambo ya kishamba
Mikono juu, onyesha kama hufagilii mambo ya kishamba
Mikono juu, onyesha kama hufagilii mambo ya kishamba
Haa juu! Nyosha mikono ishara tumewapiga bao
Haa juu! Nyosha mikono ishara tumewapiga bao
Haa juu! Nyosha mikono ishara tumewapiga bao
Haa juu! Nyosha mikono ishara tumewapiga bao
[Verse 2]
Usione watu wame-chill wametulia, busy
Basi ukaona easy kuwachezea, ukidhi
Kupandikiza chuki news kudandia please
Sitaki lawama kama vipi we potea
Fanya usepe tu kwangu, kwangu hupati kitu fool
Niogope kama Ogopa, full wa mbuzi kama Fid Q
AY, AY
Bado nafanya mema huu
Nikipata, nikikosa namshukuru Mungu tu
Kikulacho mbona kinguoni mwako
Wanaokuua mbona wa karibu yako
We unashangaa nani anauza file lako
Kama Adili kama mi (bora niwe peke yangu)
Deal zako ka zinabuma basi hasira usilete kwangu
Kama zali oh si lako jitume kibingwa wangu
Sio unakaa tu, kazi tu, kupiga majungu
Napo muda unapata bado unapiga virungu
Mchawi hana alama wapo (humu humu)
Asiyependa uendelee ni (mchawi tu)
Hakosi uja kwako hodi kila saa (ngo, ngo)
Ndani chuki nje kila saa anakupa tano (ngum, ngum)
[Bridge 1] x2
Shida zangu kwani zinakuhusu nini (wewe)
Hata raha zangu zinakuhusu nini (wewe)
Pia Maisha yangu yanakuhusu nini (wewe)
Hoya, hoya
Hoya, hoya
[Hook]
Mikono juu, onyesha kama hufagilii mambo ya kishamba
Mikono juu, onyesha kama hufagilii mambo ya kishamba
Mikono juu, onyesha kama hufagilii mambo ya kishamba
Mikono juu, onyesha kama hufagilii mambo ya kishamba
Haa juu! Nyosha mikono ishara tumewapiga bao
Haa juu! Nyosha mikono ishara tumewapiga bao
Haa juu! Nyosha mikono ishara tumewapiga bao
Haa juu! Nyosha mikono ishara tumewapiga bao
[Bridge 2]
(Aah ha), usijaribu kuchunguza sura hii
(Aah ha), kama ina raha ama Z
(Aah ha), usilete tabia za kizamani
Maisha yangu yanakuhusu nini!
[Outro – Fid Q]
Au vipi bwana, ni hayo
Huu ni muda na kila mtu kujiheshimu rafiki yangu
Haijalishi wewe ni nani na unatoka wapi
Niachie mimi nifanye kama mimi
Sababu siwezi kufanya kama wewe
Na wewe huwezi kufanya kama mimi
Sikiliza Ambwene, hili ni bonge la dude
Bonge la beat kutoka kwa Ogopa
Ma-track kama haya yanatakiwa kusikilizwa mtaani
Chuki kibao zipo, kwa nini?!
Usichukulie poa!
Usichukulie poa!

I DON'T WANNA BE ALONE AY FT SAUTI SOL


[Intro – Sauti Sol]
I don’t wanna be so lone
I don’t wanna walk alone
I don’t wanna stand alone
I don’t wanna be alone, in the world!
[Verse 1 – AY]
Wanadamu huwa wepesi kudharau
Misukosuko ikipungua basi na Mungu ndo wanamsahau
Wengine amani inatoweka, hawakumbuki walikotoka
(Success) wazipatazo wao wanaona ka wameokota
Siku bado zinapita na mengi yanabadilika
Umri unaongezeka, mambo mengi umeshapitia
Ila, nakuona mnyonge na umekata tamaa
Basi piga moyo konde na uzidi komaa (komaa)
Safari uliyokuwa nayo hapa duniani
Safiri kwa imani, kwani ujue siku hazifanani
Kwani naamini hakuna anaejua mbele, sidhani
Zaidi ya Maanani, ambaye ndio nguzo hapa duniani
Shukuru kwa kila jambo, liwe baya au jema
Ndo mapenzi yake tu, so niamini nachosema
Muache aitawale, aiongoze roho yako
Ujifungue kwenye pingu za maovu, uwe peke yako
[Chorus – Sauti Sol] x2
I don’t wanna be so lone
I don’t wanna walk alone
I don’t wanna stand alone
I don’t wanna be alone, in the world!
[Bridge – Sauti Sol]
Magari, yakifahari
Nyumba za ghorofa, shilingi na dollar
Unatawala, umesoma sana
Mambo haya ya dunia, tafadhali sikiliza
Maisha ni moja, kifo ni siku moja
Shida ni kuingoja, piga magoti wewe omba
[Chorus – Sauti Sol] x2
I don’t wanna be so lone
I don’t wanna walk alone
I don’t wanna stand alone
I don’t wanna be alone, in the world!
[Verse 2 – AY]
Kitu bora kuhusu kesho, ni uwe bora zaid ya leo
Maisha matokeo, na Mungu ndo letu kimbilio
Aliyekuvusha kwa milima, atakuvusha kwa mabonde
Basi usitazame nyumba, zidi songa mbele twende
Pumzi kakupa nani? Shukuru, utapungua nini!?
Vyote kakupa yeye, na bado humthamini
Vito, pesa na mali zenye thamani
Zisikufanye udiriki ukapungukiwa na imani
Kumsahau, kumdharau, kutomwamini aleyekupa
Kujiona juu, umepanda dau, na kujikuta umeanguka
Basi muombe akusamehe, maisha yako akuendeshee
Mabaya yote akuepushe, uishi raha mustarehe
Sema ‘asante Mungu’ kwa kila siku unayoanza
Na pia ‘asante Mungu’ kwa kila siku unayoenda
Mungu wa watu weupe, ndio Mungu wa watu weusi
Usimkumbuke tu wakati wa matatizo, change upesi!
[Chorus – Sauti Sol] x2
I don’t wanna be so lone
I don’t wanna walk alone
I don’t wanna stand alone
I don’t wanna be alone, in the world!
[Outro – AY]
Sio kila siku tunaongelea mapenzi
Sio kila siku tunaongelea anasa na mambo ya kidunia
Sometimes..
Tukumbushane kumuomba yule aliyetuwezesha kuwa hapa duniani
Yule aliyetuwezesha kuusikia na kuuona wimbo huu
Mungu ni mmoja, amini hivyo
Ndio kimbilio la mwisho na nguzo yako hapa
Na baada ya kutoka hapa duniani
Mungu wa matajiri ndio Mungu huyo huyo wa masikini
Kwahiyo, kila mmoja ana azima yake kwake
Basi tusimsahau, tuwe karibu yake
Na tumshukuru kwa kila jambo
Kila mmoja ana azima yake kwake
Basi tusimsahau

MACHONI KAMA WATU LYRICS BY AY FT LADY JAY DEE

[Chorus – Lady Jay Dee] x4
Machoni kama watu, mioyoni hawana utu
Imani imetoweka, mabaya yanaongezeka
[Verse 1 – AY]
Wengi wao wanatabasamu, wanaongea kwa nidhamu
Wanajifanya watu wa karibu kumbe hao ndo sumu
Wameweka mbele dini fungo moyo usiwaamini
(Si unakumbuka alikufaa kwa dhiki?), kweli
(Enzi zile upo nae marafiki)
Aha, yuko wapi sasa hayupo tena ashasaliti
Kweli akufaae kwa dhiki mara nyingine ni msaliti
Alishatembea na mkeo kwa gia ya urafiki
Shoga yako kwako habanduki mmeo akakutaliki
Unajuta ye anacheka kwani ndoa keshaivuruga
Mmeo ametimua ye keshatawala nyumba
Baba na nyumba ndogo watoto wanalia mateso
Anadiriki hata kuwakana hana huruma hata kidogo
Haina mshangao watu wa aina hii wapo
Sio sehem zingine hata hapa ulipo wapo
Jirani yako mchana mnacheka usiku mwanga
Nia yake kuona life oh inapinda
Dili zote zigime mipango igonge mwamba afya yako
Bandika bandua ya magonjwa itatamba……
[Chorus – Lady Jay Dee] x4
Machoni kama watu, mioyoni hawana utu
Imani imetoweka, mabaya yanaongezeka
[Verse 2 – AY]
Yoh! dunia inavunda vvu walimwengu hawashikiki
Wengi wanapenda ngono lakini kuzaa hawataki
Wengi nacheka nao tu lakini sio kwa dhati
Hivyo ni kama nipo gizani halafu nalamba ncha ya mkuki
Wengi wanatoa mimba wengine wanatupa watoto
Ungekuwa wapi mama yako angekutupa enzi hizo
Imani hakuna ndani ya maovu yasio na mwisho
Nakata tamaa akili inachoka moyo mzito
Machoni kama watu kumbe wamejaa unyama tu
Kaa chonjo chunga sana napo akili kichwani tu
Hapendi kukuona unatesa juu yako mzigo chuki
Ameshatega mabaya mitego ndo haikamatiki
Hapendi kuona unawini hapendi kuona unafuraha
Raha yake kuona umezungukwa na karaha
Hana raha anapoona mambo safi kiuchumi
Moyo utakuwa shwari tu pale una hali duni
[Chorus – Lady Jay Dee] x4
Machoni kama watu, mioyoni hawana utu
Imani imetoweka, mabaya yanaongezeka
[Verse 3 – AY]
Huyo ndo mwanadamu anapowini tu dharau
Napo ni mgumu kuelewa mwepesi kusahau
Anajionyesha ana huruma,mpole na mkarimu
Na aliye mstari wa mbele kutoa ahadi tamu
Usimpa nafasi hata ajue zako habari
Hana jema chunga sana hana ujio wa heri
Hataki kabisa kuona unavuta hewa hii lakini
Wapi mipango inabaki z
Ni rahisi kwake kupata mali kwa njia ya kuua
Haya mambo hi hali nadhamni wote mnaijua
Mlale pema mliouwawa mkidai zenu haki
Sisi bado tupo duniani hatujui lini tamati
Jasho la mnyonge huwa ni neema kwa wachache
Ni kilio cha fukara chenye lengo haki nipate
Stuka huko tunakokwenda kunatisha
Kwani itakuwa ndoto watu kutenda mema kabisa
[Chorus – Lady Jay Dee] x4
Machoni kama watu, mioyoni hawana utu
Imani imetoweka, mabaya yanaongezeka

JIPE SHAVU LYRICS BY AY FT FID Q


[Verse 1 – AY]
Nachana style zaidi ya kumi bado kiwango same
Kwenye speaker unamsikia mastermind wa hii game
Toka BC game,mpaka AC game
Wanajaribu hata kugeza hawana Edu-Tain
Nasmile, wanavyo-scream ‘I’M BACK AGAIN’
Chillax, usipanic kwani where have you been
Bila msoto maisha haya mjomba huwezi gain
Kanyaga moto acha utoto then life maintain
Napata moyo navyosikika toka Joz mpaka Lagos
Bado mnakuna vichwa level hizi chafu mikosi
Nimetoka mbali na hii game bado naidai
Ndio maana sivimbi kichwa na ufame till I die
Usiwe bingwa wa kuhonga na home wanalala njaa
Nyumbani umeacha mboga moja ka komba ulala
baa
Ujanja kuweka heshima nyumbani na is kuweka baa
Unashangaa?, Shtuka huu sio muda wa kuzubaa
[Hook]
[Fid Q] x2
Jipe shavu, kama unajipa, una hizi sifa
Na kama una hizi sifa
Hakikisha watu walikupa
Una cash? (money), we ni hustler? (flane)
Una-support yako familia na uko real
[AY] x2
Jipe shavu, kama unajipa, una hizi sifa
Na kama una hizi sifa
Hakikisha watu walikupa
Una cash? (money), we ni hustler? (flane)
Una-support yako familia na uko real
[Verse 2 – Fid Q]
Jipe shavu kabla haujajipa uwe na hizi sifa
Na kama una hizi sifa, hakikisha watu walikupa
Una cash, money, wewe ni hustler, fulani
Ulikuja na dash kama Damon
Ukazi-Chase kama Damian
Jipe shavu ukiwa na ubavu wa u-billionaire
Haters wata-show love kwa high five everywhere
CEO wa Cheusidawa TV, yeah iliyoanza kwa flip-cam
Ukinikuta club utapagawa, njoo u-sip some
Flow hizi tamu, zinaleta snows ndani ya Dar Es Salaam
Na mie ndo boss bado haujanifahamu?
Troublesome na hizi lyrics sio bubble gum
Multi-syllabic acheni ubishi hii sio double rhyme
[Hook]
[Fid Q] x2
Jipe shavu, kama unajipa, una hizi sifa
Na kama una hizi sifa
Hakikisha watu walikupa
Una cash? (money), we ni hustler? (flane)
Una-support yako familia na uko real
[AY] x2
Jipe shavu, kama unajipa, una hizi sifa
Na kama una hizi sifa
Hakikisha watu walikupa
Una cash? (money), we ni hustler? (flane)
Una-support yako familia na uko real
[Verse 3 – AY]
Beware, usinifuate shika nukuu
Fanya mbwembwe huko uliko ila usije njia kuu
Mdundo mzito wa Q, michano ya level ya juu
Kazi inaisha kabla ya kuanza mbele ya me and Fid Q
Ukitaka kunijua jiandae kujilaumu
Bora uhairishe zoezi kubakie tu kunifahamu
Jipe shavu ulikuja mjini mnyonge mzeiya sasa una mabavu
Una-survive na wengine unawapa shavu
Jina lavuma Afrika nzima nazidi tu kujituma
Nyuma na support nzima, Mtwara to Musoma
Dar to Kigoma, A-Town, Moro to Ruvuma
Tanzania nzima so unatamani hata kugoma
Umenisoma?, mchaka wa soka ka mchizi Chonka
Chini kwa chini ka Inju Bin Unuki mi nasonga
Mkononi Michael Kors na 3 smartphones
Border nazidi cross, huniambii we bitozi
Simu nyingi zinazotoka na kuingia ni za biashara
We bwabwaja, scratch yo balls mzembe zidi lala
Ujanja kupeleka faida bank ya ile uliyo-invest
Bora uhairishe kabla hujani-face
[Hook]
[Fid Q] x2
Jipe shavu, kama unajipa, una hizi sifa
Na kama una hizi sifa
Hakikisha watu walikupa
Una cash? (money), we ni hustler? (flane)
Una-support yako familia na uko real
[AY] x2
Jipe shavu, kama unajipa, una hizi sifa
Na kama una hizi sifa
Hakikisha watu walikupa
Una cash? (money), we ni hustler? (flane)
Una-support yako familia na uko real

ASANTE LYRICS AY FT DELA


[Intro – AY]
Si vibaya
Siku moja ukikaa na umpendae
Na kumwambia… (asante)
Yeah! Hahaha, kwa yote aliyokufanyia
(Asante) mko wote long time
Mnapendana, mnaheshimiana
[Verse 1 – AY]
Na-na, na naomba leo unipe nafasi
Unipe quality time ili wasitughasi
Nikueleze kitu muhimu toka kwa yangu nafsi
Nitazame straight machoni usiwe na wasi
All the time
(Unanifanya mi nitabasamu)
Talk to me girl
(You make my life niyaone matamu)
Hell yeah!
(Nnavyoku-feel, ujue vile nnavyoku-feel)
Yeah, it’s been a while mi na we tuna-survive
Popote tupo wote, tupo happy kama vile butterflies
Kwa mapenzi matamu, yanaonifanya kila saa mi nitabasamu
Umenipa furaha, kweli umenipa raha
Unanifanya mwenzio nisahau mpaka karaha
Nimepitia mambo mengi sana nawe
Mengine mazuri, mabaya, ndo maana nasema…
[Chorus – Dela]
Asante
Kwa mapenzi tele yako (juu yangu mi)
Siwezi kukuacha, siwezi kukuangusha niamini
Asante
Kwa mapenzi tele yako (juu yangu mi)
Siwezi kukuacha, siwezi
I believe you’ll never let me down
[Verse 2 – Dela]
Kwangu we ndo taa, we ndo unanifaa
Kwako nishakaa, Mungu atuepushie balaa tuzidisonga, right?
Moyoni we ni ice cream
Unanipoza, usiache na kunipa utamu
I’m sorry kwa yote niliyokukosea
Na-struggle all the time ili nisije potea
Sweetheart, know that I care about you
Bado tuna long journey witchu my boo
Sometimes… (sometimes)
Nakuwa arrogant, nakukosea mpaka kuniona hutaki
Najiona mwenye bahati ingawa wengine hawataki
Chance kwangu hawapati, twende heart to heart
I trust you, believe in you, we ndo my boo
We ndo unanifanya nikwambie hivi
Una taste kwenye nguo, una taste kwenye mapishi
Kwenye game we ndo queen haina ubishi
[Chorus – Dela]
Asante
Kwa mapenzi tele yako (juu yangu mi)
Siwezi kukuacha, siwezi kukuangusha, niamini
Asante
Kwa mapenzi tele yako (juu yangu mi)
Siwezi kukuacha, siwezi
I believe you’ll never let me down
[Bridge – Dela]
Mapenzi yako, mapenzi yako
(Love you, love you, love you, love you, love you)
Vile unavyonijali, vile unavyonijali
(I’ll love you, love you, love you, love)
We were meant to be together
No one else could do it better
Than you, boy, than you, boy
[Outro]
[AY]
Asante
Hell yeah
Love’s in the air
Asante inatambaa coast to coast
Karibisheni furaha ndani yenu
Si kugombana au kukomoana, right?
Right?
Na kama uko nae karibu
Fanya kum-kiss
Na kama uko nae mbali
Mwambie umem-miss
Yeah, wooo!
[Diamond Platnumz]
Akonyirani tabu nilizopitia ngavuni
Milele we ni wangu
Wenye kununa na wanune
(Asante
I can’t live without you
Baby, we were meant to be together)

Tuesday, 19 July 2016

NIPE NIKUPE LYRICS BY AY AND PREZZO


  (CHORUS) (AY)


nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu


(AY)


come baby, come baby...
njoo upate mambo matam toka kwangu
njoo upate true love na mashamsham
sio thamini wakwe na napenda uwe wangu tu
nikiona wanaleta uchochezi
hawana nia njema kama mi achana nao
blam blam
wacha wana-hum
fanya nao meme wabaya wakate steam
hiki vilivyo
nipe mambo nidate nikupe
yangu hadi mda ndio nikufe


  (CHORUS) (AY)


nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu


(Prezzo)


nipe nikupe na raha tupate
njoo songea karibu nikupe mate baby
nataka uwe my one and only
kila napokaa nakuwaza tu shorty
believe me kwako wewe nimedata
najua kwangu mimi hata wewe umenata
anza kukata
kukata the catwalk
I like the way you smile, your lips, the way you talk
napenda unavyo-shake behind, this ain't no joke
so wacha nikupe, mapenzi tele
na wenye wivu wajinyonge
wacha nikupe
raha mpaka che
mimi na wewe tu
maisha milele
so wacha nikupe, mapenzi tele
na wenye wivu wajinyonge
so wacha nikupe, wacha nikupe


(CHORUS)  (AY)


nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

Hoo!
siwe na shaka
gyal, kwako nimeridhika
vumilia hali yangu nilo nayo
naamini ipo siku tutafika

hoo!
siwe na shaka
gyal, kwako nimeridhika
vumilia hali yangu nilo nayo
naamini ipo siku tutafika

kiuno 'navyo kikata
mpaka nadata
kiuno 'navyo kikata
mpaka nadata

kiuno anakata
mpaka nadata
mpaka wengine wanasema umenipa lingwata
songea karibu ma
nipe nikupe naye kwa dhati nakupenda sa
ingawa kuna wengine hawapendi kutuona hao
'sijali nikupe raha
nami nikupe raha


  (CHORUS) (AY)


nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

Wednesday, 6 July 2016

NIMETOKA MBALI LYRICS BY JAGUAR & AY



Intro

AY
Jaguar...
skia

Verse 1 (Jaguar)
wana-shine kwa mwangaza wanajidai
nami na-shine kwa giza na sijidai
wanajidai na flow nami na dough
miaka tano kwa game sio mchezo
wasanii waliotangulia
siku hizi nao wananiangalia
muziki kavuka border
Jaguar kavuka border
AY kavuka border
(AY)
narusha 'toka Dar, 'Pala, Kigali mpaka Nai
niko na Jaguar kamili cheza na hii
(kamili, kamili) cheza na hii
(kamili, kamili) cheza na hii

Chorus (Jaguar)
narusha rusha zaidi yao
navuka border zaidi yao
kama ni mbali nimetoka mbali
nipe nafasi nami niishi

narusha rusha zaidi yao
navuka border zaidi yao
kama ni mbali nimetoka mbali
nipe nafasi nami niishi

Verse 2 (Jaguar)
nalala naota naona wakinicheka
wakinipa masiku ka maasai mbona makonde
nizame niishe waniweke kama
waliovuma eh-eh, watangoja
Ogopa cheza na beat
naye DJ aicheze
mabinti kwa floor wamwagike
muziki kavuka border
Jaguar kavuka border
AY kavuka border

Chorus (Jaguar)
narusha rusha zaidi yao
navuka border zaidi yao
kama ni mbali nimetoka mbali
nipe nafasi nami niishi

narusha rusha zaidi yao
navuka border zaidi yao
kama ni mbali nimetoka mbali
nipe nafasi nami niishi

Verse 3 (AY)
kweli wengi wanadhan'
AY kujulikan'
kila border ye anazidi juana
basi kwani easy
na zipo napambana
kuweka vitu sawa bwana
mishile kwa sana na nasanya kama jile
fly kama Superman kina AY anasaka man
hapana mchezo hapa busy man
ni nuru gizan'
kama Ogopa navyopaswa angan'
nami narusha
narusha 'toka Dar, 'Pala, Kigali mpaka Nai
niko na Jaguar kamili cheza na hii
siwezi mitiki uwe na set haikalipi
kama ni deal inatiki
nami narusha ni AY

Chorus (Jaguar)

narusha rusha zaidi yao
navuka border zaidi yao
kama ni mbali nimetoka mbali
nipe nafasi nami niishi

narusha rusha zaidi yao
navuka border zaidi yao
kama ni mbali nimetoka mbali
nipe nafasi nami niishi