Showing posts with label OTILE BROWN. Show all posts
Showing posts with label OTILE BROWN. Show all posts

Sunday, 23 December 2018

SAMANTHA LYRICS BY OTILE BROWN



Teddy B..
Mmmh.. mhhh..
Rangi ya mtome ndo bei
Rangi ya mtome ndo bei
Ngozi yake laini, hmmhhh



Kiuno chake cha kipekee

Kiuno chake cha kipekee
Yaani figa nane kamili
Hmmhhh



Tena magari yanabishana kwao

Usiku na mchana
Washika dau na wasanifu oooho
Mimi namlaumu mama, yako
Ulo ridhi matatizo
Uzuri wako swaserii
Ooooh hmmmhh



Samantha, Samantha

Samantha oooh baby
Baby you are my Samantha
Samantha, Samantha
Uzuri wako timilifu
Samantha oooh beiby



Hey nilipokuona

Nilijua wewe ndo wangu
Wala macho yangu hayakunidanganya, hmmh
Sasa nisipokuona kama ninakosa kanisa
Naogopa utanipora



Samahani kama

Nakuhukumu vibaya
My beiby, ni kwa sababu nakupenda
Na najua unanipenda
Tatizo wivu ninao
Mmmh beiby, basi tusonge lala



Hakika ulivyojaza hilo tattoo

Mimi macho kondo
Utuapo madem hawakai
Basi nipige game hadi ufurahi
Wewe kiboko
Mwalimu wako fundi hatari



Samantha, Samantha

Samantha oooh baby
Baby you are my Samantha
Samantha, Samantha



Uzuri wako timilifu

Samantha oooh beiby
Samantha, Samantha
Samantha oooh baby
Baby you are my Samantha
Samantha, Samantha



Uzuri wako timilifu

Samantha oooh beiby
Badman girl show me badman thing
Badman girl show me badman thing
Badman girl do the badman thing
Badman girl do the badman thing
Badman girl show me badman thing

Monday, 17 September 2018

NIACHENI LYRICS BY OTILE BROWN



maneno yatanichoma moyo ila hayawezi kunizui
ungeshanitoa roho neno lako lingekua sheria
tena nidhairi nidhairi utanichukia
japo sijui ni kwa nini maana sababu zangu za kuondoka unazijua
tena nizamsingi.

tatizo hisia zangu haziheshimiwi
mama nakujuwaa
usijifanye eti hujui tatizo mimba yangu ulioitoa

niacheni msione nipo kimya mwezenu nina mengi
wacha nilie na moyo wangu maneno maneno mingi sipendi

i will do better, better, better
i will do better, better, better
tena hauna shukurani utasemaje sikukupenda
nikutumie kwa msingi gani wakati ulinikuta na tesa

nilivyo kupenda na shidi zako mama
na madhaifu yako mama
nikapigana ata vita vyako mama
nikuridhie

nilivyo kupenda na shidi zako mama
na madhaifu yako mama
nikapigana ata vita vyako mama
nikuridhie

niacheni msione nipo kimya mwezenu nina mengi
wacha nilie na moyo wangu maneno maneno mingi sipendi
niacheni msione nipo kimya mwezenu nina mengi
wacha nilie na moyo wangu maneno maneno mingi sipendi

i will do better, better, better
i will do better, better, better
tena hauna shukurani utasemaje sikukupenda
nikutumie kwa msingi gani wakati ulinikuta na tesa a

Tuesday, 21 August 2018

BABY LOVE LYRICS BY OTILE BROWN

BABY LOVE LYRICS BY OTILE BROWN


Dhamani yako Uzuri wako, Naujua mwenyewe
Sikuach, pengine uniache wewe Raha ili mradi unanipenda
Peke yetu tutaishi kwenye dunia Sikuachi Pengine uniache wewe

We ni jiko Wewe jiko langu mama, Mboni ya macho yangu
Nitakulinda mpenzi wangu, We ni jiko jiko langu mama
Mboni ya macho yangu, Nitakulinda mpenzi wangu

Achana nao (nao)
Achana nao (nao)
Uuuuh Achana nao
Hao wenye roho mbaya wanatusema vibaya
Baby love Wewe wangu mimi wako wa moyo
Oooh baby love Usije niacha kwa fitina Na maneno yao
Baby love wewe wangu mimi wako wa moyo
Oooh baby love Usije niacha kwa fitina Na maneno yao

Huna habari jinsi gani, moyo Wangu unaupendeza
Wewe ndio furaha yangu, wewe ndo wa maini yangu
wewe ni jiko langu mama, Mboni ya macho yangu
Nitakulinda mpenzi wangu, wewe ni jiko jiko langu mama
Mboni ya machoa yangu, Nitakulinda mpenzi wangu

Achana nao (nao)
Achana nao (nao)
Uuuh achana nao
Hao wenye roho mbaya
Wanatusema vibaya
Achana nao (nao)
Achana nao (nao)
Uuuh achana nao
Hao wenye roho mbaya
Wanatusema vibaya

Baby love Wewe wangu Mimi wako wa moyo
Oohh baby love usije niacha Kwa fitina na maneno yao
Baby love Wewe wangu Mimi wako wa moyo
Oh baby love usije niacha Kwafitina na manero yao
Baby love Wewe wangu Mimi wako wa moyo
Oh baby love usije niacha kwa fitina Na manero yao
Baby love wewe wangu mimi wako wa moyo
Oh baby love usije niacha kwa fitina Na manero yao
Jiko langu mama Mboni ya macho yangu Nitalinda mpezi wangu a

Monday, 19 February 2018

TAM TAM LYRICS BY TIMMY TDAT & OTILE BROWN

SONG: TAM TAM

ARTIST: TIMMY TDAT & OTILE BROWN

Produced / Mastered By Magix Enga Studio : Fast Cash

Thursday, 19 October 2017

MAPENZI HISIA LYRICS BY OTILE BROWN



Song : mapenzi hisia

Artist: Otile Brown

Song producer: magix enga

Video director:  X antonia

LYRICS

Verse 1
Tunapendeza pamoja,Nidhairi
Tuliumbwa tuwe pamoja,Baby
Nasisi uwaga pamoja,Daily
Na kama kando yake hukuniona
Jua siko mbali.

{Mana me kivuli chake Ye
Haendapo nami nakwenda Eeh
Haijalishi huendako wapi Bae
Nishike mkono twende sote Bae}x2

Eei Aghaaghaa! Mapenzi hisia
Eei a Aghaaghaa! Hoja anakuridhia x2

Haijalishi wampenda nani erela erela
Haijalishi wapenda nani erela erela
Basi niambie unampenda nani erela erela
Shout jina lake hadharani mmh mmmh

Verse 2
Iwe anafanya Mjengo
Makanga au Sogi
Almradi anakuridhia moyoni

{Awe Mvuvi au Bodaboda
Kupata au Kukosa ni majaliwa
Awe Seremala au Muuza mboga
Kupata au kukosa ni majaliwa} x2

{Eei Aghaaghaa! Mapenzi hisia
Eei a Aghaaghaa! Hoja anakuridhia} x2

Bridge
Me almradi  unanipenda baby
Almradi unanipenda mama
Almradi unanipenda, unanipenda

{You know, you know…that
I’m crazy over you you,kila nikikuona
Roho yangu juju
Wanasema eti umenipea juju
Ooh Girl am crazy over you uuh}  x2

{Eei Aghaaghaa! Mapenzi hisia
Eei a Aghaaghaa! Hoja anakuridhia} x2

Saturday, 16 September 2017

WEMBE LYRICS BY OTILE BROWN AND TIMMY TDAT.

WEMBE LYRICS BY OTILE BROWN AND TIMMY TDAT.

Otile brown , kasabun naona kama bado uko ndani
Naona kama bado uko fine sasa tuko jamming

Wewe ndio unawakata wembe,
Wewe ndio nakata wembe.
Wewe ndio unawakata wembe,
Wewe ndio nakata wembe

Wembe, wembe unakatanga madem
Wembe, wembe unawasongaga madem

Zanga zanga ule dem kabeba mazanga zanga
Zanga zanga umewanga ndio bado unataka

CONTINUOUS.....

Saturday, 2 September 2017

ACHA WASEME LYRICS BY OTILE BROWN

SONG: ACHA WASEME

ARTIST: OTILE BROWN

"Keep talking behind my back , and watch God blessing me in front of your eyes" The official video to Otile Brown's hit single "Acha Waseme", produced by Ihaji. Shot and Directed by X Antonio of International Textures. (c) 2017




  LYRICS

Saturday, 3 June 2017

KISTAARABU LYRICS BY OTILE BROWN

[Verse One]
Jinsi anavyo cheza nikama aninitega (no way)
Macho yake yenye mvuto nikama ananiita (no way)
Huo mdomo anavyo ung’ata pumzi inaniisha (no way)
Kiuno nazi nazi anavyo katika (no way)
Now she started blowing me kisses (Aaah)
Kaja Mwenyewe kasema ”Hey Mr.would you hold my hands naomba nicheze na wewe.”
{Chorus}
Basi simama tucheze  (kistaarabu x2)
Nishike nikushike (Kistaarabu x2)
Katu usiniache ( Kistaarabu x2)

[Verse Two]
Asema “Nina mpango na wewe
Wala Usiwe na kiwewe
Hapa nkaja mwenyewe
Ila naomba niwe na wewe
Usiku kama huu nakuhitaji
Sijui ukaja na Nani Ila naomba uwe nami ”
Uuh kumbe toto la kigogo , kigogo, Kigogo
Up town ila chapo mandondo, mandondo,mandondo
Kaanza kurukaruka tu kibobo, kibobo,kibobo
Nikasema ” hey hey am a classic man
Niite mr gantleman
Mbona husle man
Tusije pakana jasho man x2

{Chorus}
Basi simama tucheze (Kistaarabu x2)
Nishike nikushike (Kistaarabu x2)
Katu usiniache ( Kistaarabu x2)

[Verse Two]
Mmh mmh marashi kwenye nyele zako
Harufu ya ngozi yako
Ina nipaga manjonjo
Nimejikoki sio kidogo x 2

{Chorus Three}
Basi simama tucheze (kistaarabu x2)
Nishike nikushike (Kistaarabu x2)
Katu usiniache ( Kistaarabu x2)

Saturday, 1 April 2017

YULE MBAYA LYRICS BY OTILE BROWN




  LOVE IS LIKE A DRUG 
you get addicted to it 
you want it and need it 
no matter how much it could hurt us we still want more 
it gives us this undescribable feeling, too much that it can kill you

Audio: Ihaji

Video: International Textures

LYRICS

{Verse One}
Moyo Wangu Aliumiza Vibaya
Nanusurika kua Hai , Nanusurika kua Hai
Na Kidonda Ndugu Alionipa Kina
Maliza Tu Dawa Katu Hakiponi
Ooh Akiponi!!
 Ila Kumuacha Ndio Siwezi
Moyo Umemchagua Yeye japo Najua
Hanipendi
Kua Naye Sitaki , Ila sina budi
Moyo Unamuitaji
(Nampenda Anajua ndio Mana Anajisheua
Moyo Una kina Kirefu
Kilichonieka Kwake ndo sijaelewa×2)
[Pre-Chorus]
(Aaghaaghaagh
Haya  Mapenzi Hayana Macho
Aaghaaghaagh
Masikini Moyo Wangu kapenda Mahala sipo x2)
[Chorus]
 ( Yule mbaya
Ndo nimpendaye
Yule mbaya
Ndio nimtakaye
Yule mbaya
ndio nimpendaye

Nafsi Mtumwa wa Moyo x2)
{Verse Two}
Kweli Nafsi Mtumwa wa Moyo
Niliishia kumkumbatia nilipomfunia
wazi wazi na jamaa
Aliporudi nikampokea
ila akanizuga tena na tena
Mdomoni mchungu ila nimeshindwa kumtema
 (Sipougenini ila ni kweusi Anachothamini Fulusi
tatizo mimi mfupi
vyangu vyaliwa kichwani x2 )
[Pre-Chorus]
(Aaghaaghaagh
Haya  Mapenzi Hayana Macho
Aaghaaghaagh
Masikini Moyo Wangu kapenda Mahala sipo x2) 
[Chorus]
( Yule mbaya
Ndo nimpendaye
Yule mbaya
Ndio nimtakaye
Yule mbaya
ndio nimpendaye
Nafsi Mtumwa wa Moyo x2)

Monday, 28 November 2016

NISEME NAWE LYRICS BY OTILE BROWN FT BARAKAH THE PRINCE

. . . . . .
  New hit single by Otile Brown performing the song Niseme Nawe featuring Barakah The Prince... Audio produced by Teddy B. and video directed by Dr. Eddie.

LYRICS

Hey turuh turuh turuh turuh  turuh turuh
hey naitwa Raj uaitwa nani,wewe unaitwa nani
hivi unatoka mtaa ngani wewe mtaa ngani

hivi we mwana wa ni,wewe mwana wani
mda wote umekuaga wapi ,wewe umekuaga wapi
naomba usinipe kisogo nataka niufungue uu moyo
by the way namiliki gari na sasa liko garage kidogo


attention attention babe can i get your attention
me sina ubaya just wanna give you some love and attention

sijui nakua wapi ila naomba nitembea nawe
nina mengi mi nataka niseme nawe   X2

nataka niseme nawe
kidogo niseme nawe x2

na wewe mmmmh 

so babe please so no turn ndio maisha nasema si utani 
unanimaliza mamaaa.
watu fulana wanadai nikuache uwa unatoka na fulani
mbona bila bila mamaaaa
twende nyumbani dada ameandaa kachwali nile nawe
kisha maishani pale niishie  birikani nikiwa nawe
aukoko beach tupunge upepo wa bahari 
mombasa malindi tukale izo kachili jamani

mama tanzania jameniii
sijui nakua wapi ila naomba nitembea nawe
nina mengi mi nataka niseme nawe   X2

nataka niseme nawe
kidogo niseme nawe x2

hadi Tanzania, mombasa nairobi kenya
Dar eslaama nitembee mimi na wewe
ooh Tanzania hadi Kambala Uganda Bunjumbura
nitembee na wewe babe

Burudi na Rwanda bongo kinshasa
sudani Ethiopia nitembee nawe x2



a