Showing posts with label ASLAY. Show all posts
Showing posts with label ASLAY. Show all posts

Sunday, 16 December 2018

NATIRIRIKA LYRICS BY ASLAY



Iye Lalalalala..
Lololololo..
Mmmmmhhh...

Sina nguvu ya kuleta matala
Mi kwako fala, Sijiwezi hata kidogo
We nipige hata kwenye hadhara
Mi bado fala,
Sikuachi hata kidogo

Nimesimama nakupenda peke yako
Nilikula ujana Ila kwako nimefunga kwato
Kamwambie na mama Kwamba mimi ndo mpenzi wako 
Waharibu ndugu lawama Penzi letu kuligusa mwiko

Natiririka(iyeee)
Natiririka mama natiririka
Uzani umezidi wa wa kilo(kilooo)
Natiririka, Natiririka mama natiririka
Maji ya shingo yamenifika Natiririka
Natiririka  mama natiririka Yamenifika(oooh)
Natiririka, Natiririka  mama natiririka
Ananipa nacho taka

ndo maaana Simba nimekuwa farasi mnyonge
Bouncer anaepelekwa puta na mende
Yuko wapi mganga wako niende
Nataka nimpeke zawadi kilinge atulie

Na nilikuwa mkata
Ila kwako kidomodomo
Nimekataa nimekataa
Na nilikuwa matata
Ila kwako mtoto
Natamba natamba

Nimesimama nakupenda peke yako
Nilikula ujana
Ila kwako nimefunga kwato
Kamwambie na mama
Kwamba mimi ndo mpenzi wako
Waharibu ndugu lawama
Penzi letu kuligusa mwiko

Natiririka(iyeee)
Natiririka mama natiririka
Uzani umezidi wa wa kilo(kilooo)
Natiririka, Natiririka mama natiririka
Maji ya shingo yamenifika
Natiririka, Natiririka  mama natiririka
Yamenifika(oooh) Natiririka
Natiririka  mama natiririka
Ananipa nacho taka ndo maaana

Natiririka, natiririka Mama
natiririka Mzani umezidiwa kilo kilo
Natiririka, natiririka  mama natiririka
Maji ya shingo yamenifika natiririka
Natiririka, natiririka  mama natiririka
Ananipa nacho taka ndo maaana
Punguza dozi utakuja niua
mwana wa mwenzio
Unanipeleka mperampera

Friday, 14 September 2018

KWATU LYRICS BY ASLAY



Mmwaaah mmwaaah mmwaaah

Baby mi na we nganganga
Usije ukaenda kwa mgaga
Dj ebu piga charanga tuchezee
Wanauliza maswali
Tuwajibu kwa vitendo

Waambieee wajue
Mi kwako nishatia nangaaa
Fumba macho usije danga
Utaniumiza roho
Nikila korosho
Kula karanga, tuzimeze ooh
Usiniache nitatangatanga
Yatima ooh

Unionyeshe alokufunza nyakanga
Kitandani ooh

Nimeona wengi sana
Wazuri sana
Ila kwako nimekwama
Sijatereza kukuchagua
Nichochee, nichochee
Kama moto unichochee

Kwatu
Roho yangu kwatuu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu kwatu
Roho yangu kwatu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu

Ukiwa mbali mwili wote unapooza
Nahisi kama nimekufa na tayari nishaoza
Chai sukari

Mupenzi hebu koleza  Usije ukakurupuka ukajaniacha kwa jeneza
Familia yangu iko polisi inakutafuta wewe
Nasikia unabonge la kesi la kuniteka mie
oooh loo loo loooh
La kuniteka mie
aaaaaah aaaaah aaaaaaaaah
Wambie wajue
Mi kwako nishatia nangaa
Nimeona wengi sana
Wazuri sana
Ila kwako nimekwama
Sijatereza kukuchagua
Nichochee, nichochee
Kama moto unichochee
Vunja mifupa kama meno ipooo

Kwatu
Roho yangu kwatuu
Kua na wewe

Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu kwatu
Roho yangu kwatu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu

Nikishika kiuno
Unishika mabega
ayayaaah
Unavonigusa kokote mwenzako naregea
ayayaaaaaah
Baby humo humo
Uliponishikia
ayayaaaayaah
ayayayaaayaah

waambie wajue mi kwako nishatia nangaaaa  a

Wednesday, 18 April 2018

BORA NIFE LYRICS BY ASLAY FT BAHATI


Mwili umejaa vidonda donda ,Kisa kupenda aah
Naitwa bwege, naishi kwa kuonga onga
sabuni chooni namaliza mimi
kwa nini jamani
kama mwajuma
 nilimpa simu, cha ajabu kanipora
salima
 hataki mapenzi, anataka pochi
magugu avelina
baada ya kumpa gari, eti hanitaki
nguvu sina eeh woololoh aih
bora nife,
huenda nitakumbuka pengine mmh
bora nife,
huenda nitakumbuka pengine ai
kwani nasubiri nini duniani, nasubiri nini
kwani nasubiri nini duniani, nasubiri nini aaih
BAHATI
Ai niliempendaga mwenzagu, Akaumiza roho yangu tu
Kaniwazisha niwe padre, Nihudumie kanisani
Aah aaah
Nikaongopaga mapenzi tu
Tena usiwe unasumbuka, Kutoa uhai
ASLAY Ya nini
BAHATI
Usije mlaumu aliyekuacha zamani
ASLAY Zamani
BAHATI
Ukikata na roho, Utajibu nini
Siku ya kihama, Kama dayana
ASLAY
Nilimpa simu cha ajabu Kanipora
Penina hataki mapenzi, Anataka pochi
Mamaivana baada ya kumpa gari Eti hanitaki
Nguvu sina eeh woololoh ai
Bora nife,Bora nife
Huenda nitakumbuka pengine, Labda nitakumbuka ai
Bora nife,Bora nife
Huenda nitakumbuka pengine, Labda nitakumbuka ai

Usiseme usiseme
 nasubiri nini duniani, Nasubiri nini duniani
usiseme
 nasubiri nini duniani, Nasubiri nini duniani
Japo ujaniwishigi Kwenye birthday yangu
Ila usikose mazishi, Kwenye msiba wangu ooh
Japo ujaniwishigi, Kwenye birthday yangu

Ila usikose mazishi, Kwenye msiba wangu ooh
a

Thursday, 23 November 2017

HAUNA LYRICS BY ASLAY


Ilikuwa inakuumanga ukiniona naye
Ilikuwa inakuchomanga mwanaume wewe
Ulitamani wewe ndo uwange mie
Ndo maana nilivyomuacha ukaaamua umuoe


We hauna, we hauna, hauna moyo kabisa
Hauna, we hauna, we hauna ulomagiki hata
kulika hauna wewe

Alivyopika chakula ulikuwa wakaa jikoni
sikujua ni kwanini nilijui ushemeji tu
Kumbe kule mlikuwa mnayapanga ya kwenu ninyi
mpaka umemteka umekuwa gaidi juu

Nimekubali nimekubali nimekubali
nitamwita shemeji ooh
Nimekubali nimekubali nimekubali
nitamwita shemeji


Aah shemeji eeh shemeji shemeji eeh
Kiroho upande shemeji, eeh shemeji shemeji eeh
Kishingo upande

mara ooh tunaendana unaomba tusije kuachana
Eti unatupendanga sana kumbe ulinichora
kumbe nyuki mwenye laana
Kuniacha manundu ya mchana
Nilivyo beep ukupiga tu mapema
Ukasema na sinyora

Ooh mama sihara umemvisha na shera
Wee mwana no mbaya, oh nimbaya
Sijui ulimpa dawa au ndio hela
Ila yote sawa, me nasema inshala Mungu atalipa


Alivyopika chakula ulikuwa wakaa jikoni
sikujua ni kwanini nilijui ushemeji tu
Kumbe kule mlikuwa mnayapanga ya kwenu ninyi
mpaka ukamteka umekuwa gaidi juu

Nimekubali nimekubali nimekubali
nitamwita shemeji
Nimekubali nimekubali nimekubali
nitamwita shemeji

Aah shemeji eeh shemeji shemeji eeh
Kiroo upande shemeji, eeh shemeji shemeji eeh
Kishingo upande

Nimekubali nimekubali nimekubali yeyeyeee
Nimekubali nimekubali aaoah a

Thursday, 5 October 2017

NATAMBA LYRICS BY ASLAY




SONG: NATAMBA

ARTIST: ASLAY


LYRICS

Saturday, 2 September 2017

PUSHA LYRICS BY ASLAY

SONG: PUSHA

ARTIST: ASLAY


Tonee Blaze

East And Central Africa Leading Music Video Director




  LYRICS

EH Ushawasha, mimi nina stress zimejaa kwenye kichwa,
mh, sogeza kiti kaa, nikueleze machache yaliyonikutaa,
kuna kijana ananisumbua sana
mke wangu raha hana, nyumbani amani hakuna.

asidhani mimi nimkimya sana, mwenzangu naumia roho yangu,
isije baadae mi kupata lawama, nikaharibu cv yangu.

mwambieni ama zake ama zangu nitakufa nae,
nasema mwabieni ama zake ama zangu nitakufa nae,
mkimwona mwambieni ama zake ama zangu nitakufa nae.
eh mwambieni ama zake ama zangu nitakufa nae
anapita kibarazani nguo kashusha makalioni
anajifanya yeye muhuni, mwenzie tulianza tisini,
tutabadilishana majengo ya serikalini aaaa
mimi niende jela yeye aende monchwari aaa

asidhani mimi nimkimya sana, mwenzangu naumia roho yangu,

isije baadae mi kupata lawama, nikaharibu cv yangu.


mwambieni ama zake ama zangu nitakufa nae,
nasema mwabieni ama zake ama zangu nitakufa nae,
mkimwona mwambieni ama zake ama zangu nitakufa nae.
eh mwambieni ama zake ama zangu nitakufa nae
aiyo aiyo aiyoyo
huwa sipendangi zarau
aiyo aiyo aiyoyo
mwambie anajisahau
aiyo aiyo aiyoyo,
tutachukiana mama
aiyo aiyo aiyoyo
tutapena lawama sana


a

LIKIZO LYRICS BY ASLEY

SONG: LIKIZO

ARTIST: ASLEY

Aslay | Likizo | Official Video
Directed By Tonee Blaze East And Central Africa Leading Music Video Director




LYRICS

Friday, 9 June 2017

ANGEKUONA LYRICS BY ASLAY


Mmm yee mmm eeh nono yeee mmh

Yani raha hata tukilala na njaa kila saa nakuona mpya mamy
Tena raha huku ninavimba kitaa unang’aa hata kwenye giza mamy
Basi tulia eeh kama maji kwenye mtungi baby nitakulea eeh ili mradi unipe heshimaa
Kama mboleaa eh nitatia ili unawili sana nimekuzoea eeh ukiniacha itaniuma sana

Ooh I wish angekuona maaa mama angefurahi mama maaa mama
Eeeh mama yangu mama maaa mama angefurahi mama maaa mama

Navyo mjua mama angekupa vitenge tena bila iyana na kikapu cha embee
Ana viwanja mamaa agekupa ujenge na ukirudi kwangu upate mwango wa chang’ombe
Umeondoka mama imekuja zawaadi nabaki nalia nalia sina budi
Fikra tupa mwana naogopa dhambi ila nakuombea ulale pema kwa bosi tuliaaa

Kama maji kwenye mtungi baby nitakuleaa eh ili mradi unipe heshima
Kama mboleaa eh nitatia ili unawili sana nimekuzoea eeh ukiniacha itaniuma sana

Ooh I wish angekuona maaa mama angefurahi mama maaa mama
Eeeh mama yangu mama maaa mama angefurahi mama maaa mama

Wuwuwuwu uuuh…maaa mama mamamama… maa mama
I wish angekuepo mama maaa mama nonononono… maa mama
Uko wapi mama mamamamamamamamamama…nakukumbuka mi mwanao
Eeeh maa mamaa maaa mamaa