Showing posts with label Harmonize. Show all posts
Showing posts with label Harmonize. Show all posts

Saturday, 15 December 2018

PARANAWE LYRICS BY HARMONIZE X RAYVANNY


(yawe ya)
Ayo lizer

kwenye darkness
kwenye Candle
professional wa ku handle
the way you take me to the angle
wewe ni human being ama angel

if you want my heart oooh
I give you baby carry go
kidogo changu ndo chako
Ongeza njonjo madoido

(aah eeeeeh!)
my sheri koko
Kwa baridi nipe joto
(aah eeeeeh!)
kisha tupate kimoko
babu,bibi, kura doto
(aah eeeeeh!)

my sheri koko
Kwa baridi nipe joto
(aah eeeeeh!)
kisha tupate kimoko
babu,bibi, kura doto
(aah eeeeeh!)

(paranawe paranawe)
I want to see you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
(paranawe paranawe)

(Vanny Boy)
hivi unasokota jicho lako
legelege lina dondoka
(nakuuulizaa…)
hivi una ka motor
panga boy
chenga jay jay
ooh kocha
(wanimaliza…)

pretty gal, nasty
nitasema sorry nikimbeza
ata kama nyuma umetegwa pasi
sura mbaya dawa yake makeup

uweke wembe nitakula kiporo
nimeshapenda sijui kasoro
jirembe uwe mwororo
kama huna shepu vaa kigodoro

if you want my heart oooh
I give you baby carry go
kidogo changu ndo chako
Ongeza njonjo madoido(oooh)
(aah eeeeeh!)

my sheri koko
Kwa baridi nipe joto
(aah eeeeeh!)
ndo uitwange kokoto
pekupeku kama mpoto

(paranawe paranawe)
I want to see you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
paranawe(noga) paranawe(noga)
I like the way you dancing
paranawe(noga) paranawe

Anaeka sweeti
katamu mi nakajuwa uwa
na kanavyo jishaua uwa
ulimi picky
sinapo na vimaua ua
midomo denda ngozi muruwa uwa

awusha ashawa
pauka pakawa
inuka pagawa (eeeeee….)
zinduka mandawa
pinduka kagawa
karuka mabawa
I want to see you dancing
(paranawe paranawe)
I want to see you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
paranawe(noga) paranawe(noga)

Woiyooo Woiyoyo
Woiyooo Woiyoyo
Shake what your mama gave you
cheki wanaona wivu


a

Friday, 14 September 2018

WHY LYRICS BY BEN POL FT HARMONIZE



Ndugu zangu napata, malipo ya usaliti
yakupendwa lakini ikawa sipendeki
sikujua machungu makali kiasi hiki

hii dozi inatibu vilivyo
me staki ooh why
umenifanya nawaza
wangapi ninaowatenda
kila nikikumbuka
najiona mashamba

nguvu zinaniisha
siwezi hata kusimama
kinacho nisikitisha
nastahili haya nguvu zinaniisha
siwezi ata kusimama
kinacho nisikitisha
nastahili haya

why why why why ooh
why why why why ooh
why why why why ooh
why why why why ooh
silali silali silali fofofo X2

ona hayaniishi mawazo ahh
nyingi zinajirudia ahh
penzi lake ndio chanzo ahh
mmmh malipo ni duniani
ahela kuhesabiwa
me nipo bado rehani
nimejitela mwanamkiwa
eeh mmmh

zile heshima kuninyenyekea
nikamuona si chochote kwangu aah
eti maziwa nikampotezea
nilivyomaliza tu shida zangu aah
ukimuona mwambieni
najiuguza najutia

tena najiona limbukeni
yamenifunza ya dunia
yale machozi yasiyo na hatia
yananisurubu (majonzi)
upweke na jiinamia
nimeisha tubu nisamehe

why why why why ooh
why why why why ooh
why why why why ooh
why why why why ooh
silali silali silali fofofo X2

ona hayaniishi mawazo aah
penzi lake ndio chanzo  aah
nguvu zinaniisha
siwezi ata kusimama
kinacho nisikitisha
nastahili haya

a

Monday, 20 August 2018

ATARUDI LYRICS BY HARMONIZE





Angalieni wanadamu na Dunia tunapita
Kama kupata kwa zamu Ooh! Zamu yangu itafika
Suizika na damu kesho watajanizika
Ila ningependa fahamu haya mateso ulonipa

Mmh tena mwambieni aloninyima mimi
Ndio kampa yeye yee
Kupata foleni nasubiri yangu mimi
Ata ichelewe eheee !! Ooh

Sina furaha naingiza Ili mradi watoto wasijihisi vibaya
Aah uyu mdogo ananiuliza,eti Dad mama amehihama kaya
Cha kujibu sina nabaki tu kusema.

Aah atarudi (eeh) atarudi mama
Aah atarudi anawapenda sana
Aah atarudi atawaletea zawadi
Aah atarudi atarudi mama
Aah atarudi atarudi mama
Aah atarudi anawapenda sana
Aah atarudi atawaletea zawadi
Aah atarudi iiiih

Siwezi sema sijui tatizo, hali yangu duni
Imefanya ukanikimbia
Ni vyema ungefanga maigizo
Mara kumi usingenizalia
Mmh ingali mapenzi pekee
Ningesema ni changa moto nijifunze
Ameniacha mpwekee na watoto niwatunze

Eeh ila siwezi mlaumu aah
Uenda yupo sawa Aah
Kipato changu kigumu Aah
Kutwa kumunda na kahawa Aah

Mmh ila mwambieni aloninyima mimi
Ndio kampa yeye yee
Kupata foleni nasubiri yangu mimi
Ata ichelewe eheee !! Ooh

Sina furaha naingiza Ila mradi watoto wasijihisi vibaya
Aah uyu mdogo ananiuliza,eti Dad mama amehihama kaya
Cha kujibu sina nabaki tu kusema

Aah atarudi (eeh) atarudi mama
Aah atarudi anawapenda sana
Aah atarudi atawaletea zawadi
Aah atarudi atarudi mama
Aah atarudi atarudi mama
Aah atarudi anawapenda sana
Aah atarudi atawaletea zawadi
Aah atarudi iiiih
a

Monday, 9 April 2018

PILIPILI LYRICS BY WILLY PAUL FT HARMONIZE

Intro: Willy Paul & Harmonize]
Willy willy willy
Willy Pozzee
Harmonize na Willy Pozzee
Teddy B
Wasafi

[Verse 1: Willy Paul]
Pesa sio kila kitu alinifunza mama, eeh
Heshima ndio kila kitu walishasema wahenga, eeh
Ukifuata magari, utapotea baby, we'
Ukifuata mapeni, utapotea
Mbona nikuite malaika, na tabia zako haziambatani
Mbona nikuite mama yao, na watoto wako umewatupa
Mbona nikuite chocolate *** umewa shubiri

[Chorus: Willy Paul & Harmonize]
Uwe pilipili we' (ololo, ololo)
Unaniumiza moyo (ololo)
Uwe pilipili we' (ololo, ololo)
Unaniumiza moyo (ololo)
Uwe pilipili pilipili pilipili wewe (ololo, ololo, ololo)
Pilipili pilipili pilipili we' (ololo, ololo, ololo)

[Verse 2: Harmonize]
Tupige goti tusali, tufanye dua, eeh
Kwetu afadhali, wenzetu wanaugua, eeh
Uh, tukipata siri letu, hata tukikosoa, eeh
Wasije vunja penzi letu, wakupe **
Kama nikikuudhi nisamehe (haya)
Penzi letu liendelee (haya)
Usije anzisha tafarani, kisa sina kitu
Uwape mwanya kina fulani, wako ufungue zipu
Pilipili

[Chorus 2: Willy Paul & Harmonize]
Uwe pilipili we' (ololo, ololo)
Unaniumiza moyo (ololo)
Utaniumiza mama
Uwe pilipili we' (ololo, ololo)
Unaniumiza moyo (ololo)
Nakupenda sana
Uwe pilipili pilipili pilipili wewe (ololo, ololo, ololo)
Utaratibu ma', oh
Pilipili pilipili pilipili we' (ololo, ololo, ololo)
Utaratibu ma'

[Verse 3: Willy Paul & Harmonize, Both]
Mke wangu leo sina, (tulia) kesho nitampata, eeh (tulia)
Kwa uwezao wa Muumba, (tulia) najua nitampa..., eeh
My heartbeat, eeh, aay, aay (ololo, ololo,ololo)
My chocolate, eeh (ololo) nikama kitabu nifiche
My heartbeat, eeh, aay, aay(ololo, ololo,ololo)
My chocolate, eeh, aay (ololo, ololo, ololo)
Unatamani sana sura kung'ara kama Shusho
Twakufanya ung'are
Unatamani vazi ikae ni kama namba nane
Twakufanya ung'are
Usije cheza na moyo wangu mama (tulia)
Utaniumiza mama (tulia)
My mamama mama
Nakupenda sana
I swear I love you
Utaratibu mama
Utaratibu mama
Utaratibu mama

[Outro: Harmonize]
Ololo ololo ololo
Ololo ololo ololo
Ololo ololo ololo
Ololo ololo ololo

Thursday, 29 March 2018

KWA NGWARU LYRICS BY HARMONIZE FT DIAMOND PLATNUMZ


[Verse 1: Harmonize
Mh! I wish ningekuwaga na mavumba, Mkwanja manoti ni kuhonge vya dhamani,
Ama niwefundi wa kuigiza ka-Kanumba, Masanja Joti usiwembali nami,
Mh! my darlin i need your Love Oh, uwe nami hakia Mungu nakupenda,
No body Can show you Love Oh, Usiwaamini, ukishawapa wanakwenda,

[Pre-hook: Harmonize]
Oh basi jilegeze nikubebe mgongoni (Iyelewi),
Deka nikudekeze nikutunze kama mboni (Iyelewi),
Wakija wapoteze jifanye kama hauwaoni (Iyelewi),
Kisha uniongeze ulivyo funzwaunyagoni (Iyelewi),

[Hook: Harmonize]
Oh baby asa dance nikuone (Kwa ngwalu),
Uwabamijo (Kwa ngwalu), Ululufemi (Kwa ngwalu),
Oh baby asa cheza nikuone (Kwa ngwalu),
Uwabamijo (Kwa ngwalu), Basi cheza na mimi (Kwa ngwalu),

[Verse 2: Diamond Platnumz]
Aga moyo wangu muarobaini, mchungu ukiuziwa,
Samehe mara sabini, huo uzungu sijajaliwa,
Ukipenda chunga majini, kwenye uvungu
Kumbatie ubaridini, kwenye tundu kama njiwa,
Moyo wangu ni wamakuti usinijie na kiberiti (Asa wee),
Penzi likageuka chuki nyumba ikawa kibiti (Asa wee),
nipatie vya kitandani nipe mpaka kwenye kiti (Asa wee),
ili asiniingie shetani nawe nikaja kuku-cheat,

[Pre-hook: Diamond Platnumz]
Oh basi jilegeze nikubebe mgongoni (Iyelewi),
Kitandani nikoleze kwa miuno ya kingoni (Iyelewi),
Kisha nibembeleze nirudishe utotoni (Iyelewi),
Weka mate niteleze kama nyoka pangoni (Iyelewi),

[Hook: Diamond Platnumz]
Oh baby asa dance kidogo (Kwa ngwalu),
ooh ubanwe (?) (Kwa ngwalu), Ululufemi (Kwa ngwalu),
Oh baby asa cheza nikuone (Kwa ngwalu),
Uwabamijo (Kwa ngwalu), Basi cheza na mimi (Kwa ngwalu),

[Bridge: Diamond Platnumz & Harmonize]
Aga Nataka kucheza chura naingai ungesimama (ainama inama),
Asa Waonyeshe (ainama inama), unachezaje (ainama inama),
Unataka maji ya kisima na muoga kuchutama (ainama inama),
Nimuonyeshe (ainama inama), wanachotaja (ainama inama),
Unataka kupiga deki, wima umesimama (ainama inama),
Ebu tuonyeshe (ainama inama), unapiga je? (ainama inama),
Siunataka vya pool table asa mbona unajibana (ainama inama),
Embu tuonyeshe (ainama inama), unalenga je? (ainama inama),

[Outro: Diamond Platnumz & Harmonize]
Ii Oya wanangu wa kigogo (ainama),
Nipe za Mose Iyobo (ainama),
Vunja vunja kidogo (ainama),
Aniongezee mikogo (ainama Inama). a

Monday, 20 November 2017

NISHACHOKA LYRICS BY HARMONIZE

NISHACHOKA LYRICS BY HARMONIZE

yeeeaahhh
mmhhh mmhm eeeaa

kila chenye maremu na mpama hua hakikosi mwisho
(oohhoo mwisho)
ya nini kurumbana kukicha bila suluhisho
(ooohhh ouuuuu)


huenda kisicho ridhiki hakiliki sa yanini tutoane roho
nimepungukiwa kipi mbona naishi
sina hata jibalaa ohhhh

na ule utwana wa mapenzi kushindana mi na wewe
nliuvumilia nasijaona tamaa ooohhh

sio kama siwezi kupata aliye zaidi ya wewe
ila hai dunia najichunga sana

tena naandika huu wimbo usijipe moyo labda nakufikiria
nataka iwe fimbo  mwenye sura ya choyo ukome kunifatilia
nataka iwe fimbo   mwenye sura ya choyo

nishachoka
nishachoka
nishachoka
wacha ukweli nkwambie


kukicha vijembe nishachoka
dharau maneno nishachoka
uuu masimango   nimechoka ohhhhh

Saturday, 21 October 2017

SHULALA LYRICS BY HARMONIZE FT KOREDE BELLO

Artist : Harmonize FT KOREDE bello
Song : Shulala

Kwanza upendo baraka nikuchunge
Nitajisumbua we jichunge tu mwenyewe

Na sikufunzwa taraka
Mangapi ulinikosea
Ila bado nipo na wewe
Hata waniite zoba waseme umeniroga
Kukuacha ndo siwezi
Nimeridhia
And she is my number moja
Wengine watangoja
Niongezee mapenzi
Nizidi kolea aaah

Pale napokwona aaah
Shulala shula
Yarabi moyo shulala shula
Pale napokusikia
Shulala shula
Shula wangu
Shulala shula

I want you to know that
I will be there
I will be there
Till the end
So dont let babe
Dont let nobody
Come interfere
Say what they want you to say
...


Girl i promise you forever
I will never leave you never
Anywhere you go
I go i go

Pale napomwona aaah
Shulala shula
Jamani moyo shulala shula
Pale napomsikiaga
Shulala shula
Shula wangu
Yarabi moyo


Unizalie kacute
Kama Tiffah dangote
Uvae shela mi suti
Upendeze tutoke
Tukomeshe wenye chuki
Mamluki la kusema wakose
Tulisakate buzuki
Na wavimbe wapasuke


We ndo hodari mtunza siri zangu
Hata nkiwa siina
Wanivumilia na kuamini nitapata
Tafadhali nilindie roho yangu
Cha kukupa sina
Tena nakuapia
Haki ya Mungu sitokuacha


Na kama ukinipenda
Nitaringa nitaringa
Nitaringa nitaringa
Nitaringa nitaringa
Nitaringa na we
Nitaringa nitaringa
Nitaringa nitaringa
Nitaringa nitaringa
Nitaringa na we

Saturday, 2 September 2017

SINA LYRICS BY HARMONIZE


SONG: SINA

ARTIST: HARMONIZE





 LYRICS

ZILIPENDWA LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ,HARMONIZE,RICH MAVOKO,RAYVANNY,



LYRICS

INTRO
Ooh, izo ni zama za kale,
Ohh, sanguro na pepe kalee
Zilipendwa

RAYVANNY
Eeh kizamani, kutoa kadi na maua (zilipendwa)
Wanataka mali,ukilipa unakwarua (zilipendwa)
Ufundi kitandani,sio maguvu kujikamua(zilipendwa)
Unafika ndani,hujatomasa unachanua (zilipendwa)
Wanawake wa leo, wanataka mikakati
Ukiwa mzogaji,hakya mungu huwapati,
Mapenzi ya video yanakutoa kamasi,
Eti nikinywa maji, nakuona kwenye glasi (zilipendwa)
Eeh kupiga chabo ghetto (zilipendwa)
Sunche na kapeto (zilipendwa)
Konno na detto (zilipendwa)
Sunche na kapetio (zilipendwa)
Manje na mobeto (zilipendwa)

DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro na pepe kale
Mmmhh Boringo ndomboro (zilipendwa)
Twanga chipolopolo (zilipendwa)
Maji ya kandoro (zilipendwa)
Simba wa morogoro (zilipendwa)

RICH MAVOKO
Mtaani sipati, skari guru kabisa (zilipendwa)
Ivi yuko api ,mb dogo wa Latiffa (zilipendwa)
Babu Tale wapi papa misifaa (zilipendwa)
Sikuiz party, hatuendagi kabisaa (zilipendwa)
Mpira na Pele (zilipendwa)
Tanu Nyerere (zilipendwa)
Asha ngedere (zilipendwa)
Alusi mabele (zilipendwa)
Eeti uuze nyumba, ueke heshima bar
Eeti mlazimishe alokukataa
Sabuni kicherema (zilipendwa)
Mabanda ya sinema (zilipendwa)
Lipumba na mrema (zilipendwa)
Diamond na Wema (zilipendwa)

DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, ooh, sanguro na pepe kale
Wakina Soggy doggi (zilipendwa)
Chaneli ya analogi (zilipendwa)
Movie za cyborgi (zilipendwa)
Van Damme Arnoldi (zilipendwa)

QUEEN DARLEEN
Unanibeeb nikupigie, umeiweka vocha?
Ule weewe nilipe mie, umeniona lofa?
Teena na madada wenye, majina acheni visss
Unaitwa ukale dinner, mnakwenda tisaa
Nywele za kichina (zilipendwa)
Pochi za kuazima (zilipendwa)
Zena na betina (zilipendwa)
Bashite gwajima (zilipendwa)

DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro na pepe kale
Mmhh Amita Bachani (zilipendwa)
Tv kwa jirani (zilipendwa)
Madee Rayvanny (zilipendwa)
Zari Ivanny (zilipendwa)

HARMONIZE
Ya nini kunichunguza naishi wapi (zilipendwa)
Nala chapati, kwa mahindi au makapi (zilipendwa)
Kutwa kunikalia,una kamati (zilipendwa)
Ooh yarabi masikini, kunidhihaki
Aah Samba mapangala (zilipendwa)
Pfunk Kajala (zilipendwa)
Onyango na Jangala (zilipendwa)
Lufufu Mkandalal (zilipendwa)
Vyanini vidomodomo, nitupieni tunguli
Kisa pesa za mgomo, msimu wa magufuli
Aah Bongo man yondo (zilipendwa)
Skinde msondo (zilipendwa)
Magari ya udongo (zilipendwa)
Babu wa loliondo (zilipendwa)

DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro na pepe kale
Aah Tv za kichogo (zilipendwa)
Wakina mandojo (zilipendwa)
Gigi ya lyobo (zilipendwa)
Akina tupogo (zilipendwa)

MAROMBOSO
Eeti ni msiba ukiona bundi,unataka kupagawa
Tulale makundimakundi, kuogopa popo bawa
Zueena, ntampata wapii (zilipendwa)
Zueena, na zile nyakati (zilipendwa)
Kujifanya mapanga zuna, ati wamebinga
Wengine wabeba mapanga, na hakuna marinda
Iddi amini dada (zilipendwa)
Miuno ya H. Baba (zilipendwa)
Domo chai jaba (zilipendwa)
Michezo ya kibaba baba (zilipendwa)

LAVA LAVA
Wale wapiga madeal, sasa hali mbaya (zilipendwa)
Hizi zama za magufuli, si za jakaya (zilipendwa)
Ugomvi wa Mr.nicena dudu baya (zilipendwa)
Vikatuni vya madonge baba ubaya (zilipendwa)
Muhogo mchungu Mr.bean wapi Bl bambo
Wale watazamaji wa melini wazee wa ng’ambo
Vifiu vywa vibenjamini wa mambo jambo
Wa Vietnam wa porini vita na rambo na dam jela jela (zilipendwa)
Kidali komborera (zilipendwa)
Max zembwela (zilipendwa)
Juma nature na fella (zilipendwa)

DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro na pepe kale
Mmmh Kama ndala si mda (zilipendwa)
Almanzira ndumba (zilipendwa)
Simu za dole gumba (zilipendwa)
Johari na Kanumba (zilipendwa)

Instrumental
a

Monday, 8 May 2017

HAPPY BIRTHDAY LYRICS BY HARMONIZE



 SONG:HAPPY BIRTHDAY

ARTIST: HARMONIZE

LYRICS

Kwanza nina furaha nitaimba na kucheza (na kucheza)
Washa mishumaa weka keki juu ya meza (juu ya meza)
Oh ila usinicheke nimekuletea zawadi kidogo nilichobarikiwa
Aki mwana mpweke aje na dumu la maji asije kakumwagia
Ah na kapicha kako nitakoposti wasiokupenda itawacosti
Ah leo siku yako nishajikoki tuko rafiki zako tunasema
Happy birthday
Happy birthday to you X4
Ah sinywagi pombe leo ntalewa niwape shonde waliochelewa
Zikinipanda monde nitapepewa ah pembe la ng’ombe au malewa
Ila usiforget kusema asante baba na mama walokukuza ukakua
Tunakupa na keki kwa wema akulinde baba maulana twakuombea na dua
Ah na kapicha kako nitakoposti wasiokupenda itawacosti
Ah leo siku yako nishajikoki tuko rafiki zako tunasema
Happy birthday
Happy birthday to you X4
Kata keki kata (kata) oh kata (kata) kata (kata) kata unilishe
keki ya jina lako (kata) walishe na wenzako (kata) tupo kwa ajili yako (kata) Kata unilishe
Oh basi kata (kata) oh kata (kata) kata nipone (kata) kata (kata unilishe)
Kata … Kata…Kata…Kata unilishe
Ah na kapicha kako nitakoposti

Wednesday, 3 May 2017

SHOW ME LYRICS BY HARMONIZE X RICH MAVOKO

Harmonize
Asa Mwenzako I feel so good me nikikuona,
Aah uomwendo unafanya kusudi na ulivyo shona,
Ati unakwenda au unarudi wakatakona,
Nyuma ka katuni za masudi ulivyo nona,
Eeih ivi unapenda wavifua ka roboti -ama sanam-
Au wazee wakununua mwaga noti -ka sallam-
Oooh Anitha ,Macho kama unanita, Aaa a saa sita, 

Shape vella sindika,Aa aaah anita Macho kama unanita, Shape Vellah…..
Chorus 
Aah showme, showme ,showme, -Unavyo dance-
Showme, Showme ,Showme, -Waonyeshe unavyo dance- ×2


MAVOKO
Umenifinyanga kama dona,
Mmakonde na ndonya,
Kama mpira maradona, Kichuya kona,
Nawakisema namawenge -wambie werrasoni-
Wakiringisha peremende nitakugawia -koni-,
Chunga kipenzi majaribu, -mabaya saaana oooh-
Nawe ndo dokta wa kunitibu,
-Niwe salama oooh- Ooh baby anitaaa, -Macho kama unaniita-
Saa siita Kiuno kama yondo sista Aaah (×2)

CHOROUS
Aah showme, showme ,showme, -Unavyo dance-
Showme, Showme ,Showme, -Waonyeshe unavyo dance- (×2)

Harmonize
Asa Mombasa,nairobi, -Sakata base-
Kampala,kigali -Sakata base-
Zimbabwe kwa tobi -Sakata base-
Naija somali -Toto sakata base-



mavoko
Wanangu wa panya road -Sakata base-
Chaukucha kwa salali, -Sakata base-
Na unyamani , BOB -Sakata base-
Kizonga kwa natali -Toto sakata base-
Aaah aaaa Aaah Unavyo dance Aaaaah aaa Aaah 
Waoneshe unavyo dance.
a

Friday, 17 March 2017

NIAMBIE LYRICS BY HARMONIZE



SONG: NIAMBIE
ARTIST: HARMONIZE

LYRICS

VERSE 1
Mujini Kipenzi, Silani Shilingi baby
Kupendana zamani ndo wanavyosemaga
Wazuri ni wengi , ila uongo mwingi baby
Wakishaviona vya ndani basi wanakumwaga
Ndo maana Ukichelewa dukani, mie kamoyo kananidundaga
Nawaza asije mangi jirani, akakuonga kilo ya unga aah

pre chorus 
oooh Mbaya zaidi sina kazi, nakosa senti tano ya kipande
Bora nikuweke wazi, yanini nikufiche Gambe
Tumeumbiwa shida maradhi, ndo chanzo mpaka wengi wadande 
Niweke wazi nikipi kinafanya Unipende

chorus


Niambie , Tell me baby love,oooh Basi niambie
Vipi unanipenda ingali sina doo , Usije nitenda ukaniumiza Roho

VERSE 2
Siku hizi magari ya wakongo, mapesa mara nyumba mbezi
Usinichanganye na ubongo nidate kisa mapenzi
Sijakuwekea Ndumba, umenipendea rhumba
Vipi nikija Tunda oooooh oooh
Usije mgezea Punda, ukaniachia Ngunga
Wanakumendea Chunga oooh oooh 

Pre-chorus
Mbaya zaidi sina kazi, nakosa senti tano ya kipande
Bora nikuweke wazi, yanini nikufiche Gambe
Tumeumbiwa shida maradhi, ndo chanzo mpaka wengi wadande 
Niweke wazi nikipi kinafanya Unipende

chorus
Niambie , Tell me baby love,oooh Basi niambie
Vipi unanipenda ingali sina doo , Usije nitenda ukaniumiza Roho

Umenipendea....  kipi mama,(basi sema  )  Umenipendea ingali sina Doo.

Tuesday, 16 August 2016

INDE LYRICS BY DULLY SYKES FT HARMONIZE


     
HARMONIZE
Si sura tu bali shepu na tabia
Alivyobarikiwa ah inshallah Mola amemwumba
Mi roho juu akiniangalia moyo unatulia,ni mzuri wakaona.

DULLY SYKES
I say hi, hi kwanza nafurahi
Kabla hujanipa mambo nipe kikombe cha chai
Najidai kuku-verify bila shy hi
Harmonize mwana wa masai

PRE-CHORUS
We nipe bila kipimio,macho mpaka visigino
Nikumwagilie wino yangu sio mbilikimo
We nipe bila kipimio,macho mpaka visigino
Nikumwagilie wino yangu sio mbilikimo

Aaah akiniona anachee eh, anacheka
Akiniona anadee eeeh anadeka X2


CHORUS
Inde mama inde
Inde mama inde
Inde mama inde
In the morning 

Inde mama inde
Inde mama inde
Inde mama inde
In the morning 

Isay la lalala kiuno chako propeller
Body yako umeivisha dera, mzuri mpaka unakera
In the morning unanipa bila shaka mwingine hapana taka
Kiunoni baby wacha mashaka mie hoi nyaka nyaka
Mwingine sioni una utamu wa bata natafuna ninavyotaka 
Nimo jangwani nipatie wa Arusha twende tukapozi Tabata .


PRE-CHORUS
We nipe bila kipimio,macho mpaka visigino
nikumwagilie wino yangu sio mbilikimo 
We nipe bila kipimo, macho mpaka visigino
Nikumwagilie wino, yangu sio mbilikimo 

Akiniona anachee eeeh anacheka
Akiniona andee eeh anadeka
Akiniona anachee eeeh anacheka
Akiniona andee eeh anadeka



CHORUS
Inde mama inde
Inde mama inde
Inde mama inde
In the morning

Inde mama inde
Inde mama inde
Inde mama inde
In the morning 


We si mchoyo unanibamba ninakwisha kabisa
Parala pa parala papaaa papa parala papa
Kama kibogoyo unavyoilamba nadatika kwa visa
Parala pa parala papaaa papa parala papa

Inde mama inde
Inde mama inde
Inde mama inde
In the morning

Inde mama inde
Inde mama inde
Inde mama inde
In the morning 

Chunga pesa waka waka waka waka
Parala pa parala papaaa papa parala papa
Waka waka waka waka waka waka waka (Parala pa parala papaaa papa parala papa) 




submitted by Afande AK0577
a

Friday, 22 July 2016

MATATIZO LYRICS BY HARMONIZE


Aiyelaaa, olelelelele...... 

Alfajiri imefika, anga inang'aaa
Mvua inaanza katika, gafla tumbo la njaa
Naweka sauti kwa spikaa, nipate umbea wa Dar 
Mara simu inaita, jina la uncle Twaha akisema 
Mama yuhoi kitandani, kama si waleo wakesho
Na kupona sizani upate japo neno la mwisho

  (PRE-CHORUS)

Mindo mtoto wa pekee, nyumbani wananitegemea
Mdogo wangu wa kike, haliduni alishaga olewa 
Tazama jasho langu la mnyonge, kipato hakikidhi mahitaji
Napiga moyo kondee, yalabi Mola ndo mapaji matatizo 

  (CHORUS)

Matatizo, yatakwisha lini..... 
Matatizo, kila siku mimi  (ewe Mola)
Matatizo, yatakwisha lini... 
Japo likizo, nifurahi na mimi..... 

Mola aliniumba na subira, imani peke ngao yangu

Mbona nishasali sana, ila mambo bado tafarani... 
Mama kanifunza kikabira, ikunde sanda haimi yangu
Tena nijitume sanaa na vya watu, nisivitamani
Hata mpenzi nilo nae, najua siku atanikimbia
Itatesa ye ndio nguzoo..... 
Zile ngoja kesho badae atazichoka kuzivumilia
Anakosa hata matunzoo....., onaa 
Nadaiwa kodi nilipopanga, nashinda road nikilanda
Nishapinga hodi kwa waganga, kwa kuhisi nalogwa
Nikauza maji na karanga, nikawa dobi kwa viwanda
Ila kote ziro ni majanga, mtindo mmoja 


  (PRE-CHORUS)

Mindo mtoto wa pekee, nyumbani wananitegemea
Mdogo wangu wa kike, haliduni alishaga olewa 
Tazama jasho langu la mnyonge, kipato hakikidhi mahitaji
Napiga moyo kondee, yalabi Mola ndo mapaji matatizo

  (CHORUS)