Saturday 29 September 2018

JUU YA NGORI LYRICS BY KHALIGRAPH JONES



Kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (raah)
kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (iyee)

kama unangori, (kama unangori)
me sina worry, (me sina worry)
me sina worry, (me sina worry)
juu nitakukokia feng

ngoma zangu - ngori (eeh)
flow nayo - ngori, (flow)
nguo nazo - ngori, (wuu)
kadem nako - ngori, (haa)
juu ya ngori - ngori, (buda)
ati nini - ngori ,(ngori)
ngori ngori - ngori, (ngori)
ngori ndori - ngori. (haa)

flow nayo - ngori,
shot nayo - ngori
(kila kitu - ngori,)X2
nairobi - ngori,
254 - ngori
eeh eeh - ngori
juu ya ngori - ngori

yeah, ushaijua vile unaeza kuleta ngori,
ukileta ngori, uku ni ngori joh
unatabia za kishodi shodi
kesi na OG ni horrible.

morio, hukumbuki juzi ni nini ilifanyika kwa corridor
ulijaribu kuziba ngori, kumbe nilikuwa nishakutoa corridor
sorry bro, hatuko kimoja, saa me niko category soo.
niko na akina sokodi, kaa unacopy then i just told you so
no worries though, testimony imefanya nijue za kodi msoo,
90 percent of you rappers, bado mnazimwa na shorti kaa notiflow

but know tukienda kigongi kombi
kuje na packo ya condico
Nairobians know vile nikona mapepo
nahitaji maombi boss
kila siku me na mourn medoss,
ndo reason nifuatwe na horny horse
my life is like a movie,

(wuuh) wacha niwapatie chronicles
so stay on your lane kaa doriko
juu simple utapigwa makofi bros
skotoshi knows ilibidi baki
nimekuwa nikiziaforfdi koo
mapro ni pro, form ni show
nilidhani itakua impossible.
instead kutype kwa simu,
we nitafute kaa ukona ngori joh

Kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (raah)
kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (iyee)

me sina worry, (me sina worry) X3
juu ninakukokia feng

ngoma zangu - ngori (eeh)
flow nayo - ngori, (flow)
nguo nazo - ngori, (wuu)
kadem nako - ngori, (haa)
juu ya ngori - ngori, (buda)
ati nini - ngori ,(ngori)
ngori ngori - ngori, (ngori)
ngori ndori - ngori.

kama unangori, (kama unangori)
usichoche kwa twitter na insta story,
name a location nikuje katambe,
twitter fingers tunajua ni boring.

kama unangori, (kama unangori)
tukuchatishe na mateke na dondi
kama ni kudiss mliona nini
nilifanyia vera na Eric omondi

kama  unangori, (kama unangori)
Tukikutana usijifanye Holy
juu nitakuchangamkia ukoro
na wale ninja umeseti kwa koyi

kama unangori, (kama unangori)
hakikisha unatembea na mboggi
juu wale kiawa wananitambua
si wale hudance hizo ngoma za odi

shine on nimepita na Glory
jwang inapiga nikiwa na mashodi,
nipate mollys,mimi na mollys on
the purple kama Francis Atwoli
hapa ni teke hakuna cha slowly,
me sina time kama mbota
si rolling nikisema nikona kimuthongi

ujue si challenge ya Kobi.
si ndio waswang ya tonj ya mbono
tunawaimgiza na ii Origi
si ndio hupita na vibeti kwa mkono
si ndio huongelewa daily TV.
si ndo con wa Tao.
pata potea na base ni stage ya Bangu
supplier wa nyama ya paka
mlikuwa mnaekelewa kwa sambu

so kama ni ngori jua ni
akina nani unadeal na wao
coz none of my niggas
are keeping it 100
zetu ni mabills za thao

so before muulize nani amekafunga
kwanza mjue nani amevunja rekodi
izo pang'ang'a kujicompare na
me haziwezi nyi ni matothi

Kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (raah)
kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (iyee)

kama unangori, (kama unangori)
me sina worry, (me sina worry)
me sina worry, (me sina worry)
juu nitakukokia feng

Kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (raah)
kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (iyee)

me sina worry, (me sina worry) X3
juu ninakukokia feng

ngoma zangu - ngori (eeh)
flow nayo - ngori, (flow)
nguo nazo - ngori, (wuu)
kadem nako - ngori, (haa)
juu ya ngori - ngori, (buda)
ati nini - ngori ,(ngori)
ngori ngori - ngori, (ngori)
ngori ndori - ngori. (haa)

flow nayo - ngori
short nayo - ngori
(kila kitu - ngori) X2

Nairobi - ngori,
254 - ngori,
eeh eeh - ngori,
juu ya ngori - ngori


a

1 comment:

  1. It's very nice br,, I like your work. I dream to be like you

    ReplyDelete