Showing posts with label diamond platinumz. Show all posts
Showing posts with label diamond platinumz. Show all posts

Sunday, 11 November 2018

MWANZA LYRICS BY RAYVANNY FT DIAMOMD PLATNUMZ



Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi

Oyah wind your waist
Njoo nikupatie Comando
Nikupe cha mkwesi
Nikupe cha mkwesi
Kwa miuno ya Taikwondo

Asa chekele mwendo wa kandanda
Ndani ya nakwanda sa nisongee
Leta msambwanda nikazie
Ngangangaaa chiiii

Kana nivuta gheto
Nikapinge bunduki
High bunduki
Ile naogopa centre
Michezo ya amber rutti amber rutti

Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi
Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi

Yaani kama mjaluo shape ya mombasa
Hapendagi mpasuo
Hata akishinda basata

Tepe tape mtoto kama supu
Teke teke kongoro
Kwa mateke mwite fally pupa
Wa temeke

Dombolo shaku shaku ya masai
Ooh masai kama kama nachuma papai
Ooh papai

Funika funua twendelee
Bandika bandua twendeee
Anika anua twendee
Kanipa chukua twendee

Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi
Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi

Ooh sa iweke
Aah iweke iweke aaah iwekeee
Ipitishe kwa chini
Aah iweke iweke aaah iwekeee
Miendo ya kazi kazini

Aah iweke iweke aaah iwekeee
Hii Ile ndindindii
Aaah iweke iweke aaah iwekeee
Ngoja shake it ivoo

Aaah iweke iweke aah iwekee
Twende shaku kidogo
Aaah iweke iweke aah iwekee
Chuma magimbimbi

Aah iweke iweke aaah iwekeee
a

Sunday, 26 August 2018

JIBEBE LYRICS BY WCB WASAFI FT DIAMOND PLATNUMZ $ MBOSSO $ LAVALAVA



Intro:
Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee

Verse 1 : Diamon platnumz

i say wee ngoja nijiseti, siwalisusa nakula
fanya wainama kisha rotate, tuwakunjishe na sura
leo shimo limetema nimeshinda beti (shinda beti)
tuwaoneshe sinema wakina fetty

Hook up : Diamond platnumz
asaa joo nijoo (i like it)
when i dance jogodo  ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kouno lasotojo (i like it)
baby joo joo joo  ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kifupa joghodo ( i like it)
Uno lasotojo ( i like it)

Chorus : Diamond platnumz
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee

oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee

Verse 2: Lava lava

anhee!!!
nataka kwenye pachu pachu
  (pachu pachu)
kitandani mwendo  kwachu kwachu
(kwachu kwachu)
nichanganye wauone niwe fyatu fyatu
(fyatu fyatu)
 ilipenzi walikumoe washakunaku
(shakunaku)

enh baby sankololo (ennhee)
kerewa (ennhee)
naija soco soco

asa ndombolo (ennhee)
malewa (ennhee)
aya loco loco

mikwako shoti ya takila lewa vimba(vimba)
nikuchekeshe kama gwakila mkudesimba

Hook up : Diamond platnumz
asaa joo nijoo (i like it)
when i dance jogodo  (i like it)
anh jinkolo jinkologo ( i like it)
kouno lasotojo (i like it)
baby joo joo joo  (i like it)
anh jinkolo jinkologo ( i like it)
kifupa joghodo ( i like it)
Uno lasotojo (i like it)

(Chorus : Diamond platnumz)
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee

oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee


Verse 3: Mbosso
oh darling
 nipe chuzi lachuku chuku ninywe bakuli zima
mshede mtukutu azame kwenye kisima
fatuma wee kishtobe
mwite aisha miugunoee
alivo nyonde nyonde kama gobe
nimshindue na miunoee

twende kopa kabana (nheee)
kupumuana nana (nheee)
kwakugandana ( i like it)
nimufuate banna (nheee)
kwani nananaa (nheee)
tukikanana ( i like it)

Baby papasa kichwa jusi kafiri nisafishe mtaro
naulivo jaza nyuma kilo mbili nyanya za mataro

Hook up : Diamond platnumz
asaa joo nijoo (i like it)
when i dance jogodo  ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kouno lasotojo ( i like it)
baby joo joo joo  ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kifupa joghodo (i like it)
Uno lasotojo (i like it)

Chorus : Diamond platnumz
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee

oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee a

Thursday, 29 March 2018

KWA NGWARU LYRICS BY HARMONIZE FT DIAMOND PLATNUMZ


[Verse 1: Harmonize
Mh! I wish ningekuwaga na mavumba, Mkwanja manoti ni kuhonge vya dhamani,
Ama niwefundi wa kuigiza ka-Kanumba, Masanja Joti usiwembali nami,
Mh! my darlin i need your Love Oh, uwe nami hakia Mungu nakupenda,
No body Can show you Love Oh, Usiwaamini, ukishawapa wanakwenda,

[Pre-hook: Harmonize]
Oh basi jilegeze nikubebe mgongoni (Iyelewi),
Deka nikudekeze nikutunze kama mboni (Iyelewi),
Wakija wapoteze jifanye kama hauwaoni (Iyelewi),
Kisha uniongeze ulivyo funzwaunyagoni (Iyelewi),

[Hook: Harmonize]
Oh baby asa dance nikuone (Kwa ngwalu),
Uwabamijo (Kwa ngwalu), Ululufemi (Kwa ngwalu),
Oh baby asa cheza nikuone (Kwa ngwalu),
Uwabamijo (Kwa ngwalu), Basi cheza na mimi (Kwa ngwalu),

[Verse 2: Diamond Platnumz]
Aga moyo wangu muarobaini, mchungu ukiuziwa,
Samehe mara sabini, huo uzungu sijajaliwa,
Ukipenda chunga majini, kwenye uvungu
Kumbatie ubaridini, kwenye tundu kama njiwa,
Moyo wangu ni wamakuti usinijie na kiberiti (Asa wee),
Penzi likageuka chuki nyumba ikawa kibiti (Asa wee),
nipatie vya kitandani nipe mpaka kwenye kiti (Asa wee),
ili asiniingie shetani nawe nikaja kuku-cheat,

[Pre-hook: Diamond Platnumz]
Oh basi jilegeze nikubebe mgongoni (Iyelewi),
Kitandani nikoleze kwa miuno ya kingoni (Iyelewi),
Kisha nibembeleze nirudishe utotoni (Iyelewi),
Weka mate niteleze kama nyoka pangoni (Iyelewi),

[Hook: Diamond Platnumz]
Oh baby asa dance kidogo (Kwa ngwalu),
ooh ubanwe (?) (Kwa ngwalu), Ululufemi (Kwa ngwalu),
Oh baby asa cheza nikuone (Kwa ngwalu),
Uwabamijo (Kwa ngwalu), Basi cheza na mimi (Kwa ngwalu),

[Bridge: Diamond Platnumz & Harmonize]
Aga Nataka kucheza chura naingai ungesimama (ainama inama),
Asa Waonyeshe (ainama inama), unachezaje (ainama inama),
Unataka maji ya kisima na muoga kuchutama (ainama inama),
Nimuonyeshe (ainama inama), wanachotaja (ainama inama),
Unataka kupiga deki, wima umesimama (ainama inama),
Ebu tuonyeshe (ainama inama), unapiga je? (ainama inama),
Siunataka vya pool table asa mbona unajibana (ainama inama),
Embu tuonyeshe (ainama inama), unalenga je? (ainama inama),

[Outro: Diamond Platnumz & Harmonize]
Ii Oya wanangu wa kigogo (ainama),
Nipe za Mose Iyobo (ainama),
Vunja vunja kidogo (ainama),
Aniongezee mikogo (ainama Inama). a

Friday, 16 March 2018

AFRICA BEAUTY LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ FT OMARION



I’m in love with you, cause nothing I wouldn’t do,
Catch a bullet for you, as long as you want me to
I’m in love with you, cause nothing I wouldn’t do,
Catch a bullet for you, as long as you want me to
Penzi nitalipamba ngonjera, huba kana Tanga segera
Kwa viuno vya Baikoko, kutoka madzabe
Picha twazi twanga kisela, Post Insta mwanga kwa kyela
Baada ya chali kimoko

Cause I just wanna let them know
You’re my African beauty
African beauty
You’re ma’
African beauty
Aaah you’re ma’
African beauty
You’re ma’
African beauty

Uuh na na na’
Uuh na na na’

By the way girl I’ve been looking for you
I think am just a fire in Africa
Girl you know the sound which will come out
Cause we win the crowd  (unclear words)
Do it now, do it do it now
Do it now, do it do it now

Penzi nitalipamba ngonjera,
huba kana Tanga segera
Kwa viuno vya Baikoko,
kutoka madzabe
Picha twazi twanga kisela
Post Insta mwanga kwa kyela
Baada ya chali kimoko
Cause I just wanna let them know

You’re my African beauty
African beauty
You’re ma’
African beauty
Aaah you’re ma’
African beauty bembea
nitakupepea
African beauty

Ooh love is what I see,When I look into your eyes
Hata nikiugua huwaga napona NAPONA
And you know you deserve to be
The one that I text you HI
Timbwili chumbani kila kona

Penzi nitalipamba ngonjera,
NGONJEERA
huba kana Tanga segera
SEGEERA
Kwa viuno vya Baikoko,
kutoka madzabe
Picha twazi twanga kisela
Post Insta mwanga kwa kyela
Baada ya chali kimoko

Cause I just wanna let them know
You’re my African beauty
Ooh you’re my, you’re my
Yes you’re my
African beauty

I’m in love with you cause nothing I wouldn’t do,
Catch a bullet for you, as long as you want me to
I’m in love with you cause nothing I wouldn’t do,
Catch a bullet for you, as long as you want me to
a

Tuesday, 28 November 2017

NIACHE LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ




SONG: NIACHE

ARTIST: DIAMOND PLATNUMZ

MMh eti nikuombee mema na baraka uzidi fanikiwa
siwezi kamwe waah
mmmh ni sawa na kuifosi sinema kuitazama
na haijanivutia  lazima tu ntalala

ooh na kwa barabara ukipita
nenda kulia ukiniona kushoto
sitaki ata tuonane
mmh usije wala ukanita donda vilia
utanchochea tu moto nisije nkutukane


mmh kinacho niumiza nafsi,
kunisikitisha kwa watu kujishongondoa
kumbe mapenzi sabato
akati nayazidisha mwenzangu nje unayatoa

we cementi me mchanga,
nkasema mapenzi tujenge lisije loa
najitiya mkadalasi naezeka mabati
wachini kenchi unabomoa niache

niache niache
ooh niache,
niache nipambane na moyo wangu (niache)
niaaaa niache me
moyo wangu unahasira
niache oooh niache ooooh

mmh najitahidi silali kwenye kitaanda
huenda nkapunguza ndoto zako
mmh mwilini nina machale utazani mwanga
yote kusahau uwepo wako

mmh laitikama ungekua gari
ningekugonga barabarani
ama nyuki ntoe asali
nkung'ate sura wasitamani
hivi we ungo ulivuja mwali
ama ulivunja sahani
kuniundia matimu kwa mitandao
vijembe vya kazi gani


kinacho niumiza nafsi
kunisikitisha kwa watu kujishongondoa
kumbe mapenzi sabato
akati nayazidisha mwenzangu nje unayatoa

we cementi me mchanga,
nkasema mapenzi tujenge lisije loa
najitiya mkadalasi naezeka mabati
wachini kenchi unabomoa niache

niache niache
ooh niache,
moyo wangu unahisi
niaaache eee
na ukae mbali
niache oooh niache ooooh
niache (niache)
usiwapigie rafiki zangu
niache usithibutu hata
simu yangu niache
ooh me tafadhali niache


mmh ntakudanganya kwa tabasamu
ntakudanganya kwa kucheka
ntakudanganya hata kwa salam
ila moyoni nakuchukia

ntakudanganya kukufollow
ntakudanganya kucomment
ntakudanganya kulike picha
ila siwezi kukuzimia a

SIKOMI LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ


Wanasemanga mapenzi safari,
Unavyopita ndo jinsi unajongea
Ila niendako ni mbali sijui ka ntafika
Sababu natembea, niliposikia gabari

Yakisifika nikakesha nangojea ah
Akabariki Jalali na nikawika muziki



Nikauotea
Ile kumpaka maka
Nikajia ndio kwa gomo movi
Kumbe mapenzi hayataki haraka
Nikama Tango natia tu chumvi
Mwenzenu nikaoza haswa
Na kuitia kitandani mjuzi
Eti nataka fukuza paka
badala ya mbwa nikafuga mbuzi

mmh wivu ukanifanya nikagombana na marafiki
ugomvi na mamangu akiniambia siambiliki
moyo ukanambia Naseeb sasa mapenzi Basi
ila nang’ang’ania najaribu kuipinga nafsi
Esma ananambia mdogo wangu mapenzi basi



Ila nang’ang’ania
nikiumizwa na huyu kesho na mwingine

Ooh mboni sikomi sikomi sikomi
licha ya mateso haya
Najiuliza oh sikomi
Oh sikomi mbona (sikomi)
Mbona jamani sikomi
Licha ya mateso haya ah
Mmmmh

Aliyonifanyia wa central,
akia-mungu siyawezi sema
Ila nimejifunza kesho siwaamini wacheza sinema
Moyo walinipatia mateso
siwezi kumeza siwezi tema
mana sikushanga ile ghafla
toka CCM kwenda CHADEMA


wanasema kitanda ukitandika sharti ukikalie
nikajitia ukamanda yatakwisha
wacha nivumilie kila kiza kikitanda
ndo visa machozi mi nilie
penzi yakatia parapanda
kuwaita waje washambulie

aah acha na PENNY we darling
nilomuhongaga gari aliponambia ana mimba
mwisho wa siku akaichomoa chali
Molah akanitunuku ZARI
Akanizalia dume na mwali
Nilivomjinga nika-cheat aibu mpaka
Kwa vyombo vya habari

Moyo unanambia NASEEB sasa mapenzi basi
Ila nang’ang’ania najaribu kuipinga nafsi
LAIZER ananambia simba mapenzi basi
Ila nang’ang’ania nikiumizwa na huyu
Kesho na mwingine


Ooh mboni sikomi
Mboona sikomi
Mboona jamani sikomi
Licha ya mateso haya
Nishafumaniwa oh sikomi
Nikafumaniwa mimi sikomi
Nishapambana na watu (sikomi)
Licha ya mateso haya ah
Mateso mama


Ayo LAIZER
a

Wednesday, 4 October 2017

HALLELUJAH LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ FEAT MORGAN HERITAGE



 Song: Hallelujah

Verse 1
Hata akilala ananiota
Najiita mbalamwezi kisa nina nyota
Nimkande Amechoka
Nitembee na ulimi kote ka nyoka
Mapenzi niongezee
Ka party niogelee
Eeh, eeh, eeh
Lord have mercy
Speaking from my heart... damn... she is so sexy
Mama gimme blessings
I wanna off the light so I can speak dirty
Well she says she wants some more
Harder than I give her before
The way she is dancing (ooh)
Touch me (ooh)

Chorus (Diamond)
I swear she make me say
Hallelujah
She makes me say
Hallelujah
She makes me say
Hallelujah
Ooh
Hallelujah
Hallelujah

Verse 2 [Morgan Heritage:](peter)
1 out of 10
She gets a 10 and ab-over
She got this thing
That makes me wanna give her everything I gotta...
(Give it to her)
The way she moves and the way she walking
Like she moving is alright
When she hits the dance floor it's like amazing
She sets the place on fire...
The way she rocks it and embrace it
Place it one place and shake it
I Babylon and I anticipate it
Who she goes let embrace it then ah...
Lord of passion de may man control this
Cause look all she owes me
Everything about my baby

Chorus [Morgan Heritage & Diamond Platnumz:]

Make me say, Hallelujah
Hallelujah
She makes me say
Hallelujah
Hallelu..
She makes me say
Hallelujah
Yeah yeah... she...
Hallelujah
Hallelujah...

Verse 3 [Diamond Platnumz:]
This one goes to all bad girls like cocos (my cocos)
The one who can rock all the night me I call them, coco (call them, coco)
I wanna know what turns you on
So, I can be all that and more

BRIDGE  (Diamond)
Lord have mercy
Speaking from my heart... damn... she is so sexy
Mama gimme blessings
I wanna off the light so I can speak dirty
Well she says she wants some more
Harder than I give her before
The way she is dancing (ooh)
Touch me (ooh)

Chorus [Morgan Heritage & Diamond Platnumz:]

I swear she make me say
Hallelujah
She makes me say
Hallelujah...
She makes me say
Hallelujah
Yeah yeah... she...
Hallelujah
Hallelujah... a

Saturday, 2 September 2017

ZILIPENDWA LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ,HARMONIZE,RICH MAVOKO,RAYVANNY,



LYRICS

INTRO
Ooh, izo ni zama za kale,
Ohh, sanguro na pepe kalee
Zilipendwa

RAYVANNY
Eeh kizamani, kutoa kadi na maua (zilipendwa)
Wanataka mali,ukilipa unakwarua (zilipendwa)
Ufundi kitandani,sio maguvu kujikamua(zilipendwa)
Unafika ndani,hujatomasa unachanua (zilipendwa)
Wanawake wa leo, wanataka mikakati
Ukiwa mzogaji,hakya mungu huwapati,
Mapenzi ya video yanakutoa kamasi,
Eti nikinywa maji, nakuona kwenye glasi (zilipendwa)
Eeh kupiga chabo ghetto (zilipendwa)
Sunche na kapeto (zilipendwa)
Konno na detto (zilipendwa)
Sunche na kapetio (zilipendwa)
Manje na mobeto (zilipendwa)

DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro na pepe kale
Mmmhh Boringo ndomboro (zilipendwa)
Twanga chipolopolo (zilipendwa)
Maji ya kandoro (zilipendwa)
Simba wa morogoro (zilipendwa)

RICH MAVOKO
Mtaani sipati, skari guru kabisa (zilipendwa)
Ivi yuko api ,mb dogo wa Latiffa (zilipendwa)
Babu Tale wapi papa misifaa (zilipendwa)
Sikuiz party, hatuendagi kabisaa (zilipendwa)
Mpira na Pele (zilipendwa)
Tanu Nyerere (zilipendwa)
Asha ngedere (zilipendwa)
Alusi mabele (zilipendwa)
Eeti uuze nyumba, ueke heshima bar
Eeti mlazimishe alokukataa
Sabuni kicherema (zilipendwa)
Mabanda ya sinema (zilipendwa)
Lipumba na mrema (zilipendwa)
Diamond na Wema (zilipendwa)

DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, ooh, sanguro na pepe kale
Wakina Soggy doggi (zilipendwa)
Chaneli ya analogi (zilipendwa)
Movie za cyborgi (zilipendwa)
Van Damme Arnoldi (zilipendwa)

QUEEN DARLEEN
Unanibeeb nikupigie, umeiweka vocha?
Ule weewe nilipe mie, umeniona lofa?
Teena na madada wenye, majina acheni visss
Unaitwa ukale dinner, mnakwenda tisaa
Nywele za kichina (zilipendwa)
Pochi za kuazima (zilipendwa)
Zena na betina (zilipendwa)
Bashite gwajima (zilipendwa)

DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro na pepe kale
Mmhh Amita Bachani (zilipendwa)
Tv kwa jirani (zilipendwa)
Madee Rayvanny (zilipendwa)
Zari Ivanny (zilipendwa)

HARMONIZE
Ya nini kunichunguza naishi wapi (zilipendwa)
Nala chapati, kwa mahindi au makapi (zilipendwa)
Kutwa kunikalia,una kamati (zilipendwa)
Ooh yarabi masikini, kunidhihaki
Aah Samba mapangala (zilipendwa)
Pfunk Kajala (zilipendwa)
Onyango na Jangala (zilipendwa)
Lufufu Mkandalal (zilipendwa)
Vyanini vidomodomo, nitupieni tunguli
Kisa pesa za mgomo, msimu wa magufuli
Aah Bongo man yondo (zilipendwa)
Skinde msondo (zilipendwa)
Magari ya udongo (zilipendwa)
Babu wa loliondo (zilipendwa)

DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro na pepe kale
Aah Tv za kichogo (zilipendwa)
Wakina mandojo (zilipendwa)
Gigi ya lyobo (zilipendwa)
Akina tupogo (zilipendwa)

MAROMBOSO
Eeti ni msiba ukiona bundi,unataka kupagawa
Tulale makundimakundi, kuogopa popo bawa
Zueena, ntampata wapii (zilipendwa)
Zueena, na zile nyakati (zilipendwa)
Kujifanya mapanga zuna, ati wamebinga
Wengine wabeba mapanga, na hakuna marinda
Iddi amini dada (zilipendwa)
Miuno ya H. Baba (zilipendwa)
Domo chai jaba (zilipendwa)
Michezo ya kibaba baba (zilipendwa)

LAVA LAVA
Wale wapiga madeal, sasa hali mbaya (zilipendwa)
Hizi zama za magufuli, si za jakaya (zilipendwa)
Ugomvi wa Mr.nicena dudu baya (zilipendwa)
Vikatuni vya madonge baba ubaya (zilipendwa)
Muhogo mchungu Mr.bean wapi Bl bambo
Wale watazamaji wa melini wazee wa ng’ambo
Vifiu vywa vibenjamini wa mambo jambo
Wa Vietnam wa porini vita na rambo na dam jela jela (zilipendwa)
Kidali komborera (zilipendwa)
Max zembwela (zilipendwa)
Juma nature na fella (zilipendwa)

DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro na pepe kale
Mmmh Kama ndala si mda (zilipendwa)
Almanzira ndumba (zilipendwa)
Simu za dole gumba (zilipendwa)
Johari na Kanumba (zilipendwa)

Instrumental
a

Thursday, 22 June 2017

I MISS YOU LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ

Song written by Diamond Platnumz 
The beat was produced by LIZER CLASSIC from Tanzania from Wasafi Records
The Video was shot in Johannesburg, South Africa by NIC

SONG: I MISS YOU

LYRICS


hello hapo vipi sijui unaniskia
hello nina maneno natamani kukwambia
hello tafadhali usije nikatia
hello ona mpaka nasahau kusalimia

habari gani leo nimekukumbuka sana
na mama yangu twakuwazagaa
vipi nyumbali hali ya mumeo na wana
na aunty shani  wa chimwagaa ha ha

kile kidonda changu cha roho bado kinatia tabu
ninajitahidi kukaza roho ila nadhidisha adhabu
tena silali oh nasubiri maajabu
maumivu yangu hayajapata dawa

i miss you nakumbuka iyeh iyeh
i miss you nakumbuka iyeh iyeh
i miss you nakumbuka iyeh iyeh
i miss you nakumbuka iyeh iyeh

ah roho yangu mama bingili bingili
ah nikikuwaza bingili bingili
nikisinzia bingili bingili bayoyo
oh nikilala bingili bingili
ih inama inuka uwoh bingili bingili
uku sina raha bingili bingili bingili bayoyo


ah iyeeh  ah iyeeeeh

tatizo kwetu sijui nini kosa langu
mpaka nikawa adui ghafla ukanichukianga
nawaza ila siambui ama shida zangu
simba nikawa chui mi roho inaniumanga

yawezekana ahadi zangu zisizotimia
ndio maana haukutaka kusubiria
nasema nyama mwisho wa siku naleta bamia
chai mchana usiku dona kurumaghia

nilitamani sana ila wangu vyangu palinishia
ningalikua na uwezo ningekutimizia
mingali unafuraha haya maumivu nitayavumilia
ila jampo niambie ivi unanifikiria maana eh eeeh

nakukumbuka iyeh iyeh nakukumbuka sana ooh
i miss you nakukumbuka iyeh iyeh  nakukumbuka sana ooh
i miss you nakukumbuka iyeh iyeh  nakukumbuka sana ooh

 ah roho yangu mama bingili bingili
ah nikikuwaza bingili bingili
nikisinzia bingili bingili bayoyo
oh nikilala bingili bingili
ih inama inuka uwoh bingili bingili
uku sina raha bingili bingili bingili bayoyo
ata nikila bingili bingili
nikikuwaza bingili bingili
nikilala heeh bingili bingili bayoyo
ah roho yangu mama bingili bingili
ah nikikuwaza bingili bingili
nikisinzia bingili bingili bayoyo

heeeh roho yangu mama bingili bingili
eh eh  eeeeeh  bingili bingili
eh eeh heeeh bingili bingili bayoyo

oooh roho yangu mama bingili bingili
ih inama inuka uwoh bingili bingili
ajabu sina raha bingili bingili bingili bayoyo

ah ata nikila a

FIRE LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ FT TIWA SAVAGE

Song written by Diamond Platnumz

The beat was produced by LIZER CLASSIC from Tanzania from Wasafi Records
The Video was shot in Johannesburg, South Africa by NIC

Song: Fire

Lyrics.








[Intro – Tiwa Savage]
It's Tiwa Savage yeah

[Verse 1 – Diamond Platnumz]
Aga, you're my sexy arose eh
Utamu zaidi ya varila
Yaani cookei wa mose
Kama pochi na ngawila
Sa nipatie dose eh
Kasi itaja nipalila
Usinifanyie ya jose eh
Tange tange kajamila

[Hook/Chorus – Diamond Platnumz]
I say, you fire baby
Fire fire fire fire baby
Fire oooh
(Fire fire fire fire) baby
Your love is sweet oh
(Fire fire fire fire) baby
Tamu mpaka mwisho
(Fire fire fire fire) baby
Ah ah, fire ooh
(Fire fire fire fire) baby
Fire baby (Fire fire fire fire) baby
Akicheka sura ya kitoto
(Fire fire fire fire) baby
Akinigusa kabisa ndo moto
(Fire fire fire fire) baby

[Verse 2 – Diamond Platnumz]
Wasi wasi ndo akili
Na kwako sina
Nyota njema alfajili
Kesha na uzima
Wanakesha kulitabiri
Pendu kuchina, baby
Tena wengine
Wakubwa mili
Watu wazima
Tanga kunani
Vurugu mechi mkwakwani
Mtoto hatari wakadada
Samba chumbani
Ye ndo messi uwanjani
Msiniibie simba, yanga
Nyuma kama sunami (ayaya)
Jinsi kunatetema (ayaya)
Sura zari nadhani (ayaya)
Shape sepetu wema (ayaya)

[Hook/Chorus – Diamond Platnumz]
Ooh, I say, you fire baby oh
(Fire fire fire fire) baby
Fire oooh
(Fire fire fire fire) baby
Akicheka sura ya kitoto
(Fire fire fire fire) baby
Akinigusa kabisa ndo moto
(Fire fire fire fire) baby

[Verse 3 – Tiwa Savage]
Let me tell you something 'bout this bobo oh (fire fire)
Love I get for him big pass orobo oh (fire fire)
Come and see the way the love dey make me to jaire (fire fire)
I swear na only him go fit enjoy my figure 8 oh
The way you shut my brain
I cannot explain
Fall for you with no shame
Baby walahi talahi eh (ayaya)
I love you no be lie eh (ayaya)
Your love dey sweet me die (ayaya)
I swear I no go lie
I say

[Hook/Chorus – Diamond Platnumz & Tiwa Savage]
I say, you fire baby oh
(Fire fire fire fire) baby
Aga, fire oooh
(Fire fire fire fire) baby
Your love is sweet oh
(Fire fire fire fire) baby
Tamu mpaka mwisho
(Fire fire fire fire) baby
Ah ah, fire ooh
(Fire fire fire fire) baby
Fire baby (Fire fire fire fire) baby
Akicheka sura ya kitoto
(Fire fire fire fire) baby
Akinigusa kabisa ndo moto
(Fire fire fire fire) baby

[Verse 4 – Diamond Platnumz & Tiwa Savage]
Tena waambie wasikunyatie darling
(Fire fire)
Hili penzi moto wakilivamia chali
(Fire fire)
Sa nipe kidogo (nitekenye)
Aga polepole (nitekenye)
Ah ah mpaka chini (nitekenye)
Ak inuka kidogo (nitekenye)
If I give it to you (nitekenye)
Will you give me sugar (nitekenye)
Oya give give (nitekenye)
Come and give me sugar (nitekenye)
a