Showing posts with label diamond platinumz. Show all posts
Showing posts with label diamond platinumz. Show all posts
Sunday, 11 November 2018
MWANZA LYRICS BY RAYVANNY FT DIAMOMD PLATNUMZ
Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi
Oyah wind your waist
Njoo nikupatie Comando
Nikupe cha mkwesi
Nikupe cha mkwesi
Kwa miuno ya Taikwondo
Asa chekele mwendo wa kandanda
Ndani ya nakwanda sa nisongee
Leta msambwanda nikazie
Ngangangaaa chiiii
Kana nivuta gheto
Nikapinge bunduki
High bunduki
Ile naogopa centre
Michezo ya amber rutti amber rutti
Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi
Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi
Yaani kama mjaluo shape ya mombasa
Hapendagi mpasuo
Hata akishinda basata
Tepe tape mtoto kama supu
Teke teke kongoro
Kwa mateke mwite fally pupa
Wa temeke
Dombolo shaku shaku ya masai
Ooh masai kama kama nachuma papai
Ooh papai
Funika funua twendelee
Bandika bandua twendeee
Anika anua twendee
Kanipa chukua twendee
Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi
Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi
Ooh sa iweke
Aah iweke iweke aaah iwekeee
Ipitishe kwa chini
Aah iweke iweke aaah iwekeee
Miendo ya kazi kazini
Aah iweke iweke aaah iwekeee
Hii Ile ndindindii
Aaah iweke iweke aaah iwekeee
Ngoja shake it ivoo
Aaah iweke iweke aah iwekee
Twende shaku kidogo
Aaah iweke iweke aah iwekee
Chuma magimbimbi
Aah iweke iweke aaah iwekeee
a
Sunday, 26 August 2018
JIBEBE LYRICS BY WCB WASAFI FT DIAMOND PLATNUMZ $ MBOSSO $ LAVALAVA
Intro:
Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
Verse 1 : Diamon platnumz
i say wee ngoja nijiseti, siwalisusa nakula
fanya wainama kisha rotate, tuwakunjishe na sura
leo shimo limetema nimeshinda beti (shinda beti)
tuwaoneshe sinema wakina fetty
Hook up : Diamond platnumz
asaa joo nijoo (i like it)
when i dance jogodo ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kouno lasotojo (i like it)
baby joo joo joo ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kifupa joghodo ( i like it)
Uno lasotojo ( i like it)
Chorus : Diamond platnumz
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
Verse 2: Lava lava
anhee!!!
nataka kwenye pachu pachu
(pachu pachu)
kitandani mwendo kwachu kwachu
(kwachu kwachu)
nichanganye wauone niwe fyatu fyatu
(fyatu fyatu)
ilipenzi walikumoe washakunaku
(shakunaku)
enh baby sankololo (ennhee)
kerewa (ennhee)
naija soco soco
asa ndombolo (ennhee)
malewa (ennhee)
aya loco loco
mikwako shoti ya takila lewa vimba(vimba)
nikuchekeshe kama gwakila mkudesimba
Hook up : Diamond platnumz
asaa joo nijoo (i like it)
when i dance jogodo (i like it)
anh jinkolo jinkologo ( i like it)
kouno lasotojo (i like it)
baby joo joo joo (i like it)
anh jinkolo jinkologo ( i like it)
kifupa joghodo ( i like it)
Uno lasotojo (i like it)
(Chorus : Diamond platnumz)
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
Verse 3: Mbosso
oh darling
nipe chuzi lachuku chuku ninywe bakuli zima
mshede mtukutu azame kwenye kisima
fatuma wee kishtobe
mwite aisha miugunoee
alivo nyonde nyonde kama gobe
nimshindue na miunoee
twende kopa kabana (nheee)
kupumuana nana (nheee)
kwakugandana ( i like it)
nimufuate banna (nheee)
kwani nananaa (nheee)
tukikanana ( i like it)
Baby papasa kichwa jusi kafiri nisafishe mtaro
naulivo jaza nyuma kilo mbili nyanya za mataro
Hook up : Diamond platnumz
asaa joo nijoo (i like it)
when i dance jogodo ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kouno lasotojo ( i like it)
baby joo joo joo ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kifupa joghodo (i like it)
Uno lasotojo (i like it)
Chorus : Diamond platnumz
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee a
Thursday, 29 March 2018
KWA NGWARU LYRICS BY HARMONIZE FT DIAMOND PLATNUMZ
[Verse 1: Harmonize
Mh! I wish ningekuwaga na mavumba, Mkwanja manoti ni kuhonge vya dhamani,
Ama niwefundi wa kuigiza ka-Kanumba, Masanja Joti usiwembali nami,
Mh! my darlin i need your Love Oh, uwe nami hakia Mungu nakupenda,
No body Can show you Love Oh, Usiwaamini, ukishawapa wanakwenda,
[Pre-hook: Harmonize]
Oh basi jilegeze nikubebe mgongoni (Iyelewi),
Deka nikudekeze nikutunze kama mboni (Iyelewi),
Wakija wapoteze jifanye kama hauwaoni (Iyelewi),
Kisha uniongeze ulivyo funzwaunyagoni (Iyelewi),
[Hook: Harmonize]
Oh baby asa dance nikuone (Kwa ngwalu),
Uwabamijo (Kwa ngwalu), Ululufemi (Kwa ngwalu),
Oh baby asa cheza nikuone (Kwa ngwalu),
Uwabamijo (Kwa ngwalu), Basi cheza na mimi (Kwa ngwalu),
[Verse 2: Diamond Platnumz]
Aga moyo wangu muarobaini, mchungu ukiuziwa,
Samehe mara sabini, huo uzungu sijajaliwa,
Ukipenda chunga majini, kwenye uvungu
Kumbatie ubaridini, kwenye tundu kama njiwa,
Moyo wangu ni wamakuti usinijie na kiberiti (Asa wee),
Penzi likageuka chuki nyumba ikawa kibiti (Asa wee),
nipatie vya kitandani nipe mpaka kwenye kiti (Asa wee),
ili asiniingie shetani nawe nikaja kuku-cheat,
[Pre-hook: Diamond Platnumz]
Oh basi jilegeze nikubebe mgongoni (Iyelewi),
Kitandani nikoleze kwa miuno ya kingoni (Iyelewi),
Kisha nibembeleze nirudishe utotoni (Iyelewi),
Weka mate niteleze kama nyoka pangoni (Iyelewi),
[Hook: Diamond Platnumz]
Oh baby asa dance kidogo (Kwa ngwalu),
ooh ubanwe (?) (Kwa ngwalu), Ululufemi (Kwa ngwalu),
Oh baby asa cheza nikuone (Kwa ngwalu),
Uwabamijo (Kwa ngwalu), Basi cheza na mimi (Kwa ngwalu),
[Bridge: Diamond Platnumz & Harmonize]
Aga Nataka kucheza chura naingai ungesimama (ainama inama),
Asa Waonyeshe (ainama inama), unachezaje (ainama inama),
Unataka maji ya kisima na muoga kuchutama (ainama inama),
Nimuonyeshe (ainama inama), wanachotaja (ainama inama),
Unataka kupiga deki, wima umesimama (ainama inama),
Ebu tuonyeshe (ainama inama), unapiga je? (ainama inama),
Siunataka vya pool table asa mbona unajibana (ainama inama),
Embu tuonyeshe (ainama inama), unalenga je? (ainama inama),
[Outro: Diamond Platnumz & Harmonize]
Ii Oya wanangu wa kigogo (ainama),
Nipe za Mose Iyobo (ainama),
Vunja vunja kidogo (ainama),
Aniongezee mikogo (ainama Inama). a
Friday, 16 March 2018
AFRICA BEAUTY LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ FT OMARION
I’m in love
with you, cause
nothing I wouldn’t do,
Catch a
bullet for you, as long as
you want me to
I’m in love
with you, cause
nothing I wouldn’t do,
Catch a
bullet for you, as long as
you want me to
Penzi
nitalipamba ngonjera, huba kana
Tanga segera
Kwa viuno
vya Baikoko, kutoka
madzabe
Picha twazi
twanga kisela, Post Insta
mwanga kwa kyela
Baada ya
chali kimoko
Cause I
just wanna let them know
You’re my
African beauty
African beauty
You’re ma’
African
beauty
Aaah you’re
ma’
African
beauty
You’re ma’
African
beauty
Uuh na na
na’
Uuh na na
na’
By the way
girl I’ve been looking for you
I think am
just a fire in Africa
Girl you
know the sound which will come out
Cause we
win the crowd (unclear words)
Do it now,
do it do it now
Do it now,
do it do it now
Penzi
nitalipamba ngonjera,
huba kana
Tanga segera
Kwa viuno
vya Baikoko,
kutoka
madzabe
Picha twazi
twanga kisela
Post Insta
mwanga kwa kyela
Baada ya
chali kimoko
Cause I
just wanna let them know
You’re my
African beauty
African
beauty
You’re ma’
African
beauty
Aaah you’re
ma’
African
beauty bembea
nitakupepea
African
beauty
Ooh love is
what I see,When I look
into your eyes
Hata
nikiugua huwaga napona NAPONA
And you
know you deserve to be
The one
that I text you HI
Timbwili
chumbani kila kona
Penzi
nitalipamba ngonjera,
NGONJEERA
huba kana
Tanga segera
SEGEERA
Kwa viuno
vya Baikoko,
kutoka
madzabe
Picha twazi
twanga kisela
Post Insta
mwanga kwa kyela
Baada ya
chali kimoko
Cause I
just wanna let them know
You’re my
African beauty
Ooh you’re
my, you’re my
Yes you’re
my
African
beauty
I’m in love
with you cause
nothing I wouldn’t do,
Catch a
bullet for you, as long as
you want me to
I’m in love
with you cause
nothing I wouldn’t do,
Catch a
bullet for you, as long as
you want me to
a
Tuesday, 28 November 2017
NIACHE LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ
SONG: NIACHE
ARTIST: DIAMOND PLATNUMZ
MMh eti nikuombee mema na baraka uzidi fanikiwa
siwezi kamwe waah
mmmh ni sawa na kuifosi sinema kuitazama
na haijanivutia lazima tu ntalala
ooh na kwa barabara ukipita
nenda kulia ukiniona kushoto
sitaki ata tuonane
mmh usije wala ukanita donda vilia
utanchochea tu moto nisije nkutukane
mmh kinacho niumiza nafsi,
kunisikitisha kwa watu kujishongondoa
kumbe mapenzi sabato
akati nayazidisha mwenzangu nje unayatoa
we cementi me mchanga,
nkasema mapenzi tujenge lisije loa
najitiya mkadalasi naezeka mabati
wachini kenchi unabomoa niache
niache niache
ooh niache,
niache nipambane na moyo wangu (niache)
niaaaa niache me
moyo wangu unahasira
niache oooh niache ooooh
mmh najitahidi silali kwenye kitaanda
huenda nkapunguza ndoto zako
mmh mwilini nina machale utazani mwanga
yote kusahau uwepo wako
mmh laitikama ungekua gari
ningekugonga barabarani
ama nyuki ntoe asali
nkung'ate sura wasitamani
hivi we ungo ulivuja mwali
ama ulivunja sahani
kuniundia matimu kwa mitandao
vijembe vya kazi gani
kinacho niumiza nafsi
kunisikitisha kwa watu kujishongondoa
kumbe mapenzi sabato
akati nayazidisha mwenzangu nje unayatoa
we cementi me mchanga,
nkasema mapenzi tujenge lisije loa
najitiya mkadalasi naezeka mabati
wachini kenchi unabomoa niache
niache niache
ooh niache,
moyo wangu unahisi
niaaache eee
na ukae mbali
niache oooh niache ooooh
niache (niache)
usiwapigie rafiki zangu
niache usithibutu hata
simu yangu niache
ooh me tafadhali niache
mmh ntakudanganya kwa tabasamu
ntakudanganya kwa kucheka
ntakudanganya hata kwa salam
ila moyoni nakuchukia
ntakudanganya kukufollow
ntakudanganya kucomment
ntakudanganya kulike picha
ila siwezi kukuzimia
a
SIKOMI LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ
Wanasemanga
mapenzi safari,
Unavyopita
ndo jinsi unajongea
Ila
niendako ni mbali sijui ka ntafika
Sababu
natembea, niliposikia gabari
Yakisifika
nikakesha nangojea ah
Akabariki
Jalali na nikawika muziki
Nikauotea
Ile kumpaka
maka
Nikajia
ndio kwa gomo movi
Kumbe
mapenzi hayataki haraka
Nikama
Tango natia tu chumvi
Mwenzenu
nikaoza haswa
Na kuitia
kitandani mjuzi
Eti nataka
fukuza paka
badala ya
mbwa nikafuga mbuzi
mmh wivu
ukanifanya nikagombana na marafiki
ugomvi na mamangu
akiniambia siambiliki
moyo
ukanambia Naseeb sasa mapenzi Basi
ila
nang’ang’ania najaribu kuipinga nafsi
Esma
ananambia mdogo wangu mapenzi basi
Ila nang’ang’ania
nikiumizwa
na huyu kesho na mwingine
Ooh mboni
sikomi sikomi sikomi
licha ya
mateso haya
Najiuliza
oh sikomi
Oh sikomi
mbona (sikomi)
Mbona
jamani sikomi
Licha ya
mateso haya ah
Mmmmh
Aliyonifanyia
wa central,
akia-mungu
siyawezi sema
Ila
nimejifunza kesho siwaamini wacheza sinema
Moyo
walinipatia mateso
siwezi
kumeza siwezi tema
mana
sikushanga ile ghafla
toka CCM
kwenda CHADEMA
wanasema
kitanda ukitandika sharti ukikalie
nikajitia
ukamanda yatakwisha
wacha
nivumilie kila kiza kikitanda
ndo visa
machozi mi nilie
penzi
yakatia parapanda
kuwaita
waje washambulie
aah acha na
PENNY we darling
nilomuhongaga
gari aliponambia ana mimba
mwisho wa
siku akaichomoa chali
Molah
akanitunuku ZARI
Akanizalia
dume na mwali
Nilivomjinga
nika-cheat aibu mpaka
Kwa vyombo
vya habari
Moyo
unanambia NASEEB sasa mapenzi basi
Ila
nang’ang’ania najaribu kuipinga nafsi
LAIZER
ananambia simba mapenzi basi
Ila
nang’ang’ania nikiumizwa na huyu
Kesho na
mwingine
Ooh mboni
sikomi
Mboona
sikomi
Mboona
jamani sikomi
Licha ya
mateso haya
Nishafumaniwa
oh sikomi
Nikafumaniwa
mimi sikomi
Nishapambana
na watu (sikomi)
Licha ya
mateso haya ah
Mateso mama
Ayo LAIZER
Wednesday, 4 October 2017
HALLELUJAH LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ FEAT MORGAN HERITAGE
Song: Hallelujah
Verse 1
Hata akilala ananiota
Najiita mbalamwezi kisa nina nyota
Nimkande Amechoka
Nitembee na ulimi kote ka nyoka
Mapenzi niongezee
Ka party niogelee
Eeh, eeh, eeh
Lord have mercy
Speaking from my heart... damn... she is so sexy
Mama gimme blessings
I wanna off the light so I can speak dirty
Well she says she wants some more
Harder than I give her before
The way she is dancing (ooh)
Touch me (ooh)
Chorus (Diamond)
I swear she make me say
Hallelujah
She makes me say
Hallelujah
She makes me say
Hallelujah
Ooh
Hallelujah
Hallelujah
Verse 2 [Morgan Heritage:](peter)
1 out of 10
She gets a 10 and ab-over
She got this thing
That makes me wanna give her everything I gotta...
(Give it to her)
The way she moves and the way she walking
Like she moving is alright
When she hits the dance floor it's like amazing
She sets the place on fire...
The way she rocks it and embrace it
Place it one place and shake it
I Babylon and I anticipate it
Who she goes let embrace it then ah...
Lord of passion de may man control this
Cause look all she owes me
Everything about my baby
Chorus [Morgan Heritage & Diamond Platnumz:]
Make me say, Hallelujah
Hallelujah
She makes me say
Hallelujah
Hallelu..
She makes me say
Hallelujah
Yeah yeah... she...
Hallelujah
Hallelujah...
Verse 3 [Diamond Platnumz:]
This one goes to all bad girls like cocos (my cocos)
The one who can rock all the night me I call them, coco (call them, coco)
I wanna know what turns you on
So, I can be all that and more
BRIDGE (Diamond)
Lord have mercy
Speaking from my heart... damn... she is so sexy
Mama gimme blessings
I wanna off the light so I can speak dirty
Well she says she wants some more
Harder than I give her before
The way she is dancing (ooh)
Touch me (ooh)
Chorus [Morgan Heritage & Diamond Platnumz:]
I swear she make me say
Hallelujah
She makes me say
Hallelujah...
She makes me say
Hallelujah
Yeah yeah... she...
Hallelujah
Hallelujah... a
Saturday, 2 September 2017
ZILIPENDWA LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ,HARMONIZE,RICH MAVOKO,RAYVANNY,
LYRICS
INTRO
Ooh, izo ni zama za kale,
Ohh, sanguro na pepe kalee
Zilipendwa
RAYVANNY
Eeh kizamani, kutoa kadi na maua (zilipendwa)
Wanataka mali,ukilipa unakwarua (zilipendwa)
Ufundi kitandani,sio maguvu kujikamua(zilipendwa)
Unafika ndani,hujatomasa unachanua (zilipendwa)
Wanawake wa leo, wanataka mikakati
Ukiwa mzogaji,hakya mungu huwapati,
Mapenzi ya video yanakutoa kamasi,
Eti nikinywa maji, nakuona kwenye glasi (zilipendwa)
Eeh kupiga chabo ghetto (zilipendwa)
Sunche na kapeto (zilipendwa)
Konno na detto (zilipendwa)
Sunche na kapetio (zilipendwa)
Manje na mobeto (zilipendwa)
DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro na pepe kale
Mmmhh Boringo ndomboro (zilipendwa)
Twanga chipolopolo (zilipendwa)
Maji ya kandoro (zilipendwa)
Simba wa morogoro (zilipendwa)
RICH MAVOKO
Mtaani sipati, skari guru kabisa (zilipendwa)
Ivi yuko api ,mb dogo wa Latiffa (zilipendwa)
Babu Tale wapi papa misifaa (zilipendwa)
Sikuiz party, hatuendagi kabisaa (zilipendwa)
Mpira na Pele (zilipendwa)
Tanu Nyerere (zilipendwa)
Asha ngedere (zilipendwa)
Alusi mabele (zilipendwa)
Eeti uuze nyumba, ueke heshima bar
Eeti mlazimishe alokukataa
Sabuni kicherema (zilipendwa)
Mabanda ya sinema (zilipendwa)
Lipumba na mrema (zilipendwa)
Diamond na Wema (zilipendwa)
DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, ooh, sanguro na pepe kale
Wakina Soggy doggi (zilipendwa)
Chaneli ya analogi (zilipendwa)
Movie za cyborgi (zilipendwa)
Van Damme Arnoldi (zilipendwa)
QUEEN DARLEEN
Unanibeeb nikupigie, umeiweka vocha?
Ule weewe nilipe mie, umeniona lofa?
Teena na madada wenye, majina acheni visss
Unaitwa ukale dinner, mnakwenda tisaa
Nywele za kichina (zilipendwa)
Pochi za kuazima (zilipendwa)
Zena na betina (zilipendwa)
Bashite gwajima (zilipendwa)
DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro na pepe kale
Mmhh Amita Bachani (zilipendwa)
Tv kwa jirani (zilipendwa)
Madee Rayvanny (zilipendwa)
Zari Ivanny (zilipendwa)
HARMONIZE
Ya nini kunichunguza naishi wapi (zilipendwa)
Nala chapati, kwa mahindi au makapi (zilipendwa)
Kutwa kunikalia,una kamati (zilipendwa)
Ooh yarabi masikini, kunidhihaki
Aah Samba mapangala (zilipendwa)
Pfunk Kajala (zilipendwa)
Onyango na Jangala (zilipendwa)
Lufufu Mkandalal (zilipendwa)
Vyanini vidomodomo, nitupieni tunguli
Kisa pesa za mgomo, msimu wa magufuli
Aah Bongo man yondo (zilipendwa)
Skinde msondo (zilipendwa)
Magari ya udongo (zilipendwa)
Babu wa loliondo (zilipendwa)
DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro na pepe kale
Aah Tv za kichogo (zilipendwa)
Wakina mandojo (zilipendwa)
Gigi ya lyobo (zilipendwa)
Akina tupogo (zilipendwa)
MAROMBOSO
Eeti ni msiba ukiona bundi,unataka kupagawa
Tulale makundimakundi, kuogopa popo bawa
Zueena, ntampata wapii (zilipendwa)
Zueena, na zile nyakati (zilipendwa)
Kujifanya mapanga zuna, ati wamebinga
Wengine wabeba mapanga, na hakuna marinda
Iddi amini dada (zilipendwa)
Miuno ya H. Baba (zilipendwa)
Domo chai jaba (zilipendwa)
Michezo ya kibaba baba (zilipendwa)
LAVA LAVA
Wale wapiga madeal, sasa hali mbaya (zilipendwa)
Hizi zama za magufuli, si za jakaya (zilipendwa)
Ugomvi wa Mr.nicena dudu baya (zilipendwa)
Vikatuni vya madonge baba ubaya (zilipendwa)
Muhogo mchungu Mr.bean wapi Bl bambo
Wale watazamaji wa melini wazee wa ng’ambo
Vifiu vywa vibenjamini wa mambo jambo
Wa Vietnam wa porini vita na rambo na dam jela jela
(zilipendwa)
Kidali komborera (zilipendwa)
Max zembwela (zilipendwa)
Juma nature na fella (zilipendwa)
DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro na pepe kale
Mmmh Kama ndala si mda (zilipendwa)
Almanzira ndumba (zilipendwa)
Simu za dole gumba (zilipendwa)
Johari na Kanumba (zilipendwa)
Instrumental
Thursday, 22 June 2017
I MISS YOU LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ
Song written by Diamond Platnumz
The beat was produced by LIZER CLASSIC from Tanzania from Wasafi Records
The Video was shot in Johannesburg, South Africa by NIC
SONG: I MISS YOU
LYRICS
hello hapo vipi sijui unaniskia
hello nina maneno natamani kukwambia
hello tafadhali usije nikatia
hello ona mpaka nasahau kusalimia
habari gani leo nimekukumbuka sana
na mama yangu twakuwazagaa
vipi nyumbali hali ya mumeo na wana
na aunty shani wa chimwagaa ha ha
kile kidonda changu cha roho bado kinatia tabu
ninajitahidi kukaza roho ila nadhidisha adhabu
tena silali oh nasubiri maajabu
maumivu yangu hayajapata dawa
i miss you nakumbuka iyeh iyeh
i miss you nakumbuka iyeh iyeh
i miss you nakumbuka iyeh iyeh
i miss you nakumbuka iyeh iyeh
ah roho yangu mama bingili bingili
ah nikikuwaza bingili bingili
nikisinzia bingili bingili bayoyo
oh nikilala bingili bingili
ih inama inuka uwoh bingili bingili
uku sina raha bingili bingili bingili bayoyo
ah iyeeh ah iyeeeeh
tatizo kwetu sijui nini kosa langu
mpaka nikawa adui ghafla ukanichukianga
nawaza ila siambui ama shida zangu
simba nikawa chui mi roho inaniumanga
yawezekana ahadi zangu zisizotimia
ndio maana haukutaka kusubiria
nasema nyama mwisho wa siku naleta bamia
chai mchana usiku dona kurumaghia
nilitamani sana ila wangu vyangu palinishia
ningalikua na uwezo ningekutimizia
mingali unafuraha haya maumivu nitayavumilia
ila jampo niambie ivi unanifikiria maana eh eeeh
nakukumbuka iyeh iyeh nakukumbuka sana ooh
i miss you nakukumbuka iyeh iyeh nakukumbuka sana ooh
i miss you nakukumbuka iyeh iyeh nakukumbuka sana ooh
ah roho yangu mama bingili bingili
ah nikikuwaza bingili bingili
nikisinzia bingili bingili bayoyo
oh nikilala bingili bingili
ih inama inuka uwoh bingili bingili
uku sina raha bingili bingili bingili bayoyo
ata nikila bingili bingili
nikikuwaza bingili bingili
nikilala heeh bingili bingili bayoyo
ah roho yangu mama bingili bingili
ah nikikuwaza bingili bingili
nikisinzia bingili bingili bayoyo
heeeh roho yangu mama bingili bingili
eh eh eeeeeh bingili bingili
eh eeh heeeh bingili bingili bayoyo
oooh roho yangu mama bingili bingili
ih inama inuka uwoh bingili bingili
ajabu sina raha bingili bingili bingili bayoyo
ah ata nikila a
The beat was produced by LIZER CLASSIC from Tanzania from Wasafi Records
The Video was shot in Johannesburg, South Africa by NIC
SONG: I MISS YOU
LYRICS
hello hapo vipi sijui unaniskia
hello nina maneno natamani kukwambia
hello tafadhali usije nikatia
hello ona mpaka nasahau kusalimia
habari gani leo nimekukumbuka sana
na mama yangu twakuwazagaa
vipi nyumbali hali ya mumeo na wana
na aunty shani wa chimwagaa ha ha
kile kidonda changu cha roho bado kinatia tabu
ninajitahidi kukaza roho ila nadhidisha adhabu
tena silali oh nasubiri maajabu
maumivu yangu hayajapata dawa
i miss you nakumbuka iyeh iyeh
i miss you nakumbuka iyeh iyeh
i miss you nakumbuka iyeh iyeh
i miss you nakumbuka iyeh iyeh
ah roho yangu mama bingili bingili
ah nikikuwaza bingili bingili
nikisinzia bingili bingili bayoyo
oh nikilala bingili bingili
ih inama inuka uwoh bingili bingili
uku sina raha bingili bingili bingili bayoyo
ah iyeeh ah iyeeeeh
tatizo kwetu sijui nini kosa langu
mpaka nikawa adui ghafla ukanichukianga
nawaza ila siambui ama shida zangu
simba nikawa chui mi roho inaniumanga
yawezekana ahadi zangu zisizotimia
ndio maana haukutaka kusubiria
nasema nyama mwisho wa siku naleta bamia
chai mchana usiku dona kurumaghia
nilitamani sana ila wangu vyangu palinishia
ningalikua na uwezo ningekutimizia
mingali unafuraha haya maumivu nitayavumilia
ila jampo niambie ivi unanifikiria maana eh eeeh
nakukumbuka iyeh iyeh nakukumbuka sana ooh
i miss you nakukumbuka iyeh iyeh nakukumbuka sana ooh
i miss you nakukumbuka iyeh iyeh nakukumbuka sana ooh
ah roho yangu mama bingili bingili
ah nikikuwaza bingili bingili
nikisinzia bingili bingili bayoyo
oh nikilala bingili bingili
ih inama inuka uwoh bingili bingili
uku sina raha bingili bingili bingili bayoyo
ata nikila bingili bingili
nikikuwaza bingili bingili
nikilala heeh bingili bingili bayoyo
ah roho yangu mama bingili bingili
ah nikikuwaza bingili bingili
nikisinzia bingili bingili bayoyo
heeeh roho yangu mama bingili bingili
eh eh eeeeeh bingili bingili
eh eeh heeeh bingili bingili bayoyo
oooh roho yangu mama bingili bingili
ih inama inuka uwoh bingili bingili
ajabu sina raha bingili bingili bingili bayoyo
ah ata nikila a
FIRE LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ FT TIWA SAVAGE
Song written by Diamond Platnumz
The beat was produced by LIZER CLASSIC from Tanzania from Wasafi Records
The Video was shot in Johannesburg, South Africa by NIC
Song: Fire
Lyrics.
[Intro – Tiwa Savage]
It's Tiwa Savage yeah
[Verse 1 – Diamond Platnumz]
Aga, you're my sexy arose eh
Utamu zaidi ya varila
Yaani cookei wa mose
Kama pochi na ngawila
Sa nipatie dose eh
Kasi itaja nipalila
Usinifanyie ya jose eh
Tange tange kajamila
[Hook/Chorus – Diamond Platnumz]
I say, you fire baby
Fire fire fire fire baby
Fire oooh
(Fire fire fire fire) baby
Your love is sweet oh
(Fire fire fire fire) baby
Tamu mpaka mwisho
(Fire fire fire fire) baby
Ah ah, fire ooh
(Fire fire fire fire) baby
Fire baby (Fire fire fire fire) baby
Akicheka sura ya kitoto
(Fire fire fire fire) baby
Akinigusa kabisa ndo moto
(Fire fire fire fire) baby
[Verse 2 – Diamond Platnumz]
Wasi wasi ndo akili
Na kwako sina
Nyota njema alfajili
Kesha na uzima
Wanakesha kulitabiri
Pendu kuchina, baby
Tena wengine
Wakubwa mili
Watu wazima
Tanga kunani
Vurugu mechi mkwakwani
Mtoto hatari wakadada
Samba chumbani
Ye ndo messi uwanjani
Msiniibie simba, yanga
Nyuma kama sunami (ayaya)
Jinsi kunatetema (ayaya)
Sura zari nadhani (ayaya)
Shape sepetu wema (ayaya)
[Hook/Chorus – Diamond Platnumz]
Ooh, I say, you fire baby oh
(Fire fire fire fire) baby
Fire oooh
(Fire fire fire fire) baby
Akicheka sura ya kitoto
(Fire fire fire fire) baby
Akinigusa kabisa ndo moto
(Fire fire fire fire) baby
[Verse 3 – Tiwa Savage]
Let me tell you something 'bout this bobo oh (fire fire)
Love I get for him big pass orobo oh (fire fire)
Come and see the way the love dey make me to jaire (fire fire)
I swear na only him go fit enjoy my figure 8 oh
The way you shut my brain
I cannot explain
Fall for you with no shame
Baby walahi talahi eh (ayaya)
I love you no be lie eh (ayaya)
Your love dey sweet me die (ayaya)
I swear I no go lie
I say
[Hook/Chorus – Diamond Platnumz & Tiwa Savage]
I say, you fire baby oh
(Fire fire fire fire) baby
Aga, fire oooh
(Fire fire fire fire) baby
Your love is sweet oh
(Fire fire fire fire) baby
Tamu mpaka mwisho
(Fire fire fire fire) baby
Ah ah, fire ooh
(Fire fire fire fire) baby
Fire baby (Fire fire fire fire) baby
Akicheka sura ya kitoto
(Fire fire fire fire) baby
Akinigusa kabisa ndo moto
(Fire fire fire fire) baby
[Verse 4 – Diamond Platnumz & Tiwa Savage]
Tena waambie wasikunyatie darling
(Fire fire)
Hili penzi moto wakilivamia chali
(Fire fire)
Sa nipe kidogo (nitekenye)
Aga polepole (nitekenye)
Ah ah mpaka chini (nitekenye)
Ak inuka kidogo (nitekenye)
If I give it to you (nitekenye)
Will you give me sugar (nitekenye)
Oya give give (nitekenye)
Come and give me sugar (nitekenye) a
The beat was produced by LIZER CLASSIC from Tanzania from Wasafi Records
The Video was shot in Johannesburg, South Africa by NIC
Song: Fire
Lyrics.
[Intro – Tiwa Savage]
It's Tiwa Savage yeah
[Verse 1 – Diamond Platnumz]
Aga, you're my sexy arose eh
Utamu zaidi ya varila
Yaani cookei wa mose
Kama pochi na ngawila
Sa nipatie dose eh
Kasi itaja nipalila
Usinifanyie ya jose eh
Tange tange kajamila
[Hook/Chorus – Diamond Platnumz]
I say, you fire baby
Fire fire fire fire baby
Fire oooh
(Fire fire fire fire) baby
Your love is sweet oh
(Fire fire fire fire) baby
Tamu mpaka mwisho
(Fire fire fire fire) baby
Ah ah, fire ooh
(Fire fire fire fire) baby
Fire baby (Fire fire fire fire) baby
Akicheka sura ya kitoto
(Fire fire fire fire) baby
Akinigusa kabisa ndo moto
(Fire fire fire fire) baby
[Verse 2 – Diamond Platnumz]
Wasi wasi ndo akili
Na kwako sina
Nyota njema alfajili
Kesha na uzima
Wanakesha kulitabiri
Pendu kuchina, baby
Tena wengine
Wakubwa mili
Watu wazima
Tanga kunani
Vurugu mechi mkwakwani
Mtoto hatari wakadada
Samba chumbani
Ye ndo messi uwanjani
Msiniibie simba, yanga
Nyuma kama sunami (ayaya)
Jinsi kunatetema (ayaya)
Sura zari nadhani (ayaya)
Shape sepetu wema (ayaya)
[Hook/Chorus – Diamond Platnumz]
Ooh, I say, you fire baby oh
(Fire fire fire fire) baby
Fire oooh
(Fire fire fire fire) baby
Akicheka sura ya kitoto
(Fire fire fire fire) baby
Akinigusa kabisa ndo moto
(Fire fire fire fire) baby
[Verse 3 – Tiwa Savage]
Let me tell you something 'bout this bobo oh (fire fire)
Love I get for him big pass orobo oh (fire fire)
Come and see the way the love dey make me to jaire (fire fire)
I swear na only him go fit enjoy my figure 8 oh
The way you shut my brain
I cannot explain
Fall for you with no shame
Baby walahi talahi eh (ayaya)
I love you no be lie eh (ayaya)
Your love dey sweet me die (ayaya)
I swear I no go lie
I say
[Hook/Chorus – Diamond Platnumz & Tiwa Savage]
I say, you fire baby oh
(Fire fire fire fire) baby
Aga, fire oooh
(Fire fire fire fire) baby
Your love is sweet oh
(Fire fire fire fire) baby
Tamu mpaka mwisho
(Fire fire fire fire) baby
Ah ah, fire ooh
(Fire fire fire fire) baby
Fire baby (Fire fire fire fire) baby
Akicheka sura ya kitoto
(Fire fire fire fire) baby
Akinigusa kabisa ndo moto
(Fire fire fire fire) baby
[Verse 4 – Diamond Platnumz & Tiwa Savage]
Tena waambie wasikunyatie darling
(Fire fire)
Hili penzi moto wakilivamia chali
(Fire fire)
Sa nipe kidogo (nitekenye)
Aga polepole (nitekenye)
Ah ah mpaka chini (nitekenye)
Ak inuka kidogo (nitekenye)
If I give it to you (nitekenye)
Will you give me sugar (nitekenye)
Oya give give (nitekenye)
Come and give me sugar (nitekenye) a
Subscribe to:
Posts (Atom)
-
(E-Sir) Jo nimefika fika wapi ? pirate na mambo bado Kuna kuna kuna kuna kuna kijana mmoja kutoka south c …..Jo! Kijana mwen...
-
Double tap lyrics by kansoul Chorus[Mejja]: Ilianza Na Ka Selfie(Dabotap) Nikaona TBT (Dabotap) Akapiga Screenshot Ya Likes ...