Showing posts with label Bahati. Show all posts
Showing posts with label Bahati. Show all posts

Friday, 20 April 2018

CHING CHING LYRICS BY BAHATI

[Intro]
If you got cars, you got money
You're held up, you should call on Him
You got cars, you got money
You got cars
EMB records

[Chorus]
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching Yesu ndio dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching Yesu ndio dawa

[Verse 1]
Aliponyaga vipofu na wale, aah
'Katembea juu ya maje
Ddhambi zetu akatupia mbale
Alishinda Calvary
Aliponyaga vipofu na wale, aah
'Katembea juu ya maje
Ddhambi zetu akatupia mbale
Alishinda Calvary
Zaidi ya panadol, 'cetamol damu yake inaponya more
Zaidi ya panadol, 'cetamol nimeponywa ndio nacheza low, oh

[Chorus]
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching Yesu ndio dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching Yesu ndio dawa

[Verse 2]
Cheka haha
A (aah) BCD (eeh) vijijini mpaka CBD
Hii injili ifike VCT (aah) Yesu anaponya mpaka HIV
A (hey) BCD vijijini mpaka CBD
Hii injili ifike VCT Yesu anaponya mpaka HIV

If you got cars, you got money
You're held up, you should call on Him
You got cars, you got money
You got car...

[Chorus]
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching Yesu ndio dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching Yesu ndio dawa

Zaidi ya panadol, 'cetamol damu yake inaponya more
Zaidi ya panadol, 'cetamol nimeponywa ndio nacheza low, oh

If you got cars, you got money
You're held up, you should call on Him
You got cars, you got money
You got car

Ching ching ching a

Wednesday, 18 April 2018

BORA NIFE LYRICS BY ASLAY FT BAHATI


Mwili umejaa vidonda donda ,Kisa kupenda aah
Naitwa bwege, naishi kwa kuonga onga
sabuni chooni namaliza mimi
kwa nini jamani
kama mwajuma
 nilimpa simu, cha ajabu kanipora
salima
 hataki mapenzi, anataka pochi
magugu avelina
baada ya kumpa gari, eti hanitaki
nguvu sina eeh woololoh aih
bora nife,
huenda nitakumbuka pengine mmh
bora nife,
huenda nitakumbuka pengine ai
kwani nasubiri nini duniani, nasubiri nini
kwani nasubiri nini duniani, nasubiri nini aaih
BAHATI
Ai niliempendaga mwenzagu, Akaumiza roho yangu tu
Kaniwazisha niwe padre, Nihudumie kanisani
Aah aaah
Nikaongopaga mapenzi tu
Tena usiwe unasumbuka, Kutoa uhai
ASLAY Ya nini
BAHATI
Usije mlaumu aliyekuacha zamani
ASLAY Zamani
BAHATI
Ukikata na roho, Utajibu nini
Siku ya kihama, Kama dayana
ASLAY
Nilimpa simu cha ajabu Kanipora
Penina hataki mapenzi, Anataka pochi
Mamaivana baada ya kumpa gari Eti hanitaki
Nguvu sina eeh woololoh ai
Bora nife,Bora nife
Huenda nitakumbuka pengine, Labda nitakumbuka ai
Bora nife,Bora nife
Huenda nitakumbuka pengine, Labda nitakumbuka ai

Usiseme usiseme
 nasubiri nini duniani, Nasubiri nini duniani
usiseme
 nasubiri nini duniani, Nasubiri nini duniani
Japo ujaniwishigi Kwenye birthday yangu
Ila usikose mazishi, Kwenye msiba wangu ooh
Japo ujaniwishigi, Kwenye birthday yangu

Ila usikose mazishi, Kwenye msiba wangu ooh
a

Monday, 19 February 2018

Thursday, 14 July 2016

KUCHU KUCHU LYRICS BY BAHATI FT WYRE AND KING KAKA


Verse 1 [Bahati]

Ni ndoto ngapi za today
Maono mengi on your way
Ni ndoto ngapi msela
Ni ndoto ngapi za today
Maono mengi on your way
 Ni ndoto ngapi nauliza

Leo kama jana  moyoni umejaza lawama eeh
Leo kama jana wanakucheka eti we fukara eeh (x2)


Chorus [Bahati]

Ebu sukuma ukikwama, jitahidi kinyama
Ju utakuja shinda wee
Ebu sukuma ukikwama, jitahidi kinyama
Utakuja shinda wee 
Kuchu kuchu kuchu chu mtima 
[Kaza roho mama]
Kuchu kuchu kuchu chu mtima
 [jua utakuja shinda]
Kuchu kuchu kuchu chu mtima
 [Kaza roho baba]
Kuchu kuchu kuchu chu mtima
 [Mungu anawaza mema]


Verse 2 [Wyre]

Who di pan destruction pan di road
Nuff path hole such a bad road
Jah Jah help me focus on mi goal
Father make me grow mi heart, mind and soul 
Ntajitahidi ju inastahili nitimize lengo langu kamili
Let me pray to mi father wit mi hotline
Dem a put mi pan di place, frontline


Chorus [Bahati]

Ebu sukuma ukikwama, jitahidi kinyama
Ju utakuja shinda wee
Ebu sukuma ukikwama, jitahidi kinyama
Utakuja shinda wee 
Kuchu kuchu kuchu chu mtima 
[Kaza roho mama]
Kuchu kuchu kuchu chu mtima
 [jua utakuja shinda]
Kuchu kuchu kuchu chu mtima
 [Kaza roho baba]
Kuchu kuchu kuchu chu mtima
 [Mungu anawaza mema]



Verse 3 [King Kaka]

Kuchu kuchu , nilikuwa tupu tupu
Ngumu nilikosa hadi njumu
King Kaka sema na Bahati
Nimeangukia deal ngapi
Wanashangaa natoka hii side
Nawashow God alishadecide
Maji ngapi nimetamba, ju nimejikaza kaa kamba
Nikianza nilikuwa mgreen ka ovacado
Na Mungu mambo bado
Wanirushe walafi hao
Ka Julie who is laughing now


Chorus [Bahati]

Ebu sukuma ukikwama, jitahidi kinyama
Ju utakuja shinda wee
Ebu sukuma ukikwama, jitahidi kinyama
Utakuja shinda wee 
Kuchu kuchu kuchu chu mtima 
[Kaza roho mama]
Kuchu kuchu kuchu chu mtima
 [jua utakuja shinda]
Kuchu kuchu kuchu chu mtima
 [Kaza roho baba]
Kuchu kuchu kuchu chu mtima
 [Mungu anawaza mema]



Outro [King Kaka]

Yani leo eh, nakuambia tu ureal yani
Ni simple eh, we panga Mungu atadecide
Lakini si kupanga tu
Lazima uamke lazima uende
ukafanye abc
Hadi ifike kwa God manze
So this is from sisi to wewe
Its your time, ni time yako manze
Get up Mungu anawaza mema manze

Saturday, 21 November 2015

Kwangu 254 lyrics by Ali B,Bahati, Bwana DNA,Collo,size 8,suzzana owino,wahu.

Kwangu 254 lyrics by Ali B,Bahati, Bwana DNA,Collo,size 8,suzzana owino,wahu.
             
     ALi B.
Mambo ya mjuara aya mtindo wa kenya, 
Skia utamu wa kenya

      
   Collo.
welcome to 254
Karibu kenya marafiki if your ready si we can go, for a tour to all our cities, 
Tupande kaskazini tuko juu, your right magharibi tuko mashariki chini kwa chini hadi kusini tuko on
          Suzzana and wahu.  


      (Chorus)
Karibu nyumbani kwangu, 

cheza ukitabasamu sote tuburudike, chakula kitamu×2
Pamoja na tusherekee×2

              
       
Suzzana 
Feel the music and feel good, 
Move to the beat dance to the rithym.
We party like champions kemboi dance
Come lemi show you kembo dance.



           DNA
You know mi niko mitaani flavour za nyumbaniii make you sing, 
Kenya we are very good,tour small najitambua 
I stand tall kenyan raised kenya bom ndio form.


         Suzzana and wahu

         (Chorus)

            Bahati.
Mtoto wa mama kenya ndio nyumbani
Mtoto wa mama tena ndipo maskani
Ndipo kijinini, kucheza chakacha
Pia kanisani kusifu maulana eeeh
Tukisifu maulana kila kitu kiko sawa
Usidhani yuko mwenyewe usikate tamaa .

                Wahu.
Tuko pamoja tukijiburudisha
Tuko pamoja tukijichangamsha.



           DNA and Ali B


          (Chorus)
      
               Size 8 
Vile unavyopenda usijali watakavyosema
Jiachilie eeh 
Vile unavyopenda usijali watakavyosema
Jifurahisheee......

Friday, 20 November 2015

Machozi lyrics by Bahati


Machozi lyrics by Bahati
Ooh Bahati Bahati tena
Maachozi machozi ii, machozi mamaye
Machozi skiza papaye

Vidonda vichungu na fikra ona
vile niliumia
Machozi machungu nakuta mbona
hakuna vile ningeficha x2


Maisha yangu ya usali,
kasoro mali
Wapi wangu waniokoe,
napoteza mzazi uchungu wa mwana,
Mbona mola uniondoe x2


Nilikosa hata moyo kuchonga moyoni,
niliumia sana
Maskini kusema hawachoki kuchonga nililia msee iaa


Chorus
Nilijawa machozi,
mbona mimi
Maswali kwa mola,
mbona mimi
Nilijawa machozi,
mbona mimi
Mbona dunia uchungu,
mbona mimi
oooi oooi oooi oooi
oooi oooi oooi oooi


Nafanya napata gharama,
kuwa inakera
Bidii nikaweka nikaangua pa tupu,
niliota kupenya
Mziki ilifanya sana napata gharama,
kuwa inakera
Bidii nikaweka nikaangua pa tupu,
niliota kupenya

Ilikuwa uchungu madungu zangu,
Nilijawa naumia aai
ilikuwa machozi sina hata pozi,
ila tumbo inalia aai x2


Chorus
Nilijawa machozi,
mbona mimi
Maswali kuwa mola,
mbona mimi
Nilijawa machozi,
mbona mimi
Mbona dunia uchungu,
mbona mimi
oooi oooi oooi oooi


Naye ukaniweka chini,
niende wapi mwenzio
Niliangaika kwenda mjini,
mashambani hivo hivo x2


Ukawamu kunionyesha mapenzi,
hapo siku ya kwanza
Maulana kwangu ukakuwa mpenzi,
ndio ukaniacha x2

Nilikosa hata moyoni,
niliumia sana
Maskini kusema hawachoki kuchonga,
nililia msee aai


Chorus
Nilijawa machozi,
mbona
Maswali kwa mola,
mbona
Nilijawa machozi,
mbona mimi
Mbona dunia uchunga,
mbona mimi
mbona mimi, mbona mimi

Si amini ni mimi leo,
Maulana hayali mbivu oooh
Si amini ni mimi leo,
Rabuka hafungi sikio x2

Barua lyrics by Bahati


Barua lyrics by Bahati
Bahati tena eeh!
Furahi yote Baba naitoa moyoni,
Na nifurahi yote kwako husikie hewani.
(ooohmmmmmm!)

Ni barua ngapi nimeandika kwa njia mziki.
Na nyimbo ngapi nimeandika zisizo za riziki.
(repeat 2 times)



( chorus! )
Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,
Nikikuita daddiii…
(repeat 2 times)

Nikufunga nikafunga ila siri sitaki wajue,
samahani nikaomba magoti nisikuzungue.



( Chorus! )
Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,
nikikuita dadiii…
( repeat 2 times)
( oooh! )

Barua yangu ya mapenzi nimeona niimbe.
Barua yangu ya mapenzi nimeona niandike.
( repeat 2 times )



( chorus! )
Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,
nikikuita daddiii…
( repeat 2 times )

Oooh! Kama mapenzi, msalabani ulifanya zaidi.
Naaa! Kama kipaji, kwa burudani umekuwa nami.
( repeat 2 times )
( Baba eeeh! )

kuna wengi mjini wanadai mapenzi, kumbe walaghai.
Wana— badili kama kinyonga, kamwe hawafai.



( Chorus! )
Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,
nikikuita daddiii…
( repeat 2 times )
( ooh! )

Barua yangu ya mapenzi nimeona niiembe.
Barua yangu ya mapenzi nimeona niandike…
( repeat 2 times )



( chorus )
Nikikuita mpenzi , mpenzi, mpenzi,
nikikuita daddiii…
( repeat 2 times )



( chorus! )
Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,



( chorus! )
Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,
nikikuita daddii…
( repeat 4 times )
( oooh! ).