Friday 14 September 2018

BORA UHAI LYRICS BY WILLY PAUL FT KHALIGRAPH JONES



Mmmmh mamamama
uuuuuuh mamamama
Uh mamama

uyu ni poze sio, sio Rozay uyu ni pozee
uyu ni poze sio, sio Rozay uyu ni pozee
ieeea

sijui ni shaku ama ni kuku
wananitingi tingi kama bantu
some people make me go crazy
wananiita ata ngombe

wananifollow willy willy kama drama
utadhani mimi willy instagramer
wanauliza naendesha gari gani
ni ipi ma ama ile benz

wanauliza mimi naishi nyumba gani
ni Runda one ama Runda mbili
wananiuliza nahubiri injili gani
injili ya mwokozi ama ya mabinti
but asante mungu kwa uhai
Ei, mmh bora uhai

Tey tekin rababababa
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamamama
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamaye

Napokea baraka toka most high (bora uhai)
ndae, big mansion iko close by (bora uhai)
and a private jet men i dont lie (bora uhai)
hii yote bila white collar ama bow tie

husemanga God husaidia wale ujipea motisha
so call me David vile mkono narudisha
nasema Asante na si pupa msee, so wivu ya nini
na atakupa, that is, if can pray

na ata ka ninawabore
nikishinda niwatajia Kayole
bora ujue sina ngore
Bado tunashine
ama vipi poze

kushine tunashine ama vipi OG
kuna mwenyezi tuko fiti OG
wenye roho mbaya tunawaeka fitti
hatuwakanyangi feet-Ndi
ndio baraka zikikam waona kwa mbali
wabaki wakilia kama tumbili ieeee

i got the congregation saying
uyu Pastor ni moto, nikitibu nakafunga
mi si daktari msoto
brand international, sa staki local
bora uhai whether chai cudburry coco

Tey tekin rababababa
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamamama
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamaye

uyu ni poze sio, sio Rozay uyu ni pozee
uyu ni poze sio, sio Rozay uyu ni pozee
Ei bora uhai, eh bora uhai

Tey tekin rababababa
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamamama
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamaye

a

No comments:

Post a Comment