Sunday 23 December 2018

SAMANTHA LYRICS BY OTILE BROWN



Teddy B..
Mmmh.. mhhh..
Rangi ya mtome ndo bei
Rangi ya mtome ndo bei
Ngozi yake laini, hmmhhh



Kiuno chake cha kipekee

Kiuno chake cha kipekee
Yaani figa nane kamili
Hmmhhh



Tena magari yanabishana kwao

Usiku na mchana
Washika dau na wasanifu oooho
Mimi namlaumu mama, yako
Ulo ridhi matatizo
Uzuri wako swaserii
Ooooh hmmmhh



Samantha, Samantha

Samantha oooh baby
Baby you are my Samantha
Samantha, Samantha
Uzuri wako timilifu
Samantha oooh beiby



Hey nilipokuona

Nilijua wewe ndo wangu
Wala macho yangu hayakunidanganya, hmmh
Sasa nisipokuona kama ninakosa kanisa
Naogopa utanipora



Samahani kama

Nakuhukumu vibaya
My beiby, ni kwa sababu nakupenda
Na najua unanipenda
Tatizo wivu ninao
Mmmh beiby, basi tusonge lala



Hakika ulivyojaza hilo tattoo

Mimi macho kondo
Utuapo madem hawakai
Basi nipige game hadi ufurahi
Wewe kiboko
Mwalimu wako fundi hatari



Samantha, Samantha

Samantha oooh baby
Baby you are my Samantha
Samantha, Samantha



Uzuri wako timilifu

Samantha oooh beiby
Samantha, Samantha
Samantha oooh baby
Baby you are my Samantha
Samantha, Samantha



Uzuri wako timilifu

Samantha oooh beiby
Badman girl show me badman thing
Badman girl show me badman thing
Badman girl do the badman thing
Badman girl do the badman thing
Badman girl show me badman thing

Sunday 16 December 2018

NATIRIRIKA LYRICS BY ASLAY



Iye Lalalalala..
Lololololo..
Mmmmmhhh...

Sina nguvu ya kuleta matala
Mi kwako fala, Sijiwezi hata kidogo
We nipige hata kwenye hadhara
Mi bado fala,
Sikuachi hata kidogo

Nimesimama nakupenda peke yako
Nilikula ujana Ila kwako nimefunga kwato
Kamwambie na mama Kwamba mimi ndo mpenzi wako 
Waharibu ndugu lawama Penzi letu kuligusa mwiko

Natiririka(iyeee)
Natiririka mama natiririka
Uzani umezidi wa wa kilo(kilooo)
Natiririka, Natiririka mama natiririka
Maji ya shingo yamenifika Natiririka
Natiririka  mama natiririka Yamenifika(oooh)
Natiririka, Natiririka  mama natiririka
Ananipa nacho taka

ndo maaana Simba nimekuwa farasi mnyonge
Bouncer anaepelekwa puta na mende
Yuko wapi mganga wako niende
Nataka nimpeke zawadi kilinge atulie

Na nilikuwa mkata
Ila kwako kidomodomo
Nimekataa nimekataa
Na nilikuwa matata
Ila kwako mtoto
Natamba natamba

Nimesimama nakupenda peke yako
Nilikula ujana
Ila kwako nimefunga kwato
Kamwambie na mama
Kwamba mimi ndo mpenzi wako
Waharibu ndugu lawama
Penzi letu kuligusa mwiko

Natiririka(iyeee)
Natiririka mama natiririka
Uzani umezidi wa wa kilo(kilooo)
Natiririka, Natiririka mama natiririka
Maji ya shingo yamenifika
Natiririka, Natiririka  mama natiririka
Yamenifika(oooh) Natiririka
Natiririka  mama natiririka
Ananipa nacho taka ndo maaana

Natiririka, natiririka Mama
natiririka Mzani umezidiwa kilo kilo
Natiririka, natiririka  mama natiririka
Maji ya shingo yamenifika natiririka
Natiririka, natiririka  mama natiririka
Ananipa nacho taka ndo maaana
Punguza dozi utakuja niua
mwana wa mwenzio
Unanipeleka mperampera

Saturday 15 December 2018

IOKOTE LYRICS BY MAUA SAMA X HANSTONE



Maua Sama:

Hey... Hey .. ooooh...
Oh Baby niruhusu tufanane
Huku nikiamini one day utanioa
baby nikikuona nabanwa na haja
Baby nakuwanga kitoto ng'aa ng'aa
Tell me, nikipi chakupa mawazo
Oh baby wakati nakutunuku Mia Mia

Maua x Hanstone
Bridge:
Kwa kichomi nikande
Kwa Moto baridi zigande
Kama ruba nigande tuwe wote
Ah come baby come bae
Msumari kwa nyundo nigongee
Oh Monday to Sunday I love you...

Chorus:
Basi iokote
Sio kwa bedi, kwa kochi, kitanda naichumia
Iokote
Nikiona kwa juu chini naizamia
iokote
Sungura Nipe karoti maharage sijazoea
Iokote
Nakunja goti napandisha Mori nachechemea
Oh yeah baby baby....

Hanstone:
Ukitoka kuoga nitengee ya Moto Moto
Tingamo ka kitengee tutoke mtoko
Ahh boda kwa boda tutembee chocho kwa chocho
Tena nikichoka nibebee mie kwako mtoto
Rafudhi ya Pemba rangi rangi ahee
Nywele ya kihindi chambi chambi naree
Cheza rafu Kona Bambi mpoko mpokovu

Maua Sama:
Refa katupa penalti aah aaheeeh
Mpira ushawekwa kati aah aaheeh
Nahitaji magoli kwa chenga zako
Piga shuti nikudakie

Bridge:
Kwa kichomi nikande
Kwa Moto baridi zigande
Kama ruba nkugande tuwe wote
Oh come baby come bae
Msumari kwa nyundo nkugongee
Oh Monday to Sunday I love you ..

Chorus:
Basi iokote
Sio kwa bedi, kwa kochi, kitanda naichumia
Iokote
Nikiona kwa juu chini naizamia
iokote
Sungura Nipe karoti maharage sijazoea
Iokote
Nakunja goti napandisha Mori nachechemea
Oh yeah baby baby a

ALKAIDA LYRICS BY WILLY PAUL



Willy pozee Alkaida,
 nimelipuka kama bomb Alkaida,
 samahani nikikuboo Alkaida, 
nitakupiga ukonde boy Alkaida (pozeee) 

Alkaida, 
nanukia ka cologne 
Nivute kama ndom 
Mi ni yule king of flow** 
call me commando 
Kazi ni kuimba tu na kumake doh

Tena ananikalia kuna na aibu 
Anaogopa sana asipate aibu 
Naomba hii imfikie hadi chibu
Na wote wajue kuna jitu 

Kuna watu wenye roho mbaya
Hawapendi ona ukipenya 
But nabisha kila door 
Ata waninyonge koo 
Mimi ndo  the king of flow 
And they know

Kwenye mitandao nipo tu kila sehemu
Vijijini na mataoni (aah kila sehem)
Radio, TV,  niko pia kwenye system
Ngangari kama root na stem 

Alkaida, nimelipuka kama bomb
Alkaida, samahani nikikuboo 
Alkaida, nitakupiga ukonde boy


Alkaida Alkaida, najiamini ndumeAlkaida (pozee)
 Alkaida na kama ww ni ndume Alkaida(jibu) 

Kama kuna ndume naomba nijibu 
Usifanye tabia za kiaibu 
Huyu ni willy poze mr ibubu 
Just incase ulijisahaulisha 

Unajaribu kufunga njia zangu za afrika (Afrika ya mama) 
Unasahau wewe sio sio mungu baba (sio mungu baba) 

Umekwama plan a Niko plan b 
Mungu amefungua njia ata na cardi b 
Kuna rihananana (my rihananana eeh pia) 

Alkaida, nimelipuka kama bomb 
Alkaida, samahani nikikuboo 
Alkaida, nitakupiga ukonde boy 
Alkaida 

Alkaida, nimelipuka kama bomb 
Alkaida, samahani nikikuboo 
Alkaida, nitakupiga ukonde boy 
Alkaida Alkaida, najiamini ndume 
Alkaida(pozee) 
Alkaida na kama ww ni ndume 
Alkaida (jibu) a

PARANAWE LYRICS BY HARMONIZE X RAYVANNY


(yawe ya)
Ayo lizer

kwenye darkness
kwenye Candle
professional wa ku handle
the way you take me to the angle
wewe ni human being ama angel

if you want my heart oooh
I give you baby carry go
kidogo changu ndo chako
Ongeza njonjo madoido

(aah eeeeeh!)
my sheri koko
Kwa baridi nipe joto
(aah eeeeeh!)
kisha tupate kimoko
babu,bibi, kura doto
(aah eeeeeh!)

my sheri koko
Kwa baridi nipe joto
(aah eeeeeh!)
kisha tupate kimoko
babu,bibi, kura doto
(aah eeeeeh!)

(paranawe paranawe)
I want to see you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
(paranawe paranawe)

(Vanny Boy)
hivi unasokota jicho lako
legelege lina dondoka
(nakuuulizaa…)
hivi una ka motor
panga boy
chenga jay jay
ooh kocha
(wanimaliza…)

pretty gal, nasty
nitasema sorry nikimbeza
ata kama nyuma umetegwa pasi
sura mbaya dawa yake makeup

uweke wembe nitakula kiporo
nimeshapenda sijui kasoro
jirembe uwe mwororo
kama huna shepu vaa kigodoro

if you want my heart oooh
I give you baby carry go
kidogo changu ndo chako
Ongeza njonjo madoido(oooh)
(aah eeeeeh!)

my sheri koko
Kwa baridi nipe joto
(aah eeeeeh!)
ndo uitwange kokoto
pekupeku kama mpoto

(paranawe paranawe)
I want to see you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
paranawe(noga) paranawe(noga)
I like the way you dancing
paranawe(noga) paranawe

Anaeka sweeti
katamu mi nakajuwa uwa
na kanavyo jishaua uwa
ulimi picky
sinapo na vimaua ua
midomo denda ngozi muruwa uwa

awusha ashawa
pauka pakawa
inuka pagawa (eeeeee….)
zinduka mandawa
pinduka kagawa
karuka mabawa
I want to see you dancing
(paranawe paranawe)
I want to see you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
paranawe(noga) paranawe(noga)

Woiyooo Woiyoyo
Woiyooo Woiyoyo
Shake what your mama gave you
cheki wanaona wivu


a

KADOGO LYRICS BY ALIKIBA



Aaaaah
ivo ivo yoyooh
eeeeeeeh

kadogo kanapenda keroro keroro keroro
kadogo kanapenda keroro
kembamba kadogodogo kanapenda keroro

nikamuuliza anatoka 254
mombasa kwa wajanja janja
ananikosha rohoo

she must be there, be there
wow woooh kadogo dogo

unawakata machat
unawakata mafans
unanikulia papo sio
unawakata mapost,
unawakata mapost
unanikulia papo sio

unawakata machat
unawakata mafans
unanikulia papo sio
unawakata mapost,
unawakata mapost
unanikulia papo sio

kadogo kanapenda keroro keroro keroro
kadogo kanapenda keroro
kembamba kadogodogo kanapenda keroro ooh

akaja mbogo aah
akaja akaja mbogo keroro
akindrink anayumbayumba keroro
naskia ni love sio kidogo
anaweza alaf anakosha

na vile vilee eeeh
anavyo anansongaa anankosha
she must be there, be there
wow woooh kadogo dogo

unawakata machat
unawakata mafans
unanikulia papo sio
unawakata mapost,
unawakata mapost
unanikulia papo sio yeh baba

kadogo kanapenda keroro keroro keroro
kadogo kanapenda keroro
kembamba kadogodogo kanapenda keroro ooh

yeah kadogo dogo kananimalizaaa
kananikoshaaa roho 
kadogo kadogo dogo
kananimalizaaa nikoshaa rohoo
roho yangu weeeh


a

Saturday 17 November 2018

FREE LYRICS BY NYASHINSKI



Yeah sawasawa
Nisaidie tu
Tuko works kama kawa chill chill
K the great

Can I be free relax and take easy
We only live one life
So live your life ooh ooh
For yah you know am right yeah

Welcome to better ideas yeah
Gal don't just fantasize yeah
Light up and free your mind yeah

Ata ka unipendi
Unajua ni nani beast apa
Na level za udeadly
Hukua unajua zinaexist ata
Nakuombea daily
Ufike mahali una aim

Before nirudi nijenge na v8 baba
Before they play
me nionyeshe mahali snakes
(Mahali snakes wako)
Surgery hutoana my mistakes
(Inaitwa surgery)
Unaeza acha kucomplain
(Acha kucomplain)
Usiwahi danganya saidieni main

Can I be free relax and take easy
We only live one life
So live your life ooh ooh
For yah you know am right yeah

Welcome to better ideas yeah
Gal don't just fantasize yeah
Light up and free your mind yeah

So dry your tears
daddy don't you worry
Bubu have no fears
Mum said pinga kazi
While am young and strong
I say for you I will be
Strong for a thousand years

Style zangu ni medley
Nyash huwanga mdeadly
Ma rapper wanaona movie
Nyash we hukuanga Jetli
Singa ama ni MC
Zangu zina message
Zao hazina ziko empty
Nyash huwanga mzii (yeah)

Here I go
Geuza flow mwisho wa mwezi
Kuna njeve but atleast kuna doh
Ngoma zote wataandika kunidiss zitabore
Nambie nani amekupea
These many hits in a row row row

Dance for me baby (ooh yeah)
Just dance for me baby (ooh yeah)

Mi ni jina kubwa
Labda tuzungumze na babako
Ngari kubwa umaanishanga
Utaitishwa za macho
Buy mtumba ukihope
Haijabeba hukikulacho

Vibes tu nakupa
Ka unapenda jenga hustle
Lines tu zinakuja
Utasurrender K'mamako
Ni like tu atakama
Nimeweka word mbaya hapo

Hii night ikue true
Hadi kesho ujione kwa mpasho
Hii life huwezi jua so tonight

Can I be free relax and take easy
We only live one life
So live your life ooh ooh
For yah you know am right yeah

Welcome to better ideas yeah
Gal don't just fantasize yeah
Light up and free your mind yeah

Ooh can I be free
(Ooh can I be free)
Relax make easy
(Relax and take easy)
We only get one life
(We only get one life)

So live your life (ooh ooh)
For yah you know am right (yeah)
Welcome to paradise a

Tuesday 13 November 2018

FINYO LYRICS BY NYASHINSKI



Hodi kwa mama mtoto mkorofi
acha nikwambie ka unataka
Kuona machozi wa mtoto mchokozi.
Itabidi uongeze pili pili kwa Biriani

Otherwise ka sivyo wanachama
Watuliangi aaah tu tuliangi
Na ndukulu ni bangi
Na ina harufu mbaya aaah

Inaudhi majirani
Lakini aidhuru ni sawa aaah
Wacha wahamie mashinani
Ka inawadhuru vibaya
Zinatubastia ka bomb bomb kwa kona

Mimi Nina squad ...
Iko chrome na makonmen na wakora
Wanadiploma zakufunguanisha grogan ma corola

Na bado mnasorora vile amna Talent
Mmegeuza Sodoma na ngomora
Vuta hio trouser juu
Uache kutuonyesha tako
Vuta hio mini chini
Unamhaibisha mama
Ka unatafuta Yule anajua kupika uji
Sio kupiga picha uchi

Unfollow nyako
Follow nyayako ukitaka nyama
Hapa sawa chief hii buchari inaitwa ?
Usiwahi blunder na sisi uwanga ready ka skanga

Bonga shit utatandikwa ka kitambaa bedcover
Ama handkerchief

If your God is money
Then you are poor to me
I have aaah feeling
You are not who you pretend to be on IG

Kutoka nursery have been a winner
Msinieke gasoline na bado mjazima
Moto niliwasha ooh 03
Nakam na finyoo
Macho macho finyoo ooh
Ndivyo tuna Finyoo
Pasito na Finyo
Mwendo tuna
Mwenye tuna
Finyo sanaa aaah

Be ready for the word
As it's ready for you
Waiting your girl
As it's waits for you

Uliskia type yako ka..
Mabachela sijui ka ni true
IG bae ni ule carpenter
I feel ka ni true

Kureason si umang'aa
Ujinga ndio si ukataa
Sacrifice ni kuifanya for
Family sio chapaa aaah
Greatness ni kuamkia legacy
Sio chapaa.
Siwezi kuwa juu ya Thao
Ka kwangu Thao sio chapaa

My apartment is in Amsterdam
Certified rastaman
Aki sometime na hang
I feel like am sadam
I feel like am the best
Me kumake man impress zii
Kufake happiness zii

Mi ni mmerciless am iiih
Na nitawatesa until mkubali kesi
Ka sitaku impress na skill
Ni pamba freshi

Ukidai tuingie commercial still
Nakuwanga messy
Prepare kuingia kwa battle field na mwanajeshi
Hii ndio inaitwa one shot kill
Nafeelingi fiti nikiwamada
Ki action action film
Na believe hii muziki itanibuyia
Mansion still na ...

If your God is money
Then you are poor to me
I have aaah feeling
You are not who you pretend to be on IG

Kutoka nursery have been a winner
Msinieke gasoline na bado mjazima
Moto niliwasha ooh 03
Nakam na finyoo
Macho macho finyoo ooh
Ndivyo tuna Finyoo
Pasito na Finyo
Mwendo tuna
Mwenye tuna
Finyo sanaa aaah

Mwanaume aseme hii shamba siwezi lima
Nakam na plough mbili
Hiyo ingine ni ya finyo pekee (hahaha)

Nikona issue ikiwa juu yangu ka sio kofia
Kwa maissue za vitabu za historia
Jina yangu watoi wako wataisoma pia

Ata ka utadedi ukisema hukuwahi nisikia
Nishakuskia kila year ukilia
Utarun next year si this year
Palianza kulia " walai this year "
Next year nitakuhit niko high juu Niko hai this year
Sitakuwa hai next year juu nitakua high next year

Excuse excuse me
Please sorry Thank you
Mission impossible
Kifo ni ngori job.

Na isikupate ukitry too hard to be perfect
Sometime jipe ruhusa tu kuwa ratchet
Smile is bado ujapita budget
Na ka umepita ficha shida chini ya carpet

Inapiga inapiga eeh kushinda earthquake
Inapiga inapiga eeh kushinda earthquake
Watu na race nao wameshindwa kushusha landbrake
Uhunye na Rao wamepiga handshake a

Sunday 11 November 2018

MWANZA LYRICS BY RAYVANNY FT DIAMOMD PLATNUMZ



Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi

Oyah wind your waist
Njoo nikupatie Comando
Nikupe cha mkwesi
Nikupe cha mkwesi
Kwa miuno ya Taikwondo

Asa chekele mwendo wa kandanda
Ndani ya nakwanda sa nisongee
Leta msambwanda nikazie
Ngangangaaa chiiii

Kana nivuta gheto
Nikapinge bunduki
High bunduki
Ile naogopa centre
Michezo ya amber rutti amber rutti

Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi
Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi

Yaani kama mjaluo shape ya mombasa
Hapendagi mpasuo
Hata akishinda basata

Tepe tape mtoto kama supu
Teke teke kongoro
Kwa mateke mwite fally pupa
Wa temeke

Dombolo shaku shaku ya masai
Ooh masai kama kama nachuma papai
Ooh papai

Funika funua twendelee
Bandika bandua twendeee
Anika anua twendee
Kanipa chukua twendee

Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi
Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi

Ooh sa iweke
Aah iweke iweke aaah iwekeee
Ipitishe kwa chini
Aah iweke iweke aaah iwekeee
Miendo ya kazi kazini

Aah iweke iweke aaah iwekeee
Hii Ile ndindindii
Aaah iweke iweke aaah iwekeee
Ngoja shake it ivoo

Aaah iweke iweke aah iwekee
Twende shaku kidogo
Aaah iweke iweke aah iwekee
Chuma magimbimbi

Aah iweke iweke aaah iwekeee
a

Monday 22 October 2018

DIAMOND PLATNUMZ BAIKOKO LYRICS


[Verse 1]
I say....!
Baby you like Yemi Alade
I know.....
Yeeh! Unampenda mtoto wa Kambarage
Diamond!
Aaah Ah! Ah!
When you de dance dance
Sakata!
Uno la mwendo kasi
Matata!!
Moyo unabust bust
Prakataa!
Najawa na wasiwasi
Mashaka!
Temptation takes me far away (Aaaah Ah!)
Imagination kissing night and day

[Bridge]
Ukitaka kunyoga babe
Ninogeshe!
Au koga babe
Nikuogeshe!
Nikubebe kama bag
Nibebeshe!
Nikutupe kwenye bed
Nikuonjeshe!

[Chorus]
Sa nionyeshe unavyocheza
Baikoko!
Show me how you dance
Baikoko!
Unavyocheza aah!
Ooh Baikoko!
Tururu turu
Baikoko!
Make it bounce
Baikoko!
Asa dance baby
Baikoko!
Yeah Eeeh Eh!
Ooh Baikoko!
Tururu tururu

[Verse 2]
Yeey!
Navyotafunaga zagazaga
Songomingo kwa chagachaga
Yani kama gomba nasagasaga
Anageuka bomba anamwagamwaga
Eeeh!
Babe ukithubutu tu
Kuniacha huruma
Moyo utautia ukurutu
Sitauweza ukuna

[Bridge]
Ukitaka kunyoga babe
Ninogeshe!
Oh! koga babe
Nikuogeshe!
Nikubebe kama bag
Nibebeshe!
Nikutupe kwenye bed
Nikuonjeshe!

[Chorus]
Sa nionyeshe unavyocheza
Baikoko!
Show me how you dance
Baikoko!
Unavyocheza aah!
Ooh Baikoko!
Tururu turu
Baikoko!
Make it bounce
Baikoko!
Hasa dance baby
Baikoko!
Yeah Eeeh Eh!
Ooh Baikoko!
Tururu tururu

[Hook]
Ooh! Kwasa Kwasa
Kwasakwa my heart ooh!
Ooh! Kwasa Kwasa
The girl that i want ooh!
Ooh! Kwasa Kwasa
Kwasakwa my heart ooh!
The girl that i want ooh!
Yeey!
Navyotafunaga zagazaga
Songomingo kwa chagachaga
Yani kama gomba nasagasaga
Anageuka bomba anamwagamwaga
Eeeh

[Chorus]
Sa nionyeshe unavyocheza
Baikoko!
Show me how you dance
Baikoko!
Unavyocheza aah!
Ooh Baikoko!
Tururu turu
Baikoko!
Make it bounce
Baikoko!
Hasa dance baby
Baikoko!
Yeah Eeeh Eh!
Ooh Baikoko!
Tururu tururu

Saturday 29 September 2018

JUU YA NGORI LYRICS BY KHALIGRAPH JONES



Kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (raah)
kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (iyee)

kama unangori, (kama unangori)
me sina worry, (me sina worry)
me sina worry, (me sina worry)
juu nitakukokia feng

ngoma zangu - ngori (eeh)
flow nayo - ngori, (flow)
nguo nazo - ngori, (wuu)
kadem nako - ngori, (haa)
juu ya ngori - ngori, (buda)
ati nini - ngori ,(ngori)
ngori ngori - ngori, (ngori)
ngori ndori - ngori. (haa)

flow nayo - ngori,
shot nayo - ngori
(kila kitu - ngori,)X2
nairobi - ngori,
254 - ngori
eeh eeh - ngori
juu ya ngori - ngori

yeah, ushaijua vile unaeza kuleta ngori,
ukileta ngori, uku ni ngori joh
unatabia za kishodi shodi
kesi na OG ni horrible.

morio, hukumbuki juzi ni nini ilifanyika kwa corridor
ulijaribu kuziba ngori, kumbe nilikuwa nishakutoa corridor
sorry bro, hatuko kimoja, saa me niko category soo.
niko na akina sokodi, kaa unacopy then i just told you so
no worries though, testimony imefanya nijue za kodi msoo,
90 percent of you rappers, bado mnazimwa na shorti kaa notiflow

but know tukienda kigongi kombi
kuje na packo ya condico
Nairobians know vile nikona mapepo
nahitaji maombi boss
kila siku me na mourn medoss,
ndo reason nifuatwe na horny horse
my life is like a movie,

(wuuh) wacha niwapatie chronicles
so stay on your lane kaa doriko
juu simple utapigwa makofi bros
skotoshi knows ilibidi baki
nimekuwa nikiziaforfdi koo
mapro ni pro, form ni show
nilidhani itakua impossible.
instead kutype kwa simu,
we nitafute kaa ukona ngori joh

Kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (raah)
kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (iyee)

me sina worry, (me sina worry) X3
juu ninakukokia feng

ngoma zangu - ngori (eeh)
flow nayo - ngori, (flow)
nguo nazo - ngori, (wuu)
kadem nako - ngori, (haa)
juu ya ngori - ngori, (buda)
ati nini - ngori ,(ngori)
ngori ngori - ngori, (ngori)
ngori ndori - ngori.

kama unangori, (kama unangori)
usichoche kwa twitter na insta story,
name a location nikuje katambe,
twitter fingers tunajua ni boring.

kama unangori, (kama unangori)
tukuchatishe na mateke na dondi
kama ni kudiss mliona nini
nilifanyia vera na Eric omondi

kama  unangori, (kama unangori)
Tukikutana usijifanye Holy
juu nitakuchangamkia ukoro
na wale ninja umeseti kwa koyi

kama unangori, (kama unangori)
hakikisha unatembea na mboggi
juu wale kiawa wananitambua
si wale hudance hizo ngoma za odi

shine on nimepita na Glory
jwang inapiga nikiwa na mashodi,
nipate mollys,mimi na mollys on
the purple kama Francis Atwoli
hapa ni teke hakuna cha slowly,
me sina time kama mbota
si rolling nikisema nikona kimuthongi

ujue si challenge ya Kobi.
si ndio waswang ya tonj ya mbono
tunawaimgiza na ii Origi
si ndio hupita na vibeti kwa mkono
si ndio huongelewa daily TV.
si ndo con wa Tao.
pata potea na base ni stage ya Bangu
supplier wa nyama ya paka
mlikuwa mnaekelewa kwa sambu

so kama ni ngori jua ni
akina nani unadeal na wao
coz none of my niggas
are keeping it 100
zetu ni mabills za thao

so before muulize nani amekafunga
kwanza mjue nani amevunja rekodi
izo pang'ang'a kujicompare na
me haziwezi nyi ni matothi

Kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (raah)
kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (iyee)

kama unangori, (kama unangori)
me sina worry, (me sina worry)
me sina worry, (me sina worry)
juu nitakukokia feng

Kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (raah)
kama unangori, (kama unangori)
kuja na mboggi na theng. (iyee)

me sina worry, (me sina worry) X3
juu ninakukokia feng

ngoma zangu - ngori (eeh)
flow nayo - ngori, (flow)
nguo nazo - ngori, (wuu)
kadem nako - ngori, (haa)
juu ya ngori - ngori, (buda)
ati nini - ngori ,(ngori)
ngori ngori - ngori, (ngori)
ngori ndori - ngori. (haa)

flow nayo - ngori
short nayo - ngori
(kila kitu - ngori) X2

Nairobi - ngori,
254 - ngori,
eeh eeh - ngori,
juu ya ngori - ngori


a

Monday 17 September 2018

NIACHENI LYRICS BY OTILE BROWN



maneno yatanichoma moyo ila hayawezi kunizui
ungeshanitoa roho neno lako lingekua sheria
tena nidhairi nidhairi utanichukia
japo sijui ni kwa nini maana sababu zangu za kuondoka unazijua
tena nizamsingi.

tatizo hisia zangu haziheshimiwi
mama nakujuwaa
usijifanye eti hujui tatizo mimba yangu ulioitoa

niacheni msione nipo kimya mwezenu nina mengi
wacha nilie na moyo wangu maneno maneno mingi sipendi

i will do better, better, better
i will do better, better, better
tena hauna shukurani utasemaje sikukupenda
nikutumie kwa msingi gani wakati ulinikuta na tesa

nilivyo kupenda na shidi zako mama
na madhaifu yako mama
nikapigana ata vita vyako mama
nikuridhie

nilivyo kupenda na shidi zako mama
na madhaifu yako mama
nikapigana ata vita vyako mama
nikuridhie

niacheni msione nipo kimya mwezenu nina mengi
wacha nilie na moyo wangu maneno maneno mingi sipendi
niacheni msione nipo kimya mwezenu nina mengi
wacha nilie na moyo wangu maneno maneno mingi sipendi

i will do better, better, better
i will do better, better, better
tena hauna shukurani utasemaje sikukupenda
nikutumie kwa msingi gani wakati ulinikuta na tesa a

TWO IN ONE LYRICS BY NAIBOI



A1, A1, A1
For the money
two for the shawties
A1 two for the shawties Naiboi

si Beiby now we are two in one (2 in 1)
we are two in one (2 in 1)
when am away you call me (call me)
i call you (call you)
nikikumiss nakam through (iye) to pick you
coz beiby now we are two in one (2 in 1 iye)
we are 2 in 1

A1, A1, A1
For the money
two for the shawties X2

nikiwa mbali siwezi concentrate
ooh beiby gal you gotta hold on i make it.
look hata kidogo nikama ni everyday
beiby wacha mchezo hebu come my way (mmh)

you man a good man side to show
kama haujaijua mummy now you know
ukiwa nami wanishika moo
ndani ndani mpaka kwa roho

ooh beiby come slowly go slowly (eeh)
my electric shock will shock on you
come slowly go slowly (eeh)

si Beiby now we are two in one (2 in 1)
we are two in one (2 in 1)
when am away you call me (call me)
i call you (call you)
nikikumiss nakam through (iye) to pick you
coz beiby now we are two in one (2 in 1 iye)
we are 2 in 1

A1, A1, A1
For the money
two for the shawties X2

na tunawapa pole (iye)
mastory za obore (iye)
wape kitabu wakasome (beiby)
wamalize na mayowe

wanaleta chuki chuki
chuki chuki aaah eeeh
ooh beiby you looky looky
looky looky fine (ki-design eeh)

come slowly go slowly (eeh)
my electric shock will shock on you
come slowly go slowly (eeh)

si Beiby now we are two in one (2 in 1)
we are two in one (2 in 1)
when am away you call me (call me)
i call you (call you)
nikikumiss nakam through (iye) to pick you
coz beiby now we are two in one (2 in 1 iye)
we are 2 in 1

A1, A1, A1
For the money
two for the shawties X2

i look you beiby, you diggy me polepole pole
i feel you beiby, you feel me polepole pole

everything about you beiby am loving
show them, show them, show them
ooh you complete me, you complete me

si Beiby now we are two in one (2 in 1)
we are two in one (2 in 1)
when am away you call me (call me)
i call you (call you)
nikikumiss nakam through (iye) to pick you
coz beiby now we are two in one (2 in 1 iye)
we are 2 in 1

A1, A1, A1
For the money
two for the shawties X2

a

Friday 14 September 2018

WHY LYRICS BY BEN POL FT HARMONIZE



Ndugu zangu napata, malipo ya usaliti
yakupendwa lakini ikawa sipendeki
sikujua machungu makali kiasi hiki

hii dozi inatibu vilivyo
me staki ooh why
umenifanya nawaza
wangapi ninaowatenda
kila nikikumbuka
najiona mashamba

nguvu zinaniisha
siwezi hata kusimama
kinacho nisikitisha
nastahili haya nguvu zinaniisha
siwezi ata kusimama
kinacho nisikitisha
nastahili haya

why why why why ooh
why why why why ooh
why why why why ooh
why why why why ooh
silali silali silali fofofo X2

ona hayaniishi mawazo ahh
nyingi zinajirudia ahh
penzi lake ndio chanzo ahh
mmmh malipo ni duniani
ahela kuhesabiwa
me nipo bado rehani
nimejitela mwanamkiwa
eeh mmmh

zile heshima kuninyenyekea
nikamuona si chochote kwangu aah
eti maziwa nikampotezea
nilivyomaliza tu shida zangu aah
ukimuona mwambieni
najiuguza najutia

tena najiona limbukeni
yamenifunza ya dunia
yale machozi yasiyo na hatia
yananisurubu (majonzi)
upweke na jiinamia
nimeisha tubu nisamehe

why why why why ooh
why why why why ooh
why why why why ooh
why why why why ooh
silali silali silali fofofo X2

ona hayaniishi mawazo aah
penzi lake ndio chanzo  aah
nguvu zinaniisha
siwezi ata kusimama
kinacho nisikitisha
nastahili haya

a

BORA UHAI LYRICS BY WILLY PAUL FT KHALIGRAPH JONES



Mmmmh mamamama
uuuuuuh mamamama
Uh mamama

uyu ni poze sio, sio Rozay uyu ni pozee
uyu ni poze sio, sio Rozay uyu ni pozee
ieeea

sijui ni shaku ama ni kuku
wananitingi tingi kama bantu
some people make me go crazy
wananiita ata ngombe

wananifollow willy willy kama drama
utadhani mimi willy instagramer
wanauliza naendesha gari gani
ni ipi ma ama ile benz

wanauliza mimi naishi nyumba gani
ni Runda one ama Runda mbili
wananiuliza nahubiri injili gani
injili ya mwokozi ama ya mabinti
but asante mungu kwa uhai
Ei, mmh bora uhai

Tey tekin rababababa
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamamama
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamaye

Napokea baraka toka most high (bora uhai)
ndae, big mansion iko close by (bora uhai)
and a private jet men i dont lie (bora uhai)
hii yote bila white collar ama bow tie

husemanga God husaidia wale ujipea motisha
so call me David vile mkono narudisha
nasema Asante na si pupa msee, so wivu ya nini
na atakupa, that is, if can pray

na ata ka ninawabore
nikishinda niwatajia Kayole
bora ujue sina ngore
Bado tunashine
ama vipi poze

kushine tunashine ama vipi OG
kuna mwenyezi tuko fiti OG
wenye roho mbaya tunawaeka fitti
hatuwakanyangi feet-Ndi
ndio baraka zikikam waona kwa mbali
wabaki wakilia kama tumbili ieeee

i got the congregation saying
uyu Pastor ni moto, nikitibu nakafunga
mi si daktari msoto
brand international, sa staki local
bora uhai whether chai cudburry coco

Tey tekin rababababa
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamamama
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamaye

uyu ni poze sio, sio Rozay uyu ni pozee
uyu ni poze sio, sio Rozay uyu ni pozee
Ei bora uhai, eh bora uhai

Tey tekin rababababa
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamamama
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamaye

a

KWATU LYRICS BY ASLAY



Mmwaaah mmwaaah mmwaaah

Baby mi na we nganganga
Usije ukaenda kwa mgaga
Dj ebu piga charanga tuchezee
Wanauliza maswali
Tuwajibu kwa vitendo

Waambieee wajue
Mi kwako nishatia nangaaa
Fumba macho usije danga
Utaniumiza roho
Nikila korosho
Kula karanga, tuzimeze ooh
Usiniache nitatangatanga
Yatima ooh

Unionyeshe alokufunza nyakanga
Kitandani ooh

Nimeona wengi sana
Wazuri sana
Ila kwako nimekwama
Sijatereza kukuchagua
Nichochee, nichochee
Kama moto unichochee

Kwatu
Roho yangu kwatuu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu kwatu
Roho yangu kwatu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu

Ukiwa mbali mwili wote unapooza
Nahisi kama nimekufa na tayari nishaoza
Chai sukari

Mupenzi hebu koleza  Usije ukakurupuka ukajaniacha kwa jeneza
Familia yangu iko polisi inakutafuta wewe
Nasikia unabonge la kesi la kuniteka mie
oooh loo loo loooh
La kuniteka mie
aaaaaah aaaaah aaaaaaaaah
Wambie wajue
Mi kwako nishatia nangaa
Nimeona wengi sana
Wazuri sana
Ila kwako nimekwama
Sijatereza kukuchagua
Nichochee, nichochee
Kama moto unichochee
Vunja mifupa kama meno ipooo

Kwatu
Roho yangu kwatuu
Kua na wewe

Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu kwatu
Roho yangu kwatu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu

Nikishika kiuno
Unishika mabega
ayayaaah
Unavonigusa kokote mwenzako naregea
ayayaaaaaah
Baby humo humo
Uliponishikia
ayayaaaayaah
ayayayaaayaah

waambie wajue mi kwako nishatia nangaaaa  a

Sunday 26 August 2018

JIBEBE LYRICS BY WCB WASAFI FT DIAMOND PLATNUMZ $ MBOSSO $ LAVALAVA



Intro:
Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee

Verse 1 : Diamon platnumz

i say wee ngoja nijiseti, siwalisusa nakula
fanya wainama kisha rotate, tuwakunjishe na sura
leo shimo limetema nimeshinda beti (shinda beti)
tuwaoneshe sinema wakina fetty

Hook up : Diamond platnumz
asaa joo nijoo (i like it)
when i dance jogodo  ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kouno lasotojo (i like it)
baby joo joo joo  ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kifupa joghodo ( i like it)
Uno lasotojo ( i like it)

Chorus : Diamond platnumz
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee

oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee

Verse 2: Lava lava

anhee!!!
nataka kwenye pachu pachu
  (pachu pachu)
kitandani mwendo  kwachu kwachu
(kwachu kwachu)
nichanganye wauone niwe fyatu fyatu
(fyatu fyatu)
 ilipenzi walikumoe washakunaku
(shakunaku)

enh baby sankololo (ennhee)
kerewa (ennhee)
naija soco soco

asa ndombolo (ennhee)
malewa (ennhee)
aya loco loco

mikwako shoti ya takila lewa vimba(vimba)
nikuchekeshe kama gwakila mkudesimba

Hook up : Diamond platnumz
asaa joo nijoo (i like it)
when i dance jogodo  (i like it)
anh jinkolo jinkologo ( i like it)
kouno lasotojo (i like it)
baby joo joo joo  (i like it)
anh jinkolo jinkologo ( i like it)
kifupa joghodo ( i like it)
Uno lasotojo (i like it)

(Chorus : Diamond platnumz)
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee

oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee


Verse 3: Mbosso
oh darling
 nipe chuzi lachuku chuku ninywe bakuli zima
mshede mtukutu azame kwenye kisima
fatuma wee kishtobe
mwite aisha miugunoee
alivo nyonde nyonde kama gobe
nimshindue na miunoee

twende kopa kabana (nheee)
kupumuana nana (nheee)
kwakugandana ( i like it)
nimufuate banna (nheee)
kwani nananaa (nheee)
tukikanana ( i like it)

Baby papasa kichwa jusi kafiri nisafishe mtaro
naulivo jaza nyuma kilo mbili nyanya za mataro

Hook up : Diamond platnumz
asaa joo nijoo (i like it)
when i dance jogodo  ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kouno lasotojo ( i like it)
baby joo joo joo  ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kifupa joghodo (i like it)
Uno lasotojo (i like it)

Chorus : Diamond platnumz
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee

oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee a