Thursday 22 June 2017

I MISS YOU LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ

Song written by Diamond Platnumz 
The beat was produced by LIZER CLASSIC from Tanzania from Wasafi Records
The Video was shot in Johannesburg, South Africa by NIC

SONG: I MISS YOU

LYRICS


hello hapo vipi sijui unaniskia
hello nina maneno natamani kukwambia
hello tafadhali usije nikatia
hello ona mpaka nasahau kusalimia

habari gani leo nimekukumbuka sana
na mama yangu twakuwazagaa
vipi nyumbali hali ya mumeo na wana
na aunty shani  wa chimwagaa ha ha

kile kidonda changu cha roho bado kinatia tabu
ninajitahidi kukaza roho ila nadhidisha adhabu
tena silali oh nasubiri maajabu
maumivu yangu hayajapata dawa

i miss you nakumbuka iyeh iyeh
i miss you nakumbuka iyeh iyeh
i miss you nakumbuka iyeh iyeh
i miss you nakumbuka iyeh iyeh

ah roho yangu mama bingili bingili
ah nikikuwaza bingili bingili
nikisinzia bingili bingili bayoyo
oh nikilala bingili bingili
ih inama inuka uwoh bingili bingili
uku sina raha bingili bingili bingili bayoyo


ah iyeeh  ah iyeeeeh

tatizo kwetu sijui nini kosa langu
mpaka nikawa adui ghafla ukanichukianga
nawaza ila siambui ama shida zangu
simba nikawa chui mi roho inaniumanga

yawezekana ahadi zangu zisizotimia
ndio maana haukutaka kusubiria
nasema nyama mwisho wa siku naleta bamia
chai mchana usiku dona kurumaghia

nilitamani sana ila wangu vyangu palinishia
ningalikua na uwezo ningekutimizia
mingali unafuraha haya maumivu nitayavumilia
ila jampo niambie ivi unanifikiria maana eh eeeh

nakukumbuka iyeh iyeh nakukumbuka sana ooh
i miss you nakukumbuka iyeh iyeh  nakukumbuka sana ooh
i miss you nakukumbuka iyeh iyeh  nakukumbuka sana ooh

 ah roho yangu mama bingili bingili
ah nikikuwaza bingili bingili
nikisinzia bingili bingili bayoyo
oh nikilala bingili bingili
ih inama inuka uwoh bingili bingili
uku sina raha bingili bingili bingili bayoyo
ata nikila bingili bingili
nikikuwaza bingili bingili
nikilala heeh bingili bingili bayoyo
ah roho yangu mama bingili bingili
ah nikikuwaza bingili bingili
nikisinzia bingili bingili bayoyo

heeeh roho yangu mama bingili bingili
eh eh  eeeeeh  bingili bingili
eh eeh heeeh bingili bingili bayoyo

oooh roho yangu mama bingili bingili
ih inama inuka uwoh bingili bingili
ajabu sina raha bingili bingili bingili bayoyo

ah ata nikila a

FIRE LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ FT TIWA SAVAGE

Song written by Diamond Platnumz

The beat was produced by LIZER CLASSIC from Tanzania from Wasafi Records
The Video was shot in Johannesburg, South Africa by NIC

Song: Fire

Lyrics.








[Intro – Tiwa Savage]
It's Tiwa Savage yeah

[Verse 1 – Diamond Platnumz]
Aga, you're my sexy arose eh
Utamu zaidi ya varila
Yaani cookei wa mose
Kama pochi na ngawila
Sa nipatie dose eh
Kasi itaja nipalila
Usinifanyie ya jose eh
Tange tange kajamila

[Hook/Chorus – Diamond Platnumz]
I say, you fire baby
Fire fire fire fire baby
Fire oooh
(Fire fire fire fire) baby
Your love is sweet oh
(Fire fire fire fire) baby
Tamu mpaka mwisho
(Fire fire fire fire) baby
Ah ah, fire ooh
(Fire fire fire fire) baby
Fire baby (Fire fire fire fire) baby
Akicheka sura ya kitoto
(Fire fire fire fire) baby
Akinigusa kabisa ndo moto
(Fire fire fire fire) baby

[Verse 2 – Diamond Platnumz]
Wasi wasi ndo akili
Na kwako sina
Nyota njema alfajili
Kesha na uzima
Wanakesha kulitabiri
Pendu kuchina, baby
Tena wengine
Wakubwa mili
Watu wazima
Tanga kunani
Vurugu mechi mkwakwani
Mtoto hatari wakadada
Samba chumbani
Ye ndo messi uwanjani
Msiniibie simba, yanga
Nyuma kama sunami (ayaya)
Jinsi kunatetema (ayaya)
Sura zari nadhani (ayaya)
Shape sepetu wema (ayaya)

[Hook/Chorus – Diamond Platnumz]
Ooh, I say, you fire baby oh
(Fire fire fire fire) baby
Fire oooh
(Fire fire fire fire) baby
Akicheka sura ya kitoto
(Fire fire fire fire) baby
Akinigusa kabisa ndo moto
(Fire fire fire fire) baby

[Verse 3 – Tiwa Savage]
Let me tell you something 'bout this bobo oh (fire fire)
Love I get for him big pass orobo oh (fire fire)
Come and see the way the love dey make me to jaire (fire fire)
I swear na only him go fit enjoy my figure 8 oh
The way you shut my brain
I cannot explain
Fall for you with no shame
Baby walahi talahi eh (ayaya)
I love you no be lie eh (ayaya)
Your love dey sweet me die (ayaya)
I swear I no go lie
I say

[Hook/Chorus – Diamond Platnumz & Tiwa Savage]
I say, you fire baby oh
(Fire fire fire fire) baby
Aga, fire oooh
(Fire fire fire fire) baby
Your love is sweet oh
(Fire fire fire fire) baby
Tamu mpaka mwisho
(Fire fire fire fire) baby
Ah ah, fire ooh
(Fire fire fire fire) baby
Fire baby (Fire fire fire fire) baby
Akicheka sura ya kitoto
(Fire fire fire fire) baby
Akinigusa kabisa ndo moto
(Fire fire fire fire) baby

[Verse 4 – Diamond Platnumz & Tiwa Savage]
Tena waambie wasikunyatie darling
(Fire fire)
Hili penzi moto wakilivamia chali
(Fire fire)
Sa nipe kidogo (nitekenye)
Aga polepole (nitekenye)
Ah ah mpaka chini (nitekenye)
Ak inuka kidogo (nitekenye)
If I give it to you (nitekenye)
Will you give me sugar (nitekenye)
Oya give give (nitekenye)
Come and give me sugar (nitekenye)
a

Friday 9 June 2017

ANGEKUONA LYRICS BY ASLAY


Mmm yee mmm eeh nono yeee mmh

Yani raha hata tukilala na njaa kila saa nakuona mpya mamy
Tena raha huku ninavimba kitaa unang’aa hata kwenye giza mamy
Basi tulia eeh kama maji kwenye mtungi baby nitakulea eeh ili mradi unipe heshimaa
Kama mboleaa eh nitatia ili unawili sana nimekuzoea eeh ukiniacha itaniuma sana

Ooh I wish angekuona maaa mama angefurahi mama maaa mama
Eeeh mama yangu mama maaa mama angefurahi mama maaa mama

Navyo mjua mama angekupa vitenge tena bila iyana na kikapu cha embee
Ana viwanja mamaa agekupa ujenge na ukirudi kwangu upate mwango wa chang’ombe
Umeondoka mama imekuja zawaadi nabaki nalia nalia sina budi
Fikra tupa mwana naogopa dhambi ila nakuombea ulale pema kwa bosi tuliaaa

Kama maji kwenye mtungi baby nitakuleaa eh ili mradi unipe heshima
Kama mboleaa eh nitatia ili unawili sana nimekuzoea eeh ukiniacha itaniuma sana

Ooh I wish angekuona maaa mama angefurahi mama maaa mama
Eeeh mama yangu mama maaa mama angefurahi mama maaa mama

Wuwuwuwu uuuh…maaa mama mamamama… maa mama
I wish angekuepo mama maaa mama nonononono… maa mama
Uko wapi mama mamamamamamamamamama…nakukumbuka mi mwanao
Eeeh maa mamaa maaa mamaa

UKO LYRICS BY AVRIL

Mimi hujicheka kila mara ninapo jipata kwenye janga

‘Cause most of the time mi hujipata solo
Wale mi hucheka nao sijui wako wapi??

Mko mko mko mko mko mko mko mko mko mko mko
Where are you? you you you
Where are you? you you you
Where are you? you you you
Where are you? you you you

Saying to the world that you care about me
Yet you are a liar do they even know
Taking pictures hashtag, I’m chilin with her
Saa hizi ninalia looking back you’re nowhere to be seen!

Uko uko uko uko uko uko uko uko uko uko
Where are you? you you you
Where are you? you you you
Where are you? you you you
Where are you? you you you

So now baby don’t you cry
Life sometimes makes you want to cry
Don’t you take it even ’cause asubuhi things will find a way of changing yeah
Just like that tomorrow won’t seem so but no no nooooo…..

Where are you you you you where are you (x10)

KAMA UTANIPENDA LYRICS BY DARASSA FT RICH MAVOKO





LYRICS


Mrembo, njoo tujenge malengo

Nikikutazama naona nyufa kwenye mjengo

Unaonekana kama mji wenye upendo
Unafanana na mtu aliochoshwa na mwendo
Si nikupe namba yangu unipigie weekend (weekend, weekend baby)
Moyo unasema mchukue huyu mtoto yuko stendi
Vile anavyohema sio kama mtu hapendi
Anauelewa mziki anahofia kuucheza
Anasema na lugha chafu ameshakuwa kifimbo cheza
Sema nini na Marlaw nabembeleza
Kwa Sera za Suma Lee nakula chungwa mpaka chenza
Heh shida kujuiuguza
Mama you hot na uko ndani unaniuguza
Staki kujua hata nkikijua ntapuuza
Ukitaka kula bata uache kumchunguza

Ah kama utanipenda sitojali shida ulizobeba
Na kama unataka kucheza katafute refa wa kukubeba
Na kama utanipenda sitojali shida ulizobeba
Na kama unataka kucheza katafute refa wa kukubeba

You know I like you
Mi nakupenda and I give you what you want eh
(eh whatchu want)
Nipe uchizi nidate hata nikilala kwenye usingizi ufuate
(the way you talk mama)
You know I like it
Me nakupenda and I give you what you want eh baby
(eh what you want)
Nipe uchizi nidate na nikilala kwenye usingizi ufuate

Hakuna single wala movie mama kwangu you’re my star
Mi shabiki yako nasimama hata ukikaa
Nahangaisha paa brake ziko Dar
Jitazame kwenye kioo how beautiful you are
Mapenzi ukichaa mapenzi uchizi
Uwe nacho ukikataa mwingine inamnyima usingizi
Mwingine atakesha mwingine atatesa
Mwingine atataka akutumie kama pesa
Yanajuana madini yakikutana
Mwanamke anahitaji matunzo na ndo kitu nachofanya
We utasema mi kichaa
Kumbe mwenzako nafuata what I feel inside

Ah kama utanipenda sitojali shida ulizobeba
Na kama unataka kucheza katafute refa wa kukubeba
Na kama utanipenda sitojali shida ulizobeba
Na kama unataka kucheza katafute refa wa kukubeba

You know I like you
Mi nakupenda and I give you what you want eh
(eh whatchu want)
Nipe uchizi nidate hata nikilala kwenye usingizi ufuate
(the way you talk mama)
You know I like it
Me nakupenda and I give you what you want eh baby
(eh what you want)
Nipe uchizi nidate na nikilala kwenye usingizi ufuate

Unataka nini mama
Usiniumizi moyo waweza kupaa
Mi niko loyal uendeshe motoka
Punguza uchoyo nguo za kuvaa
You’re my everything for me
Na ukiwa out oh what you want
Waweza kupaa baby
Uwendeshe motoka
Nguo za kuvaa
Na ukiwa out oh what you want
You’re my everything for me you’re my only one

Saturday 3 June 2017

KISTAARABU LYRICS BY OTILE BROWN

[Verse One]
Jinsi anavyo cheza nikama aninitega (no way)
Macho yake yenye mvuto nikama ananiita (no way)
Huo mdomo anavyo ung’ata pumzi inaniisha (no way)
Kiuno nazi nazi anavyo katika (no way)
Now she started blowing me kisses (Aaah)
Kaja Mwenyewe kasema ”Hey Mr.would you hold my hands naomba nicheze na wewe.”
{Chorus}
Basi simama tucheze  (kistaarabu x2)
Nishike nikushike (Kistaarabu x2)
Katu usiniache ( Kistaarabu x2)

[Verse Two]
Asema “Nina mpango na wewe
Wala Usiwe na kiwewe
Hapa nkaja mwenyewe
Ila naomba niwe na wewe
Usiku kama huu nakuhitaji
Sijui ukaja na Nani Ila naomba uwe nami ”
Uuh kumbe toto la kigogo , kigogo, Kigogo
Up town ila chapo mandondo, mandondo,mandondo
Kaanza kurukaruka tu kibobo, kibobo,kibobo
Nikasema ” hey hey am a classic man
Niite mr gantleman
Mbona husle man
Tusije pakana jasho man x2

{Chorus}
Basi simama tucheze (Kistaarabu x2)
Nishike nikushike (Kistaarabu x2)
Katu usiniache ( Kistaarabu x2)

[Verse Two]
Mmh mmh marashi kwenye nyele zako
Harufu ya ngozi yako
Ina nipaga manjonjo
Nimejikoki sio kidogo x 2

{Chorus Three}
Basi simama tucheze (kistaarabu x2)
Nishike nikushike (Kistaarabu x2)
Katu usiniache ( Kistaarabu x2)