Showing posts with label BIG-PIN. Show all posts
Showing posts with label BIG-PIN. Show all posts

Wednesday, 6 July 2016

NIMEFIKA JO LYRICS BY E-SIR & BIG-PIN




(E-Sir)

Jo nimefika fika wapi ? pirate na mambo bado
Kuna kuna kuna kuna kuna kijana mmoja kutoka south c …..Jo!
Kijana mwenye lebo kama naiki ….jo!
Unafaa ukimuona akishika maiki….Jo!
Mikono juu ya hewa kama kaiti…..jo!
Kama safari hatari na gari…..jo!
Kama tama hatari with the honnies …..jo!
Kama we si asis sitaki utani ….jo!
Kama sijakutaja samahani…..jo!
Wimbo hujaisha bado kuna wakati….jo!
Kama bado hujajua jina…..jo!
Nani mwenye rymes tamu kukamatika ….jo!
Nani mwenye kupiga maiki tisa….jo!
Nani mwengine isipokuwa E-sir…jo!
Jesus zikishika…jo!
Ma manzi wanawika ….jo!
Kwa maiki hatutasita…jo!
Oh yah oh yah ….jo!
Kisha niangushe rymes kidirty maMCs hamna bahati…jo!
E-sir yu hatari rymes kali juu ya mali halali haifai ….jo!
Nime shika sita wachilia….jo!
Mpaki wakati zenu zitafifia….jo
Nipeni mangiri sitaki mamia….jo!
Sitaki shetani nipeni malkia….jo!
Ni mwanamke kama wewe mbona waringa…jo!
Ni mwanaume kama mimi mbona wamnyima…jo!
Ama ni sababu rap bila E-sir…jo!
Ni kama kiss bila muthoni Bwika …jo!
Weka sahani juu ya meza ogopa DJs cheki vile
Ma MCs wanatoroka…jo!
Mimi niweke maiki chini watangoja
Kama nikuroga R-sir mchawi numba mmoja
Lakini ng’oja
Why do you really wanna punch E-sir in a
I wanna know I really wanna know like…jo!
And then I wanna flow like jo!
Give my doh I really want doh like jo!
Ni odes, ni aje, sasa mambo
Cheza na E-sir mchezo kando jo!
Huo ndio mwanzo na mambo bado…jo!
Ahh ahh kisha niangushe ryme kidirty maMCs hamna bahati…jo!
E-sir yu hatari ryme zake kali hazifai…jo!
Mikepe milia Judy a roll south c…jo!
Belinda sara angerehi say mary..jo!
Malin mariam AKA …jo!
Ann eva judy in baddy rulu…jo!
Napia ni home boyz DJs in Nairobi…jo
Frere na Saudi DJs in Mombasa..jo!
Mike ,bob, george cris fill the five star…jo!
Na Antoni haina akiba..jo!
My dog thing grow form musinga..jo!
Uda thure hadjija from the villas.jo!
Mabeste wote ambao ragga wamenyita…jo!
Ni mwana kibibi popote watulia…jo!
Wacheni ijulikane pirates wamefika…jo!
Nawambia pesa nimepata…jo
Bila shaka kesho kang,oma katanasa…jo!
Brayo, tono, tonny na saidi…jo!
Kenya nzima alafu nawa haidi…jo!
Kweli waweza kuamini..jo!
Decision kama hiyo nawaachia nyinyi..jo!
Capital,nation kiss kila station..jo!
Klub house to Js Ks every station
This one for you to happy coast station..jo!
Every state (aah) join every station
Kama ni pesa jaribu kupata..jo!
wale mamanzi nimewanasa
Town to town Nairobi tunamanga
Coast to coast, kisumu to mombasa

(Big Pin)
Yawa
To chrispin dozo dozo koro yawa
Otuondo go wer ni luongo ni yawa
Wer ma mit mit mit kabisa yawa!
You think am joking penjuris kata E-sir yawa!
E-sir osechopa cloud number tisa yawa!
Ku walk or travel nyaka to harisa
Eh yawa let me pumzika
Let me pumzika

BAMBA LYRICS BY E-SIR, BIG PIN AND K-RUPT


Intro

I need more psyche bana

here's another one
a hit like the other one
only better than the other one
Ogopa please let's get it done
South C's finest

Chorus (E-Sir)
huu mwaka 
kakilo za gomba tutabamba
E-Sir, Big Pin na K-Rupt
twahanda
hizi tracki 
zabamba
mamanzi
mabeshte wanati mababi
achilie ijulikane kwamba South C
is moto
Ogopa
yabamba

Verse 1 (E-Sir)
ni E-Sir
nimekuja tena kuwaburudisha
maMC nimekuja tena kuwatinga
na Kiswahili ndio ninawakilisha
hii ni vita
yakifanyika
yanafanyika unapokaribia speaker
napohisi kama heaven umefika
kwa sababu ya hilo collabo mpya
amka jo
ni E-Sir (aha)
Big Pin (yawa)
K-Rupt (ala)
twaleta balaa
na kila mwaka tuna moto ya kukuambia huu mwaka
na itabaki itawacha kila mdhii ameshangaa

Chorus (E-Sir)
huu mwaka 
kakilo za gomba tutabamba
E-Sir, Big Pin na K-Rupt
twahanda
hizi tracki 
zabamba
mamanzi
mabeshte wanati mababi
achilie ijulikane kwamba South C
is moto
Ogopa
yabamba

Verse 2 (Big Pin)
madi straight to the open
number one need no option
shake your booty to the motion
we need no magic potion
kato lang kato wang every track is a bang
definitely one crew, pirates is the gang
we are hot in the block yeah, smoke in your lungs
mia time mia track see Ogopa's outcome
now sing, let's sing to the songs that we sang
everything that we did is about to be done
Big Pin representing for the whole town clan
ai yawa, lets chill lets make another plan
ai yawa, no doubt, straight to number one
South C's finest, we are the veterans

Chorus (E-Sir)
huu mwaka 
kakilo za gomba tutabamba
E-Sir, Big Pin na K-Rupt
twahanda
hizi tracki 
zabamba
mamanzi
mabeshte wanati mababi
achilie ijulikane kwamba South C
is moto
Ogopa
yabamba

Verse 3 (K-Rupt)
na nitaanza niki-drop verse kisha
niwapeleke juu kama high type kusha
they analyse MCs supa dupa crowd pleaser
representing the duo, Chris the Big Pin and E-Sir
ntawapa drop verse bila lust
weza ku-please the crowd first
I'm lettin you know me came first
make you spit verses kama molasses
kweli mi mchungu kama ile mic and 
ever spit fire like a dragon
so don't touch 'em
this is
the right anthem for Nairobi bandits
na kama kweli wee wajua waipenda
I'm the number none super rank contender
nikianza collabo still family
Ogopa one bamba one dance unique
E-Sir, Big Pin tough titling
K-Rupt no doubt be an offering
so watch out let us bamba now
then till the early morn we be partying tight
Bamba (bamba)
Bamba (bamba)
Bamba (bamba)
say ay
it's moto in this f___ house
Ogopa you know how we do now
I'm in fire now

Chorus (E-Sir)
huu mwaka 
kakilo za gomba tutabamba
E-Sir, Big Pin na K-Rupt
twahanda
hizi tracki 
zabamba
mamanzi
mabeshte wanati mababi
achilie ijulikane kwamba South C
is moto
Ogopa
yabamba