Showing posts with label CHRISTIAN BELLA. Show all posts
Showing posts with label CHRISTIAN BELLA. Show all posts

Tuesday, 26 July 2016

Wambea lyrics by yamoto band ft Christian Bella

[Intro – Christian Bella]
Ale wambea wambea wote
Posa hakuna (posesanga)
Wala longo hakuna (posese kisanga)
Bella posena hakuna (posesanga)
Wala longo hakuna (posese kisanga)
[Verse 1]
Nala ng’ombe sasa hivi sili bata
Nikichoka kulala nahitaji kupakata
Wacha wapambe maneno wanoropoka eh
Wakimaliza kunena wataanza kukatika
Tena Mungu mkubwa mama, mchana, usiku tunaonana
Hata kwenye kiza plate number wanaisoma
Mungu mkubwa mama, mchana, usiku tunaonana
Hata kwenye kiza plate number wanaisoma
Wanapiga piga stori kuhusu mimi na wewe
Chumvi zikiisha wanakuja watugongee
Mahaba ee, mahaba ning’ate
Mahaba ee, nizike kabisa ili nipotee
Na kila sababu ya kulinga na penzi lako, honey
Nawapa makavu wenye chuki na pendo letu kwani
Nazunguka nikirudi nasikia yamejaa kibao
Maneno ya kipuuzi watajaza na midumu kibao
Ya ndani ya kwetu we na mi baby wangu eh
Wakose jawabu wenye chuki na pendo letu woh
Wanaleta umbea, maneno ya kipuuzi oh
Wanaleta umbea, lolo, lolo, lolo, loo
Mchawi binadamu, paka anatumwa tu elewa baby
Maneno ni haramu, wanataka kugombanisha mi na wewe
[Chorus w/ Christian Bella]
Aa ni wewe (ndo rubani wa moyo)
Wapambe (usiwape uchochoro)
Olala lalila (semeni mulale tukutane tomorrow)
Mamama mama eh (semeni mulale tukutane tomorrow)
Aa ni wewe (ndo rubani wa moyo)
Wapambe (usiwape uchochoro)
Mamama mama eh (semeni mulale tukutane tomorrow)
[Verse 2]
Ni upendo wa dhati unanisumbua
Kukupata bahati nataka tulia
Kukuacha sitaki hata kusikia
Roho tu, yangu roho mama nitaja jutia
Aah mi jogoo nataka koo, popote ulipo
Nitakuwepo popote uendapo
Mmh naiseti seti, naiseti
Mipango bado
Naiseti seti, ah naiseti
Ah, ah, ah, tufanye yetu
Maneno yangekuwa yanatoboa mama ningeshageuka tenga
Wacha waseme waseme sana ninachowaza kujenga
[Bridge – Christian Bella]
Ale wambea wambea wote
Posa hakuna (posesanga)
Wala longo hakuna (posese kisanga)
Mi nasema pose hakuna (posesanga)
Ale longo hakuna (posese kisanga)


[Verse 3 – Christian Bella]
Mama yee, mamaa yeee
Inawauma na inawachoma sana
Wanaona aibu, ona wote vichwa chini
Kisa tunapendana mama mama mama
Wewe ringa ringa mama, moyo ushasimama kwako
Maneno si shida, umesikia nani kazikwa ah?
Tena ringa mama, kwa kifo sisi tutawazika
Wambea pose lakuna
Mama iye iyee (posese kisanga)
Sema mama ah (posesanga)
Lobi longwe hakuna mama ah (posese kisanga)
Wowowo, wowowo mama eh iye iye iye
[Chorus w/ Christian Bella]
Aa ni wewe (ndo rubani wa moyo)
Wapambe (usiwape uchochoro)
Olala lalila (semeni mulale tukutane tomorrow)
Mamama mama eh (semeni mulale tukutane tomorrow)
Aa ni wewe (ndo rubani wa moyo)
Wapambe (usiwape uchochoro)
Mamama mama eh (semeni mulale tukutane tomorrow)

Wednesday, 20 July 2016

NANI KAMA MAMA LYRICS BY CHRISTIAN BELLA FT OMMY DIMPOZ

[Intro – Ommy Dimpoz]
Mama oh mama
Na Poz Kwa Poz!
Mama oh mama
Nani kama mama
[Verse 1 – Christian Bella]
Oh yah nani kama mama, heshima kwa mama
Yale mateso ulinibeba miezi mitisa tumboni mwako
Pole sana mama
Nikupe nini? Heshima kwa mamaaa (maama ee)
Uliteseka siku ya kunitoa duniani
Nikupe nini? (mama eeh)
Thamani ya malezi yako siwezi kuyalipa
[Chorus – Christian Bella]
Mama ee
Nani kama mama aaa? (mama mama)
Nani kama mama aaa? (mikono yako kwangu ni baraka)
Nani kama mama aaa? (usipotoke umdharau mama yoyo)
Nani kama mama aaa? (ma ma ma mama)
[Verse 2 – Ommy Dimpoz]
Hello mama, hii ni kwako mama
Si, nimekukumbuka sana (mama)
Usiku na mchana, ai
Nakuombea upumzike salama eh
Tabia na heshima eh, busara na hekima eh ae
Ulinifundisha vyema eh, si, nakuombea upumzike salama
[Bridge – Ommy Dimpoz]
Matatizo ya dunia, kweli ninayapitia
Yale ulionihusia eeh, ya kweli mama ee
Matatizo ya dunia, kweli ninayapitia
Yale ulionihusia eeh, eee mama eeh
[Verse 3 – Christian Bella]
Malezi ya mama, elimu ya mama
Haina ada wala cheti ila ni zaidi ya elimu ya chuo kikuu
Nikikumbuka zamani nilipokuwa mutoto
Nikilia usiku mama lazima utakesha na mimi
Huwezi kukubali niwe macho usiku
Nawe ufumba macho yako
Mapenzi ya maaama kwa mtoto wake haina mfano
Hata mapenzi ya boyfriend na girlfriend hayafiki hata robo
Nikikumbuka zamani nilipokuwa mutoto
Nikiumwa usiku mama lazima utakesha na mimi
Mola wasaidie wakina mama wote
Wape maisha marefu, nani kama maama?
Mama ni maama yeeye
Thamani ya malezi yako siwezi kuyalipa
Mama maama yeee, mama na mama
Nasema mama ni mama yee
Nani kama mama? (mama)
Mama ni mama (mama)
Heshima kwa mama
Mama ni mama
Wee!
[Chorus – Christian Bella]
Ma ma!
Nani kama mama aaa? (mama mama)
Nani kama mama aaa? (mikono yako kwangu ni baraka)
Nani kama mama aaa? (usipotoke umdharau mama yoyo)
Nani kama mama aaa? (ma ma ma mama)

NASHINDWA LYRICS BY CHRISTIAN BELA

[Intro]
Iyee eeh
Mamiee
Iyee
We ndo mamii ee
Iyee
Mi ndo dadii ee
Iyee eeh
Mamiee
Iyee
We ndo mamii ee
Iyee
Mi ndo dadii ee
[Bridge]
Mie mie mie
Mie mie mie mie
Mie mie mie
Mie mie mie mie
[Verse 1]
Mbona kama unanionea
Haya mapenzi gani kila siku lazima nibembeleze
Lini sasa mpenzi wangu na we utanibembeleza?
Na mimi nisikie unavyosikiaga nikikubembeleza
Ona kaneno ‘mapenzi’ kaneno kafupi
Kana mambo mengi unaempenda atakuzingua
Si bora angesema hata mapema ameniacha nimezama
Kutoka sasa..
[Chorus]
Nashindwa (shindwa)
Nashindwa (shindwa)
Ale kutoka mimi
Nashindwa (shindwa yeye)
Aaah aaah
Nashindwa (shindwa)
Sijui nifanye nini
(Nashindwa) mama weeeh
[Verse 2]
Angejua kabisa ninavyompenda
Sijawahi kupenda ndo yeye wa kwanza ananizuzua
Si bora angesema hata mapema
Ameniacha nimezama
Kutoka sasa…
[Chorus]
Nashindwa (shindwa)
Nashindwa (shindwa)
Kutoka mimi
Nashindwa (shindwa yeyee)
Aaah aaah
Nashindwa (shindwa)
Sijui nifanye nini
(Nashindwa) mama weeeh
Julilala lalaa
[Bridge]
Mie mie mie (mie)
Mie mie mie mie (mimi)
Mie mie mie (mimi, mimi)
Mie mie mie mie
Mie mie mie (mie)
Mie mie mie mie (mimi eeh)
Mie mie mie (mimi, mimi, miee)
[Verse 3]
Ghafla tu anafunga virago
Namuuliza hataki kusema tatizo ni nini
Sijui kuna shida gani
Haya mapenzi lawama kila siku mimi
Tulia mama mi ni wako nakupenda sana
Usihangaike, usibabaike
Na wale maadui nataka wabaki na aibu
[Pre-Chorus]
We ni wangu, mi ni wako mpenzi wangu
Embu punguza maringo na mapozi nakupenda
We ni wangu, mi ni wako mpenzi wangu
Darle punguza maringo na mapozi nakupenda
[Chorus 2]
Iyee (eeh!)
Mamie (mamiee)
Mi ndo dadie (dadiee)
Mamie (mamie)
Mi ndo dadie (dadie)
Iyee (eeh!)
Mamie (mamiee)
Dadie (dadiee)
Mamie (mamie)
Iyee (iyeeh)
Mamie (mamiee)
Iyee
Iyee (iyee)
Iyee (iyee)
Iyee (iyee)
[Bridge 2]
Ale we ni wangu, mi ni wako mpenzi wangu
Ale punguza maringo na mapozi nakupenda
Wewe ni wangu, mi ni wako mpenzi wangu
Mpenzi oh punguza maringo na mapozi nakupenda
[Outro]
Iyeeh (eeh)
Mamie (mamiee)
Iyee ehh
We ndo mamie (honey eh)
Mi ndo dadie (dadie)
Iyeeh, iyeee
Iyeee mamie (mamie)
Eeh mamie (mamie)
Mi ndo dadiie (dadie)
Iyee iyeee
Ale we ni wangu mamie (mamiee)
Mimi ni wako
Mamie (mamiee)
We ni wangu mamie (mamiee)
Mimi ni wako, mamaee

Thursday, 3 December 2015

NAGHARAMIA LYRICS BY ALI KIBA ft CHRISTIAN BELLA

NAGHARAMIA LYRICS BY ALI KIBA ft CHRISTIAN BELLA

(bella)
ukimwona ,kapendeza,
si utafikiri katokea mbinguni,
ni mtoto mkali,kaumbika mama,
nahisi kama nishawahi kumuona,
(kafanana na nani,kwani ni nani ii
dem fulani,kama namjua)x2

kiba wewewe yeyeye e ,ie
ali weyeye ,ie, kama namjua,
kiba wewewe ,unamjua huyu dem,
(di di di di )X2 deeeh
iyeyeye (iye)x3 iyee
iyeyeye , iyeyooh, iyeoooooh

(kiba)
namwona tu kasura kazuri,ni binti fulani eh,
marashi mazuri na gari kali eeh,
(ni kweli amependeza kama ni hurulaini,
mimi ni dem wangu huyo, ninagharamiax2)
bella wewewewe ooh ,we ni vipi wewewewe,
ninagharamia,
bella wewewewe unamjua huyu dem,
(tiri didix2)

(bella) Ololo nashindwa kuvumilia ,
huyu mtoto kanipagawisha,
kila nikikutana naye ,
moyo wangu anadundadunda,
nataka tu kujuana naye ,
awe kama rafiki wangu,
labda moyo wangu atatulia tulii,

(Kiba) 
bella siachi raha kwa ubishi,
na mvumilivu hula mbivu ,
nimeshamaliza ng’ombe nzima,
kabaki mkia huyo,

Oh mama azali, azaliii, azali mwa si kitoko oh ,
meyifo balula ye , oya zali na bote naye,
(bella)azali mwa si kitoko,  oh balula ye
(kiba) kuteka na ngai ye , mwasi na ngai, ye iye
(bella) oye zali  na mutema yeye
(kiba)na lingio, lingio,mutema nga
(bella)ngana sengi tobina mama

(bella) katee, katee (kate),  katika kata (kata)
kate katee,  (kiba) yako kata loketo mama
(bella)yaka katika , yaka katika
(kiba) yaka tobina mabina mboka,
(kiba) aaaah, mabina mboka, yako kata loketo,
mama ah ahh
iye iye iye  (iye)
iyeyoyo,
iyooooooah