Saturday 16 September 2017

WEMBE LYRICS BY OTILE BROWN AND TIMMY TDAT.

WEMBE LYRICS BY OTILE BROWN AND TIMMY TDAT.

Otile brown , kasabun naona kama bado uko ndani
Naona kama bado uko fine sasa tuko jamming

Wewe ndio unawakata wembe,
Wewe ndio nakata wembe.
Wewe ndio unawakata wembe,
Wewe ndio nakata wembe

Wembe, wembe unakatanga madem
Wembe, wembe unawasongaga madem

Zanga zanga ule dem kabeba mazanga zanga
Zanga zanga umewanga ndio bado unataka

CONTINUOUS.....

Friday 15 September 2017

UNAIBIWA LYRICS BY RAYVANNY

UNAIBIWA LYRICS BY RAYVANNY


 (Verse 1)
Usidate na njonjo za mapenzi
Vicheko bandia Usoni Kudeka Kumbe Ana pretend
Maufundi toka Tanga na Zenji
Vionjo Mitego Unase ashike pochi Umwage chenji
Anakuchanganya kiunoni shanga
Marashi Kama Uko peponi
Mtoto Sauti Kinanda
Ya kumtoa chatu pangoni
Ukishatafuna Karanga
Hutaki hata Aende Sokoni
Anakuchuna Mafaranga Unabaki Na Vumbi Mfukoni

(Pre Chorus )
Ukiwa Na pesa Utasifiwa Kitambi
Baby Me I like that
Nakukupamba Kwenye Simu Video Snapchat
Kumbe Hana Maana Hadi Mangi
Anamwita Sweetheart
Kisa Anakesha Gym kutafuta Six packs

(Chorus )
Unaibiwa!! Unaibiwa!!
Unaibiwa!! Unaibiwa!!

(Verse 2)
Kuna Kina Rose Visosa
Wale Wapenda Verossa
Ukipita Na shati Na Moka
Lazima Watashoboka
Wakiomba Lift Ogopa
Miguu dashboard Vishoka
Mchunguze cheni Goroka
Nywele Na pochi kakopa
Eh
Usije Kuyavamia Yasije Yakakutesa Hawachelewagi Kukimbia
Kuna Wenzako wanalia walizani Mapenzi pesa Kwenye Suruali Vibamia
Hata Ukimuonga Ferrari Hatokuona Rijali
Wakati chumbani we Beki Ukifunga Moja Tu chali
Atakamatwa Na mangangali
Vijana Machachali
Hawachagui sehemu Ya Vita Uvunguni Na juu Ya Dali

(Pre Chorus )
Ukiwa Na pesa Utasifiwa Kitambi
Baby Me I like that
Nakukupamba Kwenye Simu Video Snapchat
Kumbe Hana Maana Hadi Mangi
Anamwita Sweartheart
Kisa Anakesha Gym kutafuta Six packs

(Chorus )
Unaibiwa!! Unaibiwa!!
Unaibiwa!! Unaibiwa!!

(Bridge)
Unadhani Niwapekeako
Kumbe wengine Wameshaweka Kambi
Kakupendea Macho
Wapo wengine kawapendea Rangi
Ye ni gari la dampo
Hachagui Taka dereva Mpe Ganji
Wakubadili sample
Akila Mihogo Karoti Hazipandi

(Chorus)
Unaibiwa Unaibiwa
Unaibiwa Unaibiwa a

Friday 8 September 2017

JIGI JIGI LYRICS BY WILLY PAUL

JIGI JIGI LYRICS BY WILLY PAUL

Mueke mungu ndani ya ndoa, na mapepo atazitoa
Mueke mungu ndani ya ndoa na mapepo atazitoa

As we all know ooh
Love is a beautiful thing
As we all know oooh Pozeeeh

Sina mengi, ila naweza sema
Asanti kwa mwenyezi mungu aaah
Namuomba sana, kwenye ndoa atupe nguvu eeh

Najua unatamani mpenzi
Ndoa kama ya DJ Moh
Lakini usijali mpenzi
Mungu atatupa more

Najua kuna milima na kuna mabonde
Tutaponda wotee
I gonna be the best man ouwooh
I gonna show you love my woman ouwooh

Coz baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Coz baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi

Baby utakula nini, jigi jigi
Ugali na samaki thigi thigi

Sina hela ya Lamborghini jigi jigi
Lakini nitakutreat kama queen
After job usipande mat
Nitakuja mum, kukuchukua mamaa
Tutembee Nairobi
Tukule tumahindi chomaa
Tutembee Nairobi
Tuoje murenda mamaa

Tuombe mungu Baba
Ndani ya ndoa atupe raha (atupe raha)

I gonna be the best man ouwooh
I gonna show you love my woman ouwooh

Coz baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Coz baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi

For a long time, walinicheka
Uliposema Yes I do
Maboy wa mtaa walinicheka (aaah)

I gonna be the best man ouwooh
I gonna show you love my woman ouwooh

Coz baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Coz baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi

Yeah, Aiih, baby.

a

Sunday 3 September 2017

SEDUCE ME LYRICS BY ALIKIBA

SONG: SEDUCE ME

ARTIST: ALIKIBA




 LYRICS

Seduce me lyrics by ali kiba

Chorus
Do not do like that i'm too smart dada
Seduce me like what a hell (ah hold up)
What the hell
Don’t do like that I’m too smart dada
Seduce me like what a hell (ah hold up)
What a hell

Verse 1
Nakuona unakata be careful sister
Na kama unataka they call me heart breaker (breaker)
Nina majina mapya kila mmoja amenipa
Wananiita kipusa ooh pasua kichwa
Mi ninamajina mapya kila kona wamenipa
Wananiita kipusa ooh pasua kichwa

Chorus
Do not do like that I’m too smart dada
Seduce me like what a hell (ah hold up)
What the hell
Don’t do like that I’m too smart dada
Seduce me like what a hell (ah hold up)
What a hell

Verse 2
Eh Najua kupenda nagawa mavumba
Na kama unataka they call me kiba Rockstar
Nina mandinga mapya kila mmoja nampa
Wananiita misifa ooh pasua kichwa
Nina mandinga mapya kila mmoja nampa
Wananiita misifa ooh pasua kichwa ona

Chorus
Do not do like that I’m too smart dada
Seduce me like what a hell (ah hold up)
What the hell
Don’t do like that I’m too smart dada
Seduce me like what a hell (ah hold up)
What a hell

Outro
Yup You know me girl I go by the name Alikiba
Unstopable what the…
Bambamba lailalaila bamba Despacito
Despacito cheza kidogo
Zungusha kiuno chako unionyeshe

Instruments till fade. a

Saturday 2 September 2017

NDOTO LYRICS BY JAGUAR

SONG: NDOTO

ARTIST: JAGUAR

Ndoto - Swahili word meaning Dream is a Song written and recorded by renown Kenyan Artiste Jaguar; Now an elected Member of Kenya's National Assembly from the just recently concluded General Elections The song talks of his journey through life, through a difficult past while growing up. He talks of his dreams of one day becoming accomplished like one of the Worlds most celebrated Boxers - Muhammad Ali




  LYRICS

PUSHA LYRICS BY ASLAY

SONG: PUSHA

ARTIST: ASLAY


Tonee Blaze

East And Central Africa Leading Music Video Director




  LYRICS

EH Ushawasha, mimi nina stress zimejaa kwenye kichwa,
mh, sogeza kiti kaa, nikueleze machache yaliyonikutaa,
kuna kijana ananisumbua sana
mke wangu raha hana, nyumbani amani hakuna.

asidhani mimi nimkimya sana, mwenzangu naumia roho yangu,
isije baadae mi kupata lawama, nikaharibu cv yangu.

mwambieni ama zake ama zangu nitakufa nae,
nasema mwabieni ama zake ama zangu nitakufa nae,
mkimwona mwambieni ama zake ama zangu nitakufa nae.
eh mwambieni ama zake ama zangu nitakufa nae
anapita kibarazani nguo kashusha makalioni
anajifanya yeye muhuni, mwenzie tulianza tisini,
tutabadilishana majengo ya serikalini aaaa
mimi niende jela yeye aende monchwari aaa

asidhani mimi nimkimya sana, mwenzangu naumia roho yangu,

isije baadae mi kupata lawama, nikaharibu cv yangu.


mwambieni ama zake ama zangu nitakufa nae,
nasema mwabieni ama zake ama zangu nitakufa nae,
mkimwona mwambieni ama zake ama zangu nitakufa nae.
eh mwambieni ama zake ama zangu nitakufa nae
aiyo aiyo aiyoyo
huwa sipendangi zarau
aiyo aiyo aiyoyo
mwambie anajisahau
aiyo aiyo aiyoyo,
tutachukiana mama
aiyo aiyo aiyoyo
tutapena lawama sana


a

NATAKA IYO DOH LYRICS BY KALIGRAPH JONES

SONG: NATAKA IYO DOH

ARTIST: KALIGRAPH JONES

Nataka Iyo Doh, produced at Blu Ink Studios, Beat by Magix Enga, BGVs by Sagini Video Directed by Moses Osidiana




  LYRICS

NJE LYRICS BY TIMMY TDAT

SONG: NJE

ARTIST: TIMMY TDAT


ITS A BIT DIFFERENT,A BIT PERSONAL,ITS ABOUT RELATIONSHIP..RELATIONSHIP BETWEEN ME AND GOD. PERFORMED BY TIMMY TDAT AUDIO BY BIZZY B AND VIDEO BY SAMMY D OF TRUE D PICTURES



  LYRICS

SINA LYRICS BY HARMONIZE


SONG: SINA

ARTIST: HARMONIZE





 LYRICS

LIKIZO LYRICS BY ASLEY

SONG: LIKIZO

ARTIST: ASLEY

Aslay | Likizo | Official Video
Directed By Tonee Blaze East And Central Africa Leading Music Video Director




LYRICS

ACHA WASEME LYRICS BY OTILE BROWN

SONG: ACHA WASEME

ARTIST: OTILE BROWN

"Keep talking behind my back , and watch God blessing me in front of your eyes" The official video to Otile Brown's hit single "Acha Waseme", produced by Ihaji. Shot and Directed by X Antonio of International Textures. (c) 2017




  LYRICS

RUN TING LYRICS BY KING KAKA FT FENA GITU

King Kaka & Fena Performing 'Run Ting'

Produced By Riccobeatz
Recorded & Mastered by Chacha of UrbanScorch.Video By Dj Briizy of Lucid VisualsA Kaka Empire Presentation.


LYRICS

ZILIPENDWA LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ,HARMONIZE,RICH MAVOKO,RAYVANNY,



LYRICS

INTRO
Ooh, izo ni zama za kale,
Ohh, sanguro na pepe kalee
Zilipendwa

RAYVANNY
Eeh kizamani, kutoa kadi na maua (zilipendwa)
Wanataka mali,ukilipa unakwarua (zilipendwa)
Ufundi kitandani,sio maguvu kujikamua(zilipendwa)
Unafika ndani,hujatomasa unachanua (zilipendwa)
Wanawake wa leo, wanataka mikakati
Ukiwa mzogaji,hakya mungu huwapati,
Mapenzi ya video yanakutoa kamasi,
Eti nikinywa maji, nakuona kwenye glasi (zilipendwa)
Eeh kupiga chabo ghetto (zilipendwa)
Sunche na kapeto (zilipendwa)
Konno na detto (zilipendwa)
Sunche na kapetio (zilipendwa)
Manje na mobeto (zilipendwa)

DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro na pepe kale
Mmmhh Boringo ndomboro (zilipendwa)
Twanga chipolopolo (zilipendwa)
Maji ya kandoro (zilipendwa)
Simba wa morogoro (zilipendwa)

RICH MAVOKO
Mtaani sipati, skari guru kabisa (zilipendwa)
Ivi yuko api ,mb dogo wa Latiffa (zilipendwa)
Babu Tale wapi papa misifaa (zilipendwa)
Sikuiz party, hatuendagi kabisaa (zilipendwa)
Mpira na Pele (zilipendwa)
Tanu Nyerere (zilipendwa)
Asha ngedere (zilipendwa)
Alusi mabele (zilipendwa)
Eeti uuze nyumba, ueke heshima bar
Eeti mlazimishe alokukataa
Sabuni kicherema (zilipendwa)
Mabanda ya sinema (zilipendwa)
Lipumba na mrema (zilipendwa)
Diamond na Wema (zilipendwa)

DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, ooh, sanguro na pepe kale
Wakina Soggy doggi (zilipendwa)
Chaneli ya analogi (zilipendwa)
Movie za cyborgi (zilipendwa)
Van Damme Arnoldi (zilipendwa)

QUEEN DARLEEN
Unanibeeb nikupigie, umeiweka vocha?
Ule weewe nilipe mie, umeniona lofa?
Teena na madada wenye, majina acheni visss
Unaitwa ukale dinner, mnakwenda tisaa
Nywele za kichina (zilipendwa)
Pochi za kuazima (zilipendwa)
Zena na betina (zilipendwa)
Bashite gwajima (zilipendwa)

DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro na pepe kale
Mmhh Amita Bachani (zilipendwa)
Tv kwa jirani (zilipendwa)
Madee Rayvanny (zilipendwa)
Zari Ivanny (zilipendwa)

HARMONIZE
Ya nini kunichunguza naishi wapi (zilipendwa)
Nala chapati, kwa mahindi au makapi (zilipendwa)
Kutwa kunikalia,una kamati (zilipendwa)
Ooh yarabi masikini, kunidhihaki
Aah Samba mapangala (zilipendwa)
Pfunk Kajala (zilipendwa)
Onyango na Jangala (zilipendwa)
Lufufu Mkandalal (zilipendwa)
Vyanini vidomodomo, nitupieni tunguli
Kisa pesa za mgomo, msimu wa magufuli
Aah Bongo man yondo (zilipendwa)
Skinde msondo (zilipendwa)
Magari ya udongo (zilipendwa)
Babu wa loliondo (zilipendwa)

DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro na pepe kale
Aah Tv za kichogo (zilipendwa)
Wakina mandojo (zilipendwa)
Gigi ya lyobo (zilipendwa)
Akina tupogo (zilipendwa)

MAROMBOSO
Eeti ni msiba ukiona bundi,unataka kupagawa
Tulale makundimakundi, kuogopa popo bawa
Zueena, ntampata wapii (zilipendwa)
Zueena, na zile nyakati (zilipendwa)
Kujifanya mapanga zuna, ati wamebinga
Wengine wabeba mapanga, na hakuna marinda
Iddi amini dada (zilipendwa)
Miuno ya H. Baba (zilipendwa)
Domo chai jaba (zilipendwa)
Michezo ya kibaba baba (zilipendwa)

LAVA LAVA
Wale wapiga madeal, sasa hali mbaya (zilipendwa)
Hizi zama za magufuli, si za jakaya (zilipendwa)
Ugomvi wa Mr.nicena dudu baya (zilipendwa)
Vikatuni vya madonge baba ubaya (zilipendwa)
Muhogo mchungu Mr.bean wapi Bl bambo
Wale watazamaji wa melini wazee wa ng’ambo
Vifiu vywa vibenjamini wa mambo jambo
Wa Vietnam wa porini vita na rambo na dam jela jela (zilipendwa)
Kidali komborera (zilipendwa)
Max zembwela (zilipendwa)
Juma nature na fella (zilipendwa)

DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro na pepe kale
Mmmh Kama ndala si mda (zilipendwa)
Almanzira ndumba (zilipendwa)
Simu za dole gumba (zilipendwa)
Johari na Kanumba (zilipendwa)

Instrumental
a