Showing posts with label Rayvanny. Show all posts
Showing posts with label Rayvanny. Show all posts

Saturday, 15 December 2018

PARANAWE LYRICS BY HARMONIZE X RAYVANNY


(yawe ya)
Ayo lizer

kwenye darkness
kwenye Candle
professional wa ku handle
the way you take me to the angle
wewe ni human being ama angel

if you want my heart oooh
I give you baby carry go
kidogo changu ndo chako
Ongeza njonjo madoido

(aah eeeeeh!)
my sheri koko
Kwa baridi nipe joto
(aah eeeeeh!)
kisha tupate kimoko
babu,bibi, kura doto
(aah eeeeeh!)

my sheri koko
Kwa baridi nipe joto
(aah eeeeeh!)
kisha tupate kimoko
babu,bibi, kura doto
(aah eeeeeh!)

(paranawe paranawe)
I want to see you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
(paranawe paranawe)

(Vanny Boy)
hivi unasokota jicho lako
legelege lina dondoka
(nakuuulizaa…)
hivi una ka motor
panga boy
chenga jay jay
ooh kocha
(wanimaliza…)

pretty gal, nasty
nitasema sorry nikimbeza
ata kama nyuma umetegwa pasi
sura mbaya dawa yake makeup

uweke wembe nitakula kiporo
nimeshapenda sijui kasoro
jirembe uwe mwororo
kama huna shepu vaa kigodoro

if you want my heart oooh
I give you baby carry go
kidogo changu ndo chako
Ongeza njonjo madoido(oooh)
(aah eeeeeh!)

my sheri koko
Kwa baridi nipe joto
(aah eeeeeh!)
ndo uitwange kokoto
pekupeku kama mpoto

(paranawe paranawe)
I want to see you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
paranawe(noga) paranawe(noga)
I like the way you dancing
paranawe(noga) paranawe

Anaeka sweeti
katamu mi nakajuwa uwa
na kanavyo jishaua uwa
ulimi picky
sinapo na vimaua ua
midomo denda ngozi muruwa uwa

awusha ashawa
pauka pakawa
inuka pagawa (eeeeee….)
zinduka mandawa
pinduka kagawa
karuka mabawa
I want to see you dancing
(paranawe paranawe)
I want to see you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
paranawe(noga) paranawe(noga)

Woiyooo Woiyoyo
Woiyooo Woiyoyo
Shake what your mama gave you
cheki wanaona wivu


a

Sunday, 11 November 2018

MWANZA LYRICS BY RAYVANNY FT DIAMOMD PLATNUMZ



Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi

Oyah wind your waist
Njoo nikupatie Comando
Nikupe cha mkwesi
Nikupe cha mkwesi
Kwa miuno ya Taikwondo

Asa chekele mwendo wa kandanda
Ndani ya nakwanda sa nisongee
Leta msambwanda nikazie
Ngangangaaa chiiii

Kana nivuta gheto
Nikapinge bunduki
High bunduki
Ile naogopa centre
Michezo ya amber rutti amber rutti

Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi
Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi

Yaani kama mjaluo shape ya mombasa
Hapendagi mpasuo
Hata akishinda basata

Tepe tape mtoto kama supu
Teke teke kongoro
Kwa mateke mwite fally pupa
Wa temeke

Dombolo shaku shaku ya masai
Ooh masai kama kama nachuma papai
Ooh papai

Funika funua twendelee
Bandika bandua twendeee
Anika anua twendee
Kanipa chukua twendee

Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi
Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi

Ooh sa iweke
Aah iweke iweke aaah iwekeee
Ipitishe kwa chini
Aah iweke iweke aaah iwekeee
Miendo ya kazi kazini

Aah iweke iweke aaah iwekeee
Hii Ile ndindindii
Aaah iweke iweke aaah iwekeee
Ngoja shake it ivoo

Aaah iweke iweke aah iwekee
Twende shaku kidogo
Aaah iweke iweke aah iwekee
Chuma magimbimbi

Aah iweke iweke aaah iwekeee
a

Tuesday, 14 August 2018

SIKUPENDI LYRICS BY RAYVANNY




Sikupendi… (hmmmm) 
Sikupendi… (aaaahh) 
Sikupendi… (eeeehh) 
Sikupendi (Max Maixer) 
Sikupendi 

Kichwa wanipasua 
Unanichapa fimbo 
Moyoni napata tabu 
Unajishaua unamalingo 
Kama una sura ya Dhahabu 
Ni miaka sasa nakufata 
Ndala zangu zote umekata 
Kutoka tegeta hadi tabata 
Mpaka visigino vimechacha 

Mara nasikia kuna bakari kinyozi 
Ulishampa Hadi kaka yake Rose
Kwani we ni pilipili unitoe machozi 
Nikikufata waniletea mapozi 
Mapenzi uvumilivu  unajua 
Ila kwako nimeshidwa 
Upendo sasa majivu umeungua 
Basi mama we ndo Bima

 [HOOK] 
Oooh mamy looh (Sikupendi) 
Utanitoa roho (Sikupendi) 
Kila siku jibu lako no (Sikupendi) 
Sikutamani ng’o (Sikupendi )
Naonyesha dhahili (Sikupendi) 
Sikutamani tena (Sikupendi) 
Nimeghaili (Sikupendi) 
Na kwen siji tena (Sikupendi) 

Hadi nahisi gundu mzee mwenzenu
Kila mambo nikiset 
Nimegeuka mlinzi nyumbani 
kwenu Kila siku kwenye geti 
Nilikufata mpaka kigogo 
Kwenye shughuri yake mama Asha 
Modo Ukanitukana matusi nina shobo 
Pembeni yupo bwana yako Bengo Chogo

Akanitimba migumi kede kede 
Nikawa mjinga tena bwege bwege 
Kama nimetinga pombe bege bege 
Alinishinda nikawa lege lege 

Heee eeeh Nakata tamaa kuwa nawe 
Nikirudisha kumbukumbu 
Nilipo kuona na masawe 
Kwenye guest ya manungu 
Ulifanya nipagawe 
Kwa mawazo na uchungu 
Nilikesha nje oh mama wee 
Nikawa chakula cha mbu   
Mapenzi uvumilivu  
unajua Ila kwako nimeshidwa 
Upendo sasa majivu umeungua 
Basi mama we ndo Bima 

[HOOK] 
Oooh mamy looh (Sikupendi) 
Utanitoa roho (Sikupendi) 
Kila siku jibu lako no (Sikupendi) 
Sikutamani ng’o (Sikupendi ) 
Naonyesha dhahili (Sikupendi) 
Sikutamani tena (Sikupendi) 
Nimeghaili (Sikupendi) 
Na kwen siji tena (Sikupendi)
Oooh mamy looh (Sikupendi) 
Utanitoa roho (Sikupendi) 
Kila siku jibu lako no (Sikupendi) 
Sikutamani ng’o (Sikupendi ) 
Naonyesha dhahili (Sikupendi) 
Sikutamani tena (Sikupendi) 
Nimeghaili (Sikupendi) 
Na kwen siji tena (Sikupendi) a

Monday, 27 November 2017

Mbeleko lyrics by Rayvanny




[Verse 1]

Alisemanga dunia ina mapambo yake eeh
Ukiacha majumba pesa magari ni wanawake eeh
Nimezunguka aah, nimefika kwake eeh
Siwezificha nimeshanasa
Kwa pendo lake eeh
Halabaani
Kukuumba kimwana, mwenye sifa ya upoleupole
Ata mama kakusifu sana, kitofauti na wale (wajana)
Kule nilizama tafadhali niokoe mamamaa, unipulze nipoe


[Pre-Chorus]
We ndo my queen baby my only
Sitopenda uende mbali one day
We ndo my queen baby my only
Sitopenda uende mbali one day

[Chorus]
Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebebe)
Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebebe)
We kama mtoto mii nakubembeleza (jiachie tu nikubebe)
Na jicho lako la kungu kama la nikonyeza (jiachie tu nikubebe)
Eeeh ummmmh umh

[Verse 2]

Umenivuta kwa urembo mpaka matendo umenikamata.
Kisura shepu sio tembo taweka nembo watoto kupata
Umenivuta kwa urembo mpaka matendo umenikamata
Kisura shepu sio tembo taweka nembo watoto kupata
Koleza motoo tupike temble
Kisamvu cha nazi njegele
Sisi tukishe kelele sikwachi iih
Linda na shamba wasije ngedele,
Kuku niitee kwa muchelee,
Mii sipigani na wewe manatii iih
Ndio manaa kwako nimezamaa sitaki mii
Wanitowee mama maaa
Unipulize npoee


[Pre-Chorus]
We ndo my queen baby my only
Sitopenda uende mbali one day
We ndo my queen baby my only
Sitopenda uende mbali one day

[Chorus]

Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebebe)
Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebebe)
We kama mtoto mii nakubembeleza (jiachie tu nikubebe)
Na jicho lako la kungu kama la nikonyeza (jiachie tu nikubebe)
Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebebe)
Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebebe)
We kama mtoto mii nakubembeleza (jiachie tu nikubebe)
Na jicho lako la kungu kama la nikonyeza (jiachie tu nikubebe)



[Outro]
Eeeh ummmh umh
Jiachie tu nikubebe
Jiachie tu nikubebe
We kama mtoto mii nakubembeleza
Na jicho lako la kungu kama la nikonyeza

a

Friday, 15 September 2017

UNAIBIWA LYRICS BY RAYVANNY

UNAIBIWA LYRICS BY RAYVANNY


 (Verse 1)
Usidate na njonjo za mapenzi
Vicheko bandia Usoni Kudeka Kumbe Ana pretend
Maufundi toka Tanga na Zenji
Vionjo Mitego Unase ashike pochi Umwage chenji
Anakuchanganya kiunoni shanga
Marashi Kama Uko peponi
Mtoto Sauti Kinanda
Ya kumtoa chatu pangoni
Ukishatafuna Karanga
Hutaki hata Aende Sokoni
Anakuchuna Mafaranga Unabaki Na Vumbi Mfukoni

(Pre Chorus )
Ukiwa Na pesa Utasifiwa Kitambi
Baby Me I like that
Nakukupamba Kwenye Simu Video Snapchat
Kumbe Hana Maana Hadi Mangi
Anamwita Sweetheart
Kisa Anakesha Gym kutafuta Six packs

(Chorus )
Unaibiwa!! Unaibiwa!!
Unaibiwa!! Unaibiwa!!

(Verse 2)
Kuna Kina Rose Visosa
Wale Wapenda Verossa
Ukipita Na shati Na Moka
Lazima Watashoboka
Wakiomba Lift Ogopa
Miguu dashboard Vishoka
Mchunguze cheni Goroka
Nywele Na pochi kakopa
Eh
Usije Kuyavamia Yasije Yakakutesa Hawachelewagi Kukimbia
Kuna Wenzako wanalia walizani Mapenzi pesa Kwenye Suruali Vibamia
Hata Ukimuonga Ferrari Hatokuona Rijali
Wakati chumbani we Beki Ukifunga Moja Tu chali
Atakamatwa Na mangangali
Vijana Machachali
Hawachagui sehemu Ya Vita Uvunguni Na juu Ya Dali

(Pre Chorus )
Ukiwa Na pesa Utasifiwa Kitambi
Baby Me I like that
Nakukupamba Kwenye Simu Video Snapchat
Kumbe Hana Maana Hadi Mangi
Anamwita Sweartheart
Kisa Anakesha Gym kutafuta Six packs

(Chorus )
Unaibiwa!! Unaibiwa!!
Unaibiwa!! Unaibiwa!!

(Bridge)
Unadhani Niwapekeako
Kumbe wengine Wameshaweka Kambi
Kakupendea Macho
Wapo wengine kawapendea Rangi
Ye ni gari la dampo
Hachagui Taka dereva Mpe Ganji
Wakubadili sample
Akila Mihogo Karoti Hazipandi

(Chorus)
Unaibiwa Unaibiwa
Unaibiwa Unaibiwa a

Saturday, 2 September 2017

ZILIPENDWA LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ,HARMONIZE,RICH MAVOKO,RAYVANNY,



LYRICS

INTRO
Ooh, izo ni zama za kale,
Ohh, sanguro na pepe kalee
Zilipendwa

RAYVANNY
Eeh kizamani, kutoa kadi na maua (zilipendwa)
Wanataka mali,ukilipa unakwarua (zilipendwa)
Ufundi kitandani,sio maguvu kujikamua(zilipendwa)
Unafika ndani,hujatomasa unachanua (zilipendwa)
Wanawake wa leo, wanataka mikakati
Ukiwa mzogaji,hakya mungu huwapati,
Mapenzi ya video yanakutoa kamasi,
Eti nikinywa maji, nakuona kwenye glasi (zilipendwa)
Eeh kupiga chabo ghetto (zilipendwa)
Sunche na kapeto (zilipendwa)
Konno na detto (zilipendwa)
Sunche na kapetio (zilipendwa)
Manje na mobeto (zilipendwa)

DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro na pepe kale
Mmmhh Boringo ndomboro (zilipendwa)
Twanga chipolopolo (zilipendwa)
Maji ya kandoro (zilipendwa)
Simba wa morogoro (zilipendwa)

RICH MAVOKO
Mtaani sipati, skari guru kabisa (zilipendwa)
Ivi yuko api ,mb dogo wa Latiffa (zilipendwa)
Babu Tale wapi papa misifaa (zilipendwa)
Sikuiz party, hatuendagi kabisaa (zilipendwa)
Mpira na Pele (zilipendwa)
Tanu Nyerere (zilipendwa)
Asha ngedere (zilipendwa)
Alusi mabele (zilipendwa)
Eeti uuze nyumba, ueke heshima bar
Eeti mlazimishe alokukataa
Sabuni kicherema (zilipendwa)
Mabanda ya sinema (zilipendwa)
Lipumba na mrema (zilipendwa)
Diamond na Wema (zilipendwa)

DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, ooh, sanguro na pepe kale
Wakina Soggy doggi (zilipendwa)
Chaneli ya analogi (zilipendwa)
Movie za cyborgi (zilipendwa)
Van Damme Arnoldi (zilipendwa)

QUEEN DARLEEN
Unanibeeb nikupigie, umeiweka vocha?
Ule weewe nilipe mie, umeniona lofa?
Teena na madada wenye, majina acheni visss
Unaitwa ukale dinner, mnakwenda tisaa
Nywele za kichina (zilipendwa)
Pochi za kuazima (zilipendwa)
Zena na betina (zilipendwa)
Bashite gwajima (zilipendwa)

DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro na pepe kale
Mmhh Amita Bachani (zilipendwa)
Tv kwa jirani (zilipendwa)
Madee Rayvanny (zilipendwa)
Zari Ivanny (zilipendwa)

HARMONIZE
Ya nini kunichunguza naishi wapi (zilipendwa)
Nala chapati, kwa mahindi au makapi (zilipendwa)
Kutwa kunikalia,una kamati (zilipendwa)
Ooh yarabi masikini, kunidhihaki
Aah Samba mapangala (zilipendwa)
Pfunk Kajala (zilipendwa)
Onyango na Jangala (zilipendwa)
Lufufu Mkandalal (zilipendwa)
Vyanini vidomodomo, nitupieni tunguli
Kisa pesa za mgomo, msimu wa magufuli
Aah Bongo man yondo (zilipendwa)
Skinde msondo (zilipendwa)
Magari ya udongo (zilipendwa)
Babu wa loliondo (zilipendwa)

DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro na pepe kale
Aah Tv za kichogo (zilipendwa)
Wakina mandojo (zilipendwa)
Gigi ya lyobo (zilipendwa)
Akina tupogo (zilipendwa)

MAROMBOSO
Eeti ni msiba ukiona bundi,unataka kupagawa
Tulale makundimakundi, kuogopa popo bawa
Zueena, ntampata wapii (zilipendwa)
Zueena, na zile nyakati (zilipendwa)
Kujifanya mapanga zuna, ati wamebinga
Wengine wabeba mapanga, na hakuna marinda
Iddi amini dada (zilipendwa)
Miuno ya H. Baba (zilipendwa)
Domo chai jaba (zilipendwa)
Michezo ya kibaba baba (zilipendwa)

LAVA LAVA
Wale wapiga madeal, sasa hali mbaya (zilipendwa)
Hizi zama za magufuli, si za jakaya (zilipendwa)
Ugomvi wa Mr.nicena dudu baya (zilipendwa)
Vikatuni vya madonge baba ubaya (zilipendwa)
Muhogo mchungu Mr.bean wapi Bl bambo
Wale watazamaji wa melini wazee wa ng’ambo
Vifiu vywa vibenjamini wa mambo jambo
Wa Vietnam wa porini vita na rambo na dam jela jela (zilipendwa)
Kidali komborera (zilipendwa)
Max zembwela (zilipendwa)
Juma nature na fella (zilipendwa)

DIAMOND
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro na pepe kale
Mmmh Kama ndala si mda (zilipendwa)
Almanzira ndumba (zilipendwa)
Simu za dole gumba (zilipendwa)
Johari na Kanumba (zilipendwa)

Instrumental
a

Monday, 15 May 2017

ZEZETA LYRICS BY RAYVANNY


This song "ZEZETA HAS Been Produced by lizerclassic from Tanzania Writen By Rayvanny 'The Video was shoot In Johannesburg,South Africa By Nic Roux

SONG: ZEZETA

ARTIST: RAYVANNY

LYRICS


Baby mooh nifanye big G unitafune
Ama niwe sindano nawe uwe uzi nguo nifume
Ama niwe ndoo uwe maji yangu unawanume
Nifanye kucha kama ukiwasha mi nikukune sema mama
Niwe duka la vipodozi nikuvutie kwa kila kitu
Chumbani uwe simu unalia hata nikiku beep
Nisimame kama kinyozi nikikunyoa unanisifu
Niwe godoro na shuka nilale na wewe kila siku
Shika ufunguo gari ya bosi wangu kwako zezeta zezeta
Niko ladhi nifunge ule wewe mimi zezeta zezeta
Au unataka hati nyumba ya baba yangu kwako zezeta zezeta
Kifaranga nibebe kama mwehu mimi zezeta zezeta
Mama sitaki paka na panya vita za nyingi
Mi nataka niwe mafuta ujipakaze kote mwilini eeh
Ama niwe taulo kanga laini ukioga ninakufuta
Kutoka juu mpaka kwa chini mashallah
Ulivyo mwenzako taabani naishi muchumba siendi varandani
Tena sikufanyi vocha soko dukani
Nikutumie muchumba nikutupe jaralani sema mama
Niwe duka la vipodozi nikuvutie kwa kila kitu
Chumbani uwe simu unalia hata nikikubeep
Nisimame kama kinyozi nikikunyoa unanisifu
Niwe godoro na shuka nilale na wewe kila siku
Shika ufunguo gari ya bosi wangu kwako zezeta zezeta
Niko ladhi nifunge ule wewe mimi zezeta zezeta
Au unataka hati nyumba ya baba yangu kwako zezeta zezeta
Kifaranga nibebe kama mwehu mimi zezeta zezeta (x2)
Mashilawadu wana nyapia nyapia
Mashilawadu wana nyatia nyatia
Mashilawadu wapate kutangazia
Mashilawadu kuwa makini mama
Mashilawadu kwa kudandia dandia
Mashilawadu vya watu kupagazia
Mashilawadu macho funika pazia
Mashilawadu kuwa makini mama eeh eeh

Tuesday, 8 November 2016

MUGACHERERE LYRICS BY QBOY FT RAYVANNY & SHETTA

This Song was written by Qboy masafi ,Rayvvany & Shetta The beat was produced by LAIZER CLASSIC from Tanzania Wasafi Records The Video was shot in Johannesburg, South Africa by Director Nicorux.

LYRICS

Umutima Wanje niwe wawutwaye
Mukobwa mwiza we oya ndinda tujane
Mugacherere agacherere mugacherere cherere cherere
Mugacherere acherere mugacherere cherere cherere (x2) 

Translation

Baby baby baby mama baby baby baby buuh
Venye unavyo nichanganya kwa kichwa mpaka miguu eeh
Nitawale kama Mubutu ah au Nyerere
Mi kitandani kama Fuso ah uno segere
Nikupeleke nyumbai madale tinga vitenge ung’are
Ukamwone mkubwa na tale ukuntu ndagukunda

Translation

Ntaco nzokwima nzokwama inyuma
Nzokugabira ubusho bwuzuye inyama ubwatsi buremvye 

Translation

Umutima Wanje niwe wawutwaye
Mukobwa mwiza we oya ndinda tujane
Mugacherere agacherere mugacherere cherere cherere
Mugacherere acherere mugacherere cherere cherere (x2)

 Translation


Macho hayana matege mwenzako yamenifika ha-pa
Mimi kidege olala wewe kiyota nitakufuata
Kiumeni chege kama ni kwenye mpira kasa
Basi nibebe nitadondoka ukiniacha
Umeniteka (a ah teka) nimerogeka (geka)
Wakijileta wambie uko na Shetta (baba Kyla)

Umutima Wanje niwe wawutwaye
Mukobwa mwiza we oya ndinda tujane
Mugacherere agacherere mugacherere cherere cherere
Mugacherere acherere mugacherere cherere cherere (x2)

Kitu ambacho nataka ni kua nawe daima milele
Usije kunikata nkapata wazimu nipagawe
Twende kwa papa eh na mama eh (mama eh)
Baby naomba usikatae kwa papa eeh na mama eeh (na mama eh)
Baby naomba usikatae

Ntaco nzokwima nzokwama inyuma
Nzokugabira ubusho bwuzuye inyama ubwatsi buremvye

Umutima Wanje niwe wawutwaye
Mukobwa mwiza we oya ndinda tujane
Mugacherere agacherere mugacherere cherere cherere
Mugacherere acherere mugacherere cherere cherere (x2)

Ah mama wee …. ah yeah twende kula pesa
Pesa pesa pesa
Twende kula pesa Pesa pesa pesa Qboy

SUGU LYRICS BY RAYVANNY

This song"SUGU "Has Been Produced By Lizer classic (WASAFI RECORDS) From Tanzania And Writen By Raymond 'The Video Was Shot In Tanzania By ERIS MZAVA


lyrics will be available soon