Friday, 14 September 2018
WHY LYRICS BY BEN POL FT HARMONIZE
Ndugu zangu napata, malipo ya usaliti
yakupendwa lakini ikawa sipendeki
sikujua machungu makali kiasi hiki
hii dozi inatibu vilivyo
me staki ooh why
umenifanya nawaza
wangapi ninaowatenda
kila nikikumbuka
najiona mashamba
nguvu zinaniisha
siwezi hata kusimama
kinacho nisikitisha
nastahili haya nguvu zinaniisha
siwezi ata kusimama
kinacho nisikitisha
nastahili haya
why why why why ooh
why why why why ooh
why why why why ooh
why why why why ooh
silali silali silali fofofo X2
ona hayaniishi mawazo ahh
nyingi zinajirudia ahh
penzi lake ndio chanzo ahh
mmmh malipo ni duniani
ahela kuhesabiwa
me nipo bado rehani
nimejitela mwanamkiwa
eeh mmmh
zile heshima kuninyenyekea
nikamuona si chochote kwangu aah
eti maziwa nikampotezea
nilivyomaliza tu shida zangu aah
ukimuona mwambieni
najiuguza najutia
tena najiona limbukeni
yamenifunza ya dunia
yale machozi yasiyo na hatia
yananisurubu (majonzi)
upweke na jiinamia
nimeisha tubu nisamehe
why why why why ooh
why why why why ooh
why why why why ooh
why why why why ooh
silali silali silali fofofo X2
ona hayaniishi mawazo aah
penzi lake ndio chanzo aah
nguvu zinaniisha
siwezi ata kusimama
kinacho nisikitisha
nastahili haya
a
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Verse 1 Pombe ni kichwa kinauma, kishalewa, anajipoza na maji Na mimi hata muda sina, nishamkanya, ninasikiza mamelody Nis...
-
[Chorus] Watu walishachonga sana Eti Vailet simpati tena Na kuongea uzushi bwana Kwa kuona mambo yetu yananyooka Hata kiss, hug si...
No comments:
Post a Comment