Showing posts with label Ruby. Show all posts
Showing posts with label Ruby. Show all posts

Tuesday, 26 July 2016

Na yule lyrics by Ruby


[Intro]
Eiyeeh Ruby!
Eiiiiyeh Thomas!
[Verse 1]
Mapenzi hayana mwenyewe
Unaweza penda kijana au mzee eeh
Niite jina langu baby, uenda nafsi yangu itapoa aah aaa
Shika moyo wangu baby, unavyokwenda mbio wewe utapoa
[Pre-Chorus]
Aaahha aa!
Kuna muda namuomba Mungu angekuleta mapema oh oh ohh uu
Ila bado sio mbaya, wewe ndo unaejua maumivu yangu iii baby
Ila bado sio mbaya, wewe ndo unaejua maumivu yangu
[Chorus]
Siko radhi unitoke machoni iii iih
Tembea nami ndotonii yeahh
Ntakuweka moyoni iihi iih
Bila hofu rohoniii baby
Moyo wangu tembea na yule, na yulee
Ndo nampendaga
Macho yangu mtazame yule, mtazame yulee
Ndo namwamini saaana
Aaah aaah aaa aahh
[Verse 2]
Baby, sitaki kutazama nyuma tena
Mmh maumivu nilishayaona
Wengi walinipotezea muda
Mmh hakuna nilichokipata
[Pre-Chorus]
Aaahha aa!
Kuna muda namuomba Mungu angekuleta mapema oh oh ohh uu
Ila bado sio mbaya, wewe ndo unaejua maumivu yangu iii baby
Ila bado sio mbaya, wewe ndo unaejua maumivu yangu
[Chorus]
Siko radhi unitoke machoni iii iih
Tembea nami ndotonii yeahh
Ntakuweka moyoni iihi iih
Bila hofu rohoniii baby
Moyo wangu tembea na yule, na yulee
Ndo nampendaga
Macho yangu mtazame yule, mtazame yulee
Ndo namwamini saaana
[Bridge]
Siwezi ukabue maisho yangu
Yatanaimi ndu tell meee
Eeee eeyy eii eeii
[Outro]
Moyo wangu tembea na yule, na yulee
Ndo nampendaga
Macho yangu mtazame yule, mtazame yulee
Ndo namwamini saaana
Moyo wangu tembea na yule, na yulee
Ndo nampendaga
Macho yangu mtazame yule, mtazame yulee
Ndo namwamini saaana

Sijutii lyrics by Ruby

[Verse 1]
Tabu sio kupata penzi
Tabu kupata bora mpenzi
Mwenye kujua matunzo
Tabu sio kupata penzi
Tabu kupata bora mpenzi
Mwenye kujua matunzo
Mwenzenu nyuma nilidanganyika kwa kijana
Akanijaza kwa sana
Si ndo nikaona hili ndo bwana
Nilizama pasipozamika
Ona nikadidimizika
Ila sikujali, nilijipa moyo nikimuomba Mungu
Mbele ya safari nilijipa moyo ntampata mzuri tu
Mwenzenu nyuma…
Oh mwenzenu nyuma…
Wacha niseme maana yamenifika shingoni
Nakosa unene amani sina moyoni
[Chorus]
Sijutii kukufahamu nimejifunza mengi eh
Wacha niseme maana yamenifika shingoni
Nakosa unene amani sina moyoni
Sijutii kukufahamu nimejifunza mengi eh
Nimejifunza mengi eh
[Verse 2]
Mto wenye mamba wengi
Ni huo huo wenye samaki wengi
Inabidi niingie nivue eh
Mwenzenu nyuma nilidanganyika na kina
Nikajazwa sana si ndo nikaona nimepata
Nilizama pasipozamika, ona nikadidimizika
Ila sikujali nilijipa moyo nikimuomba Mungu
Mbele ya safari nilijipa moyo nitampata mzuri tu
Nilichimba kisima, kata ikanidumbukiza mwenyewe
Nilichimba kina, mwisho nikadumbukiaga mwenyewe
[Chorus]
Sijutii kukufahamu nimejifunza mengi eh
Wacha niseme maana yamenifika shingoni
Nakosa unene amani sina moyoni
Sijutii kukufahamu nimejifunza mengi eh
[Outro]
Sijutii kukufahamu (moyoni)
Sijutii kukufahamu
Wacha niseme maana yamenifika shingoni
Nakosa unene amani sina moyoni
Sijutii…

Forever lyrics by Ruby

[Verse 1]
Kosa si kosa tuna-shout hadharani
Sometimes njoo tugombanie chumbani
Haya mapendo yasikatie njiani
Napenda ukifurahi cause moyoni my number one
Haki ya Mungu wallahi, kesho tutaiona sky
Napenda ukifurahi cause moyoni my number one
Haki ya Mungu wallahi, kesho tutaiona sky
[Chorus]
Baby, I love you forever
Zaidi tuwe wote together
Baby, I love you forever
Zaidi tuwe wote together
[Verse 2]
Maneno maneno yasivuruge amani
Tuipinge kesho wasicheke pembeni
Ana ana do, si mchezo, si utani
Napenda uki-smile cause moyoni we mjanja wangu
Haki ya Mungu huelewi jinsi unaniweka high
Napenda uki-smile cause moyoni we mjanja wangu
Haki ya Mungu huelewi jinsi unaniweka high
[Bridge]
Nyota na mwezi mashahidi watuone
Mchana usiku, njozi yako isikome
Kwa lugha zote, sema wala usikome
Ili mradi moyoni waujua ukweli wote
[Chorus]
Baby, I love you forever
Zaidi tuwe wote together
Baby, I love you forever
Zaidi tuwe wote pamoja
Baby, I love you forever
Zaidi tuwe wote together
Baby, I love you forever
Zaidi tuwe wote pamoja

Sijutii remix lyrics by Ruby ft wakazi

[Intro – Wakazi]
Mimi ni mchota maji nkiwa na kiu niyanywe
Pia mvua samaki nikiwa na njaa niwale
Bahati mbaya mara nyingi huwa navua kambale
Juu yake misuko suko ya mamba pia pamoja na wale papa
Kata ndio inaonizamisha kisimani
Na madini mengi mtaisikia kisimani
Nilitupa almasi kuokota jiwe nikidhani ni ruby
Pick the irony, I’m on a track with Ruby
[Verse 1 – Ruby]
Tabu sio kupata penzi
Tabu kupata bora mpenzi
Mwenye kujua matunzo
Mwenzenu nyuma nilidanganyika kwa kijana
Akanijaza kwa sana
Si ndo nikaona hili ndo bwana
Nilizama pasipozamika
Ona nikadidimizika
Ila sikujali, nilijipa moyo nikimuomba Mungu
Mbele ya safari nilijipa moyo ntampata mzuri tu
Mwenzenu nyuma…
Oh mwenzenu nyuma…
Wacha niseme maana yamenifika shingoni
Nakosa unene amani sina moyoni
[Chorus – Ruby]
Sijutii kukufahamu nimejifunza mengi eh
Wacha niseme maana yamenifika shingoni
Nakosa unene amani sina moyoni
Sijutii kukufahamu nimejifunza mengi eh
[Verse 2 – Ruby]
Nimejifunza mengi eh (life lessons)
Mto wenye mamba wengi
Ni huo huo wenye samaki wengi
Inabidi niingie nivue eh
Mwenzenu nyuma nilidanganyika na kina
Nikajazwa sana si ndo nikaona nimepata
Nilizama pasipozamika, ona nikadidimizika
Ila sikujali nilijipa moyo nikimuomba Mungu
Mbele ya safari nilijipa moyo nitampata mzuri tu
[Verse 3 – Wakazi]
Wanasema natakiwa kuoa, haina shida
Ila shida ipo kwenye kumuoa nani isiwe kuiga
Mi na yeye utadhani ni Beyonce na Jigga
Na-flow ka Jay Z, bae ni B kwa kuimba
Mchumba ana mapana ya tembo, marefu ya twiga
Maringo kama ya paka, na kisirani cha simba
Yeah I’m a beast, I know, ila sio kwa huyu beauty
Who will sleep we all, who were told that she a cute
Hakujua nachotaka, so alichukua nachopata
Bila kujua uzuri wa msichana hupungua kila mwaka
Wanazaliwa wapya, wazuri hawajazaliwa
Omba Mola akupe mpenzi wa dhati, others majaliwa
Penzi langu halitaki, anataka tuwe washikaji
Kisa bado mziki hujanilipa sina hata bajaji
Au akinionjesha penzi nisiseme, iwe siri, dii!
Amenifunza mengi, kumfahamu sijutii
[Chorus – Ruby]
Sijutii kukufahamu nimejifunza mengi eh
Wacha niseme maana yamenifika shingoni
Nakosa unene amani sina moyoni
Sijutii kukufahamu nimejifunza mengi eh

Friday, 17 June 2016

SUU LYRICS BY YAMOTO BAND FT RUBY



Wee Ruby karibu mkubwa na wanawe
Haya haya ×4
Nachojua undugu ni ule wa damu, kuzaliwa tumbo moja
We na mimi hatunaga uharani, basi punguza uonga
Nitakupa mapenzi matamtam
Napendaga namba moja
Pilipili yawasha lakini tamu tunapozanga na soda
Nitamushawishi mama, amupende sana babaako
Tutakuchezea chezea, mdogo mdogo utazowea
Kupiga selfie selfie kila siku hazina maana
Nitadondosha simu makusudi, tuonekane hatuna maana ×2
Turuba initandikie, naamusha usimamie
We mtoto wa baba Eh! Eh! Eh!
Undugu kaunganusha baba, kwa mama yenu nyie
Mnapaswa muniite dada na muniheshimu mie ×2
Kweli baba anaishi kwa mama yenu
Naomba sana dada yenu munieshimu

  (CHORUS)
Hili zizi la kondoo dume
We ni apple lazima uchumwe
Acha niombe mungu kidume aye-ye-ye-ye
Suu nitamwambia baba
Nitamwambia baba
Nitamwambia baba
Munanisumbua ×2


Ruby, mama kaniambia nioe-nioe-nioe
Ila mimi nataka nikuoe wewe Ruby
Ayii Ruby!
Basi punguzanga kiwewe
Niruhusu Ruby na mimi nikuite baby
Hapana aaa
Funika kombe mwana haramu apite, apite
Mimi kwako wewe nitakifanya chochote, chochote
Ruby si dada yangu kusema tumetoka wote kwa mama yangu
Ukinipenda akitokei chochote
Pam Pam ru-ma

Mlango wa chuma, ukiufungua hauna
huruma
Mama anataka mjukuu, yani ni kuweka usiku
Pam Pam ru-ma
Mlango wa chuma, ukiufungua hauna huruma
Wouho, wouho, iyoo mama
Yo iyo, yo iyo
Iyoo mama, mame eeh!
Kwanza moja nikwambie, wewe unaendana na mie
Wengine we wakunjie, ni mimi tu niwe na wewe
Nataka kufurahisha baby, komando nitalinda kidonda
Nzi wasije fonza nitaumia
Usiku waaga vinanitoka, mi siri ya bomba nimefunguka
Nahisi waniita mwenzako pwa ka cha lishafunguka 

(CHORUS)

Friday, 8 January 2016

Na Yule lyrics by ruby

Mapenzi hayana mwenyewe 
Unaweza penda kijana au mzee eeh
Niite jina langu baby
Huenda nafsi yangu itapoa aaaah 
Shika moyo wangu baby, unavyokwenda mbio wewe utapowa haaa! 
Kuna muda namwomba mungu angekuleta mapema
Ila bado sio mbaya wewe ndo unayejua maumivu yangu hhiiii baby
Siipra unitoke machoni, tembea nami ndotoni
Nitakuweka moyoni, bila hofu rohoni



 (CHORUS)
Moyo wangu tembea na yule na yule ndo nampendaga
Macho yangu mtazame yule mtazame yule namwamini sana


Baby staki kutazama nyuma tenaa, maumivu nlishayaona
Wengi walinipotezea muda muda, hakuna nlichokipata aaah haaa
Kuna muda namwomba mungu angekuleta mapema 
Ila bado sio mbaya wewe ndo unayejua maumivu yanguuu hii baby
Siipra unitoke machonii tembea nami ndotoni
Nitakuweka moyoni bila hofu rohoni



  (CHORUS)


  (CHORUS)