Friday, 14 September 2018
KWATU LYRICS BY ASLAY
Mmwaaah mmwaaah mmwaaah
Baby mi na we nganganga
Usije ukaenda kwa mgaga
Dj ebu piga charanga tuchezee
Wanauliza maswali
Tuwajibu kwa vitendo
Waambieee wajue
Mi kwako nishatia nangaaa
Fumba macho usije danga
Utaniumiza roho
Nikila korosho
Kula karanga, tuzimeze ooh
Usiniache nitatangatanga
Yatima ooh
Unionyeshe alokufunza nyakanga
Kitandani ooh
Nimeona wengi sana
Wazuri sana
Ila kwako nimekwama
Sijatereza kukuchagua
Nichochee, nichochee
Kama moto unichochee
Kwatu
Roho yangu kwatuu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu kwatu
Roho yangu kwatu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu
Ukiwa mbali mwili wote unapooza
Nahisi kama nimekufa na tayari nishaoza
Chai sukari
Mupenzi hebu koleza Usije ukakurupuka ukajaniacha kwa jeneza
Familia yangu iko polisi inakutafuta wewe
Nasikia unabonge la kesi la kuniteka mie
oooh loo loo loooh
La kuniteka mie
aaaaaah aaaaah aaaaaaaaah
Wambie wajue
Mi kwako nishatia nangaa
Nimeona wengi sana
Wazuri sana
Ila kwako nimekwama
Sijatereza kukuchagua
Nichochee, nichochee
Kama moto unichochee
Vunja mifupa kama meno ipooo
Kwatu
Roho yangu kwatuu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu kwatu
Roho yangu kwatu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu
Nikishika kiuno
Unishika mabega
ayayaaah
Unavonigusa kokote mwenzako naregea
ayayaaaaaah
Baby humo humo
Uliponishikia
ayayaaaayaah
ayayayaaayaah
waambie wajue mi kwako nishatia nangaaaa a
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Verse 1 Pombe ni kichwa kinauma, kishalewa, anajipoza na maji Na mimi hata muda sina, nishamkanya, ninasikiza mamelody Nis...
-
[Chorus] Watu walishachonga sana Eti Vailet simpati tena Na kuongea uzushi bwana Kwa kuona mambo yetu yananyooka Hata kiss, hug si...
No comments:
Post a Comment