Showing posts with label MR. BLUE. Show all posts
Showing posts with label MR. BLUE. Show all posts

Friday, 22 July 2016

MAPOZI LYRICS BY MR. BLUE

[Verse 1]
Nifanye nini ili unielewe?
Nikupe nini ili niwe na wewe?
Au majumba ya kifahari
Ili twende home tukajivinjari
Unajua sababu sina pesa
Ndo dhumuni la kunitesa
Unajua sababu sina pesa
Ndo dhumuni la kunitesa
Basi nieleze kabisa, kwamba ntapata au nitakosa
Uje unieleze kabisa, kwamba ntapata au nitakosa
Oh ooh, au uje unieleze labda mimi sifai
Au uje uniambie
[Chorus]
Nataka nielewe wapi umejifunzia mapozi (mapozi)
Ili nipate tambua unapojifunzia hiyo course (hiyo course)
Maana nikifikiria huwaga natokwa machozi (machozi)
Au sina hadhi ya kuwa wako mpenzi
Basi nieleze usinifanyie mapozi
(Mapozi nawe, we na mapozi nawe) x8
Nataka nielewe wapi umejifunzia mapozi (mapozi)
Ili nipate tambua unapojifunzia hiyo course (hiyo course)
Maana nikifikiria huwaga natokwa machozi (machozi)
Au sina hadhi ya kuwa wako mpenzi
Basi nieleze usinifanyie mapozi
[Verse 2]
Nikilala sipati usingizi
Nikifikiria natokwa na machozi
Basi laazizi usiniletee mapozi
Nsijekufa sababu ya mapenzi
Najaribu kukuacha siwezi
Kwenye mapenzi labda umeniwekea hirizi
Najaribu kukuacha siwezi
Kwenye mapenzi labda umeniwekea hirizi
Basi nieleze nsije nkapata uchizi
Nkajakufa sababu ya mapenzi
Uje unieleze nsije nkapata uchizi
Nkajakufa sababu ya mapenzi
Oh ooh, au uje unieleze labda mimi sifai
Au uje uniambie
[Chorus]
Nataka nielewe wapi umejifunzia mapozi (mapozi)
Ili nipate tambua unapojifunzia hiyo course (hiyo course)
Maana nikifikiria huwaga natokwa machozi (machozi)
Au sina hadhi ya kuwa wako mpenzi
Basi nieleze usinifanyie mapozi
(Mapozi nawe, we na mapozi nawe) x8
[Verse 3]
Ni neno moja ndo nalotaka tu
Unanipenda, haunipendi basi nijue moja tu
Kuliko kulia na mapenzi daily
Kuja home kwenu kupiga misele
Wakati we umeweka pesa mbele
Au sina hadhi? Niambie tu
Kisa sina kazi ndo unitese du
Ah, ruksa mami tukapime HIV
Vuta ndani njoo tuset VIP
Basi cheka tena nione zako dimples
Sura nzuri mamii haina hata pimples
Nini unataka zaidi ya penzi?
Mikoko boma ya Bima na Benz
No leta hapa mambo ya kishenzi
Nachohitaji tuwe close, uwe wangu mpenzi
[Chorus]
Nataka nielewe wapi umejifunzia mapozi (mapozi)
Ili nipate tambua unapojifunzia hiyo course (hiyo course)
Maana nikifikiria huwaga natokwa machozi (machozi)
Au sina hadhi ya kuwa wako mpenzi
Basi nieleze usinifanyie mapozi
(Mapozi nawe, we na mapozi nawe) x8

TABASAMU LYRICS BY MR. BLUE

[Chorus – Steve RnB]
Tabasamu nipate furaha
Usiwe unanuna baby, usiwe unauchuna wewe
Tabasamu nipate furaha
Usiwe unanuna baby, usiwe unauchuna wewe
[Verse 1 – Mr Blue]
Game kushuka na kupanda
Jana tumeshuka, cheki leo tumepanda
Tumepata idea ya kusambaza kanda
Nimepata shows za Kenya na Uganda
Burundi na Rwanda
Twende pamoja twende tukasake chanda
Mungu akijalia wanazuia kibanda, namiliki kiwanda
Tuko pamoja si ungefunga mkanda
Yote kwa sababu, nipe tabasamu
Tumechoka mitabu hii ndo time ya vitamu
Unapendaga club, unamkumbusha Lam
After two weeks turudi Dar Es Salaam
Tumetesa sana baby (sana, sana)
Vibaya ukinikana baby
Kuniona sina maana baby
Baby, toka mchana alfajiri
Chini utajiri, fake mpaka real
Mapen zi sio siri
Au kwa kuwa tuko wawili, mapenzi ndo ukaona siri?
Kama mabaya yanasemwa kila siku, daily
Wazushi nao hawaishi bifu
Maisha sio kutesa kila siku
Japo pesa ndo kila kitu
[Chorus – Steve RnB]
Tabasamu nipate furaha
Usiwe unanuna baby, usiwe unauchuna wewe
Tabasamu nipate furaha
Usiwe unanuna baby, usiwe unauchuna wewe
[Bridge – Steve RnB]
Cheka kidogo ni wewe baby
Nione tabasamu lako girl
Mi naridhika, nafarijika
Ukinuna utaniumiza roho
Cheka kidogo ni wewe baby, oh
Mi naridhika, nafarijika, yeah
Tabasamu, tabasamu
Baby, baby
[Verse 2 – Mr Blue]
I say weka amazing smile wacha mi nisebenze
Achana na hao wanaosubiri niteleze
Boogie nami superstar tingisha hizo wezere
(Wezere) wezere, (wezere) wezere
Wakibana Bongo twenzetu kwa Madebe
Twende club zao twende tukaruke debe
Sikia hisia zao sio hisia ka za Reggae
Nawapiga bao wakijirudi kama Chege
Achana na wanga, wanga zao ni kutaga
Mitaa ya Upanga kule wanauza burger
Wanacheza Charanga, unacheza Ragga
Hisia za kimanga, sina hisia za kichaga
Basi baby si ungecheka kidogo
Hujui smile lako linaua mpaka vigogo
Halafu huko nature wala hutumii mkorogo
Pande za Masaki mpaka pande za Kigogo
Wamekutaka hawajakupata hata kidogo
Wakina Roma K, Abuu na Shebi Chogo
Hawajakupata hata kidogo
Haja-haja-hauja…
Blue vipi, mbona sikusikii tena?
Sikusikii uki-flow, mbona sikusikii usema?
Niko busy na baby jamani nishasema
Niko busy na wife jamani nishasema
Mabaya yanasemwa kila siku
Wazushi nao hamuishi bifu
Maisha sio kutesa kila siku
Japo pesa ndo kila kitu
[Chorus – Steve RnB]
Tabasamu nipate furaha
Usiwe unanuna baby, usiwe unauchuna wewe
Tabasamu nipate furaha
Usiwe unanuna baby, usiwe unauchuna wewe

TILA LILA LYRICS BY MR. BLUE

[Chorus]
Nimekunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nimekunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila
[Verse 1]
Nimekunywa tila lila
Nme-chill kwenye mpira
Mi natafuta dira
Mademu wamenizingira
Kuna mmoja nampenda
Nataka kiss ama denda
Mwenye nime-surrender
Nimelewa tila lila
[Chorus]
Nimekunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nimekunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila
[Verse 2]
Kila club nayopita
Mademu wananishika
Wengine wanakatika
Wamelewa tilalila
Kila club nayokwenda
Wote wamependeza
Wengine wanacheza
Wamelewa tila lila
[Chorus]
Nimekunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nimekunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila
[Verse 3]
Sijiwezi mbele sioni ah
Sijiwezi sijiwezi ah
Sijiwezi mbele sioni ah
Sijiwezi sijiwezi ah
Nina chupa ya bia
Mambo tupo malkia
Mambo super ma dear
Nipo tila lila
Mambo mfukoni sio bila bila
You know what? It is Bablyon Killer
[Chorus]
Nimekunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nimekunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila

NIPENDE LYRICS BY MR. BLUE FT. WALTER

[Chorus – Walter]
Love me the way I am
Take me the way I am
Nipende kama nlivyo (baby girl promise)
Just the way I am (baby girl promise)
Nipende kama nlivyo
Nipende kama nlivyo
Just the way I am (baby girl promise)
Nipende kama nlivyo (baby girl promise)
[Verse 1 – Mr Blue]
Nipe simple tu, formal life
Juu kwa juu Byser
Beezy Babylon, Mr Blue
Sina rafiki paparazi ndio jina liwe juu
Mziki wangu kwanza kazi, kama elimu basi ya chuo kikuu
Najivunia kuwa mtanzania
Hivi hivi nilivyokuwa, hivi hivi naitangaza Tanzania
Sio malaika, sio mtoto wa malikia
Nipende nikupende nami nitakuaminia
Mtoto wa mjini, masikini, hali ya chini
Ubishi tu na harakati nyingi
Bila nyumba, bila gari, bila mali, bila zali
Nipende kama nilivyo, nithamini kama roho
Usinifanye taka ukaiweka kwenye store
Thamini kula kwanza ndo uitupe kwenye choo
Nipende kama nilivyo Heri Same Rajabu
Mtoto wa Gerezani, Kinondoni, Magomeni
Temeke na Kariakoo!
[Chorus – Walter]
Love me the way I am
Take me the way I am
Nipende kama nlivyo (baby girl promise)
Just the way I am (baby girl promise)
Nipende kama nlivyo
Nipende kama nlivyo
Just the way I am (baby girl promise)
Nipende kama nlivyo (baby girl promise)
[Verse 2 – Mr Blue]
Twende ukinipa love, usinipe kizunguzungu
Mi mwenyewe kizunguzungu, kichwa kimechoshwa na
Skendo na majungu, kaa tulia kizungu nitoe kwenye uchungu
Ukungu na uvungu
Nilivyo ka nilivyo nitaondoka ka nilivyo
Ukijitenga we adui nakuacha kama ulivyo
We si adui, basi nenda likizo
Kwani we hujui kuwa sidili na dili hizo?!
Niko na ndugu, karaha na matatizo
Tuko mtaani kuna dhiki, masikini hathaminiki
Kuwa adui ndo rafiki na mnafiki wa shabiki
Na nyota kubwa, ila moyo safi
Asante Mkubwa kwa kunipa kipaji na bahati
Nacho bado nakitunza aminia
Naishi mara moja kwa amani mpita njia
Rest In Peace mom, Roy na watu waliotangulia
Amen!
[Bridge]
Ntakupenda bila sababu every day of my life
Na wakitaka sababu tell them I am your life
Hivyo hivyo ulivyo (baby girl promise)
Just the way you are (baby girl promise)
[Chorus – Walter]
Love me the way I am
Take me the way I am
Nipende kama nlivyo (baby girl promise)
Just the way I am (baby girl promise)
Nipende kama nlivyo
Nipende kama nlivyo
Just the way I am (baby girl promise)
Nipende kama nlivyo (baby girl promise)
[Outro]
I’m not a mountain, I’m not a desert
I’m not an ocean, I’m not a sky
I’m not a cloud, I’m not an angel
So take me the way I am
Love me the way I am (baby girl promise)
Baby girl promise
Baby girl promise
Baby girl promise

PESA LYRICS BY MR. BLUE


[Intro]
Yeah!
Bizzy Babylon
Heri Same! Mr. Blue
Ah nimetoka mbali mbali mbali
Ah yeah word up, word up
Sayy record, record
Lazima tusherekee
Kwa kile kilichofanyika, au sio?
Let’s go!
[Verse 1]
Nishatembea kwa miguu kabla kuwa Mr Blue
Hakuna sista duu wala blaza duu alienijua
Zaidi ya joto, mvua na jua
Na msoto ulionikuza nikakua
Labda ghetto la washikakaji wanaonijua
Kweli shida kama moto zinaunguza unaungua
Amani Dar Es Salaam, nyumbani Dar Es Salaam
Rest in peace my mom, nakupa salamu
Huku maisha kidogo matamu nakula vitamu
Miss you mom, miss you mom
Ilikuwa kama ndoto kuwa superstar
Kuruka kopo kila kona kila bar
Kwenye hali ya msoto maisha shida na njaa
Bongo kweli nyoso, Bongo balaa
Kijana usikate tamaa kaza jombaa
Kabla ya Dully Sykes kutoka na Juma Nature
Niko Kariakoo kwenye zaga tu nakesha
Kila banda kila stoo tunasaka pesa
Upepo ume-change na mambo yote bomba
Unikosi top 20 wala 3 bomba
Ma-fans utitiri autograph wakiomba
Sijafika ikulu kupiga chata kwa mjomba
Waandishi wa habari nao wanataka habari
Mi sina habari, niko beach napata upepo wa bahari
Na ma-snitch wote naona kwa mbali
Natumia pesa, naijua pesa
Kula nyama, kula maji
Tumekuja kutesa, kuimba na kucheza
Kuimba na kucheza
Let’s go!
[Hook]
Tunatumia pesa pesa pesa
Tulitafuta pesa pesa pesa
Tukazipata pesa!
Ah! tumekuja kutesa, kuimba na kucheza
Aah tunatumia pesa pesa pesa
Tulitafuta pesa pesa pesa
Tukazipata pesa!
Eeh (let’s go!) tumekuja kutesa, kuimba na kucheza
[Verse 2]
Ukipenda kula ndama and glass gonga cheers
Waambie wakina mama leo nyama zinaliwa Steers
Jiji limehama mabwana tumevamia
Slogan za kinyama nafikiri tulikwambia
Flow mamia kwa mamia, kwenye show mamia kwa mamia yanaingia
Kwenye store album wameshindwa kubania
Kweli soo kula nyama, kula bia mpita njia
Wapigie marafiki, waambie hii sio kila wiki
Hii ni kila siku mchana na usiku
Sherehe imepamba moto kama uswazi na kiduku
Wachokozi na vikuku na wala sio sikukuu
Chana pesa weka posi mpaka ubaki mtupu
Namwaga noti kama mtoto wa fisadi
Na-change watoto kama vile hakuna idadi
Niite superstar pembeni na bodyguard
Hapa hakuna kulia njaa, na credit card
Tunatumia pesa, tumekuja kutesa
Kuruka, kuimba na kucheza
Tumekuja kutesa, kuimba na kucheza (cheza wewe!)
[Hook]
Tunatumia pesa pesa pesa
Tulitafuta pesa pesa pesa
Tukazipata pesa!
Ah! tumekuja kutesa, kuimba na kucheza
Aah tunatumia pesa pesa pesa
Tulitafuta pesa pesa pesa
Tukazipata pesa!
Eeh (let’s go!) tumekuja kutesa, kuimba na kucheza
[Outro]
Kaa mbali wewe, muda wetu wewe
Uuh watu wamefanya kazi, wanaba..baba banjuka tu
Respect Micharazo lifestyle, BOB wuuh
Au sio bwana?
C’mon now waambie tumekuja kutesa, kuimba na kucheza
Seyy Record, Seyy Record, I see ya brother
Wuuh habari unayo, alright

BAKI NA MIMI LYRICS BY MR. BLUE FT DUNGA

[Intro]
Hamba nera, hamba nera, hamba nera
Baki na mimi
Hamba nera, hamba nera, hamba nera
Baki na mimi
Hamba nera, hamba nera, hamba nera
Bizzy Babylon, Bizzy Babylon
Hamba nera, hamba nera, hamba nera
Baki na mimi
[Verse 1 – Mr Blue]
Yeah!
Ilikuwa Jumapili mchana Bilicanas
Nilipokwenda kwenye dili za kuchana
Nakutana, na msichana
Oh my God nimempenda sana
Hello, hello, hello baby mama
Hello mama tunaweza kujuana
‘Ah Blue bana acha papara’
Sista duu bana ebu acha masihara
Mbona nishaweka pembeni biashara
Za masihara, hizo mimi wala
Nataka nisifu unavyong’ara
Kuanzia unyayo na kila idara
Umesimama, tena imara
Na mi nimesimama, kama mnara
Anachukua simu yangu anaandika namba zake
Kwenye shavu langu zinabaki alama za lips zake
[Hook – Dunga & Mr Blue]
Hamba nera, hamba nera, hamba nera
Baki na mimi
Hamba nera, hamba nera, hamba nera
Baki na mimi
Hamba nera, hamba nera, hamba nera
Baki na mimi
Hamba nera, hamba nera, hamba nera
Baki na mimi
[Verse 2 – Mr Blue]
Kesho anapiga simu anasema nam-drive crazy
Anataka tuwe kama Beyonce and Jay Z
Na kama mechi tayari amekula jezi
Kama shwari niende kwao Mbezi
Ah shwari, mi habari sina
Na kama iko tayari leo namualika dinner
Siku inafika nakula vitu vitamu
Namlisha anakula, anatabasamu
Anakunywa akilewa poteza fahamu
Fanya mitikasi ya kwenda kutafuta room
Nipate room ya kwenda kumwaga sumu
Kabla ya kumwaga sumu, kwanza nawasha ndumu
Namwambia mambo muhimu
Wapigie wazazi wako waambie uko na mimi
Siku hizi sio mtoto wa mama, mtoto wa mjini
Nazama mpaka chumvini anasema..
‘BAKI NA MIMI!’
[Hook – Dunga & Mr Blue]
Hamba nera, hamba nera, hamba nera
Baki na mimi
Hamba nera, hamba nera, hamba nera
Baki na mimi
Hamba nera, hamba nera, hamba nera
Baki na mimi
Hamba nera, hamba nera, hamba nera
Baki na mimi
[Verse 3 – Mr Blue]
Kesho kutwa, mipango ya harusi
Hakuna tena zinaa, hakuna tena matusi
Wazazi wanatupa baraka
Kamaso maso namchukua haraka bila mashaka
Bonge la nyumba, bonge la gari (duh!)
Bonge la mchumba, bonge la mwali (uuh!)
Nikikumbuka tulipokutana aah
Ni Bilicana huwa nacheka sana
Ama kweli mapenzi, kokote mnakutana
Penzi wanapendana, shenzi wanatendana
Hawana maana na ndo maana wana laana
Kama unae wako cheza nae nyuma mbele
Mwambie aache kuchepuka, aache misele
Baraka tele, mapenzi tele
Furaha tele eh, na rafiki wale pilau hiyo siku ya vigere gere
[Hook – Dunga & Mr Blue]
Hamba nera, hamba nera, hamba nera
Baki na mimi
Hamba nera, hamba nera, hamba nera
Baki na mimi
Hamba nera, hamba nera, hamba nera
Baki na mimi
Hamba nera, hamba nera, hamba nera
Baki na mimi
[Outro]
Baki na mimi
Baki na mimi
Hamba nera, hamba nera, hamba nera
Baki na mimi
Hamba nera, hamba nera, hamba nera
Baki na mimi
Hamba nera, hamba nera, hamba nera
Hamba nera, hamba nera, hamba nera
Baki na mimi

MBOGA SABA LYRICS BY MR. BLUE FT ALI KIBA

[Verse 1 – Mr Blue]
Mboga saba umeniteka, makahaba nawacheka
Kwenye mkataba nakuweka, kwenye mahaba nakuweka
Napiga ibada usije lala kwenye mkeka
Aah kama vumba likikataa
Aah ndumba halitovaa
Bila nyumba chumba kimoja utakaa?
Nguo za mitumba nauliza mchumba utavaa? (Yeah)
Yeah, basi mohoro, nakupenda na ngozi yako nyororo
Kote unakwenda hata kwenye vigodoro
Penzi lako limenifunga minyororo
Basi leo twende wapi? Nichukue bajaji nije kwenu Masaki
Twende Coco Beach ukale mishikaki?
Au Zara Moon ukale ugali samaki?
Nachokupenda kuwa hujui kujivuna
Mtoto mzuri ila hujui kunichuna
Watoto wa uswazi hawajui kunikuna
Mapenzi kamari ila hujui kunipuna
[Pre-Chorus – Alikiba]
Nilipiga goti kwa Mungu na dua ikafika
Haya maisha yangu na wewe ukaridhika
[Chorus – Alikiba]
Eii…
(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)
Unanifaa sana
(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)
Nasikia raha
(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)
Unanifaa sana
(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)
Nasikia raha
[Verse 2 – Mr Blue]
Mtoto unajua njaa, (mtoto) unajau raha
(Mtoto) kweli kifaa, (mtoto) kweli unafaa
Moto bila ya mkaa, ndoto ya kila star
We ni joto kwangu baridi balaa
Bonge la bambataa, unapendeza unavovaa
Kwenye bed unavyocheza kama kwenye jukwaa
Macho ya kulegeza, hii sio kungu nakataa
Kwenye giza waka waka kama taa
Ulaya bila visa nafika bila kupaa
Ah, mama halali wa pendo
Achana na habari na skendo
Wanakaba kabari kila angle
Wanataka nife wateke mali wazibe pengo
Hawajui…
Pengo langu halizibiki, hawasumbui
Pendo gonjwa sugu halitibiki
Unapendwa na babu na bibi, na mama na baba
Nakuita beki kwenye bonge la ligi unavyokaba
Mabrazameni ntawapiga shaba
Niacheni na mboga saba, bakieni na makahaba
Nachompenda kuwa hajui kujivuna
Mtoto mzuri ila hujui kunichuna
Watoto wa uswazi hawajui kunikuna
Mapenzi kamari ila hujui kunipuna
[Pre-Chorus – Alikiba]
Nilipiga goti kwa Mungu na dua ikafika
Haya maisha yangu na wewe ukaridhika
[Chorus – Alikiba]
Eii…
(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)
Unanifaa sana
(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)
Nasikia raha
(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)
Unanifaa sana
(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)
Nasikia raha
[Outro]
Oh yee ye oyee, oh yee yee oyee
Oh yee ye oyee, oh yee yee oyeeye