Showing posts with label SANAIPEI. Show all posts
Showing posts with label SANAIPEI. Show all posts

Wednesday, 13 July 2016

KWAHERI LYRICS BY JUA KALI FT SANAIPEI TANDE


Verse 1 (Jua Cali)

Kwani nimewekewa madawa, siwezi kukuacha

Kila mahali unaenda mi nakufuata


Siogopi kukuambia, mi nakupenda

Watu wa wivu nao zao ni kusemasema

Huyo manzi alinipigia simu mi hata simjui

Mi nimekuwa studio, ati tulikuwa naye wapi juzi

Hizo ni uwongo na unajua

Mlango yangu iko wazi, we ukitaka kurudi nimeifungwa

Unasema hapana, hapana

Huku ukilia mi navumilia

Mi nakazana, nakazana

After hii yote, siamini bado unawezaniambia




CHORUS

Nakuaga mi kwaheri 
Nami ninakutakia la heri

Kukupenda mi siwezi 
Jamani, mpenzi kwaheri


Nakuaga mi kwaheri Nami ninakutakia la heri

Kukupenda mi siwezi 
Jamani, mpenzi kwaheri


Verse 2

Ninashughulika kila kitu yangu irudi fiti

Vile ulipotea tu, watu mtaani wakafikiria nimechizi

Silali, kusema ukweli sikuli 
Kejani bana hata siku hizi hata situlii

Nipige makofi labda naota 
Ama nikuache, pia naskia ni kama nimechoka

Kujitetea pali niko au pali siko 
Nasi tumetupa, miaka sita hivyo

Unasema hapana, hapana 
Huku ukilia mi navumilia

Mi nakazana, nakazana 
After hii yote, siamini bado unawezaniambia



CHORUS

Nakuaga mi kwaheri 
Nami ninakutakia la heri

Kukupenda mi siwezi 
Jamani, mpenzi kwaheri
  
Nakuaga mi kwaheri Nami ninakutakia la heri

Kukupenda mi siwezi 
Jamani, mpenzi kwaheri


Verse 3

Hasira ni ya nini, bana tulia 
Biashara yetu bado mi nimeishikilia

Na nguvu yangu yote, naweza 
Pesa zako kuna mali poa nimeiweka

Unaweza chuna kadhaa ukitaka 
Zile zitabaki, nunua nazo shamba

Lazima tufikirie maisha yetu ya mbele 
Sio kila siku kelele kelele


Bridge

Tukiwa na wewe 
Mambo yako yenda kombo

Japo nisonge hapo, matatizo yako yakoma



CHORUS

Nakuaga mi kwaheri 
Nami ninakutakia la heri

Kukupenda mi siwezi 
Jamani, mpenzi kwaheri

Nakuaga mi kwaheri Nami ninakutakia la heri

Kukupenda mi siwezi 
Jamani, mpenzi kwaheri

Tukiwa na wewe Mambo yako yenda kombo

Japo nisonge hapo, matatizo yako yakoma

Nakuaga mi kwaheri Nami ninakutakia la heri

Kukupenda mi siwezi 
Jamani, mpenzi kwaheri


Nakuaga mi kwaheri Nami ninakutakia la heri

Kukupenda mi siwezi 
Jamani, mpenzi kwaheri.

MULIKA MWIZI LYRICS BY KIDUM FT SANAIPEI


Verse 1

Ukiona mwanaume kwa hali ya kulia, jua yakwamba ameguswa pahali

Sio rahisi, si kawaida kushuhudia mwanaume akitoa machozi

Hapo zamani nilidhani mwanaume akipoteza kazi ndio uchungu, ndio unyonge 

Kumbe mapenzi ndio sumu kali, inayofanya mwanaume kulia

Kama mtoto mtoto, kama kidogoyo

Hapembelezwi, hanyamazishwi, machozi yake inatoka ikienda tumboni

Hapembelezwi, hanyamazishwi, machozi yake inatoka ikienda tumboni



Chorus

Mulika mwizi, mulika na tochi, mulika (mulika mwizi)

Mulika mwizi, kama kuna giza mulika

Nimulikie mwizi, nasumbuka, nataka kujua nani mwizi wa mapenzi

Barua pepe kwa simu ya rununu, ujumbe mfupi unafutwa na sekundi tatu (sekundi tatu)

Nilimpenda baibe wangu, nikampea roho yangu, amechukuliwa, amenyakuliwa

Jamaa fulani hapa mtaani, mwenye magari, na mapesa, amechukua baibe 

Ikanifanya crazy,sipembelezwi, sinyamazishwi
Machozi yangu yanatoka yakienda tumboni

Msiomboleze, mnamujua huyu jamaa, kajifanya bubu, wengine vipofo




Chorus

Mulika mwizi, nimulikie mwizi

Nimulikie mwizi, nasumbuka, nataka kujua nani mwizi wa mapenzi

Nani mwizi wa mapenzi



Verse 3

[Sanaipei]

Ukiona baibe wako anaingia bafu na simu mkononi, huyo ni mwizi (mulika mwizi)

Uniona mzee wako anazima simu kila mara akiwa kwa nyumba, mulika mwizi (mulika mwizi)
 Oh-o-o-o oh oh  oh-o-o-o
Oh-o-o-o –o-o


Nimulikie mwizi jameni, (mulika mwizi)

Mulika mwizi, nionyeshe, niambie ni wapi

Nimulikie mwizi, mwizi wa mapenzi, mwizi wa mapenzi (mulika mwizi)

Nani mwizi wa mapenzi

Nani mwizi wa mapenzi (mulika mwizi)

Wani ua, wani umiza (oh –o-o-o-o)

Mulika na tochi, natazama mbele si nyuma

Mulika mwizi, kila mtu mwizi wa mapenzi, kila mtu mwizi wa mapenzi


Pia mimi mwizi wa mapenzi

Wednesday, 6 July 2016

BIG SHOT REMIX LYRICS BY PORGIE, FRASHA, PREZZO, SANA, COLLO, NAMELESS & MADRAXX


Intro (Porgie)

oga o
some people they think take it
is an abbreviatory phrase
the big shots are taking over

(DJ Stylez)
ladies and gentlemen
I wanna introduce you to the biggest
biggest
biggest remix of the decade
this is the big shot remix

Verse 1 (Frasha)
kuwa king wa flow
si mchezo bro
I'm on another level
bigger level, big shot
nikipata kadada nakaanga tu rada
that's a big shot
nabeba ka-rubber, ushashika rada
that's a big deal
kijana ana swagger na bado ana swagger
that's a big shot
ukipenda ka-life wachana na ma-wifie
that's a big deal
I'm too genge for my life, I'm too genge for my life
I'm too genge for my life and I'm too genge for my life

(Prezzo)
yes I'm a big shot, but do I say
labda na damu ya kijathe
a big shot, so confident
that's why they call me the president
a big shot, making dividends
never took a loss and it's evident
a big shot, your boy Prezzo
na nyote wajua, I'm too sexy for my haters
wave bye-bye, Imma see you later
too sexy for some sleaze, itabidi tu ucheki my tatoo
too sexy for this car
too fly for the media
yes I'm a superstar, yes I'm too sexy for this world

Chorus (Madtraxx & Sana)
coz I'm a big shot
yes I'm a big man
check out the remix baby
it is big time
and I'm a big shot
yes I'm a big man
check out the remix baby
it is big time

Verse 2 (Sana)
I'm hanging with the big deals
you're hanging with the big deals
they're hanging with the big deals
we're hanging with the big deals

(Collo)
I'm aiming for nothing but gold
meaning that I'm gonna dig
of course my flow is notorious so aka I'm a big shot
boss man, heading the game
it's so unfair that I'm a mean sportsman
oga o Collo ni mchafu, osha mdomo
I am too sexy for myself, mpaka mi ni fan wangu
I even autograph myself, a big ego mwanangu
and I never ever lie to you
I proposed to money and of course it said I do
you can tell by the tone of my laughter 
that we'll live happily ever after

(Bamzigi)
Guess who's back in hip hop
it's Mr. B.I.G Shot
took too much coke now I'm clean now man I want my old spot
on the top, king of hip hop
b***h can't wait till the album drop
coz I'm so hot, and your not
check this out man
I'm too sexy, superman's back
I'm too sexy, that's a fact
I'm too sexy for this rap
coz man I swear they cannot hack
I'm too sexy, no more crack
I'm too sexy, no more hacks
I'm too sexy, hit the gym
ladies love my new six pack

(Madtraxx)
so when I told you about this whole big shot thing
I told you it's not even about me
but I won't even tell you that anymore
Imma let my friend Nameless tell you he's a big shot
yo Nameless, tell them who's a big shot

(Nameless)
if you're a hustler in the hood, you're a big shot
if you wanna make it then you should, you're a big shot
never defeated, you can't lose, you're a big shot
in whatever hustling that you choose, you're a big shot
kwa wasanii wana bidii, you're a big shot
tujikakamue kusasidi, you're a big shot
making some G's in salaries, you're a big shot
making it in any kind of industry, you're a big shot

(Madtraxx)
what more can I say
except 512, we made it
RedRoom in the house baby
in fact, all I have to say is...
come on...
man lemme lemme see you keep it sure
man lemme lemme see you keep it sure
ladies lemme see you wine down low, 
down low, down low, down low, down low and cut