Showing posts with label Yamoto Band. Show all posts
Showing posts with label Yamoto Band. Show all posts

Tuesday, 26 July 2016

Nikupeti peti lyrics by Yamoto band

Mkubwa Na Wanawe, Na Wanawe
Mkubwa Na Wanawe, Na Wanawe
Macho yananiumiza roho
Silali nisipokuona mi naumia roho
Kwenye mapenzi hakunaga komando
Unapokuwa mi nazi-miss shoo
Nibusu nikubusu, nikupeti peti chumbani
Kukuacha sithubutu, we wangu halali mwandani
Nibusu nikubusu, nikupeti peti chumbani
Kukuacha sithubutu, we wangu halali mwandani
Kwenye joto nipepee
Ukichoka jilaze kifuani
Vumilia my baby
Tupatacho kidogo afueni
Kwenye joto nipepee
Ukichoka jilaze kifuani
Vumilia my baby
Tupatacho kidogo afueni
Niu niue, mahaba niue
Niu niue, mahaba niue
Kwenye joto nipepee
Ukichoka jilaze kifuani
Vumilia my baby
Tupatacho kidogo afueni
Kwenye joto nipepee
Ukichoka jilaze kifuani
Vumilia my baby
Tupatacho kidogo afueni
Wo, wo, wo, wo
(Hiki kisiki cha mpingo, cha mpingo)
Wo, wo, wo
(Acha mwenzenu nicheke japo nna pengo)
Wo, wo, wo, wo
(Hiki kisiki cha mpingo, cha mpingo)
Wo, wo, wo
(Acha mwenzenu nikenue japo na pengo)
Wanavyokupiga majungu mwenzako natetemeka
Naogopa wachina, wazungu wakaja wakakuteka
Wanavyokupiga majungu mwenzako natetemeka ah
Naogopa wachina, wazungu wakaja wakakuteka
Niu niue, mahaba niue
Niu niue, mahaba niue
Kwenye joto nipepee
Ukichoka jilaze kifuani
Vumilia my baby
Tupatacho kidogo afueni
Kwenye joto nipepee
Ukichoka jilaze kifuani
Vumilia my baby
Tupatacho kidogo afueni
Waogope wala bata, watakuchukua
Kama pesa tutapata, my baby vumilia
Waogope wala bata, wanakusumbua
Kama mtonyo tutapata, nasi tutatumia
Wo, wo, wo, wo
(Hiki kisiki cha mpingo, cha mpingo)
Wo, wo, wo
(Acha mwenzenu nicheke japo nna pengo)
Wo, wo, wo, wo
(Hiki kisiki cha mpingo, cha mpingo)
Wo, wo, wo
(Acha mwenzenu nikenue japo na pengo)
Kwa yako madoido, fundi kitandani una fujo
Wamzidi Eddy Kurdo, mama wajiweza hadi judo
Oh kwa yako madoido, fundi kitandani una fujo
Wamzidi Eddy Kurdo, mama wajiweza hadi judo
Waogope wala bata, watakuchukua
Kama pesa tutapata, my baby vumilia
Waogope wala bata, wanakusumbua
Kama mtonyo tutapata, nasi tutatumia

Wambea lyrics by yamoto band ft Christian Bella

[Intro – Christian Bella]
Ale wambea wambea wote
Posa hakuna (posesanga)
Wala longo hakuna (posese kisanga)
Bella posena hakuna (posesanga)
Wala longo hakuna (posese kisanga)
[Verse 1]
Nala ng’ombe sasa hivi sili bata
Nikichoka kulala nahitaji kupakata
Wacha wapambe maneno wanoropoka eh
Wakimaliza kunena wataanza kukatika
Tena Mungu mkubwa mama, mchana, usiku tunaonana
Hata kwenye kiza plate number wanaisoma
Mungu mkubwa mama, mchana, usiku tunaonana
Hata kwenye kiza plate number wanaisoma
Wanapiga piga stori kuhusu mimi na wewe
Chumvi zikiisha wanakuja watugongee
Mahaba ee, mahaba ning’ate
Mahaba ee, nizike kabisa ili nipotee
Na kila sababu ya kulinga na penzi lako, honey
Nawapa makavu wenye chuki na pendo letu kwani
Nazunguka nikirudi nasikia yamejaa kibao
Maneno ya kipuuzi watajaza na midumu kibao
Ya ndani ya kwetu we na mi baby wangu eh
Wakose jawabu wenye chuki na pendo letu woh
Wanaleta umbea, maneno ya kipuuzi oh
Wanaleta umbea, lolo, lolo, lolo, loo
Mchawi binadamu, paka anatumwa tu elewa baby
Maneno ni haramu, wanataka kugombanisha mi na wewe
[Chorus w/ Christian Bella]
Aa ni wewe (ndo rubani wa moyo)
Wapambe (usiwape uchochoro)
Olala lalila (semeni mulale tukutane tomorrow)
Mamama mama eh (semeni mulale tukutane tomorrow)
Aa ni wewe (ndo rubani wa moyo)
Wapambe (usiwape uchochoro)
Mamama mama eh (semeni mulale tukutane tomorrow)
[Verse 2]
Ni upendo wa dhati unanisumbua
Kukupata bahati nataka tulia
Kukuacha sitaki hata kusikia
Roho tu, yangu roho mama nitaja jutia
Aah mi jogoo nataka koo, popote ulipo
Nitakuwepo popote uendapo
Mmh naiseti seti, naiseti
Mipango bado
Naiseti seti, ah naiseti
Ah, ah, ah, tufanye yetu
Maneno yangekuwa yanatoboa mama ningeshageuka tenga
Wacha waseme waseme sana ninachowaza kujenga
[Bridge – Christian Bella]
Ale wambea wambea wote
Posa hakuna (posesanga)
Wala longo hakuna (posese kisanga)
Mi nasema pose hakuna (posesanga)
Ale longo hakuna (posese kisanga)


[Verse 3 – Christian Bella]
Mama yee, mamaa yeee
Inawauma na inawachoma sana
Wanaona aibu, ona wote vichwa chini
Kisa tunapendana mama mama mama
Wewe ringa ringa mama, moyo ushasimama kwako
Maneno si shida, umesikia nani kazikwa ah?
Tena ringa mama, kwa kifo sisi tutawazika
Wambea pose lakuna
Mama iye iyee (posese kisanga)
Sema mama ah (posesanga)
Lobi longwe hakuna mama ah (posese kisanga)
Wowowo, wowowo mama eh iye iye iye
[Chorus w/ Christian Bella]
Aa ni wewe (ndo rubani wa moyo)
Wapambe (usiwape uchochoro)
Olala lalila (semeni mulale tukutane tomorrow)
Mamama mama eh (semeni mulale tukutane tomorrow)
Aa ni wewe (ndo rubani wa moyo)
Wapambe (usiwape uchochoro)
Mamama mama eh (semeni mulale tukutane tomorrow)

Nigande lyrics by yamoto band

[Intro]
Kama umenipenda kwa njaa, tutaishi kwa njaa
Yatayojitokeza usije ukalalama
[Verse 1]
Sura yako muzuri ila usitishike na sauti yangu eh
Sauti nimejaliwa tu mupenzi kwenye kazi yangu
Tena pia kuhusu na umbo langu ni kazi ya Mungu
Kama umeamua kunipenda nipende kidoti wangu eh
Mpenzi waonyeshe vile unavyolichezaga buzuki
Mpenzi waonyeshe vile unavyolichezaga buzuki
Tia shela lako upendeze, Bella ntatupia suti
Wale wenye tamaa na asali watakutana na nyuki
Iyoo, iyoo watakutana na nyuki
[Verse 2]
Uzuri wako fahari nalingia mwenzako usiniache
Kwenye baridi kali we ndo joto nifate nikumbate
Nitapigana kila hali nipatacho kidogo tule wote
Usinimwage tafadhali utawapa maneno waropoke
Mi najua wapo wezi wa mapenzi ya watu hilo ujue
Watakuja na mapesa kukuteka mi naomba watimue
Ila tupendane, tushikane, tushibane mimi na we
Ning’ang’anie, usiniachie, tupendane tusonge mbele
Tupendane, tushikane, tushibane mimi na we
Ning’ang’anie, usiniachie, tuvutane (tusonge mbele) mimi na wewe
[Chorus 1]
Ukitaka nigande kiunoni, nigande kifuani
Ukitaka nigande mdomoni, elea elea elea
Ukitaka nigande mgongoni, nigande kifuani
Ukitaka nigande mdomoni, elea elea elea
[Chorus 2]
Kwenye kitanda cha kamba wee
(Elea elea, elea)
Kibanda cha manyasi
(Elea elea, elea)
Umejifunga na khanga wee
(Elea elea, elea)
Tunaishi hatuna wasiwasi
(Elea elea, elea)
[Verse 3]
Sina haja ya kunywa mapombe nipunguze mawazo
Au nitoke mifupa nikonde kisa pesa kikwazo
Unachonifurahisha hata dagaa unakula
Vibabu vikikutingisha unakunjaga na sura
Naomba nafasi nivumilie
Mambo yakiwa safi tuzitumie
Ufe nikuzike, unizike mie
Nakaribia kuanguka ning’ang’anie
Na ukisikia baridi tetema tetema mwilini mwangu
Ugali na chachandu nivumilie ndo hali yangu
Mapenzi utafaidi ila uta-miss vipesa vyangu
Aa kama nimekosea nielekeze mupenzi wangu
[Verse 4]
Ameridhika na mimi japo mboga limao oh
Hasikii, haambiwi pamba kaweka za mbao
Mahaba kitanzini papa kang’ata ndoano
Namuamini hihihi, hana kisebusebu
Utamu wa nini? Wetu ugwadu gwadu
Namuamini hihihi, hana kisebusebu
Utamu wa nini? Tushazoea ugwadu


Oh bado, mambo bado
Karidhika na fidodido ipo siku yatakuwa gado
Mambo ooh bado, mambo bado
Katulia na fidodido ipo siku yatakuwa gado
[Chorus 1]
Ukitaka nigande kiunoni, nigande kifuani
Ukitaka nigande mdomoni, elea elea elea
Ukitaka nigande mgongoni, nigande kifuani
Ukitaka nigande mdomoni, elea elea elea
[Chorus 2]
Kwenye kitanda cha kamba wee
(Elea elea, elea)
Kibanda cha manyasi
(Elea elea, elea)
Umejifunga na khanga wee
(Elea elea, elea)
Tunaishi hatuna wasiwasi
(Elea elea, elea)

Dar ya makonda lyrics by Yamoto band ft salamu mtk

Dar Es Salaam; Temeke, Ilala, Kinondoni
Hii ni yetu sote
La mgambo lishalia, eh kijana mwenzangu oh
Mm-mzee wangu, hata wewe mdogo kwangu
Tusafishe mazingira kwa afya yako na yangu
Dar Es Salaama, jiji langu
Mvua ni kazi ya Mungu
Hapo hapo, ulipo safisha mazingira yako
Uwe gado, ah yaiyaa eh
Hapo hapo, ulipo safisha mazingira yako
Uwe gado, mama maa
Ule usemi unaosema
Kila uchafu wa mbele yako
Ni mali yako ondoa!
Dar Es Salaam tufanye usafi eeh
Temeke tufanye usafi eeh
Tandale tufanye usafi eh
Kilunguli tufanye usafi eh
Mama Shabani, ebu fanya utoke
Bwana Makonda eh, anataka usafi eh
Iweje umalize kula ndizi utupe ganda barabarani?
Iweje eh unachafua jiji?
Mkao mkao mkao wa kula jiji la Dar Es Salaam
Tumempata kijana mwenzetu mwingi mwenye nidhamu
Mkao mkao mkao wa kula jiji la Dar Es Salaam
Tumempata kijana mwenzetu mwingi mwenye nidhamu
(Makonda)
Usafi kwanza
(Makonda)
Yee yeiyee
(Makonda)
Safisha jiji baba eh
(Makonda)
Wanao tupo nyuma yako baba
(Makonda)
Tusafishe jiji baba Makonda
Simu ninunue Tandale, nikapige selfie Oysterbay
Wapi na wapi? Mmh
Kwanini nisifanye Tandale iwe safi kama Oysterbay?
Ni shing ngapi?
Bora kutembea kumenifunza eh mie
Kutembea kumenifunza
Watu miji yao wanaitunza baba
Miji yao wanaitunza, Paul Makonda
Kijana we sharobaro unavyopendeza safisha na jiji lako
Ili ufanane nalo oh (ili upendeze)
Si kutupia viwalo mazingira yako unayotoka doro
Kwepana na jambo hilo oh
Jua kwamba ah ni burudani iih
Jiji langu Dar Es Salaama likiwa ng’aring’ari eh
Usiwe mzuri wa sura
Mavazi pia tabia
Wanakusifu sana eti mtaalam wa kuchana jeans
Uchafu
Hauuoni
Uchafu
Hauuoni
Wanakusifu sana eti mtaalam wa kuchana jeans
Masela ehh
Majita ehh
Mzazi kasema tufanye usafi tuunge mkono
Nangu nangu bila andonya
We shoga ake mama umeniona
Ah nangu nangu bila andonya
Ah shoga ake mama umemuona (anafanya usafi huyo)
Mkao mkao mkao wa kula jiji la Dar Es Salaam
Tumempata kijana mwenzetu mwingi mwenye nidhamu
Mkao mkao mkao wa kula jiji la Dar Es Salaam
Tumempata kijana mwenzetu mwingi mwenye nidhamu
(Makonda)
Usafi kwanza
(Makonda)
Yee yeiyee
(Makonda)
Safisha jiji baba eh
(Makonda)
Wanao tupo nyuma yako baba
(Makonda)
Tusafishe jiji baba Makonda
Hapo hapo, ulipo safisha mazingira yako
Uwe gado, ah yaiyaa eh
Hapo hapo, ulipo safisha mazingira yako
Uwe gado, mama maa aah
Dar Es Salaam tupende usafi eeh
Magufuli kataka usafi eh
Wanafunzi tupende usafi eh
Makonda kataka usafi eeh

Ya moto lyrics by Yamoto band

Kukupenda imekuwa kero
Kutwa kucha kunitenda mi mwana wa mwenzio
Unachofanya mi sikioni ila masikio yanasikia we
Unachofanya mi sikioni ila masikio yanasikia we
Kukupenda nakupenda kweli, ah, sikatai
Uwepo wako ni mzuri maishani nafurahi
Kukupenda nakupenda kweli, ah, sikatai
Uwepo wako ni mzuri maishani nafurahi ah
Ila ya moto, ya moto mapenzi
Mapenzi ya kitoto, ya kitoto mie siwezi
Aa-ah, ila ya moto, ya moto mapenzi
Mapenzi ya kitoto, ya kitoto mie siwezi
Ila ni ya moto (ya moto) mapenzi
Mapenzi ya kitoto mwenzako siwezi
Ila ni ya moto (ila ni ya moto) mapenzi
Mapenzi ya kitoto mwenzako siwezi
Mama we mama (bi guna guna wee)
We nenda zako nimeshindwa mi nasema (bi guna guna wee)
Nasema mama we mama (bi guna guna wee)
We nenda zako nimeshindwa mi nasema (bi guna guna wee)
Ale nipe mapenzi ya kweli, sweetie
Ale nipe mapenzi ya kweli we sweetie eh
Nigombane na serikali mama woo
Una kisima cha kijiji nikiwekee uzio oh
Wajua wanitesa mimi mwana wa mwenzio yoh
Chacho, sondombwa sondombwa
Chacho, sondombwa sondombwa
Chacho, sondombwa sondombwa
Chacho, sondombwa sondombwa
Alisema mama upendo ukizidi ni noma, doh
Japo nakupenda sana, ni heri yaishe salama eh
Alisema mama upendo ukizidi ni noma, doh
Japo nakupenda sana, ni heri yaishe salama eh
Ila ni ya moto (ya moto) mapenzi
Mapenzi ya kitoto mwenzako siwezi
Ila ni ya moto (ila ni ya moto) mapenzi
Mapenzi ya kitoto mwenzako siwezi
Mama we mama (bi guna guna wee)
We nenda zako nimeshindwa mi nasema (bi guna guna wee)
Nasema mama we mama (bi guna guna wee)
We nenda zako nimeshindwa mi nasema (bi guna guna wee)

Thursday, 14 July 2016

MAMA LYRICS BY YAMOTO BAND FT ZENNA


Tuna mba mba mba na pwani yetu X2



Zena yamoto band twafanaya yetu eh X2


                  (ASLAY)

Umenifunza mbaya na nzuri kipi mi sijasikiaga
Ukanipaga na ushauri uweze kunisaidiaga
Zile teteme teteme hutaki kuzisikiaga
Nipambane niweze kukusaidia mama
Ai Yaliyonikuta we , naona gondo oh naona ngoma leo
 kama dunia sio mbaya mama
(naiona gondo)x2

ai mtoto toto me kwako mtoto,
husitishwe na * yamenishinda nimekuja kwako
mama oh mama eh x2


mwanao nimekuwa ih ,najionea
mama oh  ,mama eh , yale ya dunia eh ,ulioniambia eh

umenifunza kuna kovu na adui , kuna masika na furi,
* pia simba na chui , eh mama ,muda mwingine najisaidia,
hauchoki kufua,mama eh mama eh,
muda mwingine nakusifia haukunichukia,
lipi nikufanyie sikioni leo mimi,lipi nikutendee sijaliona mama
ninavyokupenda mama anayejua ni mungux2

 ninavyokupenda mwanangu anayejua ni mungu,
ninavyokupenda mwanangu ,akulinde mwanangu,

usiku ukifika ulikuwa *ukiforce mapema me nilale
hutaki nikeshe wakati kesho inabidi niende shule,

usiku ukifika ulikuwa *ukiforce mwanao  me nilale
hutaki nikeshe wakati kesho inabidi niende shule,
mama uligombana na majirani,sababu  mimi kunitetea
na kama kosa nafanya mimi ,cha kukulipa mimi sioni,

hapa duniani ,nakuombea mimi uishi miaka mingi we mami
najivunia uwepo wako kwenye dunia
nakuombea  miaka uishi nisije potea njia

CHEZA KWA MADOIDO LYRICS BY YAMOTO BAND


Mesen na ya moto x8
Nilisema unipigie unipigie kabla ujatoka
Unipitie (unipitie) mwenzako nimechacha
Iweje unizimie (unizimie)na simu ukasepa
Unikimbieee!
Nimekuja na miguu kufata burudani!
Oooooooh!
Na nimepata tabuuuu hadi kuingia ndani aibuuu!!!
Aiyaaaaa!!
Nyamukila dibwee x3
Ah ah ee ae
Nyamukila dibwee x3
Ingia kati uonyeshe ndani nimeingia!
We mama zungushaa
Kakupa God kiuno x3
We dada zungusha
Kakupa God kiuno x3
Aleeeh cheza kwa madoido kwa manjonjo x2
Sema
Cheza kwa madoido kwa manjonjo
Aleeeeh! Cheza kwa madoido kwa madoido manjonjo
Wajawazito ni ruksa ndani kujifungua ehh!
Madaktari ni wengi sana wanasakata bazugi!
Aliye kuja na guta nje aje kulitoa ehhh
Maana kupaki vibaya watu wanataka nafasiii!!!
Masai na mamaaa
(Yoyooo)
Marungu na simeee
No no nooo!
Msije gombana (ukoo)
Mkatoa watu shingo!
Ahhh! We chaiba ebu wacha magongo
Ukija zama nayo mi nitakupa kipondo.
Na we panya uwachage kuruka ukuta nikiibadilika
Nakua na hasira za pacha
Zamani babu kanifunza kucheza
IShara ya kufurahi
Huna sababu ya kununa wakati ngoma ing’ai ing’ai
We muharabu sijui mchina pandisha mori kama masai…
Zungusha bodi uwaoneshe jinsi gani waweza kujidai.
We furahi jidai
Na cheza kwa mbwembwe
Usione hatari kufurahi
Hata kama
Kikongwe!
Uko mali we karibia
Yamoto tuku konge
Wote shida zetu ziko nyumbani
Hapa turuke ili song
Alleeeh! Cheza kwa madoido kwa manjonjo x2
Sema
Cheza kwa madoido kwa manjonjo
Aleeeh! Cheza kwa madoido kwa madoido na manjonjo…X3
Sema
Cheza kwa madoido kwa manjonjo
Aleeh! Cheza kwa madoido kwa madoido manjonjo…
Mensen na ya moto
Cheza kwa madoido kwa manjonjo
Aleeh! Cheza kwa madoido kwa madoido manjonjo…
Cheza kwa madoido kwa manjonjo
Sema
Cheza kwa madoido kwa madoido manjonjo X2

NISEME LYRICS BY YAMOTO BAND


(Intro)
Hasara baba Yule,sadick baba Yule,Shukuru baba Yule
Baba baba uyo
Baba baba uyo
Ale baba uyo katoka kazini zawadi mkononi kaleta na ungo
Ale baba uyo katoka kazini zawadi mkononi kaleta na ungo
Tusipate tabu ya kupeta mchele
Ale baba umerudi nipe soda nikaringishe uko nje
Amina Salai waringie na mimi niringe nitambe
Ila baba mama na mjomba jitu wamepigana
wamemwaga maji kitandani kwako na shuka wamechana
Ila baba mama na mjomba jitu leo wamepigana
wamemwaga maji kitandani kwako na shuka wamechana
nililia sana aah ooh
Dad kwan shabani mwanao
analaliaga kifua cha mama kwani na yule mwanao
acha anko mangi Yule wa banda la video
anapenda kujaga usiku kwani Yule ni nduguyo
tena dad ukitoka na mangi anaingia
ananiletea bazoka na pesa ya kutumia
ila shabani simpendi  hapendi kunipa hela
kazi kumpiga mama na pesa anachukua
wanakaa sisi wakionana kwenye mabano wanachofanya
atanipiga nikikwambia alishasema
wanakaa sisi wakionana kwenye mabano wanachofanya
atanipiga nikikwambia alishasema mama
  (CHORUS)
niseme nisiseme sema ooh niseme ooh
niseme nisiseme sema aah niseme ooh
niseme nisiseme sema ooh niseme ooh
niseme nisiseme sema aah niseme ooh
heshima kwako baba vipi Maputo na pipi umeniletea
dukulanikaba unakotoka ni dhiki kututafutia ooh baba yoo
unapokwenda kazini uja mgeni mfupi kimo
ana madevu kama osama sijui nani ila bishoo
anakujaga nyumban kufuata nini mbilikimo
Mama kaniambia nimuite anko Jon
bora leo baba uko mama uko me nataka niongee
kuna jambo lanitatizaga pa nyuma ukiondoka baba
bora leo baba uko mama uko me nataka niongee
kuna jambo lanitatizaga pa nyuma ukiondoka baba
mwenzako mama ananitumaga chakula nipeleke gengeni
pale  kwa  mzee kutafuna hapa kati sijui kuna jambo gani
siku nyinginwe natumwaga na zaga kama nyanya na vitunguu
siku nyingine hadi pesa napewaga nipeleke kwa mama ooh
siku nyinginwe napewaga na zaga kama nyanya na vitunguu
siku nyingine na pesa napewaga nipeleke kwa mama ooh
  (CHORUS)
niseme nisiseme sema ooh niseme ooh
niseme nisiseme sema aah niseme ooh
niseme nisiseme sema ooh niseme ooh
niseme nisiseme sema aah niseme ooh

NITAKUPWELEPWETA LYRICS BY YAMOTO BAND

                                                   (ASLAY)
Unajifanya bingwa wa kupenda (Dada ee)
kumbe bigwa wa kutenda kuliko kupenda  (Dada ee)
Tena unasifa ya kuogopwa kama difenda  (Dada ee)
Umeua wengi ila kwangu umedunda
ahh koma eeh sitaki nizikwe na kilo mbili kwenye mfuko
mama ee sitaki familia ilie kwa sababu yako
Dada ee ananitegemea mama ee (Aee)
nikifa atalia sana ee (aa)
katika familia na mimi ni Baba japo Baba yupo
nikija kufa ufa nami ataziba ebu kwenda zako
Ananitengemea mama eeh aaeee
nikifa atalia sana Ee
 (ENOCK)
Kuku wa kizungu mchinjaji ana tabu X2
Ebu niache (Eeh) Ebu niache unapita na dumu ya petroli ebu niache X2
una rambo mimi nina Mua mi ujinga ujinga tu Eee ujaniua X2

                           CHORUS
Unakichaa mimi nakuita wewe mwendawazimu
Nimepata habari mwili wako umeujaza sumu
Unang'ang'ana unataka mimi kunipa utamu
Umekosa sengeru ngoma ya kucheza huna nenda kaicheze
segere segere mama, segere segere ooh
segere segere mama (weeh mwali nenda kaicheze)X2
(maromboso mama mama mama mamaaa)

 Eti umetuma mashoga wake waje kuniambia
Roho inamuuma kiddudu penzi kinasumbua
siri imevuma mimenyula wengi wanajipakua
Hana huruma kajitoa wapi aje kuniua
ilikua siasa nikatoa nikagawanya
nikajua anandanganywa weeh mmbaya weeh
nusu ndegu nusu dona wengi wao unawadanganya
mama chidi weeh kitanda huna haya weeh
BRIDGE
Mimi sio saizi yako nitakupwelepweta bure
Tafuta taipu yako wa ilala, mimi wa kilungule X2

 (BEKA)
 Unataka kunipeperusha weeh kimbuga uniwezi ng'o
kina chako cha maji marefu kuongelea sikiwezi ng'o
unashinda kuwinda vyenye kungaa vya masizi uvitaki noo
unang'ang'ana kama ruba kwenye mwili wangu weeh nenda zako yeeh
na ushindwe ushindwe uniache mimi mwana wa mwenzio
kwetu ndio jembe jembe ukivunja mpini ni kilio X2

CHORUS
BRIDGE
Mimi sio saizi yako nitakupwelepweta bure
Tafuta taipu yako wa ilala mimi wa kilungule X2

ASLAY
Ana chuma cha moto huyoo
anauguza watoto huyoo
Apewe mkong'oto huyoo
ili ifike mwisho huyoo
tabia yake,tabia yake, tabia yake ASANTE.

Friday, 17 June 2016

SUU LYRICS BY YAMOTO BAND FT RUBY



Wee Ruby karibu mkubwa na wanawe
Haya haya ×4
Nachojua undugu ni ule wa damu, kuzaliwa tumbo moja
We na mimi hatunaga uharani, basi punguza uonga
Nitakupa mapenzi matamtam
Napendaga namba moja
Pilipili yawasha lakini tamu tunapozanga na soda
Nitamushawishi mama, amupende sana babaako
Tutakuchezea chezea, mdogo mdogo utazowea
Kupiga selfie selfie kila siku hazina maana
Nitadondosha simu makusudi, tuonekane hatuna maana ×2
Turuba initandikie, naamusha usimamie
We mtoto wa baba Eh! Eh! Eh!
Undugu kaunganusha baba, kwa mama yenu nyie
Mnapaswa muniite dada na muniheshimu mie ×2
Kweli baba anaishi kwa mama yenu
Naomba sana dada yenu munieshimu

  (CHORUS)
Hili zizi la kondoo dume
We ni apple lazima uchumwe
Acha niombe mungu kidume aye-ye-ye-ye
Suu nitamwambia baba
Nitamwambia baba
Nitamwambia baba
Munanisumbua ×2


Ruby, mama kaniambia nioe-nioe-nioe
Ila mimi nataka nikuoe wewe Ruby
Ayii Ruby!
Basi punguzanga kiwewe
Niruhusu Ruby na mimi nikuite baby
Hapana aaa
Funika kombe mwana haramu apite, apite
Mimi kwako wewe nitakifanya chochote, chochote
Ruby si dada yangu kusema tumetoka wote kwa mama yangu
Ukinipenda akitokei chochote
Pam Pam ru-ma

Mlango wa chuma, ukiufungua hauna
huruma
Mama anataka mjukuu, yani ni kuweka usiku
Pam Pam ru-ma
Mlango wa chuma, ukiufungua hauna huruma
Wouho, wouho, iyoo mama
Yo iyo, yo iyo
Iyoo mama, mame eeh!
Kwanza moja nikwambie, wewe unaendana na mie
Wengine we wakunjie, ni mimi tu niwe na wewe
Nataka kufurahisha baby, komando nitalinda kidonda
Nzi wasije fonza nitaumia
Usiku waaga vinanitoka, mi siri ya bomba nimefunguka
Nahisi waniita mwenzako pwa ka cha lishafunguka 

(CHORUS)