Monday, 20 August 2018
ATARUDI LYRICS BY HARMONIZE
Angalieni wanadamu na Dunia tunapita
Kama kupata kwa zamu Ooh! Zamu yangu itafika
Suizika na damu kesho watajanizika
Ila ningependa fahamu haya mateso ulonipa
Mmh tena mwambieni aloninyima mimi
Ndio kampa yeye yee
Kupata foleni nasubiri yangu mimi
Ata ichelewe eheee !! Ooh
Sina furaha naingiza Ili mradi watoto wasijihisi vibaya
Aah uyu mdogo ananiuliza,eti Dad mama amehihama kaya
Cha kujibu sina nabaki tu kusema.
Aah atarudi (eeh) atarudi mama
Aah atarudi anawapenda sana
Aah atarudi atawaletea zawadi
Aah atarudi atarudi mama
Aah atarudi atarudi mama
Aah atarudi anawapenda sana
Aah atarudi atawaletea zawadi
Aah atarudi iiiih
Siwezi sema sijui tatizo, hali yangu duni
Imefanya ukanikimbia
Ni vyema ungefanga maigizo
Mara kumi usingenizalia
Mmh ingali mapenzi pekee
Ningesema ni changa moto nijifunze
Ameniacha mpwekee na watoto niwatunze
Eeh ila siwezi mlaumu aah
Uenda yupo sawa Aah
Kipato changu kigumu Aah
Kutwa kumunda na kahawa Aah
Mmh ila mwambieni aloninyima mimi
Ndio kampa yeye yee
Kupata foleni nasubiri yangu mimi
Ata ichelewe eheee !! Ooh
Sina furaha naingiza Ila mradi watoto wasijihisi vibaya
Aah uyu mdogo ananiuliza,eti Dad mama amehihama kaya
Cha kujibu sina nabaki tu kusema
Aah atarudi (eeh) atarudi mama
Aah atarudi anawapenda sana
Aah atarudi atawaletea zawadi
Aah atarudi atarudi mama
Aah atarudi atarudi mama
Aah atarudi anawapenda sana
Aah atarudi atawaletea zawadi
Aah atarudi iiiih
a
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Verse 1 Pombe ni kichwa kinauma, kishalewa, anajipoza na maji Na mimi hata muda sina, nishamkanya, ninasikiza mamelody Nis...
-
[Chorus] Watu walishachonga sana Eti Vailet simpati tena Na kuongea uzushi bwana Kwa kuona mambo yetu yananyooka Hata kiss, hug si...
No comments:
Post a Comment