Showing posts with label willy paul. Show all posts
Showing posts with label willy paul. Show all posts

Saturday, 15 December 2018

ALKAIDA LYRICS BY WILLY PAUL



Willy pozee Alkaida,
 nimelipuka kama bomb Alkaida,
 samahani nikikuboo Alkaida, 
nitakupiga ukonde boy Alkaida (pozeee) 

Alkaida, 
nanukia ka cologne 
Nivute kama ndom 
Mi ni yule king of flow** 
call me commando 
Kazi ni kuimba tu na kumake doh

Tena ananikalia kuna na aibu 
Anaogopa sana asipate aibu 
Naomba hii imfikie hadi chibu
Na wote wajue kuna jitu 

Kuna watu wenye roho mbaya
Hawapendi ona ukipenya 
But nabisha kila door 
Ata waninyonge koo 
Mimi ndo  the king of flow 
And they know

Kwenye mitandao nipo tu kila sehemu
Vijijini na mataoni (aah kila sehem)
Radio, TV,  niko pia kwenye system
Ngangari kama root na stem 

Alkaida, nimelipuka kama bomb
Alkaida, samahani nikikuboo 
Alkaida, nitakupiga ukonde boy


Alkaida Alkaida, najiamini ndumeAlkaida (pozee)
 Alkaida na kama ww ni ndume Alkaida(jibu) 

Kama kuna ndume naomba nijibu 
Usifanye tabia za kiaibu 
Huyu ni willy poze mr ibubu 
Just incase ulijisahaulisha 

Unajaribu kufunga njia zangu za afrika (Afrika ya mama) 
Unasahau wewe sio sio mungu baba (sio mungu baba) 

Umekwama plan a Niko plan b 
Mungu amefungua njia ata na cardi b 
Kuna rihananana (my rihananana eeh pia) 

Alkaida, nimelipuka kama bomb 
Alkaida, samahani nikikuboo 
Alkaida, nitakupiga ukonde boy 
Alkaida 

Alkaida, nimelipuka kama bomb 
Alkaida, samahani nikikuboo 
Alkaida, nitakupiga ukonde boy 
Alkaida Alkaida, najiamini ndume 
Alkaida(pozee) 
Alkaida na kama ww ni ndume 
Alkaida (jibu) a

Friday, 14 September 2018

BORA UHAI LYRICS BY WILLY PAUL FT KHALIGRAPH JONES



Mmmmh mamamama
uuuuuuh mamamama
Uh mamama

uyu ni poze sio, sio Rozay uyu ni pozee
uyu ni poze sio, sio Rozay uyu ni pozee
ieeea

sijui ni shaku ama ni kuku
wananitingi tingi kama bantu
some people make me go crazy
wananiita ata ngombe

wananifollow willy willy kama drama
utadhani mimi willy instagramer
wanauliza naendesha gari gani
ni ipi ma ama ile benz

wanauliza mimi naishi nyumba gani
ni Runda one ama Runda mbili
wananiuliza nahubiri injili gani
injili ya mwokozi ama ya mabinti
but asante mungu kwa uhai
Ei, mmh bora uhai

Tey tekin rababababa
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamamama
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamaye

Napokea baraka toka most high (bora uhai)
ndae, big mansion iko close by (bora uhai)
and a private jet men i dont lie (bora uhai)
hii yote bila white collar ama bow tie

husemanga God husaidia wale ujipea motisha
so call me David vile mkono narudisha
nasema Asante na si pupa msee, so wivu ya nini
na atakupa, that is, if can pray

na ata ka ninawabore
nikishinda niwatajia Kayole
bora ujue sina ngore
Bado tunashine
ama vipi poze

kushine tunashine ama vipi OG
kuna mwenyezi tuko fiti OG
wenye roho mbaya tunawaeka fitti
hatuwakanyangi feet-Ndi
ndio baraka zikikam waona kwa mbali
wabaki wakilia kama tumbili ieeee

i got the congregation saying
uyu Pastor ni moto, nikitibu nakafunga
mi si daktari msoto
brand international, sa staki local
bora uhai whether chai cudburry coco

Tey tekin rababababa
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamamama
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamaye

uyu ni poze sio, sio Rozay uyu ni pozee
uyu ni poze sio, sio Rozay uyu ni pozee
Ei bora uhai, eh bora uhai

Tey tekin rababababa
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamamama
bora uhai
bora uhai
bora uhai
iye mamaye

a

Saturday, 19 May 2018

MURDER LYRICS BY WILLY PAUL

[Intro]
hahahaa
sal di di do
(Who do you think you are young man Pozze)
hehehehehe
Bizzi B

[Verse 1]
Eih!
Wacha niombe in tounges raka kapapa katah!
Eh!Eih!
Wacha niombe in tounges raka kapapa katah!
Eih!
Heeey...mmmmh
wanaonijua,wanajua navyo penda mke wangu weh
wanaonijua,wanajua navyo penda na mwana wangu pia
wanaonijua,wanajua navyo penda familia yangu

[chorus]
sababu wanataka kuni murder
wachukue wangu mama
Me naomba unilinde
24/7 unilinde
wanataka kuni murder
wachukue wangu mama
Me naomba unilinde
365 unilinde

[Verse 2]
ju me na nga'nga'na
nipate unga
nilishe mwana na familia
mke wangu sina kazi
lakini bado unanipenda
Oh baby nashangaa ulikubali vipi kuwa wangu mimi
baby nashangaa ulikubali vipi na urembo huo wote
wenye ma Rangi Rover
wanataka kuni murder
naomba unishikilie,wangu maulana
Uooooo,Uooooo
Nilinde na mke wangu
Uooooo,Uooooo
Ilinde familia yangu

[chorus]
sababu wanataka kuni murder
wachukue wangu mama
Me naomba unilinde
24/7 unilinde
wanataka kuni murder
wachukue wangu mama
Me naomba unilinde
365 unilinde eh eh eeeh

[Verse 3]
Eih!Eiiih!Eiiih!
Wacha niombe in tounges raka kapapa katah!
Mke wangu amekataa deali za ma sponsor
raka kapapa katah!
wameshindwa kuni murder
Wacha niombe in tounges raka kapapa katah!
familia iko bomba
Wacha niombe in tounges raka kapapa katah!

wanaonijua,wanajua navyo penda mke wangu weh
wanaonijua,wanajua navyo penda na mwana wangu pia
wanaonijua,wanajua navyo penda familia yangu
Uooooo,Uooooo
Nilinde na mke wangu
Uooooo,Uooooo
Ilinde familia yangu

[chorus]
sababu wanataka kuni murder
wachukue wangu mama
Me naomba unilinde
24/7 unilinde
wanataka kuni murder
wachukue wangu mama
(I'll have t take of you coward!:Boss out to kill Pozze)
Me naomba unilinde
365 unilinde eh eh eeeh

[Verse 4]
Baby,cause of the love that I have for you nitakuombea
(Nooooo!You'll have to take me out first:Pozze's wife)
Yuko wapi Dj Mo,aaje tuombe in turns
raka kapapa!
Yuko wapi Sadic,aaje tuombe in turns
raka kapapa!
(Nooooo!You'll have to take me out first:Dj Sadic)
(What do you know about love you rasta?)
24/7 unilinde
(What is it with you and this love..eh you cowards?:Boss out to kill Pozze)
wachukue wangu mama
Me naomba unilinde
365 unilinde eh eh eeeh

[Outro]
Uooooo,Uooooo
Nilinde na mke wangu
Uooooo,Uooooo
Ilinde familia yangu
Uooooo,Uooooo
Nilinde na mke wangu
Uooooo,Uooooo
Ilinde familia yangu
(Love is a big guy my dear:Boss out to kill Pozze)
(Love is the greatest commandment) a

Monday, 9 April 2018

PILIPILI LYRICS BY WILLY PAUL FT HARMONIZE

Intro: Willy Paul & Harmonize]
Willy willy willy
Willy Pozzee
Harmonize na Willy Pozzee
Teddy B
Wasafi

[Verse 1: Willy Paul]
Pesa sio kila kitu alinifunza mama, eeh
Heshima ndio kila kitu walishasema wahenga, eeh
Ukifuata magari, utapotea baby, we'
Ukifuata mapeni, utapotea
Mbona nikuite malaika, na tabia zako haziambatani
Mbona nikuite mama yao, na watoto wako umewatupa
Mbona nikuite chocolate *** umewa shubiri

[Chorus: Willy Paul & Harmonize]
Uwe pilipili we' (ololo, ololo)
Unaniumiza moyo (ololo)
Uwe pilipili we' (ololo, ololo)
Unaniumiza moyo (ololo)
Uwe pilipili pilipili pilipili wewe (ololo, ololo, ololo)
Pilipili pilipili pilipili we' (ololo, ololo, ololo)

[Verse 2: Harmonize]
Tupige goti tusali, tufanye dua, eeh
Kwetu afadhali, wenzetu wanaugua, eeh
Uh, tukipata siri letu, hata tukikosoa, eeh
Wasije vunja penzi letu, wakupe **
Kama nikikuudhi nisamehe (haya)
Penzi letu liendelee (haya)
Usije anzisha tafarani, kisa sina kitu
Uwape mwanya kina fulani, wako ufungue zipu
Pilipili

[Chorus 2: Willy Paul & Harmonize]
Uwe pilipili we' (ololo, ololo)
Unaniumiza moyo (ololo)
Utaniumiza mama
Uwe pilipili we' (ololo, ololo)
Unaniumiza moyo (ololo)
Nakupenda sana
Uwe pilipili pilipili pilipili wewe (ololo, ololo, ololo)
Utaratibu ma', oh
Pilipili pilipili pilipili we' (ololo, ololo, ololo)
Utaratibu ma'

[Verse 3: Willy Paul & Harmonize, Both]
Mke wangu leo sina, (tulia) kesho nitampata, eeh (tulia)
Kwa uwezao wa Muumba, (tulia) najua nitampa..., eeh
My heartbeat, eeh, aay, aay (ololo, ololo,ololo)
My chocolate, eeh (ololo) nikama kitabu nifiche
My heartbeat, eeh, aay, aay(ololo, ololo,ololo)
My chocolate, eeh, aay (ololo, ololo, ololo)
Unatamani sana sura kung'ara kama Shusho
Twakufanya ung'are
Unatamani vazi ikae ni kama namba nane
Twakufanya ung'are
Usije cheza na moyo wangu mama (tulia)
Utaniumiza mama (tulia)
My mamama mama
Nakupenda sana
I swear I love you
Utaratibu mama
Utaratibu mama
Utaratibu mama

[Outro: Harmonize]
Ololo ololo ololo
Ololo ololo ololo
Ololo ololo ololo
Ololo ololo ololo

Monday, 19 February 2018

MALINGO LYRICS BY WILLY PAUL

SONG: MALINGO

ARTIST: WILLY PAUL

Produced by Saldido Records, Kenya. Directed by Hanscana

LYRICS.

INTRO.

Friday, 8 September 2017

JIGI JIGI LYRICS BY WILLY PAUL

JIGI JIGI LYRICS BY WILLY PAUL

Mueke mungu ndani ya ndoa, na mapepo atazitoa
Mueke mungu ndani ya ndoa na mapepo atazitoa

As we all know ooh
Love is a beautiful thing
As we all know oooh Pozeeeh

Sina mengi, ila naweza sema
Asanti kwa mwenyezi mungu aaah
Namuomba sana, kwenye ndoa atupe nguvu eeh

Najua unatamani mpenzi
Ndoa kama ya DJ Moh
Lakini usijali mpenzi
Mungu atatupa more

Najua kuna milima na kuna mabonde
Tutaponda wotee
I gonna be the best man ouwooh
I gonna show you love my woman ouwooh

Coz baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Coz baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi

Baby utakula nini, jigi jigi
Ugali na samaki thigi thigi

Sina hela ya Lamborghini jigi jigi
Lakini nitakutreat kama queen
After job usipande mat
Nitakuja mum, kukuchukua mamaa
Tutembee Nairobi
Tukule tumahindi chomaa
Tutembee Nairobi
Tuoje murenda mamaa

Tuombe mungu Baba
Ndani ya ndoa atupe raha (atupe raha)

I gonna be the best man ouwooh
I gonna show you love my woman ouwooh

Coz baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Coz baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi

For a long time, walinicheka
Uliposema Yes I do
Maboy wa mtaa walinicheka (aaah)

I gonna be the best man ouwooh
I gonna show you love my woman ouwooh

Coz baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Coz baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi

Yeah, Aiih, baby.

a

Wednesday, 13 April 2016

Willy Paul Take it slow lyrics ft sauti sol



I'm sorry, naomba msamaha kwa mwenyezi
I'm sorry

Baby, najua kweli unataka, hata nami at some point huanga nataka. 
But niko na Baba ndani ya maishaaaaa.... Saa inabidii niombe nipate self control
Kesho tusipatane na ma birth control
I feel it in my heart I feel it in my sol
Tukiweka mungu mbele ata take control, 
Isiwe story.. 
Hii mambo ni ngori.. Maisha si movie.. 
Usijekesho ukasema WHAT!!!


  (CHORUS)
You better take, take, take, take, take it slow (take it slow)
You better take, take, take, take, take it slow
Maisha si rehearsal, ukiandika huwezi cancel
You better take, take, take, take, take it slow


Pole, pole, pole, pole mbio sakafuni mwisho ni ukingoni
Vijana na madem utawatafuta lini, mama analia uuwuuu... 
Sa nikama tumekwama, kimoja maisha sa ni instagram 
Tukibishana na swagger, mali yakuwazama ikiwaka
Na sa hiyo ndio story, hivo hivo ni ngori
Malaika wa mbiguni uje, ujee.....


  (CHORUS)
Take it slow, pole pole
You better take it slow
You better take it slow
Take it slow

  (CHORUS)

Friday, 20 November 2015

Kitanzi lyrics by willy paul ft Gloria muliro


Kitanzi lyrics by willy paul ft Gloria muliro

(Willy Paul)
Uuuh Willy Willy Willy Paul Tena
Na Gloria Na Gloria
Mamamama aa Mamamama aa Mamamama aa
Siigizi Mama Mamamama aa
Mteuliwe Sitoli ii
Tatizo Kubwa Ninalo Mimi
Mteuliwe Sitoli ii
Tatizo Kubwa Ninalo Mimi
Ninalo mimi


(Gloria Muliro)
Ni Tatizo Gani Hilo,
Yeye Asiloliweza
Ni Tatizo Gani Hilo,
Yeye Asiloliweza


(Willy Paul)
Naomba Unisikize,
Eeei Unipe Sikio
Najitia Kitanzi, Najitia Kitanzi,
Nimechoshwa sana


(Gloria Muliro)
Haina Haja Kitanzi, Haina Haja kulia,
Haina Haja, Kuwa Pamoja Na Maulana, Bado Anakupenda
Haina Haja Kitanzi, Haina Haja Kulia,
Haina Haja, Kuwa Pamoja Na Maulana, Bado Anakupenda



(chorus)

(Willy Paul)
Bila Huruma Msela Nateseka, Na Siutani
Kudharauliwa Kudhulumiwa, Madoti Jiweza
Oooh Nifanye Vipi Mama, Oooh Nifanye Vipi
Hivi Niende Wapi Mama, Oooh Niende Wapi
Why Why Why Why Why
Why Why Why Why Why Me



(Gloria Muliro)
Hebu Sikiliza Mwana, Nikuambie
Mwokozi Ndipo Hayuko, ila Muumba aa
Tena Yeye Anakupamba Vyema, Alivyokuumba
Usiogope Rudi Mwana, Atakupokea aa
Laiti Ungalijua, Jinsi Anavyokupenda aa
Laiti Ungalijua, Jinsi Alivyokuaandalia


(Willy Paul)
Najitia Kitanzi, Najitia Kitanzi,
Nimechoshwa Sana aa

(Gloria Muliro)
Haina Haja Kitanzi, Haina Haja, Kuwa Pamoja Na Maulana, Bado Anakupenda
Haina Haja Kitanzi, Haina Haja Kulia,
Haina Haja, Kuwa Pamoja Na Maulana, Bado Anakupenda


(Willy Paul)
Mimi Willy Nina Shaka

(Gloria Muliro)
Shaka Ya Nini Bwana

(Willy Paul)
Na Hisi Ninakukosea Baba aa


(Willy Paul)
Mama aa

(Gloria Muliro)
Hatarekebisha

(Willy Paul)
Hatanikubali, Hatanikubali, Nafsi Yangu Kuu
Natamani Willy
Kurudi Kwake Jalali, Kurudi Kwake Jalali
Lakini Mummy Nimeogopa, Oooh Utaniwe Radhi
Najitia Kitanzi, Najitia Kitanzi, Nimechoshwa Sana aa


(Gloria Muliro)
Haina Haja Kitanzi, Haina Haja Kulia,
Haina Haja, Kuwa Pamoja Na Maulana, Bado Anakupenda
Haina Haja Kitanzi, Haina Haja Kulia,
Hana Haja, Kuwa Pamoja Na Maulana, Bado Anakupenda
(Nimesikia Mama)
(Natupa Kamba)


(chorus).

Missi lyrics by willy paul


Missi lyrics by willy paul
Oooh msela nimefika mwisho ooo
Nimefika mwisho
Oooh msela nimefika mwisho ooo
Wa dunia uniokoe

Mimi Jalali nimekumisi sana aaa
kukupenda ndio nataka kufanya aaa
Mimi Mwenyezi nimekumisi sana aaa
prodigal son aaa
Oh my daddi nimekumisi sana
kukupenda ndio nataka kufanya
Oh my daddi nimekumisi sana aaa
prodigal son aaaaaa

Ningekuwa thabiti ungecheza na masomo
Huku na kule ningekufuata wewe eee
mwokozi weee ee



VERSE 2
Ungekuwa mtoto ningekutoa nepi
Kila siku kubadili pumpus
na vijipumpu aaas

Ningekuwa jambazi
Ungenitenda aaa singalikublame *2

Kama msamaha ungekuwa ni bidhaa aa
kina willy tungekosa raha aa
aaah ulinipenda mimi
nilikosea ukanipenda, ukanikosoa ukaniita mwana
sasa mimi, sasa mimi nimekuwa wako oooooo
Tena!



Mimi Jalali nimekumisi sana aaa
kukupenda ndio nataka kufanya aaa
Mimi Mwenyezi nimekumisi sana aaa
prodigal son aaa
Oh my daddi nimekumisi sana
kukupenda ndio nataka kufanya
Oh my daddi, nimekumisi sana aaa
prodigal son aaa



VERSE 3
Oh kila mara nimetokwa na machozi
Ukunipangusa machozi, ukaniondolea huzuni ii
(sema tena)
Oh kila mara nimetokwa na machozi
Ukanipangusa machozi, ukaniondolea huzuni ii
Waaai lalala lalala lalala laaa aa

Huzuni ukaniondolea mimi, nikakusahau mimi
lakini bado ukanirejelea
prodigal son aaa
Hivi sasa nimeshatambua, upendo wako
ni ule wakudumu
ningewapatuma wala wakunila



CHORUS
Mimi Jalali nimekumisi sana aaa
kukupenda ndio nataka kufanya aaa
Mimi mwenyezi nimekumisi sana aaa
prodigal son aaa
Oh my daddi nimekumisi sana
kukupenda ndio nataka kufanya
Oh my daddi nimekumisi sana aaa
prodigal son aaaaaa

Nanana nanana nanana aa
Bababa bababa bababa aa rr a
prodigal son aaa



CHORUS
Mimi Jalali nimekumisi sana aaa
kukupenda ndio nataka kufanya aaa
Mimi Mwenyezi nimekumisi sana aaa
prodigal son aaa
Oh my daddi nimekumisi sana
kukupenda ndio nataka kufanya
Oh my daddi nimekumisi sana aaa prodigal son aaaaaa

You never know lyrics by willy paul msafi


You never know lyrics by willy paul msafi.
Willy Willy Willy Paul
Nasema Leo Umelemewa
Lakini Kesho You Never Know

Nasema Leo Umekosa Mlo
Lakini Kesho You Never Know

Nasema Leo Umelemewa
Lakini Kesho You Never Know

Nasema Leo Umekosa Mlo
Lakini Kesho You Never Know

You Never Know, You Never Know, You Never Know,
Eeeeeh Oooooh Eeeeeeh
( repeat 2 times )



Verse: 2


Nabusara Ya Wahenga
Nikila Mtu Hupata Raha
Mgani Moja Atakaye
Muamini Yeye

Yatakuwa Shwari Yatakuwa Shwari
Usimpandue Usimpandue
Anakupenda Wee Anakujali


( Chorus! )
Nasema Leo Umelemewa
Lakini Kesho You Never Know

Nasema Leo Umekosa Na Mlo
Lakini Kesho You Never Know

Nasema Leo Umelemewa
Lakini Kesho You Never Know

Nasema Leo Umekosa Mlo
Lakini Kesho You Never Know

You Never Know, You Never Know, You Never Know, You Never Know,
Eeeeeh Oooooh Eeeeeeh
( repeat 2 times )


You Never Know, You Never Know, You Never Know.

Lala salama lyrics by willy Paul


Lala salama lyrics by willy Paul
Willy, Willy, Willy Paul
Yoyoo Yoyoo Yoyoo ooh
Tumba Tumba Tumba Tumba
Eeeh x2


Verse 1
Kama Ni Kachumbari, Ooh Tulikula Lala
Kama Ni Katurungi, Ooh Tulikula Lala
Kama Ni Kauji, Ooh Tulikula Lala
Hata Kapepsi No, Ooh Tulikosa Sana
Zaidi Ya Maji, Ooh Nasiutani Rafiki Rafiki,
Ooh Nasiutani
Oooh Oooh Oooh Oooh


Chorus



Verse 2
Oh Tangu Uondoke
Mama Amekuwa Akiteseka Sana
Na Magonjwa Kwa Kupigwa
Kwa Kurushwa Aaaa
Bado Jalali Ametulinda,
Akutuacha Tuangamie
Kabla Uondoke Ulitambua
Kuwa Nilikuwa Msanii
Nikafanya Rabuka,
Nikafanya NiSitolia,
Nikafanya NiMpenzi
Na Sasa You Never Know


Chorus
Uu Lala Salama, Baba Ulale Salama
Uu Lala Salama, Baba Ulale Salama
Salama Salama Salama Salama
Salama Salama

Majirani Wakuulizia, Msela Ulienda Wapi
Wateja Wauulizia, Jamani Ulienda Wapi
Inabidi Niwandanganye, Eeh Baba Ako Ofisini
Inabidi Niwandanganye, Baba Ameitwa Kazi
Ooh Inaniuma Ooh Inaniuma
Ooh Inaniuma Aaah
Moyoni Inachoma Moyoni
Inachoma Moyoni Inachoma Aah


Chorus
Uu Lala Salama, Baba Ulale Salama
Ulala Salama, Baba Ulale Salama
Salama Salama Salama Salama
Salama Salama
Salama Salama

Jalali Akulinde Akuweke
Pema Peponi x2

Uu Lala Salama, Baba Ulale Salama
Uu Lala Salama, Baba Ulale Salama
Salama Salama Salama Salama
Salama Salama
Salama Salama

Eeeeeh Oooooh Eeeeeh
Oooooh
Salama Salama Salama Salama