Ommy Dimpoz and Alikiba release KAJIANDAE a pure Tanzanian love ballad singing about dating a woman and the romance- chilvary is not dead. This is the second collaboration of Ommy Dimpoz and Alikiba after four years. Alikiba is under a worldwide partnership with his record label and management company ROCKSTAR4000 and Rockstar Publishing and Ommy Dimpoz is under PKP Management.
The Music video was shot in South Africa by super talented South African video director Justin Campos of Gorilla Films.
Written by Ommy Dimpoz and Alikiba
Produced by Emma The Boy
LYRICS will be available soon.
Showing posts with label Ali kiba. Show all posts
Showing posts with label Ali kiba. Show all posts
Tuesday, 8 November 2016
Thursday, 22 September 2016
NITULIZE LYRICS BY BROWN MAUZO FEAT ALI KIBA
This is Brown Mauzo fifth video featuring Tanzanian maestro Ali kiba.The audio has been recorded by Man water at Combination sounds(Tz) and video shot in South Africa by Nicorux.
SONG: NITULIZE
ARTIST: BROWN MAUZO FT ALI KIBA
AUDIO: MAN WATER
VIDEO: NICORUX
LYRICS.
Ni mara ngapi nimeficha siri nisiseme
na siku ngapi niketi chini nakiwaza
mama moyo mfupa huna husiniumize
husije niua na maumivu
na ushakata mizizi ya raha yangu
tena sicheki mbona sasa ni kilio tu
nimekulilia nimekuzoea wewe
na pendo lako linanipotea
oh nishakwenda mpaka tanga
kwa matibabu, kutafuta dawa nirudi
na mbona hurudi macho yangu yapone
husifanye kusudi ngojwa langu lipone
nimeamini maneno ni sumu yalifanya uondoke
tangu uondoke
tangu uondoke
tamu limegeuka chungu
nakumbuka tamu kitandani hondari mama
kutwa nashika tama na usiku silali X2
Nitulize mama "nitulize"
nimechoka sana "nitulize"
nishakula yamini "nitulize"
sitaki kuzunguka tena naridhika nawe "nitulize"
wamemwanga chungu ndani ya pendo
yangu mimi ALi si tamu tena
eh na nilivyoangaika mpaka ata kupata
sheri eh hawakuniona pendo linaudhi najua
tena nilivyozurura upate kula
leo inaniuma neno ni sumu
ulivyoondoka nilidhani nitazoea
sa naogopa mapenzi nikiyapa sekunde
mama sekunde nikiyapa sekunde
naona sura yako kila sekunde
naona sura yako kila sekunde
Wednesday, 20 July 2016
AJE LYRICS BY ALI KIBA FT M.I
[Verse 1 – Alikiba]
Ucheshi na sauti
Amenifanya nam-miss tu
Mwambie asiogope
Ali ni kipenzi cha watu
Ntafanya party nyumbani
Hiyo yote kwa ajili yake
Tena asije peke yake
Asiogope aje na wenzake
Ntafanya party nyumbani
Hiyo yote kwa ajili yake
Tena asije peke yake
Asiogope aje na rafiki zake eh
Ucheshi na sauti
Amenifanya nam-miss tu
Mwambie asiogope
Ali ni kipenzi cha watu
Ntafanya party nyumbani
Hiyo yote kwa ajili yake
Tena asije peke yake
Asiogope aje na wenzake
Ntafanya party nyumbani
Hiyo yote kwa ajili yake
Tena asije peke yake
Asiogope aje na rafiki zake eh
[Chorus – Alikiba]
Basi mwambie aje (aje)
Oh aje (aje)
Aje na rafiki zake (aje)
Asije peke yake (aje)
Oh aje (aje)
Aje, oh aje (aje)
Aje jamani aje (aje)
Aje nam-miss aje (aje)
Basi mwambie aje (aje)
Oh aje (aje)
Aje na rafiki zake (aje)
Asije peke yake (aje)
Oh aje (aje)
Aje, oh aje (aje)
Aje jamani aje (aje)
Aje nam-miss aje (aje)
[Verse 2 – Alikiba]
Uzuri wake timilifu
Nshamuona na watu maarufu tu
Kina Wema Sepetu
Nikaomba namba bichwa akanishushua shuu!
Ilinikosesha raha
Lulu nae kamdanganya
Kwamba mi ni wa kwake
Aniogope tena asinichekee
Ilinikosesha raha
Lulu nae kamdanganya oh
Kwamba mi ni wa kwake
Aniogope tena asinichekee
Uzuri wake timilifu
Nshamuona na watu maarufu tu
Kina Wema Sepetu
Nikaomba namba bichwa akanishushua shuu!
Ilinikosesha raha
Lulu nae kamdanganya
Kwamba mi ni wa kwake
Aniogope tena asinichekee
Ilinikosesha raha
Lulu nae kamdanganya oh
Kwamba mi ni wa kwake
Aniogope tena asinichekee
[Chorus – Alikiba]
Basi mwambie aje (aje)
Oh aje (aje)
Aje na rafiki zake (aje)
Asije peke yake (aje)
Oh aje (aje)
Aje, oh aje (aje)
Aje jamani aje (aje)
Aje nam-miss aje (aje)
Basi mwambie aje (aje)
Oh aje (aje)
Aje na rafiki zake (aje)
Asije peke yake (aje)
Oh aje (aje)
Aje, oh aje (aje)
Aje jamani aje (aje)
Aje nam-miss aje (aje)
[Verse 3 – M.I]
I say, I say, I say…
I’m gonna marry you one day
Come through baby girl
I just want us to speak
See we met on a Monday
You must be next Monday
Cause you make it one week
Have you been to the West side?
Forget whatever you seen on them Nollywood films
I wanna be your best guy
So let’s try till you testify no one’s better than him
So baby, give me your digits
Let me google map location, come and visit
You should show up in something exquisite
I can come over to yours, girl, where is it?
You could teach me to speak in Swahili
Like “sawa sawa, mambo vipi?”
Can you tell that I’m feeling you really?
Alikiba and M.I, my baby, I know that you feel me
I say, I say, I say…
I’m gonna marry you one day
Come through baby girl
I just want us to speak
See we met on a Monday
You must be next Monday
Cause you make it one week
Have you been to the West side?
Forget whatever you seen on them Nollywood films
I wanna be your best guy
So let’s try till you testify no one’s better than him
So baby, give me your digits
Let me google map location, come and visit
You should show up in something exquisite
I can come over to yours, girl, where is it?
You could teach me to speak in Swahili
Like “sawa sawa, mambo vipi?”
Can you tell that I’m feeling you really?
Alikiba and M.I, my baby, I know that you feel me
[Chorus – Alikiba]
Basi mwambie aje (aje)
Oh aje (aje)
Aje na rafiki zake (aje)
Asije peke yake (aje)
Oh aje (aje)
Aje, oh aje (aje)
Aje jamani aje (aje)
Aje nam-miss aje (aje)
Basi mwambie aje (aje)
Oh aje (aje)
Aje na rafiki zake (aje)
Asije peke yake (aje)
Oh aje (aje)
Aje, oh aje (aje)
Aje jamani aje (aje)
Aje nam-miss aje (aje)
[Outro]
Come through, baby
I want you to come through, baby
Come through, baby
I want you to come through, baby
Come through, baby
I want you to come through, baby
Come through, baby
I want you to come through, baby
Come through, baby
I want you to come through, baby
Come through, baby
I want you to come through, baby
Come through, baby
I want you to come through, baby
Come through, baby
I want you to come through, baby
MAC MUGA LYRICS BY ALI KIBA
[Verse 1]
Ni mchizi wa bongo Mac muga,Yuko single sana Mac Muga
Ukimuona kutwa kajiinamia sababu ya maisha yanamchanganya,
Long time ago alizamia na kwenda kusini mwa Africa,
Huku pia akimchanua kwa sababu ya maisha aliyofuma
Alikuwa maarufu sana,
Akajiona yeye ndo winner
Kwa kujichanganya na wasichana
Club zote za huko kujulikana
Ni mchizi wa bongo Mac muga,Yuko single sana Mac Muga
Ukimuona kutwa kajiinamia sababu ya maisha yanamchanganya,
Long time ago alizamia na kwenda kusini mwa Africa,
Huku pia akimchanua kwa sababu ya maisha aliyofuma
Alikuwa maarufu sana,
Akajiona yeye ndo winner
Kwa kujichanganya na wasichana
Club zote za huko kujulikana
Yeye Mac Muga
Wewe Mac Muga
Ah, hii dunia,
Mac Muga huruma!
Wewe Mac Muga
Ah, hii dunia,
Mac Muga huruma!
[Chorus] x2
Mungu si Athumani alipofika South Africa
Alikuwa na maisha bora, ya juu, ya thamani tena yanayohitajika
Magari yote kwa nyumba
Mbona sasa amesharejea, hajui wapi ataanzia
Hakuna kazi mtu akajinamia
Mac Muga hii ni dunia
Mungu si Athumani alipofika South Africa
Alikuwa na maisha bora, ya juu, ya thamani tena yanayohitajika
Magari yote kwa nyumba
Mbona sasa amesharejea, hajui wapi ataanzia
Hakuna kazi mtu akajinamia
Mac Muga hii ni dunia
[Verse 2]
Akajichezea, gari ya kutembelea
Shida walimwelezea wasichana na shida zao akawatatulia
Wewe upewe nini Mac Muga
Mungu akupe nini Mac Muga?
Nyumba ulijijengea, foro kuta nyumba
Wewe ndio wewe, wengine fala
Akajichezea, gari ya kutembelea
Shida walimwelezea wasichana na shida zao akawatatulia
Wewe upewe nini Mac Muga
Mungu akupe nini Mac Muga?
Nyumba ulijijengea, foro kuta nyumba
Wewe ndio wewe, wengine fala
Wewe, Mac Muga
Mbona sasa umeshatimua!
South Africa wamekutimua
Na sasa home usharejea
Wewe Mac Muga
Mungu akupe nini Mac Muga?
Mbona sasa umeshatimua!
South Africa wamekutimua
Na sasa home usharejea
Wewe Mac Muga
Mungu akupe nini Mac Muga?
[Chorus] x2
Mungu si Athumani alipofika South Africa
Alikuwa na maisha bora, ya juu, ya thamani tena yanayohitajika
Magari yote kwa nyumba
Mbona sasa amesharejea, hajui wapi ataanzia
Hakuna kazi mtu akajinamia
Mac Muga hii ni dunia
Mungu si Athumani alipofika South Africa
Alikuwa na maisha bora, ya juu, ya thamani tena yanayohitajika
Magari yote kwa nyumba
Mbona sasa amesharejea, hajui wapi ataanzia
Hakuna kazi mtu akajinamia
Mac Muga hii ni dunia
[Verse 3]
Yipes kana huoni kwa Mac Muga
Woi noma huruma kanyongo’nyea
Afanye nini sasa, cha kufanya
Kila anachachofanya anaona anakosea
Yikes, kama huoni kwa Mac Muga
Woi noma huruma kanyongo’nyea
Afanye nini sasa, cha kufanya
Kila anachachofanya anaona anakosea
Yipes kana huoni kwa Mac Muga
Woi noma huruma kanyongo’nyea
Afanye nini sasa, cha kufanya
Kila anachachofanya anaona anakosea
Yikes, kama huoni kwa Mac Muga
Woi noma huruma kanyongo’nyea
Afanye nini sasa, cha kufanya
Kila anachachofanya anaona anakosea
Akiwa jambazi akili zake zitaishia
Akiwa mwizi anaona atauliwa
Akifikiria kujiua
Nafsi yamzusha basi analia
Wewe Mac Muga!
Mungu akupe nini Mac Muga?
Akiwa mwizi anaona atauliwa
Akifikiria kujiua
Nafsi yamzusha basi analia
Wewe Mac Muga!
Mungu akupe nini Mac Muga?
Wewe Mac Muga!
Basi upewe nini Mac Muga?
Mungu alikuzawadia
Sasa ushachezea!
Wewe Mac Muga !
Basi upewe nini Mac Muga?
Mungu alikuzawadia maisha
Sasa ushachezea!
Basi upewe nini Mac Muga?
Mungu alikuzawadia
Sasa ushachezea!
Wewe Mac Muga !
Basi upewe nini Mac Muga?
Mungu alikuzawadia maisha
Sasa ushachezea!
[Outro]
Haya, haya,
Wangu Mac Muga
Msela hao
Wa mpani huna
Wasee wa maskani wanakukimbia!
Mac Muga noma
Hee! Mac Muga
Skonde, upige moyo konde
Mac Muga!
Haya, haya,
Wangu Mac Muga
Msela hao
Wa mpani huna
Wasee wa maskani wanakukimbia!
Mac Muga noma
Hee! Mac Muga
Skonde, upige moyo konde
Mac Muga!
CINDERELLA LYRICS BY ALI KIBA
[Verse 1]
Mara ya mwisho mimi na wewe
Kuonana kipindi kile twasoma
Shule ya msingi kigoma
Najua ulinipenda
Ila hukutaka penzi kulilinda
Ungesema mapema
Iliniuma sana
Mimi leo niko Dar
Aliniyenipenda nishamuoa
Je wataka kumjua jina?
Aitwa Cinderella
Rudi home wewe
Rudi nyumbani
Wasalimie Kigoma
Waambie nishaoa
Mara ya mwisho mimi na wewe
Kuonana kipindi kile twasoma
Shule ya msingi kigoma
Najua ulinipenda
Ila hukutaka penzi kulilinda
Ungesema mapema
Iliniuma sana
Mimi leo niko Dar
Aliniyenipenda nishamuoa
Je wataka kumjua jina?
Aitwa Cinderella
Rudi home wewe
Rudi nyumbani
Wasalimie Kigoma
Waambie nishaoa
[Chorus]
Ulinitesa sana
Sababu nilikupenda wajua
Kijijini kwa bibi Kigoma
Iliniuma sana
Mimi leo niko Dar
Aliniyenipenda nishamuoa
Je wataka kumjua jina?
Aitwa Cinderella
Rudi home ww
Rudi nyumbani
Wasalimie Kigoma
Waambie nishaoa
Ulinitesa sana
Sababu nilikupenda wajua
Kijijini kwa bibi Kigoma
Iliniuma sana
Mimi leo niko Dar
Aliniyenipenda nishamuoa
Je wataka kumjua jina?
Aitwa Cinderella
Rudi home ww
Rudi nyumbani
Wasalimie Kigoma
Waambie nishaoa
[Verse 2]
Hakuna ajuae rangi ya kinyonga
Zaidi ya yeye mwenyewe na muumba
Nami nakujua wewe huwezi ringa
Baby baby
Nakuona u mnyonge sana
Nami nilikuwa hivyo kule kigoma
Usilie kwa uchungu bwana
Imekutachi sana
Mimi leo niko Dar
Aliniyenipenda nishamuoa
Je wataka kumjua jina?
Aitwa Cinderella
Rudi home wewe
Rudi nyumbani
Wasalimie Kigoma
Waambie nishaoa
Hakuna ajuae rangi ya kinyonga
Zaidi ya yeye mwenyewe na muumba
Nami nakujua wewe huwezi ringa
Baby baby
Nakuona u mnyonge sana
Nami nilikuwa hivyo kule kigoma
Usilie kwa uchungu bwana
Imekutachi sana
Mimi leo niko Dar
Aliniyenipenda nishamuoa
Je wataka kumjua jina?
Aitwa Cinderella
Rudi home wewe
Rudi nyumbani
Wasalimie Kigoma
Waambie nishaoa
[Chorus]
Ulinitesa sana
Sababu nilikupenda wajua
Kijijini kwa bibi Kigoma
Iliniuma sana
Mimi leo niko Dar
Aliniyenipenda nishamuoa
Je wataka kumjua jina?
Aitwa Cinderella
Rudi home ww
Rudi nyumbani
Wasalimie Kigoma
Waambie nishaoa
Ulinitesa sana
Sababu nilikupenda wajua
Kijijini kwa bibi Kigoma
Iliniuma sana
Mimi leo niko Dar
Aliniyenipenda nishamuoa
Je wataka kumjua jina?
Aitwa Cinderella
Rudi home ww
Rudi nyumbani
Wasalimie Kigoma
Waambie nishaoa
[Verse 3]
Uliniadi mapenzi ni kweli uliniteka
Kadri siku zilivyozidi baby ukanitesa
Mami mara uko bize mami
Mi mshamba wa mapenzi
Si ndo wakashare nami
Kila ninapokuona, ninapokuona
Moyo unazima nakumbuka tu Kigoma
Nakosa raha mwenyewe si unaniona
Ila Cinderella kapoza moyo kuchoma
Mmmh! Mi nachoka haki ya mungu
Inga(wa) ni gani kiasi baby najua machungu
Ningetaka kuwa nawe
Ningetaka kuwa nawe
Ningetaka kuishi nawe
Ila tu mm nimeshabaini
Hiyo ni true mami
Nishampata mwingine ambaye anayenifaa
Uliniadi mapenzi ni kweli uliniteka
Kadri siku zilivyozidi baby ukanitesa
Mami mara uko bize mami
Mi mshamba wa mapenzi
Si ndo wakashare nami
Kila ninapokuona, ninapokuona
Moyo unazima nakumbuka tu Kigoma
Nakosa raha mwenyewe si unaniona
Ila Cinderella kapoza moyo kuchoma
Mmmh! Mi nachoka haki ya mungu
Inga(wa) ni gani kiasi baby najua machungu
Ningetaka kuwa nawe
Ningetaka kuwa nawe
Ningetaka kuishi nawe
Ila tu mm nimeshabaini
Hiyo ni true mami
Nishampata mwingine ambaye anayenifaa
[Chorus]
Ulinitesa sana
Sababu nilikupenda wajua
Kijijini kwa bibi Kigoma
Iliniuma sana
Mimi leo niko Dar
Aliniyenipenda nishamuoa
Je wataka kumjua jina?
Aitwa Cinderella
Rudi home ww
Rudi nyumbani
Wasalimie Kigoma
Waambie nishaoa
Ulinitesa sana
Sababu nilikupenda wajua
Kijijini kwa bibi Kigoma
Iliniuma sana
Mimi leo niko Dar
Aliniyenipenda nishamuoa
Je wataka kumjua jina?
Aitwa Cinderella
Rudi home ww
Rudi nyumbani
Wasalimie Kigoma
Waambie nishaoa
MSINISEME LYRICS BY ALI KIBA
[Chorus]
Msinisemee ah, msinisemee ah
Msinisemee ah, msinisemee ah
Kama napenda kula
Msinishangae, msinishangae
Msinishangae, msinishangae
Kama napenda kula
Msinitengee, msinitengee
Msinitengee, msinitengee
Kama napenda kula
Msinisemee ah, msinisemee ah
Msinisemee ah, msinisemee ah
Kama napenda kula
Msinishangae, msinishangae
Msinishangae, msinishangae
Kama napenda kula
Msinitengee, msinitengee
Msinitengee, msinitengee
Kama napenda kula
[Verse 1]
Basi hivi juzi juzi
Kulikuwa na shughuli
Mtaa wa pili tena si mbali
Kulikuwa na pilau na wali
Basi nami nikajiunga
Pale pale kupiga mpunga
Watu wakajipanga
Nikaanza kwa tonge na nyama
Ni nyama tonge, ni nyama tonge
Ni nyama tonge mpaka wakanifukuza
Nikasema sijali, nikatoa pesa mfukoni
Nikanunua mayai, kilichofuata watu hawakai
Basi hivi juzi juzi
Kulikuwa na shughuli
Mtaa wa pili tena si mbali
Kulikuwa na pilau na wali
Basi nami nikajiunga
Pale pale kupiga mpunga
Watu wakajipanga
Nikaanza kwa tonge na nyama
Ni nyama tonge, ni nyama tonge
Ni nyama tonge mpaka wakanifukuza
Nikasema sijali, nikatoa pesa mfukoni
Nikanunua mayai, kilichofuata watu hawakai
[Chorus]
Msinisemee ah, msinisemee ah
Msinisemee ah, msinisemee ah
Kama napenda kula
Msinishangae, msinishangae
Msinishangae, msinishangae
Kama napenda kula
Msinitengee, msinitengee
Msinitengee, msinitengee
Kama napenda kula
Msinisemee ah, msinisemee ah
Msinisemee ah, msinisemee ah
Kama napenda kula
Msinishangae, msinishangae
Msinishangae, msinishangae
Kama napenda kula
Msinitengee, msinitengee
Msinitengee, msinitengee
Kama napenda kula
[Verse 2]
Ilikuwa Jumapili
Siku ya watu wenye ufahari
Kujirusha sehemu mbali mbali
Nami nikasema leo sikubali
Wacha niendee, wacha niendee
Wacha niendee, ila pesa sina nataka nikale
Nikapita sokoni
Nikaomba embe sokoni
Nikaelekea baharini
Nikawaona wengi ufukweni
Napita na embe kiutani
Nakula ili watamani
Mate yaliwajaa midomoni
Basi wote wakaanza kuniomba
Msiniombee, msiniombee
Msiniombee, si mnasema mimi napenda kula
Ilikuwa Jumapili
Siku ya watu wenye ufahari
Kujirusha sehemu mbali mbali
Nami nikasema leo sikubali
Wacha niendee, wacha niendee
Wacha niendee, ila pesa sina nataka nikale
Nikapita sokoni
Nikaomba embe sokoni
Nikaelekea baharini
Nikawaona wengi ufukweni
Napita na embe kiutani
Nakula ili watamani
Mate yaliwajaa midomoni
Basi wote wakaanza kuniomba
Msiniombee, msiniombee
Msiniombee, si mnasema mimi napenda kula
[Outro]
Msinisemee ah, msinisemee ah
Msinisemee ah, msinisemee ah
Kama napenda kula
Msinishangae, msinishangae
Msinishangae, msinishangae
Kama napenda kula
Msinitengee, msinitengee
Msinitengee, msinitengee
Kama napenda kula
Msinisemee ah, msinisemee ah
Msinisemee ah, msinisemee ah
Kama napenda kula
Msinishangae, msinishangae
Msinishangae, msinishangae
Kama napenda kula
Msinitengee, msinitengee
Msinitengee, msinitengee
Kama napenda kula
FAR AWAY LYRICS BY ALI KIBA FT CHIDI BENZ
[Verse 1 – Alikiba]
Do you remember ulivyokwenda safari?
Huku nyuma Ali mimi sina hali
Sio useme tu “nakupenda sana”
Roho inaniuma aah
Ukinitenda ntaumia sana
Niambie baby, aah
Slow slow baby, ni-kiss tena
Watu wanaumia aah
Ukinitenda ntaumia sana
Niambie baby, aah
Do you remember ulivyokwenda safari?
Huku nyuma Ali mimi sina hali
Sio useme tu “nakupenda sana”
Roho inaniuma aah
Ukinitenda ntaumia sana
Niambie baby, aah
Slow slow baby, ni-kiss tena
Watu wanaumia aah
Ukinitenda ntaumia sana
Niambie baby, aah
[Chorus – Alikiba]
So far away
From far away
We from far away
We so far away
We so far away
From far away
We from far away
We so far away
So far away
From far away
We from far away
We so far away
We so far away
From far away
We from far away
We so far away
[Verse 2 – Alikiba]
Rote rote, hasna siko
Haste haste, ndo nshasema
Rote rote, hasna siko
Haste haste, roho itaniuma
Niseme nini mimi yalishaniumiza (niumiza roho)
Kama mapenzi mi nshateswa sana
Slow slow baby, ni-kiss tena
Watu wanaumia aah
Ulivyonipenda, nshaumizwa sana
Niambie baby, aah
Slow slow baby, ni-kiss tena
Watu wanaumia aah
Ukinitenda ntaumizwa sana
Niambie baby, aah
Rote rote, hasna siko
Haste haste, ndo nshasema
Rote rote, hasna siko
Haste haste, roho itaniuma
Niseme nini mimi yalishaniumiza (niumiza roho)
Kama mapenzi mi nshateswa sana
Slow slow baby, ni-kiss tena
Watu wanaumia aah
Ulivyonipenda, nshaumizwa sana
Niambie baby, aah
Slow slow baby, ni-kiss tena
Watu wanaumia aah
Ukinitenda ntaumizwa sana
Niambie baby, aah
[Chorus – Alikiba]
It’s so far away
From far away
We from far away
It’s so far away
It’s so far away
From far away
We from far away
We so far away
It’s so far away
From far away
We from far away
It’s so far away
It’s so far away
From far away
We from far away
We so far away
[Verse 3 – Chidi Benz]
Tumetoka far, far, far, far away
Mbali, kabla sina hali
Maisha ya kunywa chai na ugali
Mpaka leo twala ndama, sio bata, kila mahali
Usiniache, usikache my boo
Kabla ya kuchukua maneno kumbuka I love you
(You know that)
Hakuna kunidanganya (and you know that)
Nakupenda nakuheshimu sana (and you know that)
My love, my heart, my queen (and you know that)
Without you king never gon be seen
So usiende mbali, mbali, mbali we
Oh tumetoka far, far, far away
Mbali, mbali… mbali wee
Mbali, mbali… tumetoka far away
Tumetoka far, far, far, far away
Mbali, kabla sina hali
Maisha ya kunywa chai na ugali
Mpaka leo twala ndama, sio bata, kila mahali
Usiniache, usikache my boo
Kabla ya kuchukua maneno kumbuka I love you
(You know that)
Hakuna kunidanganya (and you know that)
Nakupenda nakuheshimu sana (and you know that)
My love, my heart, my queen (and you know that)
Without you king never gon be seen
So usiende mbali, mbali, mbali we
Oh tumetoka far, far, far away
Mbali, mbali… mbali wee
Mbali, mbali… tumetoka far away
[Chorus – Alikiba]
It’s so far away
From far away
We from far away
It’s so far away
It’s so far away
From far away
We from far away
We so far away
It’s so far away
From far away
We from far away
It’s so far away
It’s so far away
From far away
We from far away
We so far away
[Outro – Alikiba]
Naumia inaumiza roho
Kwa maneno wanasema
Eti mimi sikufai
Unanitenda, wachawi acha wi
Hayawahusu
Midomoni mwao mejawa sumu
Na maneno ya kashfa
Na maneno mengine yakata
Kata kabisa, husikiiza
Usipende kusikiiza
Na mengine ya kashfa
Kashfa, na wengene wanapaka
Wanapakaza maneno ya sumu yanafitina
Naumia inaumiza roho
Kwa maneno wanasema
Eti mimi sikufai
Unanitenda, wachawi acha wi
Hayawahusu
Midomoni mwao mejawa sumu
Na maneno ya kashfa
Na maneno mengine yakata
Kata kabisa, husikiiza
Usipende kusikiiza
Na mengine ya kashfa
Kashfa, na wengene wanapaka
Wanapakaza maneno ya sumu yanafitina
MWANA LYRICS BY ALI KIBA
Mali ni nyingi nyumbani kipi kimekukimbiza
Ona babio mamio wote wanakulilia
Mtoto peke yako nyumbani kipi kimekukimbiza
Ona babio mamio wote wanakulilia
Ndani ya Dar Es Salaama ulikuja bure
Tena kimwana kimwana hujui kuchuna
Na zile lawama za wale walokuzoeza
Ulikuja jana na leo tofauti sana
Tena bora yule wa jana wa leo tofauti sana
Dakika mbili mbele nyuma kichwa kinauma
Tena bora yule wa jana wa jana leo wa jana
Dakika mbili mbele nyuma kichwa kinauma
oyayee
Mbona unawatesa sana?
omamee
Mbona unajitesa sana?
Ukaanza kulewa madawa kuvuta kwa sana
ndani ya Dar es Salaam mambo matamu hayakukuisha hamu
we bado mtoto kwa mama hujayajua mengi
Mwenda tezi na omo marejeo ngamani
Amesema sana mama dunia tambara bovu
kuna asali na shubiri ujana giza na nuru
We mwana wewe mwana, mwana jeuri sana
Ulichokifuata hukupata, umekosa ulivyoacha
Kwa baba yako mwana na mama yako mwana
Kwa vichache ulivyovitaka ni vingi ulivyoacha
oyayee
Mbona unajitesa sana?
omamee
Mbona unawatesa sana?
DUNIA SHAMBA LYRICS BY ALI KIBA
[Verse 1]
Asubuhi kumekucha, Ali naamka
Nakwenda shamba kutafuta matunda
Good mornie sweety ye, nakuaga bibie
Nakwenda shamba, chochote tutapata
Tutakapo kosa leo, mamii tuvumilie
Uh ni Mungu kapanda, yote ni matokeo
Ona unavumilia, namshukuru Mola
Kote nimezunguka, wewe ni mke bora
Ona unavumilia, namshukuru Mola
Kote nimezunguka, wewe ni mke bora
Asubuhi kumekucha, Ali naamka
Nakwenda shamba kutafuta matunda
Good mornie sweety ye, nakuaga bibie
Nakwenda shamba, chochote tutapata
Tutakapo kosa leo, mamii tuvumilie
Uh ni Mungu kapanda, yote ni matokeo
Ona unavumilia, namshukuru Mola
Kote nimezunguka, wewe ni mke bora
Ona unavumilia, namshukuru Mola
Kote nimezunguka, wewe ni mke bora
[Chorus]
We hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo, dunia mashindano
We hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo, dunia mashindano
We hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo, dunia mashindano
We hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo, dunia mashindano
[Verse 2]
Mumeo narejea
Hali yangu si waiona
Wakati nakwenda
Ajali nilipata
Ile njia panda nilipita
Alinivamia simba
Na watu wakaja pale kuniokoa
Walinipeleka hospitali ya wilaya
Matibabu nilipata ah
Na sasa nimetoka
Hali yako mjamzito
Usijepatwa mshituko
Dunia ni king’amo
Dunia mashindano
Hali yako mjamzito
Usijepatwa mshituko
Dunia ni king’amo
Dunia mashindano
Mumeo narejea
Hali yangu si waiona
Wakati nakwenda
Ajali nilipata
Ile njia panda nilipita
Alinivamia simba
Na watu wakaja pale kuniokoa
Walinipeleka hospitali ya wilaya
Matibabu nilipata ah
Na sasa nimetoka
Hali yako mjamzito
Usijepatwa mshituko
Dunia ni king’amo
Dunia mashindano
Hali yako mjamzito
Usijepatwa mshituko
Dunia ni king’amo
Dunia mashindano
[Chorus]
We hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo, dunia mashindano
Hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo, dunia mashindano
We hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo, dunia mashindano
Hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo, dunia mashindano
(Yote ni matokeo)
[Bridge]
Ona unavumilia, namshukuru Mola
Kote nimezunguka, wewe ni mke bora
Ona unavumilia, namshukuru Mola
Kote nimezunguka, wewe ni mke bora
Ona unavumilia, namshukuru Mola
Kote nimezunguka, wewe ni mke bora
Ona unavumilia, namshukuru Mola
Kote nimezunguka, wewe ni mke bora
We hivyo vyote maa (we hivyo vyote maa)
Ulivyo, nakupendaga daaa..
Dunia ni king’amoaaa
Jua milele, niwe nawe
Nishakutia medani ya chuma
Ulivyo, nakupendaga daaa..
Dunia ni king’amoaaa
Jua milele, niwe nawe
Nishakutia medani ya chuma
Ni kingamo mchumba
Kila mtu na yake
Na mila yake mamaa
Duniani kingambo!
Kila mtu na yake
Na mila yake mamaa
Duniani kingambo!
[Chorus]
We hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo, dunia mashindano
Hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo, dunia mashindano
We hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo, dunia mashindano
Hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo, dunia mashindano
SCHOOL BABY LYRICS BY ALI KIBA FT TUNDA MAN
[Verse 1 – Alikiba]
Wivu usione wewe duu
Kwangu wa thamani, nimtake nani?
Wivu usione wewe duu
Kwangu wa thamani, nimtake nani?
Coco-Coca Cola, ukitingisha naona raha
Tena wale madada shada
Ukizubaa wanakuwa daa
Coco-Coca Cola, ukitingisha naona raha
Tena wale madada shada
Shada, shada, shada
Wivu usione wewe duu
Kwangu wa thamani, nimtake nani?
Wivu usione wewe duu
Kwangu wa thamani, nimtake nani?
Coco-Coca Cola, ukitingisha naona raha
Tena wale madada shada
Ukizubaa wanakuwa daa
Coco-Coca Cola, ukitingisha naona raha
Tena wale madada shada
Shada, shada, shada
[Chorus] x2
[Alikiba]
Wewe ndo wangu baby (baby)
Toka school baby (baby)
Mimi na wewe baby (baby)
Hatuachani baby (baby)
[Alikiba]
Wewe ndo wangu baby (baby)
Toka school baby (baby)
Mimi na wewe baby (baby)
Hatuachani baby (baby)
[Tundaman]
Baby, baby, baby (baby)
Wewe ndo wangu baby (baby)
Toka school baby (baby)
Hatuachani baby (baby)
Baby, baby, baby (baby)
Wewe ndo wangu baby (baby)
Toka school baby (baby)
Hatuachani baby (baby)
[Verse 2 – Tundaman]
Kudada-dada-dada-dadadeki
Baby mapenzi safari, Kigoma mwisho wa reli
Kwako mi breki
Baby iih, wengi wanapenda tugombane
My sweet ii iih, tena wanataka tuachane eh
Kukutenda sijathubutu, upendo ongeza maradufu
Acha wachonge kama kasuku
Baby aiya iyaya
Kukutenda sijathubutu, upendo ongeza maradufu
Acha wachonge kama kasuku
Baby aiya iyaya
Kudada-dada-dada-dadadeki
Baby mapenzi safari, Kigoma mwisho wa reli
Kwako mi breki
Baby iih, wengi wanapenda tugombane
My sweet ii iih, tena wanataka tuachane eh
Kukutenda sijathubutu, upendo ongeza maradufu
Acha wachonge kama kasuku
Baby aiya iyaya
Kukutenda sijathubutu, upendo ongeza maradufu
Acha wachonge kama kasuku
Baby aiya iyaya
[Chorus] x2
[Alikiba]
Wewe ndo wangu baby (baby)
Toka school baby (baby)
Mimi na wewe baby (baby)
Hatuachani baby (baby)
[Alikiba]
Wewe ndo wangu baby (baby)
Toka school baby (baby)
Mimi na wewe baby (baby)
Hatuachani baby (baby)
[Tundaman]
Baby, baby, baby (baby)
Wewe ndo wangu baby (baby)
Toka school baby (baby)
Hatuachani baby (baby)
Baby, baby, baby (baby)
Wewe ndo wangu baby (baby)
Toka school baby (baby)
Hatuachani baby (baby)
[Outro – Tundaman]
Baby iih ii iih
Baby uuh uu uuh
Baby iih ii iih
Wenye vijiba vya roho wavimbe wapasuke
Baby uuh uu uuh
Baby iih ii iih
Baby uuh uu uuh
Wenye vijiba vya roho wavimbe wapasuke
Baby iih ii iih
Baby uuh uu uuh
Baby iih ii iih
Wenye vijiba vya roho wavimbe wapasuke
Baby iih ii iih
Baby uuh uu uuh
Baby iih ii iih
Wenye vijiba vya roho wavimbe wapasuke
Baby uuh uu uuh
Baby iih ii iih
Baby uuh uu uuh
Wenye vijiba vya roho wavimbe wapasuke
Baby iih ii iih
Baby uuh uu uuh
Baby iih ii iih
Wenye vijiba vya roho wavimbe wapasuke
Saturday, 9 July 2016
Single boy lyrics by Ali Kiba ft Lady Jay Dee
Verse 1
Pombe ni kichwa kinauma, kishalewa, anajipoza na maji
Na mimi hata muda sina, nishamkanya, ninasikiza mamelody
Nishamwambia nini wewe, kupenda sana utakuwa chizi
Hayanaga mjuzi yahwe, kila mtu analilia mapenzi
Karibu chama la bachelor, ukinipenda, namaliza leo leo tu
Siku hizi kwa kudanganyana, mvulana msichana, ishakuwa poa poa tu
Hakunaga mapenzi yale, yakugandana ni zama za kale
Money on the table now, kinachofata ni mimi na wewe, na wewe
Who the single boy, I am a single boy
Who the single boy, mi naye single boy
Who the single boy, mi na we single boy
Who the single boy, single single single boy
Who the single boy, I am a single boy
Who the single boy,we the single boy
Who the single boy, mi na we single boy
Who the single boy, single single single boy
Who the single boy
I am a single boy
Verse 2
Nimemkuta analia, kajilaza, sababu amechoka
Mengi amevumilia, yalomkwaza, anataka kuondoka
Ana siku ya pili sasa, hajarudi nyumbani kulala
Namuonea huruma sana, haya mapenzi hayana maana
Karibu chama bachelor, ukinipenda, namalizana leoleo tu
Siku hizi kwa kudanganyana, mvulana msichana, ishakuwa poa poa tu
Hakunaga mapenzi yale, yakugandana ni zama za kale
Money on the table now, kinachofata ni mimi na wewe
Who the single girl
Who the single girl
Who the single girl
Who the single girl, am the single single girl
Who the single girl, who single girl
Who the single girl, single single girl
Who the single girl, who the single girl
Who the single girl, single single girl
Who the single girl
Who the single girl
Who the single boy, I am a single boy
Who the single girl, I am a single girl
Who the single boy, mi na we single boy
Mwana lyrics by Ali kiba
Verse 1
Mali ni nyingi nyumbani kipi kimekukimbiza
Ona papi-o mami-o wote wanakulilia
Mtoto peke yako nyumbani kipi kimekukimbiza Ona papi-o mami-o wote wanakulilia
Mtoto peke yako nyumbani kipi kimekukimbiza Ona papi-o mami-o wote wanakulilia
Ndani ya Dar Es Salaama ulikuja bure
Tena kimwana kimwana hujui kuchuna
Na zile lawama za wale walokuzoeza
Ulikuja jana na leo tofauti sana
Tena bora yule wa jana wa leo tofauti sana
Dakika mbili mbele nyuma kichwa kinauma
Tena bora yule wa jana wa jana leo wa jana
Dakika mbili mbele nyuma kichwa kinauma
oyayee
Mbona unawatesa sana?
omamee
Mbona unajitesa sana?
Verse 2
Ukaanza kulewa madawa kuvuta kwa sana
ndani ya Dar es Salaam mambo matamu hayakukuisha hamu
we bado mtoto kwa mama hujayajua mengi
Mwenda tezi na omo marejeo ngamani
Amesema sana mama dunia tambara bovu
kuna asali na shubiri ujana giza na nuru
We mwana wewe mwana, mwana jeuri sana
Ulichokifuata hukupata, umekosa ulivyoacha
Kwa baba yako mwana na mama yako mwana
Kwa vichache ulivyovitaka ni vingi ulivyoacha
oyayee
Mbona unajitesa sana?
omamee
Mbona unawatesa sana?
ndani ya Dar es Salaam mambo matamu hayakukuisha hamu
we bado mtoto kwa mama hujayajua mengi
Mwenda tezi na omo marejeo ngamani
Amesema sana mama dunia tambara bovu
kuna asali na shubiri ujana giza na nuru
We mwana wewe mwana, mwana jeuri sana
Ulichokifuata hukupata, umekosa ulivyoacha
Kwa baba yako mwana na mama yako mwana
Kwa vichache ulivyovitaka ni vingi ulivyoacha
oyayee
Mbona unajitesa sana?
omamee
Mbona unawatesa sana?
Subscribe to:
Posts (Atom)
-
(E-Sir) Jo nimefika fika wapi ? pirate na mambo bado Kuna kuna kuna kuna kuna kijana mmoja kutoka south c …..Jo! Kijana mwen...
-
Double tap lyrics by kansoul Chorus[Mejja]: Ilianza Na Ka Selfie(Dabotap) Nikaona TBT (Dabotap) Akapiga Screenshot Ya Likes ...