Showing posts with label Z-Anto. Show all posts
Showing posts with label Z-Anto. Show all posts

Tuesday, 26 July 2016

Binti kiziwi lyrics Z-Anto ft Pingu

Verse 1]
Nimpate vipi mi sijui, ninaimani mapenzi
hayajuiiihi
Nitapata ugojwa wa moyo, kwa sababu ya
mawazo
Ninavyojuwa maisha yake, hajawai kuwa na
boyfriend
Ila ni mimi wakwanza naninashindwa kumpata
Kwa ishara inaonekana nampenda, yeye eti
ninamzingua
Eti ingelikuwa anaskia, basi ukweli wangu
angeujua
Kwa ishara inaonekana nampenda, yeye eti
ninamzingua
Eti ingelikuwa anaskia, basi ukweli wangu
angeujua
Ningelizoe rafiki yakee basi ye
ni,ningemtumaaaa
Ningezitambua ishara zake basi mi kwake
ningefika
Ningelizoe rafiki yakee basi ye
ni,ningemtumaaaa
Ningezitambua ishara zake basi mi kwake
ningefika
[Chorus]
Si siri ninampenda binti kiziwi
Moyo wangu wamoteka binti kiziwi
Si siri nataseka juu yake,ye binti kiziwi
Si siri ninampenda binti kiziwi
Kwakuwa moyo wangu wamouteka binti kiziwi
Kichwa kinauma mawazo kwake binti kiziwiiii
[Verse 2]
Nashangaa pale nampomkutaaa, akiwa
nawenzake wanaongeaaa
Huwa najiuliza mimi, wanaongea,naye vipiiii
Nashangaa napo muitaa,nahisi huwa anakata
Sijui ndio hasiki, au mapozi, au mapozi naye
Afadhali angejuae kusomae,hatachale kiumbe
ningempa
Eti kama ningejuwa isharaaa,basi kwake
ningefika mimi
Afadhali angejuwa kusomae,hata mbonge
kiumbee ningempa
Etikama ningejua isharaa,mbasi kwake ningefika
baby
[Chorus]
Si siri ninampenda binti kiziwi
Moyo wangu wamoteka binti kiziwi
Si siri nataseka juu yake,ye binti kiziwi
Si siri ninampenda binti kiziwi
Kwa moyo wangu wamouteka binti kiziwi
Kichwa kinauma mawazo kwake binti kiziwi
[Verse 3]
Binti kiziwi yuko full yani yuko bombaa
Amenidatisha mnyamwezi nayake figure
Tatizo moja tu ambalo mimi hulinasibu
Kila kukicha hata inikiwaza mimi sipati jibu
Nikimwambia neno i luv you wala halijuwi
Nikimwambie neno i need you halitambui
Nikimwimbia nyimbo nzuri hata sikiii
Pingu nasikitika nikimwona mbinti kiziwi
Nikimwambia neno i luv you wala halijuwi
Nikimwambie neno i need you halitambui
Nikimwimbia nyimbo nzuri hata sikiii
Pingu nasikitika nikimwona mbinti kiziwi
[Bridge]
Hatakusema neno i luv youuu kwake halijui
Hatakusema neno i need youuu kwake
halitambui
Hatakusema neno i luv youuu kwake halijui
Hatakusema neno i need youuu kwake
halitambui
Baby,baby baby,booo,baby i love you
Ingawa nateseka naye, baby i need you
Baby, baby, booo(uhuu),baby i love you (uhuhu)
Baby (tuhuu) baby, i need you (uhu)
[Chorus]
Si siri ninampenda binti kiziwi
Moyo wangu wamoteka binti kiziwi
Si siri nataseka juu yake,ye binti kiziwi
Si siri ninampenda binti kiziwi
Kwa moyo wangu wamouteka binti kiziwi
Kichwa kinauma mawazo kwake binti kiziwi

Kisiwa cha malavidavi lyrics by Z-Anto

[Verse 1]
Ni ukweli nilikuwa napenda sana
Mechi za nje za ujana
Aliyekuwa mke wangu, analia aah
Ni ukweli nilikuwa napenda sana vibinti
Nakuwahonga mpaka magari

[Bridge]
Mitungi kila saa
Nyumbani sina time ya kukaa
Marafiki nami
Night club na mimi

[Pre-Chorus] x2
Sasa nimebaki lonely
Track redioni hazichezwi
Yaani pesa hakuna, marafiki hakuna
Hata baby hunitaki tena

[Chorus] x2
Nakupenda aiyaa
Nakupenda sana baby
Nakuhitaji mama mama
Njoo kisiwa cha malavidavi

[Verse 2]
Sielewi tena nisikilize ma
Kwani najua pombe ndiyo chanzo ah
Kilichofanya nikutende dharau kibao
Ndani ya nyumba hakuna raha
Na kwangu ulikuwa dhaifu nisikilize ma
Kwani najua kweli ulinipenda ah
Watoto wangu niliwatenga
Nisamehe mpenzi we unasema

[Bridge]
Sitaki rudia tena
Najuta kwa yote niliyofanya
Nisamehe na goti napiga, nalia ahh

[Pre-Chorus] x2
Sasa nimebaki lonely
Track redioni hazichezwi
Yaani pesa hakuna, marafiki hakuna
Hata baby hunitaki tena

[Chorus] x2
Nakupenda aiyaa
Nakupenda sana baby
Nakuhitaji mama mama
Njoo kisiwa cha malavidavi

[Outro]
Uje kwenye kisiwa cha malavidavi
Uje tupeane mapenzi
Usisahau na wanangu

Ukipendwa Ringa lyrics by Z-Anto

[Intro]
Mmmh!
Mmmh!
Z-Anto, I’m back again
[Chorus]
Mtoto wa kike ukipendwa ringa (jishembendue)
Oh tena ringa (jishembendue) pozi jiachie
Kuna watu wanataka chance hiyo
Mtoto wa kiume ukipendwa vimba (tena jidekeze) tena vimba (tena jidekeze)
Jiachie, kuna watu wanataka chance hiyo
Ukinipenda, ntaringa
Nikikupenda, we ringa ila aah
Usije niumiza mi ntalia
Nikikupenda, we ringa
Ukinipenda, ntaringa ila aah
Usije niumiza mi ntalia
[Verse 1]
Mpenzi wangu wa kwanza nahifadhi lake jina
(Binti kiziwi) toka kwa moyo kidhati nilimpendaga
Nikaonyesha nampenda aka-change akasema ‘hanipendi tena
Enzi zangu zimepita’ hapo ndo akanimwaga
[Pre-Chorus]
Nilipoimba ‘nimebaki lonely, baki lonely’
Hata kitanda hakuna wa kunitandikia
Haki ya Mungu kuwa lonely, kuwa lonely
Hiyo ni adhabu kwa mtu aliyetimia
Nilipoimba ‘nipo lonely, nipo lonely’
Hata maji ya kunywa hakuna wa kunipatia
Haki ya Mungu kuwa lonely, kuwa lonely
Hiyo ni adhabu kwa mtu aliyetimia
[Chorus]
Mtoto wa kike ukipendwa ringa (jishembendue)
Oh tena ringa (jishembendue) pozi jiachie
Kuna watu wanataka chance hiyo
Mtoto wa kiume ukipendwa vimba (tena jidekeze) tena vimba (tena jidekeze)
Pozi jiachie, kuna watu wanataka chance hiyo
Ukinipenda, ntaringa
Nikikupenda, we ringa ila aah
Usije niumiza mi ntalia
Nikikupenda, we ringa
Ukinipenda, ntaringa ila aah
Usije niumiza mi ntalia
[Verse 2]
Kuhusu mapenzi yanaumizaga
Unapopenda we hupendwi sana hapo nashangaaga
Mapenzi yana siri gani aah
Tena naumiaga napokumbuka penzi langu kwake na ma-kiss kiss mwaah
Eti akanimwaga!
[Pre-Chorus]
Nilipoimba ‘nimebaki lonely, baki lonely’
Hata kitanda hakuna wa kunitandikia
Haki ya Mungu kuwa lonely, kuwa lonely
Hiyo ni adhabu kwa mtu aliyetimia
Nilipoimba ‘nipo lonely, nipo lonely’
Hata maji ya kunywa hakuna wa kunipatia
Haki ya Mungu kuwa lonely, kuwa lonely
Hiyo ni adhabu kwa mtu aliyetimia
[Chorus]
Mtoto wa kike ukipendwa ringa (jishembendue)
Oh tena ringa (jishembendue) pozi jiachie
Kuna watu wanataka chance hiyo
Mtoto wa kiume ukipendwa vimba (tena jidekeze) tena vimba (tena jidekeze)
Pozi jiachie, kuna watu wanataka chance hiyo
Ukinipenda, ntaringa
Nikikupenda, we ringa ila aah
Usije niumiza mi ntalia
Nikikupenda, we ringa
Ukinipenda, ntaringa ila aah
Usije niumiza mi ntalia
[Outro]
Unaemwacha leo ndio mpenzi mpya wa mwenzio
Hivyo kaba mpaka penati isijeeka kwako kilio
Unaemwacha leo ndio mpenzi mpya wa mwenzio
Hivyo kaba mpaka penati isijeikawa kesho kilio