Showing posts with label peter msechu. Show all posts
Showing posts with label peter msechu. Show all posts

Tuesday, 26 July 2016

Hasira hasara lyrics by peter msechu

[Verse 1]
Ilikuwa ni siku ya furaha, vifijo, nderemo na shamra shamra
Uliponivika pete kidoleni mwangu
Kwa sura ya furaha, tabasamu thabiti
Ukatamka maneno matamu moyoni mwangu
Mbele ya wazazi wako, wazazi wangu
Na zaidi mbele ya Mungu wako
Sasa kwanini leo wataka rudi nyumbani kwenu?
Mambo madogo dogo haya, yasikukasirishe mamii
[Chorus]
Hasira hasara
Mami wangu
Hasira hasara
Hasira mbaya mama
Hasira hasara
Mami wangu wa maisha
Hasira hasara
Acha hiyo kabisa
Hasira hasara
Huku nyumbani tena
Hasira hasara
Watoto wa nani hawa?
Hasira hasara
Rudi tena kwa mara ya pili
Hasira hasara
[Verse 2]
Ninachokumbuka nilikueleza
Kabla hujakubali
Kubwaga manyanga, na kukubali kuwa mwili moja nami
Ili tuelewane, tusije kwazana mami wangu
Lakini, ni kitu kidogo tu kinakuboa
Kitu kidogo tu kinakuudhi
Kitu kidogo tu wataka kwenda nyumbani
Mami acha hizo ah
Mami acha hizo!
[Chorus]
Hasira hasara
Hasira hasara
Hasira hasara
Mami elewa hilo
Hasira hasara
Mungu wangu hapendi
Hasira hasara
Kusamehe unakufa?
Hasira hasara
Nisamehe mama
Hasira hasara
Hasira hasara
Moyo unahangaika balaa
Hasira hasara
Hasira hasara, aah
Hasira hasara, aah
[Bridge 1]
Nieleze nijue, hasira ya nini
Nieleze ili nitambue, kosa langu mama
Nieleze nijue, hasira ya nini
Nieleze ili nitambue, kosa langu mama
Kosa langu mama, lipo wapi mama?
[Chorus]
Hasira hasara
Yei yei yeeh
Hasira hasara
Makosa yapo
Hasira hasara
Yanapaswa samehewa
Hasira hasara
Najua nimekosa
Hasira hasara
Naomba msamaha
Hasira hasara
Naomba rudi tena
Hasira hasara
Turudishe ukurasa upya
Hasira hasara
Kumbuka ahadi yako
[Bridge 2]
Watoto wanahangaika, wewe haupo
Tuliwaleta wote, tuwatunze wote mpaka mwisho mama
Hasira hasara, hasira hasara
Hasira hasara mami rudi aah
Hasira hasara
[Outro]
Hasira hasara
Wou wou woo
Hasira hasara
Nisikilizeni wote
Hasira hasara
Mnaoishi kwenye ndoa
Hasira hasara
Hasira inaua
Hasira hasara
Mahusiano ya wawili
Hasira hasara
Utauza hadi nyumba
Hasira hasara
Kwa ajili ya hasira
Hasira hasara
Hasira iondoeni
Mkuze pendo lenu ba
Kwa wote aah
Hasira hasara
Hasira hasara

Relax lyrics by peter msechu ft kidum

[Chorus – Peter Msechu]
Unajua nakupenda (relax)
Najua unanipenda (relax)
Nipo karibu kuja (relax)
Tutakuja oana (relax)
Unajua nakupenda (relax)
Najua unanipenda maa (relax)
Nipo karibu kuja (relax)
Tutakuja oana (relax)
[Verse 1 – Peter Msechu]
Unalalamika sana, umesahau hali yangu
Maisha yangu magumu
Yananipasa nijipange upya maa
Wacha nitafute chapaa
Ndoa tutafunga tu
Unavyolalamika mimi unanitia mikosi kwenye kazi
Kuna siku itafika, nitakuja mama
Tulia, tulia mama, usilalamike sana
[Chorus – Peter Msechu]
Unajua nakupenda (relax)
Najua unanipenda (relax)
Nipo karibu kuja (relax)
Tutakuja oana (relax)
Unajua nakupenda (relax)
Najua unanipenda pia (relax)
Nipo karibu kuja (relax)
Tutakuja oana (relax)
[Verse 2 – Peter Msechu]
Mvumilivu hula mbivu
Yatupasa tuombe Mungu
Yeye pekee ndio anajua siku, saa na dakika
Wewe ndio chaguo langu
Hakuna mwingine
Usilalamike sana maa, mama, mama, mamaa
Kuna siku itafika, nitakuja mama
Tulia tulia katika uchumba wetu mama
[Bridge – Peter Msechu]
Yeh mama (relax)
Najua unanipenda sana (relax)
Niko njiani rudi (relax)
Tutakuja oana (relax)
Unajua nakupenda (relax)
Najua unanipenda (relax)
Kidumu ukipiga mwambie (relax)
Kwamba mimi namupenda sana (relax)
[Verse 3 – Kidum]
Nimeleta barua
Kutoka kwa Peter Msechu
Ujumbe mwengine, umetoka kwa kinywa chake
Kwamba anaku-miss sana
Kwamba hakuli, halali
Hana shida nyingine
Ila tu kukupenda wewe
Hana shida nyingine
Ila tu kukuwaza wewe
Najua unampenda
Pia ye anakupenda
Fujo ya nini?
Mimi sielewi kabisa
Najua unampenda, Msechu anakupenda
Kelele za nini? Wacheni kunisumbua mimi mzee
[Peter Msechu]
Mama, mamaa
Najua unanipenda sana
Niko njiani rudi
Haina haja ya kulalamika
Watasema vingi usisikiize
Mimi natafuta chapaa
Mimi natafuta chapaa
[Chorus – Peter Msechu]
(Relax)
Najua unanipenda (relax)
Nipo karibu kuja (relax)
Tutakuja oana (relax)
Unajua nakupenda mamaa (relax)
Najua unanipenda (relax)
Nipo karibu kuja (relax)
Ntakuja kukuona (relax)
Najua unanipenda sana
Unajua nakupenda sana
Nipo karibu kuja mama
Ntakuja kukuoa
Usilalamike tena
Punguza mukari mama
Niko njiani ninakuja
Ninakuja
Baby ninakuja, usilie tena
Ninakuja na pesa kibao
Nitakuoa mama
Mbele ya mashahidi wengi
Utacheka mwenyewe
Nitakapokupa pete
Pete ya ndoa yangu mama

Kumbe lyrics by peter msechu ft Joh Makini

[Verse 1 – Peter Msechu]
Sikuamini kama kunashinda maajabu saba dunia
Ndani ya binadamu, kwa binadamu
Shida ni kwamba ni Mola pekee
Haiwezi kuoneka kwa macho ya mwanadamu
Macho ya mwanadamu
[Chorus – Peter Msechu]
Kumbe…
Kumbe, unidhaniavyo sivyo
Kumbe…
Kumbe, mimi ni mtu mwingine
Kumbe…
Kumbe, kumbe
Kumbe…
Unidhaniavyo sivyo hivyo
Kumbe…
Kumbe, kumbe
Kumbe…
Mambo ni vice versa
[Verse 2 – Peter Msechu]
Jina rafiki, halikufai wewe
Maana halisi ya mnafiki wewe
Wasubiri nikosee, uanze kutoa lawama
Na hata nikifanya vyema, ngumu kusema “umetisha mwana”
Michongo mingi ulibana, ili unipigishie
Uonekane wa maana, huu si mpango ujue
Michongo mingi ulibana, ili unipigishie
Uonekane wa maana, huu si mpango ujue
[Chorus – Peter Msechu]
Kumbe…
Kumbe…
Kumbe…
Kumbe, kumbe
Mambo ni vice versa
Kumbe na…
Kumbe, kumbe, kumbe
Kumbe…
Mambo ni vice versa
Kumbe…
Mambo ni vice versa
[Verse 3 – Joh Makini]
Mbona kimya Weusi? Kimya kimetanda
Na kumbe we ndo uletaga ngoma zetu propaganda
Tumesanda wengi sio marafiki hii media
Mlango wazi karibu karibia Joh
Mi nikidhani ujirani mwema my dear
Ilikuwa trick kunichorea
Unataka kujua vipi naendelea
Ni kidedea machizi tunapofeli
Kunitoa njiani ngumu kama treni juu ya reli
Ain’t mad at you, Makaveli
Weusi, A City in a house!
Crazy!
[Bridge 2 – Peter Msechu]
No no
Kumbe, unidhaniavyo sivyo
Kumbe, mimi ni mtu mwingine
Kumbe, kumbe
Unidhaniavyo sivyo
Kumbe, kumbe
Fundi Samwenga sivyo alivyo
Mambo ni vice versa
Mambo sivyo vile yalivyo
Usinichukulie poa
Mambo ni tofauti eh
Mambo hayako hivyo wee
Mimi siko hivyo wee
Yule hayuko vile wee
Wote ni ndugu moja maa
[Outro – Peter Msechu]
Hivyo sivyo nilivyo
Unanisema kwa ubaya
Wacha kabisa hiyo
Kumbe, kumbe
Aah aa, aah aa
Kumbe

Nyota lyrics by peter msechu ft Amini

[Verse 1 – Amini]
Sikiliza rafiki, navumilia vingi vitimbwi
Moyoni bado anaishi, ila amejaa usaliti
Aliondoka akaniacha peke yangu
Huku nyuma nikalia na Mungu wangu
Haikufika hata mwezi, alipokosa furaha akarudi
Ameshachora na tattoo, jina la mpenzi wake mdanganyi
Lakini bado nilimpa moyo wangu
Nikiamini kuwa ye ni fungu langu, nilopangiwa
[Bridge – Amini]
Mapenzi ni wawili, wasioachana solemba
Iwe kwa dhiki, wingi wa mali
Muhimu kupendana
Mapenzi ni wawili, wasioachana solemba
Iwe kwa dhiki, wingi wa mali
Muhimu kupendana
[Verse 2 – Peter Msechu]
Mbona yako ni madogo
Yanayonikuta huwezi niamini
Mpaka leo naishi nae
Anakuja na mpenzi hadharani
Ninachofanya mi nacheza part yangu
Ingawa kidoleni ana pete yangu
Nakusihi vumilia, siku moja ndoto yako itatimia
Malumbano na zogo, ya mapenzi huwezi kimbia
Daima subira ndio ngao yangu
Nawe jaribu kufata nyendo zangu
Utajivunia
[Chorus – Amini] x2
Nyota na ing’ae kwako wee (nakuombea)
Nyota na ing’ae kwako wee (nakuombea)
Kesha usiku na mchana ukiomba
Uzidi kusema na Mola ataitika
[Bridge – Peter Msechu]
Mapenzi ni wawili, wasioachana solemba
Iwe kwa dhiki, wingi wa mali
Muhimu kupendana
Mapenzi ni wawili, wasioachana solemba
Iwe kwa dhiki, wingi wa mali
Muhimu kupendana
[Chorus – Amini & Peter Msechu] x2
Nyota na ing’ae kwako wee (nakuombea)
Nyota na ing’ae kwako wee (nakuombea)
Kesha usiku na mchana ukiomba
Uzidi kusema na Mola ataitika

Malava lyrics by peter msechu

[Verse 1]
Kama shamba nililima, we ndo vuno nakuvuna
Sipangiwi, sichuniwi, sinuniwi
Mie sichoi peptu, moyo umekutunuku
Tulishi kwa buku, haya
Mie kwako zumbukuku, kusema nathubutu
Siwezi kukuacha nakupenda
Malava
[Pre-Chorus]
We ni dawa, mi kidonda
Nikiumia wanikonja
Sihofii mimi kukonda, you’re my strawberry
Upendo ninao, shida sina naomba nipepee
Nitalea watoto kila uzazi, wako na mie
[Verse 2]
Shida yako iwe yangu, mwanamama
Chozi lako liwe langu
Shida yako ndio yangu, mwanamama
Cheko lako tabasamu langu, kichuna
Nipende mrembo, mi sikuhongi mjengo
Na stori za magendo, ili waharibu mwenendo
Mie sichoi peptu, moyo umekutunuku
Tulishi kwa buku, haya
Mie kwako zumbukuku, kusema nathubutu
Siwezi kukuacha nakupenda
Malava
[Chorus]
Sikupambi kwa noti, wangu wa dhati
Nikuvae shingoni, kama kidani
I go baby, baby, sweet malava
Nipeti peti, nikikohoa nimefika
I go baby, baby, sweet malava
Nipeti peti, nikikohoa nimefika
[Bridge] x6
Ayaya, sweet malava
Ayaya, sweet malava
[Chorus]
Sikupambi kwa noti, wangu wa dhati
Nikuvae shingoni, kama kidani
I go baby, baby, sweet malava
Nipeti peti, nikikohoa nimefika
I go baby, baby, sweet malava
Nipeti peti, nikikohoa nimefika
[Outro]
I go baby, baby, sweet malava
Nipeti peti, nikikohoa nimefika
I go baby, baby, sweet malava
Nipeti peti, nikikohoa nimefika
Sweet malava, ayaya
Sweet malava, ayaya
Sweet malava, ayaya
Sweet malava, ayaya

Mama lyrics by peter msechu ft Banana Zorro

[Verse 1 – Banana Zorro]
Niulinganishe na nani, ukarimu wa moyo wako?
Nikulinganishe na nani, sijaona mfano wako
Vita ya vituko vyangu, mambo yote mabaya yangu
Bado uko karibu yangu wewe
Kuna wakati sirudi nyumbani na starehe za mjini
Awakumbatia watoto, waonyeshe picha zangu mimi
Wewe wa kipekee, mpenzi wangu
Wewe ndio mama yangu, oh oh
Sina hata pa kugeukia, pa kukimbilia
Unanivumilia sana, oh mama
Mmh, oh mama, mama Sangira
Oh mama wanangu mama, ey
Sijui hata wanangu shuleni wanavaa vitu gani
Sijui hata wanangu kule wanakulaga nini!
[Chorus – Peter Msechu & (Banana)]x2
Oh mama, oh mama, oh mama
(Mama Sangira mama)
Oh mama, oh mama, oh mama
(Mama Sangira mama)
[Verse 2 – Peter Msechu]
Binadamu binadamu, baba Ayamu na mwingine
Si unakumbuka alisema nimerogwa sehemu nyingine?
Sijapinda mamaa, sijageuka
Sijui kipi kinaniharibu, wowowoo
Moyo wako sijaona wa kufananisha nae
Nilikupata kwa bahati tu mamaa
Wazazi walipinga mimi kuwa nawe
Wazazi walipinga mimi kuoana nawe
Ona nilikataa sikusikiiza, sikusikiiza mie
Ndo maana niko nawe, nipende mamaa
Nipende mama Lolo na ubaya wangu mamaa
[Chorus – Peter Msechu]
Oh mama, oh mama, oh mama
(Na ubaya wangu mama)
Oh mama, oh mama, oh mama
Oh mama, oh mama, oh mama
Oh mama, oh mama, oh mama

Majaribu lyrics by Peter msechu ft godzilla

[Verse 1 – Peter Msechu]
Asubuhi ikafika, mchana nao ukaja kwa kasi
Giza likatanda, maisha yakazidi songa
Maanani naye hakuwa mbali pale tulipoanguka
Alitunyanyua akatusihi tusonge mbele
Miaka ikasonga songa songa yakaanza kuja mambo makubwa na mazito
Sikutaraji mamaa, kwani haya ni majaribu maa
(Sikiiza baby, eeh)
Baby, elewa kwamba haya ni majaribu maa
Yapaswa uvumilie, ah, yapaswa uvumilie mamaa ah
My baby…
[Chorus – Peter Msechu]
(Haya ni majaribu)
Uhh my baby
(Usije yakimbia)
Aah haya yapo
(Iko siku yatakwisha)
Uhh my lady
(Jaribu kuvumilia)
Uuh tufike
[Verse 2 – Peter Msechu]
Baby, haya majaribu ni yetu wawili
Hakuna wa pembeni atakayeweza tubebea mzigo oh
Baby, tushirikiane, tuvumiliane
Penzi letu lisije vunjika
Achana nao, tusiwasikiize
Moyoni mwao wamejaa hila
Tushirikiane, tuvumiliane
Penzi letu lisije vunjika
Achana nao usiwasikiize
Moyoni mwao wamejaa hila
Wataongea ongea, watatusema tusema
Achana nao, achana nao
Hao ni wabaya maa, hao ni washari maa
Achana nao, achana nao
Baby, baby, baby, baby, baby…
Vumilia mama
My baby…
[Chorus – Peter Msechu]
(Haya ni majaribu)
Uhh my baby
(Usije yakimbia)
Usije yakimbia haya yapo
(Iko siku yatakwisha)
Yatakwisha tutaishi kwa furaha my baby
(Jaribu kuvumilia)
Vumilia mama
[Verse 3 – Godzilla]
Unavyoni-kiss like you ne go see me again
Usinikimbie kisa shida remember I’m your man
Kuhangaika ni mchana, sometime mpaka nights
Binadamu ni vikwazo mama, ni red lights
Mi ndo mmeo baby, I’m your house leader
Kuwa mvumilivu usinikimbie kisa shida
I’m your mister, shida zinapita
Usiende nazo zipe astalavista
Mi na we tumeungana tumekuwa one body
Njoo kwa Godzilla don’t trust nobody
Tuna shida ila we ni first lady kwa kingdom ya Godzilla
[Chorus – Peter Msechu]
(Haya ni majaribu)
Nakuomba, nakuomba mama usiondoke
(Usije yakimbia)
Usije nikimbia ukaniacha peke yangu nikateseka mama
(Iko siku yatakwisha)
Aliyeyaleta atayaondoa mwenyewe mamaa
(Jaribu kuvumilia)
Nakuomba, nakuomba mama usiondoke