Sunday 26 August 2018

JIBEBE LYRICS BY WCB WASAFI FT DIAMOND PLATNUMZ $ MBOSSO $ LAVALAVA



Intro:
Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee

Verse 1 : Diamon platnumz

i say wee ngoja nijiseti, siwalisusa nakula
fanya wainama kisha rotate, tuwakunjishe na sura
leo shimo limetema nimeshinda beti (shinda beti)
tuwaoneshe sinema wakina fetty

Hook up : Diamond platnumz
asaa joo nijoo (i like it)
when i dance jogodo  ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kouno lasotojo (i like it)
baby joo joo joo  ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kifupa joghodo ( i like it)
Uno lasotojo ( i like it)

Chorus : Diamond platnumz
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee

oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee

Verse 2: Lava lava

anhee!!!
nataka kwenye pachu pachu
  (pachu pachu)
kitandani mwendo  kwachu kwachu
(kwachu kwachu)
nichanganye wauone niwe fyatu fyatu
(fyatu fyatu)
 ilipenzi walikumoe washakunaku
(shakunaku)

enh baby sankololo (ennhee)
kerewa (ennhee)
naija soco soco

asa ndombolo (ennhee)
malewa (ennhee)
aya loco loco

mikwako shoti ya takila lewa vimba(vimba)
nikuchekeshe kama gwakila mkudesimba

Hook up : Diamond platnumz
asaa joo nijoo (i like it)
when i dance jogodo  (i like it)
anh jinkolo jinkologo ( i like it)
kouno lasotojo (i like it)
baby joo joo joo  (i like it)
anh jinkolo jinkologo ( i like it)
kifupa joghodo ( i like it)
Uno lasotojo (i like it)

(Chorus : Diamond platnumz)
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee

oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee


Verse 3: Mbosso
oh darling
 nipe chuzi lachuku chuku ninywe bakuli zima
mshede mtukutu azame kwenye kisima
fatuma wee kishtobe
mwite aisha miugunoee
alivo nyonde nyonde kama gobe
nimshindue na miunoee

twende kopa kabana (nheee)
kupumuana nana (nheee)
kwakugandana ( i like it)
nimufuate banna (nheee)
kwani nananaa (nheee)
tukikanana ( i like it)

Baby papasa kichwa jusi kafiri nisafishe mtaro
naulivo jaza nyuma kilo mbili nyanya za mataro

Hook up : Diamond platnumz
asaa joo nijoo (i like it)
when i dance jogodo  ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kouno lasotojo ( i like it)
baby joo joo joo  ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kifupa joghodo (i like it)
Uno lasotojo (i like it)

Chorus : Diamond platnumz
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee

oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee a

Wednesday 22 August 2018

TUJIANGALIE LYRICS BY SAUTI SOL FT NYASHINSKI


Barua toka Jaramogi na kenyatta,
wanauliza kama kenya kuko sawa
Nikawajibu kenya tukona disaster
Watoto wetu wanazidi kuzikana
Na Tom Mboya ameshika tama
Alituacha kama angali kijana
Je?
Angekua mambo yangekua sawa?
Ndivyo alivyopanga maulana

Deni mlizowacha bado tunalipa (tunalipa)
Na tumekopa zingine China
Tukajenga Reli pia barabara
Zilizobaki watu wakasanya

Tujiangalie tujiangalie
Tuko pabaya Leo kuliko jana
Sikio la kufa halisikii dawa
Tuko kwa Twitter tunajibizana
Tujiangalie

Tujiangalie tujiangalie
Tuko pabaya Leo kuliko jana
Tusipoziba ufa tutatenga ukuta
Tusake zetu tugali vijana

Waumini kwa mathree
Na passie kwa Bimmer
Kushoto fungu la kumi
Sadaka kulia
Ndio maana mbele ya kanisa
Mheshimiwa anakula sacramenti kabla ya raia
Siku za mwisho zimeshawadia
Na revelation inatuambia
Hii generation inachoma picha
Ni generation yetu so

Tujiangalie tujiangalie
Tuko pabaya Leo kuliko jana
Sikio la kufa halisikii dawa
Tuko kwa Twitter tunajibizana
Tujiangalie tujiangalie tujiangalie

Tujiangalie tujiangalie tujiangalie
Tuko pabaya Leo kuliko jana
Tusipoziba ufa tutatenga ukuta
Tusake zetu tugali vijana

Michuki alisema tufungeni mikanda
Ona leo twavuna tulichopanda
Kura zetu zilitugawanya
Makabila na pesa pia tulimanga

So when you make your "bed-oh"
You lie on it ooh
Usingizi ngani tumelala ?
Tutajua hatujui
Vision 2030 itabaki story

tujiangalie tujiangalie
Tuko pabaya Leo kuliko jana
Sikio la kufa halisikii dawa
Tuko kwa Twitter tunajibizana
Tujiangalie tujiangalie tujiangalie

Tujiangalie tujiangalie tujiangalie
Tuko pamoya Leo kuliko jana
Tusipoziba ufa tutatenga ukuta
Tusake zetu tugali vijana

Mdosi aliniambia freedom never comes for free
We vote in tribe ama real cash Ask Boni
Tuna roho mahali hamwezi
Ita gsu plus doggy
World mzima twitter
KOT ndio first body
Burn picha si ni waAfrica
Black koffi Annan

Am richer than my neighbour
But we both live in the slum
If the rich always win
Why should the popular run
Unless democracy ni word si usema only for fun

Tujiangalie tujiangalie
Uuh na hii weekend
Tuko church tunauza sura kabisa
Post ya haga huenda poa
Sana na caption ya scripture
Kaa ndio gospel pitisha bag ya sadaka kwa club

Tujiangalie uuh traffic madrug ubuy ndai
Traffic Mandai zinadrag
Kuadmire mwizi amemek it
Story za shamba wamegrab
Mkono nahoga imevaa bracelet
Ya colours za flag yeah a

Tuesday 21 August 2018

BABY LOVE LYRICS BY OTILE BROWN

BABY LOVE LYRICS BY OTILE BROWN


Dhamani yako Uzuri wako, Naujua mwenyewe
Sikuach, pengine uniache wewe Raha ili mradi unanipenda
Peke yetu tutaishi kwenye dunia Sikuachi Pengine uniache wewe

We ni jiko Wewe jiko langu mama, Mboni ya macho yangu
Nitakulinda mpenzi wangu, We ni jiko jiko langu mama
Mboni ya macho yangu, Nitakulinda mpenzi wangu

Achana nao (nao)
Achana nao (nao)
Uuuuh Achana nao
Hao wenye roho mbaya wanatusema vibaya
Baby love Wewe wangu mimi wako wa moyo
Oooh baby love Usije niacha kwa fitina Na maneno yao
Baby love wewe wangu mimi wako wa moyo
Oooh baby love Usije niacha kwa fitina Na maneno yao

Huna habari jinsi gani, moyo Wangu unaupendeza
Wewe ndio furaha yangu, wewe ndo wa maini yangu
wewe ni jiko langu mama, Mboni ya macho yangu
Nitakulinda mpenzi wangu, wewe ni jiko jiko langu mama
Mboni ya machoa yangu, Nitakulinda mpenzi wangu

Achana nao (nao)
Achana nao (nao)
Uuuh achana nao
Hao wenye roho mbaya
Wanatusema vibaya
Achana nao (nao)
Achana nao (nao)
Uuuh achana nao
Hao wenye roho mbaya
Wanatusema vibaya

Baby love Wewe wangu Mimi wako wa moyo
Oohh baby love usije niacha Kwa fitina na maneno yao
Baby love Wewe wangu Mimi wako wa moyo
Oh baby love usije niacha Kwafitina na manero yao
Baby love Wewe wangu Mimi wako wa moyo
Oh baby love usije niacha kwa fitina Na manero yao
Baby love wewe wangu mimi wako wa moyo
Oh baby love usije niacha kwa fitina Na manero yao
Jiko langu mama Mboni ya macho yangu Nitalinda mpezi wangu a

Monday 20 August 2018

ATARUDI LYRICS BY HARMONIZE





Angalieni wanadamu na Dunia tunapita
Kama kupata kwa zamu Ooh! Zamu yangu itafika
Suizika na damu kesho watajanizika
Ila ningependa fahamu haya mateso ulonipa

Mmh tena mwambieni aloninyima mimi
Ndio kampa yeye yee
Kupata foleni nasubiri yangu mimi
Ata ichelewe eheee !! Ooh

Sina furaha naingiza Ili mradi watoto wasijihisi vibaya
Aah uyu mdogo ananiuliza,eti Dad mama amehihama kaya
Cha kujibu sina nabaki tu kusema.

Aah atarudi (eeh) atarudi mama
Aah atarudi anawapenda sana
Aah atarudi atawaletea zawadi
Aah atarudi atarudi mama
Aah atarudi atarudi mama
Aah atarudi anawapenda sana
Aah atarudi atawaletea zawadi
Aah atarudi iiiih

Siwezi sema sijui tatizo, hali yangu duni
Imefanya ukanikimbia
Ni vyema ungefanga maigizo
Mara kumi usingenizalia
Mmh ingali mapenzi pekee
Ningesema ni changa moto nijifunze
Ameniacha mpwekee na watoto niwatunze

Eeh ila siwezi mlaumu aah
Uenda yupo sawa Aah
Kipato changu kigumu Aah
Kutwa kumunda na kahawa Aah

Mmh ila mwambieni aloninyima mimi
Ndio kampa yeye yee
Kupata foleni nasubiri yangu mimi
Ata ichelewe eheee !! Ooh

Sina furaha naingiza Ila mradi watoto wasijihisi vibaya
Aah uyu mdogo ananiuliza,eti Dad mama amehihama kaya
Cha kujibu sina nabaki tu kusema

Aah atarudi (eeh) atarudi mama
Aah atarudi anawapenda sana
Aah atarudi atawaletea zawadi
Aah atarudi atarudi mama
Aah atarudi atarudi mama
Aah atarudi anawapenda sana
Aah atarudi atawaletea zawadi
Aah atarudi iiiih
a

HELLO LYRICS BY NYASHINSKI



 
 Paposera bu find you
And I now see iiiih (Hello)
Ata tukikosana isikie nafsi iiiih (Hello)
Mi naomba usiwe (usiwe)
Mkali sana
Oh na na na  na na
Usiwe mkali sana
Ona na  na na na  (Hello)
Eh! Eh!
 From the first time I looked in your eyes I knew
(Eh ! eh)
Shinski!

Loving you feels like destiny
Zawadi yangui sauti Yako
 Even a rich man envies me
Utajiri wangu tabia zako
I wish I could give you the world
Thamani yako haipimiki
The world would not be enough
Oh na na  na na na na
Roho yangu hairidhiki inakuita

Paposera bu find you
And now I see iiiih (Hello)
Ata tukikosana isikie nafsi iiih (Hello)
Mi naomba usiwe
Mkali sana ukiziwi war oho
Mama usiwe
Mkali sana itikia roho inakuita

Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello

Na kitu nakuahidi
Hautawahi boeka ukiwa na mimi
Mahali nimekuweka ni mahili sijawahi weka mwingine
Roho inakuita itikia usikimye
Kitu nakuahidi
Hautawahi boeka ukiwa na mimi eh
Mahali nimekuweka
Ni mahalo sijawahi weka mwingine
Roho inakuita itikia usikimye yeah

I wish ungejua tu
Sio kuzingua tu
Unanifungia roho yangu nikikufungulia ndani
Najua unajiambia mi ni sumbua tu
Na kitu nakuahidi
Hautawahi boeka ukiwa na mimi
Mahali nimekuweka
Ni mahali sijawahi weka mwingine
Roho inakuita itikia usikimye

Paposera bu find you
And now I see iiiih (Hello)
Ata tukikosana isikie nafsi iiih (Hello)
Mi naomba usiwe
Mkali sana ukiziwi wa roho
Mama usiwe
Mkali sana Itikia roho inakuita

Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello

Thank God for life (thank God for Life)
Sunshine for light (sunshine, sunshine for light)
And you for making me feel all right
Oh na na na na (feel alright)

Thank God for life (Thank God for Life)
Sunshine for light (sunshine for light…)
And you for making me feel all right (making me feel, feel alright)

Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello a

Tuesday 14 August 2018

SIKUPENDI LYRICS BY RAYVANNY




Sikupendi… (hmmmm) 
Sikupendi… (aaaahh) 
Sikupendi… (eeeehh) 
Sikupendi (Max Maixer) 
Sikupendi 

Kichwa wanipasua 
Unanichapa fimbo 
Moyoni napata tabu 
Unajishaua unamalingo 
Kama una sura ya Dhahabu 
Ni miaka sasa nakufata 
Ndala zangu zote umekata 
Kutoka tegeta hadi tabata 
Mpaka visigino vimechacha 

Mara nasikia kuna bakari kinyozi 
Ulishampa Hadi kaka yake Rose
Kwani we ni pilipili unitoe machozi 
Nikikufata waniletea mapozi 
Mapenzi uvumilivu  unajua 
Ila kwako nimeshidwa 
Upendo sasa majivu umeungua 
Basi mama we ndo Bima

 [HOOK] 
Oooh mamy looh (Sikupendi) 
Utanitoa roho (Sikupendi) 
Kila siku jibu lako no (Sikupendi) 
Sikutamani ng’o (Sikupendi )
Naonyesha dhahili (Sikupendi) 
Sikutamani tena (Sikupendi) 
Nimeghaili (Sikupendi) 
Na kwen siji tena (Sikupendi) 

Hadi nahisi gundu mzee mwenzenu
Kila mambo nikiset 
Nimegeuka mlinzi nyumbani 
kwenu Kila siku kwenye geti 
Nilikufata mpaka kigogo 
Kwenye shughuri yake mama Asha 
Modo Ukanitukana matusi nina shobo 
Pembeni yupo bwana yako Bengo Chogo

Akanitimba migumi kede kede 
Nikawa mjinga tena bwege bwege 
Kama nimetinga pombe bege bege 
Alinishinda nikawa lege lege 

Heee eeeh Nakata tamaa kuwa nawe 
Nikirudisha kumbukumbu 
Nilipo kuona na masawe 
Kwenye guest ya manungu 
Ulifanya nipagawe 
Kwa mawazo na uchungu 
Nilikesha nje oh mama wee 
Nikawa chakula cha mbu   
Mapenzi uvumilivu  
unajua Ila kwako nimeshidwa 
Upendo sasa majivu umeungua 
Basi mama we ndo Bima 

[HOOK] 
Oooh mamy looh (Sikupendi) 
Utanitoa roho (Sikupendi) 
Kila siku jibu lako no (Sikupendi) 
Sikutamani ng’o (Sikupendi ) 
Naonyesha dhahili (Sikupendi) 
Sikutamani tena (Sikupendi) 
Nimeghaili (Sikupendi) 
Na kwen siji tena (Sikupendi)
Oooh mamy looh (Sikupendi) 
Utanitoa roho (Sikupendi) 
Kila siku jibu lako no (Sikupendi) 
Sikutamani ng’o (Sikupendi ) 
Naonyesha dhahili (Sikupendi) 
Sikutamani tena (Sikupendi) 
Nimeghaili (Sikupendi) 
Na kwen siji tena (Sikupendi) a