Showing posts with label JUA KALI. Show all posts
Showing posts with label JUA KALI. Show all posts

Tuesday, 19 July 2016

VILE NITAFANYA LYRICS BY JUA KALI, PREZZO, NONINI, SYLVIA


(Jua Cali)


kwa room yangu nimebandika picha zako kwa ukuta
nimepewa madawa kadhaa na mganga za kuvuta
hukumbuki juzi kwa saloon ukisukwa
nywele zako kwa mfuko kila siku nazinusa
nguo ukizianika tu hivi kwa kamba mi nayo kwa nyumba
bra yako ilipotea hujui ni wapi
mi ndio najifunga
hata siwezi kukuambia nini yako jana kwa basi nilikuwa nagusa
ndio huyo kwa korna yangu nimekunja uso hata konda haezi nisumbua
ile usiku kitu yoyote unafurahi kidogo tu mi naskia kujiua
ndio nakuambia Valentine's ikifika sitakununulia maua
wee ni manzi yangu wee ntakupatia matunda
fungua mdomo usiniulize ka ni tamu wee kula
fungua mdomo usiniulize ka ni ngumu wee uma
si ubaya utanipandisia kutafuta kwa nyuma
vile utashiba jo mi itabidi umenikumbuka
Jua Cali
lazima jo hii jina utaikumbuka
Jua Cali


  (CHORUS)


vile ntafanya (nikikupata)
vile ntafanya (nikikuwacha)
vile ntafanya (nikikutaka)
vile ntafanya (nikikuwaza)

vile ntafanya (nikikupata)
vile ntafanya (nikikuwacha)
vile ntafanya (nikikutaka)
vile ntafanya (nikikuwaza)


(Prezzo)


nawapenda wo!
nawapenda wo wo...
te wakitaka wote watapewa mate
kama hautaki sema nikuhande
mimi na wewe tutafika mpaka penalty
chunga goalie
wee kamu
zima hiyo ___ kupe tamu tamu
___ tayari kuna rungu
na ___ tamu onja sio chungu
cheki mazee nilivokuwa m___
___ tu walahi sio sumu
after all,
it's good for you
niamini because it's true
mimi na wewe tu hadi juu mbingu
cloud number tisa poa 'tafika tu
what, what, poa 'tafika tu
cloud number tisa poa 'tafika tu


  (CHORUS)


vile ntafanya (nikikupata)
vile ntafanya (nikikuwacha)
vile ntafanya (nikikutaka)
vile ntafanya (nikikuwaza)

vile ntafanya (nikikupata)
vile ntafanya (nikikuwacha)
vile ntafanya (nikikutaka)
vile ntafanya (nikikuwaza)


(Nonini)


awe mnono au mkonda bado anatoa
awe mdogo au Wambui bado ntamwoa
napenda ule ana Afro
au ___
hata ka umeolewa kumbuka operation fagia
hapa hakuna kitu ka hiyo hapa ni operation ___
una watoi walete wote bado ntawa ___
jogoo ametuna rarua kuku na vifaranga
hatutaki zile hazina grip tunataka zile zinabamba
ka naongea ma___ funika maskio nabamba
nanikikuuliza,
nataka ku___
na nikikuonyesha
utataka
hakuna rules kwa hii game hata kwa kichaka
nakutana na wee supermarket hapo hapo nataka
bora wee ni manzi mpoa, usiwe kiraka
na una kifua ndogo
na nyi wa mahaga
usijali hizi line niliandika nikiwa mashada
sheets zangu ata jo ukizichafua
hizo jeans na ngotha jo hutachafua
ntakuwa nazipeleka wapi White Maua
White Rose
White Maua


  (CHORUS)


vile ntafanya (nikikupata)
vile ntafanya (nikikuwacha)
vile ntafanya (nikikutaka)
vile ntafanya (nikikuwaza)

vile ntafanya (nikikupata)
vile ntafanya (nikikuwacha)
vile ntafanya (nikikutaka)
vile ntafanya (nikikuwaza)

Wednesday, 13 July 2016

WEE KAMU REMIX LYRICS BY NONINI FT JUA KALI


Intro [Nonini]

Calif, Genge remix

Watu wa Kenya wana tabia mbaya

Nonini ana tabia mbaya


Jua Cali ana tabia mbaya


Verse 1 [Nonini]

Bado home leo utanipata, sitatoka

Hii ni remix yangu ya kwanza na nina hope imetoka

Nimekuwa kwa keja tu nikipika nikikushugulikia

Ngoma yako wee kamu siunaiskia

Vile iko poa jako yako na trao kila kitu toa

Kuna siri yoyote unaeza like kuniambia toboa

Ushaiguzwa mahali ukaskia ku-kohoa leo mi na we au sio poa poa

Umesahau home ambia ule concodi ata kudondoa

Kwetu hapo inje na gate si ya blue

Kuna style mpya, ebu kwanza inua mguu juu

Ntainua polepole jo sababu minashuku

Shingo yako konda inaeza vunjika ka ya kuku

Naika chemshwa jo na wasee wakunywe supuu

Naeza tembea kwa chupa zimevunjika mguu tupu

Niji fanya sugu sabu yako tu, sabu yako tu



Chorus [Nonini]

Leo niko kwa keja (sabu yako tu)

Sitoki hapa (sabu yako tu)

Kwa hivyo ukitaka 

We we we we kamu

Leo niko kwa keja (sabu yako tu)

Sitoki hapa (sabu yako tu)

Kwa hivyo ukitaka 

We we we we kamu



Verse 2 [Nonini]

Jua Cali

Ushaichota mtoto kwa haga


[Jua Cali]

Aa sijaichota mtoto wowote kwa haga

Lakini nakuambia jo

Hiyo ndio nime panga

Siku ka leo vile manzi yangu ana kuja kunicheki

Kabla aingie keja lazma ni make sure bado inaeza steady

Bado inaeza ingiza ata ka ame keti

Kwanza zile tembe zangu za viagra vipi

Zime expire ama bado ziko fiti (ziko fiti)

Zimetumiwa na mtu ama bado ziko chini ya ile kiti (hii kiti) 

Achana nazo ikifika atanipigia magoti nimbariki

Na juala staki mtaani kuwe na mazishi

Kwa hivyo we kamu, we kamu tu ongeze raha na watu kwa nchi

Bora leo uniachie tu nizame vimbichi

Bora leo uniachie nikushike hivi

Nikupeleke juu, nikupeleke juu mpaka utapike skuma wiki

Elephant run, ningeiskia mpaka kwa coach

Akule itakuwa ibidi

Unastuka nini bana hii ni remix tu

Ka we ni manzi nakungoja kwa keja, we kamu tu, we kamu



Chorus [Nonini]


Leo niko kwa keja (sabu yako tu)

Sitoki hapa (sabu yako tu)

Kwa hivyo ukitaka 

We we we we kamu
Leo niko kwa keja (sabu yako tu)

Sitoki hapa (sabu yako tu)

Kwa hivyo ukitaka 

We we we we kamu


Verse 3 [Nonini]


Kuna food poa hapa napika

Na usivae jeans imekushika

Ju ya meza leo lazima utakatika

Bila kiti vile utafanya cheza kwa speaker

Na leo usikuje peke yako kuja na beshte zako

Leo nataka combi sikutaki we peke yako

Usiseme unaenda wapi staki noma na masako

Sema unenda laibu staki noma na budako

Anajua si ni ma beshte leo ni poa

Nikifunga mlango tu hivi nipate ushatoa

Unakumba ile chakula nilikuambia

Haiezi ngoja, nitamu kwa ulimi na ukitake unaeza onja

Mdogo mdogo jo hajui inaeza kunyonga

Umejaza mingi kwa mdomo utashindwa kubonga

Tulia nikafungue mlango kuna mzungu ana ngoja

Anamoto jo ananiambia anataka kutototoka


[Nonini]

Nywele leo nimenyoa (sabu yako tu)

Pia chini nimenyoa (sabu yako tu) 

Nimeoga baada ya wiki moja (sabu yako tu)

Baby boy lazima ataruka (we we we we kamu)


Juala nimenunua kibao (sabu yako tu)

Mabeshte nimewafukuza wakaenda kwao (sabu yako tu)

Bed na keja zote ni safi (sabu yako tu)

Pia nimefukuza gadafi (we we we we kamu)

** pia nimenunua (sabu yako tu)

Mpaka tenje nkaomba (sabu yako tu)

Tape za nyundo ni nazo (sabu yako tu)

Sa fanya hivi (we we we we kamu) remix

Endeleeni kuongea….. ha

Chorus [Nonini]

Leo niko kwa keja (sabu yako tu)
Sitoki hapa (sabu yako tu)
Kwa hivyo ukitaka 
We we we we kamu
Leo niko kwa keja (sabu yako tu)
Sitoki hapa (sabu yako tu)
Kwa hivyo ukitaka 
We we we we kamu

KUNA SHENG LYRICS BY JUA KALI


Ah!

Kanyeria, Juacali ehhhhhh!

Kuna sheng ya Calif lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Buru lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Dandora lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Okongo lakini si wote tunaelewana


Verse 1

Wagondi siku hizi wanaitwa madingo

Kutoka chwa ni kutoka mbio

Nikikuitisha ing’ang’a nakuitisha soo moja

Nikikuambia nitegee nakuambia we ngoja

Unashtuka nini wacha kujitisha

Kutia blunder nikuji ingiza

Nikiongea na wewe poa nakuskizia

Kupigwa na makarau ni kuvaliwa

Unajaribu kupiga simu nangos haina kitu

Chali yangu umechar hauna kitu

Baadaye tunakuona umebambwa kwa mbulu

Kushare kitu ni sulu bin sulu



CHORUS

Kuna sheng ya Easich lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Kibich lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Emba lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Marish lakini si wote tunaelewana

Verse 2

Manzi msuper anaitwa mtoto Manzi wa udu nae ni ong’ong’o

Ukiachwa mataani umetokwa 
Kuingiza ma winch mingi nikuomoka

Ukiitwa dwanzi nika umeitwa fala 
Kuvurugwa nikulazimishwa kuhama

Kitu noma sana ni mambo mbaya 
Kwanza ka zile chuja ulikua umevaa jana

Kuwa mpole mtu wangu ni sifa tu 
Nakutoshanisha nakupima tu

Punguza caki mzee utafiatuka 
Kitu inatee ni kitu inanuka





CHORUS 
Kuna sheng ya Ongwaro lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Pango lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Salem lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Ungem lakini si wote tunaelewana




Verse 3

Mungu mtaani si umuita Sir Jah

Kutia ndani nikumanga

Kuenda shughli nikuenda mraa

Nikikutia zii mambo yako nimekata

Uko chini chali yangu umechapa

Juzi ulikua mtu wa nguvu mtu wa maana

Kwani haujui chali yangu hauna copy

Nikikwama mahali nika nakuambia sitoki


CHORUS

Kuna sheng ya Baha lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Jeri lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Bangla lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Korogocho lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Westi lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya L.A lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Githurai lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Mada lakini si wote tunaelewana

Ehhhh

Siezi sahau watu wangu wa Eldi

Eehhhh

Siezi sahau watu wangu wa Nakuru (watu wa nguvu)

Eehhhhh

Sheng ya Kisumu (ni noma sana)

Sheng ya Mombasa (mambo mbaya)

Sheng ya Thika (noma sana)

eehhh

Au sio (au ndio)

Ha ha ha ha...

Ehhh TUGENGE YAJAYO

Kanyeria, Juacali

GENGE Au sio...