Tuesday 13 November 2018

FINYO LYRICS BY NYASHINSKI



Hodi kwa mama mtoto mkorofi
acha nikwambie ka unataka
Kuona machozi wa mtoto mchokozi.
Itabidi uongeze pili pili kwa Biriani

Otherwise ka sivyo wanachama
Watuliangi aaah tu tuliangi
Na ndukulu ni bangi
Na ina harufu mbaya aaah

Inaudhi majirani
Lakini aidhuru ni sawa aaah
Wacha wahamie mashinani
Ka inawadhuru vibaya
Zinatubastia ka bomb bomb kwa kona

Mimi Nina squad ...
Iko chrome na makonmen na wakora
Wanadiploma zakufunguanisha grogan ma corola

Na bado mnasorora vile amna Talent
Mmegeuza Sodoma na ngomora
Vuta hio trouser juu
Uache kutuonyesha tako
Vuta hio mini chini
Unamhaibisha mama
Ka unatafuta Yule anajua kupika uji
Sio kupiga picha uchi

Unfollow nyako
Follow nyayako ukitaka nyama
Hapa sawa chief hii buchari inaitwa ?
Usiwahi blunder na sisi uwanga ready ka skanga

Bonga shit utatandikwa ka kitambaa bedcover
Ama handkerchief

If your God is money
Then you are poor to me
I have aaah feeling
You are not who you pretend to be on IG

Kutoka nursery have been a winner
Msinieke gasoline na bado mjazima
Moto niliwasha ooh 03
Nakam na finyoo
Macho macho finyoo ooh
Ndivyo tuna Finyoo
Pasito na Finyo
Mwendo tuna
Mwenye tuna
Finyo sanaa aaah

Be ready for the word
As it's ready for you
Waiting your girl
As it's waits for you

Uliskia type yako ka..
Mabachela sijui ka ni true
IG bae ni ule carpenter
I feel ka ni true

Kureason si umang'aa
Ujinga ndio si ukataa
Sacrifice ni kuifanya for
Family sio chapaa aaah
Greatness ni kuamkia legacy
Sio chapaa.
Siwezi kuwa juu ya Thao
Ka kwangu Thao sio chapaa

My apartment is in Amsterdam
Certified rastaman
Aki sometime na hang
I feel like am sadam
I feel like am the best
Me kumake man impress zii
Kufake happiness zii

Mi ni mmerciless am iiih
Na nitawatesa until mkubali kesi
Ka sitaku impress na skill
Ni pamba freshi

Ukidai tuingie commercial still
Nakuwanga messy
Prepare kuingia kwa battle field na mwanajeshi
Hii ndio inaitwa one shot kill
Nafeelingi fiti nikiwamada
Ki action action film
Na believe hii muziki itanibuyia
Mansion still na ...

If your God is money
Then you are poor to me
I have aaah feeling
You are not who you pretend to be on IG

Kutoka nursery have been a winner
Msinieke gasoline na bado mjazima
Moto niliwasha ooh 03
Nakam na finyoo
Macho macho finyoo ooh
Ndivyo tuna Finyoo
Pasito na Finyo
Mwendo tuna
Mwenye tuna
Finyo sanaa aaah

Mwanaume aseme hii shamba siwezi lima
Nakam na plough mbili
Hiyo ingine ni ya finyo pekee (hahaha)

Nikona issue ikiwa juu yangu ka sio kofia
Kwa maissue za vitabu za historia
Jina yangu watoi wako wataisoma pia

Ata ka utadedi ukisema hukuwahi nisikia
Nishakuskia kila year ukilia
Utarun next year si this year
Palianza kulia " walai this year "
Next year nitakuhit niko high juu Niko hai this year
Sitakuwa hai next year juu nitakua high next year

Excuse excuse me
Please sorry Thank you
Mission impossible
Kifo ni ngori job.

Na isikupate ukitry too hard to be perfect
Sometime jipe ruhusa tu kuwa ratchet
Smile is bado ujapita budget
Na ka umepita ficha shida chini ya carpet

Inapiga inapiga eeh kushinda earthquake
Inapiga inapiga eeh kushinda earthquake
Watu na race nao wameshindwa kushusha landbrake
Uhunye na Rao wamepiga handshake a

No comments:

Post a Comment