Saturday 15 December 2018

ALKAIDA LYRICS BY WILLY PAUL



Willy pozee Alkaida,
 nimelipuka kama bomb Alkaida,
 samahani nikikuboo Alkaida, 
nitakupiga ukonde boy Alkaida (pozeee) 

Alkaida, 
nanukia ka cologne 
Nivute kama ndom 
Mi ni yule king of flow** 
call me commando 
Kazi ni kuimba tu na kumake doh

Tena ananikalia kuna na aibu 
Anaogopa sana asipate aibu 
Naomba hii imfikie hadi chibu
Na wote wajue kuna jitu 

Kuna watu wenye roho mbaya
Hawapendi ona ukipenya 
But nabisha kila door 
Ata waninyonge koo 
Mimi ndo  the king of flow 
And they know

Kwenye mitandao nipo tu kila sehemu
Vijijini na mataoni (aah kila sehem)
Radio, TV,  niko pia kwenye system
Ngangari kama root na stem 

Alkaida, nimelipuka kama bomb
Alkaida, samahani nikikuboo 
Alkaida, nitakupiga ukonde boy


Alkaida Alkaida, najiamini ndumeAlkaida (pozee)
 Alkaida na kama ww ni ndume Alkaida(jibu) 

Kama kuna ndume naomba nijibu 
Usifanye tabia za kiaibu 
Huyu ni willy poze mr ibubu 
Just incase ulijisahaulisha 

Unajaribu kufunga njia zangu za afrika (Afrika ya mama) 
Unasahau wewe sio sio mungu baba (sio mungu baba) 

Umekwama plan a Niko plan b 
Mungu amefungua njia ata na cardi b 
Kuna rihananana (my rihananana eeh pia) 

Alkaida, nimelipuka kama bomb 
Alkaida, samahani nikikuboo 
Alkaida, nitakupiga ukonde boy 
Alkaida 

Alkaida, nimelipuka kama bomb 
Alkaida, samahani nikikuboo 
Alkaida, nitakupiga ukonde boy 
Alkaida Alkaida, najiamini ndume 
Alkaida(pozee) 
Alkaida na kama ww ni ndume 
Alkaida (jibu) a

No comments:

Post a Comment