Wednesday 3 May 2017

SHOW ME LYRICS BY HARMONIZE X RICH MAVOKO

Harmonize
Asa Mwenzako I feel so good me nikikuona,
Aah uomwendo unafanya kusudi na ulivyo shona,
Ati unakwenda au unarudi wakatakona,
Nyuma ka katuni za masudi ulivyo nona,
Eeih ivi unapenda wavifua ka roboti -ama sanam-
Au wazee wakununua mwaga noti -ka sallam-
Oooh Anitha ,Macho kama unanita, Aaa a saa sita, 

Shape vella sindika,Aa aaah anita Macho kama unanita, Shape Vellah…..
Chorus 
Aah showme, showme ,showme, -Unavyo dance-
Showme, Showme ,Showme, -Waonyeshe unavyo dance- ×2


MAVOKO
Umenifinyanga kama dona,
Mmakonde na ndonya,
Kama mpira maradona, Kichuya kona,
Nawakisema namawenge -wambie werrasoni-
Wakiringisha peremende nitakugawia -koni-,
Chunga kipenzi majaribu, -mabaya saaana oooh-
Nawe ndo dokta wa kunitibu,
-Niwe salama oooh- Ooh baby anitaaa, -Macho kama unaniita-
Saa siita Kiuno kama yondo sista Aaah (×2)

CHOROUS
Aah showme, showme ,showme, -Unavyo dance-
Showme, Showme ,Showme, -Waonyeshe unavyo dance- (×2)

Harmonize
Asa Mombasa,nairobi, -Sakata base-
Kampala,kigali -Sakata base-
Zimbabwe kwa tobi -Sakata base-
Naija somali -Toto sakata base-



mavoko
Wanangu wa panya road -Sakata base-
Chaukucha kwa salali, -Sakata base-
Na unyamani , BOB -Sakata base-
Kizonga kwa natali -Toto sakata base-
Aaah aaaa Aaah Unavyo dance Aaaaah aaa Aaah 
Waoneshe unavyo dance.
a

No comments:

Post a Comment