Thursday, 23 November 2017
HAUNA LYRICS BY ASLAY
Ilikuwa inakuumanga ukiniona naye
Ilikuwa inakuchomanga mwanaume wewe
Ulitamani wewe ndo uwange mie
Ndo maana nilivyomuacha ukaaamua umuoe
We hauna, we hauna, hauna moyo kabisa
Hauna, we hauna, we hauna ulomagiki hata
kulika hauna wewe
Alivyopika chakula ulikuwa wakaa jikoni
sikujua ni kwanini nilijui ushemeji tu
Kumbe kule mlikuwa mnayapanga ya kwenu ninyi
mpaka umemteka umekuwa gaidi juu
Nimekubali nimekubali nimekubali
nitamwita shemeji ooh
Nimekubali nimekubali nimekubali
nitamwita shemeji
Aah shemeji eeh shemeji shemeji eeh
Kiroho upande shemeji, eeh shemeji shemeji eeh
Kishingo upande
mara ooh tunaendana unaomba tusije kuachana
Eti unatupendanga sana kumbe ulinichora
kumbe nyuki mwenye laana
Kuniacha manundu ya mchana
Nilivyo beep ukupiga tu mapema
Ukasema na sinyora
Ooh mama sihara umemvisha na shera
Wee mwana no mbaya, oh nimbaya
Sijui ulimpa dawa au ndio hela
Ila yote sawa, me nasema inshala Mungu atalipa
Alivyopika chakula ulikuwa wakaa jikoni
sikujua ni kwanini nilijui ushemeji tu
Kumbe kule mlikuwa mnayapanga ya kwenu ninyi
mpaka ukamteka umekuwa gaidi juu
Nimekubali nimekubali nimekubali
nitamwita shemeji
Nimekubali nimekubali nimekubali
nitamwita shemeji
Aah shemeji eeh shemeji shemeji eeh
Kiroo upande shemeji, eeh shemeji shemeji eeh
Kishingo upande
Nimekubali nimekubali nimekubali yeyeyeee
Nimekubali nimekubali aaoah a
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Verse 1 Pombe ni kichwa kinauma, kishalewa, anajipoza na maji Na mimi hata muda sina, nishamkanya, ninasikiza mamelody Nis...
-
[Chorus] Watu walishachonga sana Eti Vailet simpati tena Na kuongea uzushi bwana Kwa kuona mambo yetu yananyooka Hata kiss, hug si...
No comments:
Post a Comment