Wednesday 18 April 2018

BORA NIFE LYRICS BY ASLAY FT BAHATI


Mwili umejaa vidonda donda ,Kisa kupenda aah
Naitwa bwege, naishi kwa kuonga onga
sabuni chooni namaliza mimi
kwa nini jamani
kama mwajuma
 nilimpa simu, cha ajabu kanipora
salima
 hataki mapenzi, anataka pochi
magugu avelina
baada ya kumpa gari, eti hanitaki
nguvu sina eeh woololoh aih
bora nife,
huenda nitakumbuka pengine mmh
bora nife,
huenda nitakumbuka pengine ai
kwani nasubiri nini duniani, nasubiri nini
kwani nasubiri nini duniani, nasubiri nini aaih
BAHATI
Ai niliempendaga mwenzagu, Akaumiza roho yangu tu
Kaniwazisha niwe padre, Nihudumie kanisani
Aah aaah
Nikaongopaga mapenzi tu
Tena usiwe unasumbuka, Kutoa uhai
ASLAY Ya nini
BAHATI
Usije mlaumu aliyekuacha zamani
ASLAY Zamani
BAHATI
Ukikata na roho, Utajibu nini
Siku ya kihama, Kama dayana
ASLAY
Nilimpa simu cha ajabu Kanipora
Penina hataki mapenzi, Anataka pochi
Mamaivana baada ya kumpa gari Eti hanitaki
Nguvu sina eeh woololoh ai
Bora nife,Bora nife
Huenda nitakumbuka pengine, Labda nitakumbuka ai
Bora nife,Bora nife
Huenda nitakumbuka pengine, Labda nitakumbuka ai

Usiseme usiseme
 nasubiri nini duniani, Nasubiri nini duniani
usiseme
 nasubiri nini duniani, Nasubiri nini duniani
Japo ujaniwishigi Kwenye birthday yangu
Ila usikose mazishi, Kwenye msiba wangu ooh
Japo ujaniwishigi, Kwenye birthday yangu

Ila usikose mazishi, Kwenye msiba wangu ooh
a

No comments:

Post a Comment