JIGI JIGI LYRICS BY WILLY PAUL
Mueke mungu ndani ya ndoa, na mapepo atazitoa
Mueke mungu ndani ya ndoa na mapepo atazitoa
As we all know ooh
Love is a beautiful thing
As we all know oooh Pozeeeh
Sina mengi, ila naweza sema
Asanti kwa mwenyezi mungu aaah
Namuomba sana, kwenye ndoa atupe nguvu eeh
Najua unatamani mpenzi
Ndoa kama ya DJ Moh
Lakini usijali mpenzi
Mungu atatupa more
Najua kuna milima na kuna mabonde
Tutaponda wotee
I gonna be the best man ouwooh
I gonna show you love my woman ouwooh
Coz baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Coz baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Baby utakula nini, jigi jigi
Ugali na samaki thigi thigi
Sina hela ya Lamborghini jigi jigi
Lakini nitakutreat kama queen
After job usipande mat
Nitakuja mum, kukuchukua mamaa
Tutembee Nairobi
Tukule tumahindi chomaa
Tutembee Nairobi
Tuoje murenda mamaa
Tuombe mungu Baba
Ndani ya ndoa atupe raha (atupe raha)
I gonna be the best man ouwooh
I gonna show you love my woman ouwooh
Coz baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Coz baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
For a long time, walinicheka
Uliposema Yes I do
Maboy wa mtaa walinicheka (aaah)
I gonna be the best man ouwooh
I gonna show you love my woman ouwooh
Coz baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Coz baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Baby you are jigi jigi
Unanipa thigi thigi
Yeah, Aiih, baby.
No comments:
Post a Comment