Missi lyrics by willy paul
Oooh msela nimefika mwisho ooo
Nimefika mwisho
Oooh msela nimefika mwisho ooo
Wa dunia uniokoe
Mimi Jalali nimekumisi sana aaa
kukupenda ndio nataka kufanya aaa
Mimi Mwenyezi nimekumisi sana aaa
prodigal son aaa
Oh my daddi nimekumisi sana
kukupenda ndio nataka kufanya
Oh my daddi nimekumisi sana aaa
prodigal son aaaaaa
Ningekuwa thabiti ungecheza na masomo
Huku na kule ningekufuata wewe eee
mwokozi weee ee
VERSE 2
Ungekuwa mtoto ningekutoa nepi
Kila siku kubadili pumpus
na vijipumpu aaas
Ningekuwa jambazi
Ungenitenda aaa singalikublame *2
Kama msamaha ungekuwa ni bidhaa aa
kina willy tungekosa raha aa
aaah ulinipenda mimi
nilikosea ukanipenda, ukanikosoa ukaniita mwana
sasa mimi, sasa mimi nimekuwa wako oooooo
Tena!
Mimi Jalali nimekumisi sana aaa
kukupenda ndio nataka kufanya aaa
Mimi Mwenyezi nimekumisi sana aaa
prodigal son aaa
Oh my daddi nimekumisi sana
kukupenda ndio nataka kufanya
Oh my daddi, nimekumisi sana aaa
prodigal son aaa
VERSE 3
Oh kila mara nimetokwa na machozi
Ukunipangusa machozi, ukaniondolea huzuni ii
(sema tena)
Oh kila mara nimetokwa na machozi
Ukanipangusa machozi, ukaniondolea huzuni ii
Waaai lalala lalala lalala laaa aa
Huzuni ukaniondolea mimi, nikakusahau mimi
lakini bado ukanirejelea
prodigal son aaa
Hivi sasa nimeshatambua, upendo wako
ni ule wakudumu
ningewapatuma wala wakunila
CHORUS
Mimi Jalali nimekumisi sana aaa
kukupenda ndio nataka kufanya aaa
Mimi mwenyezi nimekumisi sana aaa
prodigal son aaa
Oh my daddi nimekumisi sana
kukupenda ndio nataka kufanya
Oh my daddi nimekumisi sana aaa
prodigal son aaaaaa
Nanana nanana nanana aa
Bababa bababa bababa aa rr a
prodigal son aaa
CHORUS
Mimi Jalali nimekumisi sana aaa
kukupenda ndio nataka kufanya aaa
Mimi Mwenyezi nimekumisi sana aaa
prodigal son aaa
Oh my daddi nimekumisi sana
kukupenda ndio nataka kufanya
Oh my daddi nimekumisi sana aaa prodigal son aaaaaa
No comments:
Post a Comment