Saturday 1 April 2017

YULE MBAYA LYRICS BY OTILE BROWN




  LOVE IS LIKE A DRUG 
you get addicted to it 
you want it and need it 
no matter how much it could hurt us we still want more 
it gives us this undescribable feeling, too much that it can kill you

Audio: Ihaji

Video: International Textures

LYRICS

{Verse One}
Moyo Wangu Aliumiza Vibaya
Nanusurika kua Hai , Nanusurika kua Hai
Na Kidonda Ndugu Alionipa Kina
Maliza Tu Dawa Katu Hakiponi
Ooh Akiponi!!
 Ila Kumuacha Ndio Siwezi
Moyo Umemchagua Yeye japo Najua
Hanipendi
Kua Naye Sitaki , Ila sina budi
Moyo Unamuitaji
(Nampenda Anajua ndio Mana Anajisheua
Moyo Una kina Kirefu
Kilichonieka Kwake ndo sijaelewa×2)
[Pre-Chorus]
(Aaghaaghaagh
Haya  Mapenzi Hayana Macho
Aaghaaghaagh
Masikini Moyo Wangu kapenda Mahala sipo x2)
[Chorus]
 ( Yule mbaya
Ndo nimpendaye
Yule mbaya
Ndio nimtakaye
Yule mbaya
ndio nimpendaye

Nafsi Mtumwa wa Moyo x2)
{Verse Two}
Kweli Nafsi Mtumwa wa Moyo
Niliishia kumkumbatia nilipomfunia
wazi wazi na jamaa
Aliporudi nikampokea
ila akanizuga tena na tena
Mdomoni mchungu ila nimeshindwa kumtema
 (Sipougenini ila ni kweusi Anachothamini Fulusi
tatizo mimi mfupi
vyangu vyaliwa kichwani x2 )
[Pre-Chorus]
(Aaghaaghaagh
Haya  Mapenzi Hayana Macho
Aaghaaghaagh
Masikini Moyo Wangu kapenda Mahala sipo x2) 
[Chorus]
( Yule mbaya
Ndo nimpendaye
Yule mbaya
Ndio nimtakaye
Yule mbaya
ndio nimpendaye
Nafsi Mtumwa wa Moyo x2)

No comments:

Post a Comment