Sunday, 12 May 2019

Mmmh Lyrics by Rayvanny ft Willy Paul

Vanny boy
willy Poizee
Teddy B

Siku kuu kukupata we mdolly
kwa ajili yangu Mungu amekushusha
kitunguu we ndo ladha ya mtoli
kama nyama nyama kwenye sambusa

kichuguuni mi mzigo na toroli
hadi nguo inataka pasuka
msupuu mwenye macho ya gololi
rangi kama unaoga mafuta

ooh my(ooh my), I don’t lie
girl know you changed my life
in your eyes, I don’t lie
girl you know you changed my life

we ndo raha,dunia mbaya
sikia my dear, usije nikimbia
tulia, nile niwe na wewe

mmmh mmmh mmmh (sisemi)
mmmh mmmh mmmh (nabaki naguna guna)
mmmh mmmh mmmh (mama sihemi)
mmmh mmmh mmmh (nabaki najimumunya)

Monday, 11 February 2019

KAMASUTRA LYRICS BY SAUTI SOL FT VANESSA MDEE

Oooh..
Leo kama Kamasutra mama
(kamasutra)
Kama kama Kamasutra mama
(Yeah yeah yeah yeah)
Kama kama Kamasutra baba
(Kamasutra)

Ntakupa kazi upande mlima baby yeah
Na siri zangu zote ntatoboa yeah....
So many things I want to do to you my baby yeah
Na siri zako mi sitatoboa

Huh
Selector, I got something to make you better
Light the fire me napepeta
Light the fire me napepeta
Selector I got something to make you better
Light the fire me napepeta
Light the fire me napepeta

Leo kama kamasutra mama....
(kamasutra)
Kama kama kamasutra beiby
(Yeah yeah yeah yeah)
Kama kama kamasutra baba eeh
(kamasutra)

Chalk wa Nairobi
Manzi wa kipare
Leo ni mahaba nakupatia

Ushawasha nare
Hanjam kare
Leo michuano kiroja mila

Na si malimali(aah)
Hii vibe kali(aah)
Cash madame nakubalika

Mboga juu ya meza
Teleza ki murenda
Washa wood-i na kadhalika

Ooh Venessa
I got something to you wetter
Baby let me kiss better
Light the fire mi napepeta

Selector I got something to make you rise up
Lemmi back it up on you
Light the fire me napepeta

Leo kama kamasutra(kamasutra)
Kamasutra(kamasutra)
Kama kama kamasutra(kamasutra)
Kamasutra(kamasutra)

Mapenzi ya kihuni yanimaliza
Kiuno kama nyingu baby punguza
Nishakubali wanafunzi
Wewe professor wa kamasutra

Mapenzi ya kihuni nimepachika(pachika)
Kiuno kama Nicky beiby tulia(tulia)
Kubali wanafunzi Mimi ni professor(professor)
(Kamasutra)

Mizani kama mimi naondoka nawee
Napiga mahesabu naondoka nawee
Na Mimi nimekubali
Kuondoka na wewe,nawewe
(Kamasutra)

Mizani kama mimi naondoka nawee
Napiga mahesabu naondoka nawee
Na mimi nimekubali kuondoka nawee
Na wewe,baba nielewe

Leo kama kamasutra (kamasutra)
Kamasutra(kamasutra)
Na kama kama kamasutra(
Kamasutra aah aah...)
KAMASUTRA a

Sunday, 23 December 2018

SAMANTHA LYRICS BY OTILE BROWN



Teddy B..
Mmmh.. mhhh..
Rangi ya mtome ndo bei
Rangi ya mtome ndo bei
Ngozi yake laini, hmmhhh



Kiuno chake cha kipekee

Kiuno chake cha kipekee
Yaani figa nane kamili
Hmmhhh



Tena magari yanabishana kwao

Usiku na mchana
Washika dau na wasanifu oooho
Mimi namlaumu mama, yako
Ulo ridhi matatizo
Uzuri wako swaserii
Ooooh hmmmhh



Samantha, Samantha

Samantha oooh baby
Baby you are my Samantha
Samantha, Samantha
Uzuri wako timilifu
Samantha oooh beiby



Hey nilipokuona

Nilijua wewe ndo wangu
Wala macho yangu hayakunidanganya, hmmh
Sasa nisipokuona kama ninakosa kanisa
Naogopa utanipora



Samahani kama

Nakuhukumu vibaya
My beiby, ni kwa sababu nakupenda
Na najua unanipenda
Tatizo wivu ninao
Mmmh beiby, basi tusonge lala



Hakika ulivyojaza hilo tattoo

Mimi macho kondo
Utuapo madem hawakai
Basi nipige game hadi ufurahi
Wewe kiboko
Mwalimu wako fundi hatari



Samantha, Samantha

Samantha oooh baby
Baby you are my Samantha
Samantha, Samantha



Uzuri wako timilifu

Samantha oooh beiby
Samantha, Samantha
Samantha oooh baby
Baby you are my Samantha
Samantha, Samantha



Uzuri wako timilifu

Samantha oooh beiby
Badman girl show me badman thing
Badman girl show me badman thing
Badman girl do the badman thing
Badman girl do the badman thing
Badman girl show me badman thing

Sunday, 16 December 2018

NATIRIRIKA LYRICS BY ASLAY



Iye Lalalalala..
Lololololo..
Mmmmmhhh...

Sina nguvu ya kuleta matala
Mi kwako fala, Sijiwezi hata kidogo
We nipige hata kwenye hadhara
Mi bado fala,
Sikuachi hata kidogo

Nimesimama nakupenda peke yako
Nilikula ujana Ila kwako nimefunga kwato
Kamwambie na mama Kwamba mimi ndo mpenzi wako 
Waharibu ndugu lawama Penzi letu kuligusa mwiko

Natiririka(iyeee)
Natiririka mama natiririka
Uzani umezidi wa wa kilo(kilooo)
Natiririka, Natiririka mama natiririka
Maji ya shingo yamenifika Natiririka
Natiririka  mama natiririka Yamenifika(oooh)
Natiririka, Natiririka  mama natiririka
Ananipa nacho taka

ndo maaana Simba nimekuwa farasi mnyonge
Bouncer anaepelekwa puta na mende
Yuko wapi mganga wako niende
Nataka nimpeke zawadi kilinge atulie

Na nilikuwa mkata
Ila kwako kidomodomo
Nimekataa nimekataa
Na nilikuwa matata
Ila kwako mtoto
Natamba natamba

Nimesimama nakupenda peke yako
Nilikula ujana
Ila kwako nimefunga kwato
Kamwambie na mama
Kwamba mimi ndo mpenzi wako
Waharibu ndugu lawama
Penzi letu kuligusa mwiko

Natiririka(iyeee)
Natiririka mama natiririka
Uzani umezidi wa wa kilo(kilooo)
Natiririka, Natiririka mama natiririka
Maji ya shingo yamenifika
Natiririka, Natiririka  mama natiririka
Yamenifika(oooh) Natiririka
Natiririka  mama natiririka
Ananipa nacho taka ndo maaana

Natiririka, natiririka Mama
natiririka Mzani umezidiwa kilo kilo
Natiririka, natiririka  mama natiririka
Maji ya shingo yamenifika natiririka
Natiririka, natiririka  mama natiririka
Ananipa nacho taka ndo maaana
Punguza dozi utakuja niua
mwana wa mwenzio
Unanipeleka mperampera

Saturday, 15 December 2018

IOKOTE LYRICS BY MAUA SAMA X HANSTONE



Maua Sama:

Hey... Hey .. ooooh...
Oh Baby niruhusu tufanane
Huku nikiamini one day utanioa
baby nikikuona nabanwa na haja
Baby nakuwanga kitoto ng'aa ng'aa
Tell me, nikipi chakupa mawazo
Oh baby wakati nakutunuku Mia Mia

Maua x Hanstone
Bridge:
Kwa kichomi nikande
Kwa Moto baridi zigande
Kama ruba nigande tuwe wote
Ah come baby come bae
Msumari kwa nyundo nigongee
Oh Monday to Sunday I love you...

Chorus:
Basi iokote
Sio kwa bedi, kwa kochi, kitanda naichumia
Iokote
Nikiona kwa juu chini naizamia
iokote
Sungura Nipe karoti maharage sijazoea
Iokote
Nakunja goti napandisha Mori nachechemea
Oh yeah baby baby....

Hanstone:
Ukitoka kuoga nitengee ya Moto Moto
Tingamo ka kitengee tutoke mtoko
Ahh boda kwa boda tutembee chocho kwa chocho
Tena nikichoka nibebee mie kwako mtoto
Rafudhi ya Pemba rangi rangi ahee
Nywele ya kihindi chambi chambi naree
Cheza rafu Kona Bambi mpoko mpokovu

Maua Sama:
Refa katupa penalti aah aaheeeh
Mpira ushawekwa kati aah aaheeh
Nahitaji magoli kwa chenga zako
Piga shuti nikudakie

Bridge:
Kwa kichomi nikande
Kwa Moto baridi zigande
Kama ruba nkugande tuwe wote
Oh come baby come bae
Msumari kwa nyundo nkugongee
Oh Monday to Sunday I love you ..

Chorus:
Basi iokote
Sio kwa bedi, kwa kochi, kitanda naichumia
Iokote
Nikiona kwa juu chini naizamia
iokote
Sungura Nipe karoti maharage sijazoea
Iokote
Nakunja goti napandisha Mori nachechemea
Oh yeah baby baby a

ALKAIDA LYRICS BY WILLY PAUL



Willy pozee Alkaida,
 nimelipuka kama bomb Alkaida,
 samahani nikikuboo Alkaida, 
nitakupiga ukonde boy Alkaida (pozeee) 

Alkaida, 
nanukia ka cologne 
Nivute kama ndom 
Mi ni yule king of flow** 
call me commando 
Kazi ni kuimba tu na kumake doh

Tena ananikalia kuna na aibu 
Anaogopa sana asipate aibu 
Naomba hii imfikie hadi chibu
Na wote wajue kuna jitu 

Kuna watu wenye roho mbaya
Hawapendi ona ukipenya 
But nabisha kila door 
Ata waninyonge koo 
Mimi ndo  the king of flow 
And they know

Kwenye mitandao nipo tu kila sehemu
Vijijini na mataoni (aah kila sehem)
Radio, TV,  niko pia kwenye system
Ngangari kama root na stem 

Alkaida, nimelipuka kama bomb
Alkaida, samahani nikikuboo 
Alkaida, nitakupiga ukonde boy


Alkaida Alkaida, najiamini ndumeAlkaida (pozee)
 Alkaida na kama ww ni ndume Alkaida(jibu) 

Kama kuna ndume naomba nijibu 
Usifanye tabia za kiaibu 
Huyu ni willy poze mr ibubu 
Just incase ulijisahaulisha 

Unajaribu kufunga njia zangu za afrika (Afrika ya mama) 
Unasahau wewe sio sio mungu baba (sio mungu baba) 

Umekwama plan a Niko plan b 
Mungu amefungua njia ata na cardi b 
Kuna rihananana (my rihananana eeh pia) 

Alkaida, nimelipuka kama bomb 
Alkaida, samahani nikikuboo 
Alkaida, nitakupiga ukonde boy 
Alkaida 

Alkaida, nimelipuka kama bomb 
Alkaida, samahani nikikuboo 
Alkaida, nitakupiga ukonde boy 
Alkaida Alkaida, najiamini ndume 
Alkaida(pozee) 
Alkaida na kama ww ni ndume 
Alkaida (jibu) a

PARANAWE LYRICS BY HARMONIZE X RAYVANNY


(yawe ya)
Ayo lizer

kwenye darkness
kwenye Candle
professional wa ku handle
the way you take me to the angle
wewe ni human being ama angel

if you want my heart oooh
I give you baby carry go
kidogo changu ndo chako
Ongeza njonjo madoido

(aah eeeeeh!)
my sheri koko
Kwa baridi nipe joto
(aah eeeeeh!)
kisha tupate kimoko
babu,bibi, kura doto
(aah eeeeeh!)

my sheri koko
Kwa baridi nipe joto
(aah eeeeeh!)
kisha tupate kimoko
babu,bibi, kura doto
(aah eeeeeh!)

(paranawe paranawe)
I want to see you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
(paranawe paranawe)

(Vanny Boy)
hivi unasokota jicho lako
legelege lina dondoka
(nakuuulizaa…)
hivi una ka motor
panga boy
chenga jay jay
ooh kocha
(wanimaliza…)

pretty gal, nasty
nitasema sorry nikimbeza
ata kama nyuma umetegwa pasi
sura mbaya dawa yake makeup

uweke wembe nitakula kiporo
nimeshapenda sijui kasoro
jirembe uwe mwororo
kama huna shepu vaa kigodoro

if you want my heart oooh
I give you baby carry go
kidogo changu ndo chako
Ongeza njonjo madoido(oooh)
(aah eeeeeh!)

my sheri koko
Kwa baridi nipe joto
(aah eeeeeh!)
ndo uitwange kokoto
pekupeku kama mpoto

(paranawe paranawe)
I want to see you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
paranawe(noga) paranawe(noga)
I like the way you dancing
paranawe(noga) paranawe

Anaeka sweeti
katamu mi nakajuwa uwa
na kanavyo jishaua uwa
ulimi picky
sinapo na vimaua ua
midomo denda ngozi muruwa uwa

awusha ashawa
pauka pakawa
inuka pagawa (eeeeee….)
zinduka mandawa
pinduka kagawa
karuka mabawa
I want to see you dancing
(paranawe paranawe)
I want to see you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
paranawe(noga) paranawe(noga)

Woiyooo Woiyoyo
Woiyooo Woiyoyo
Shake what your mama gave you
cheki wanaona wivu


a

KADOGO LYRICS BY ALIKIBA



Aaaaah
ivo ivo yoyooh
eeeeeeeh

kadogo kanapenda keroro keroro keroro
kadogo kanapenda keroro
kembamba kadogodogo kanapenda keroro

nikamuuliza anatoka 254
mombasa kwa wajanja janja
ananikosha rohoo

she must be there, be there
wow woooh kadogo dogo

unawakata machat
unawakata mafans
unanikulia papo sio
unawakata mapost,
unawakata mapost
unanikulia papo sio

unawakata machat
unawakata mafans
unanikulia papo sio
unawakata mapost,
unawakata mapost
unanikulia papo sio

kadogo kanapenda keroro keroro keroro
kadogo kanapenda keroro
kembamba kadogodogo kanapenda keroro ooh

akaja mbogo aah
akaja akaja mbogo keroro
akindrink anayumbayumba keroro
naskia ni love sio kidogo
anaweza alaf anakosha

na vile vilee eeeh
anavyo anansongaa anankosha
she must be there, be there
wow woooh kadogo dogo

unawakata machat
unawakata mafans
unanikulia papo sio
unawakata mapost,
unawakata mapost
unanikulia papo sio yeh baba

kadogo kanapenda keroro keroro keroro
kadogo kanapenda keroro
kembamba kadogodogo kanapenda keroro ooh

yeah kadogo dogo kananimalizaaa
kananikoshaaa roho 
kadogo kadogo dogo
kananimalizaaa nikoshaa rohoo
roho yangu weeeh


a

Saturday, 17 November 2018

FREE LYRICS BY NYASHINSKI



Yeah sawasawa
Nisaidie tu
Tuko works kama kawa chill chill
K the great

Can I be free relax and take easy
We only live one life
So live your life ooh ooh
For yah you know am right yeah

Welcome to better ideas yeah
Gal don't just fantasize yeah
Light up and free your mind yeah

Ata ka unipendi
Unajua ni nani beast apa
Na level za udeadly
Hukua unajua zinaexist ata
Nakuombea daily
Ufike mahali una aim

Before nirudi nijenge na v8 baba
Before they play
me nionyeshe mahali snakes
(Mahali snakes wako)
Surgery hutoana my mistakes
(Inaitwa surgery)
Unaeza acha kucomplain
(Acha kucomplain)
Usiwahi danganya saidieni main

Can I be free relax and take easy
We only live one life
So live your life ooh ooh
For yah you know am right yeah

Welcome to better ideas yeah
Gal don't just fantasize yeah
Light up and free your mind yeah

So dry your tears
daddy don't you worry
Bubu have no fears
Mum said pinga kazi
While am young and strong
I say for you I will be
Strong for a thousand years

Style zangu ni medley
Nyash huwanga mdeadly
Ma rapper wanaona movie
Nyash we hukuanga Jetli
Singa ama ni MC
Zangu zina message
Zao hazina ziko empty
Nyash huwanga mzii (yeah)

Here I go
Geuza flow mwisho wa mwezi
Kuna njeve but atleast kuna doh
Ngoma zote wataandika kunidiss zitabore
Nambie nani amekupea
These many hits in a row row row

Dance for me baby (ooh yeah)
Just dance for me baby (ooh yeah)

Mi ni jina kubwa
Labda tuzungumze na babako
Ngari kubwa umaanishanga
Utaitishwa za macho
Buy mtumba ukihope
Haijabeba hukikulacho

Vibes tu nakupa
Ka unapenda jenga hustle
Lines tu zinakuja
Utasurrender K'mamako
Ni like tu atakama
Nimeweka word mbaya hapo

Hii night ikue true
Hadi kesho ujione kwa mpasho
Hii life huwezi jua so tonight

Can I be free relax and take easy
We only live one life
So live your life ooh ooh
For yah you know am right yeah

Welcome to better ideas yeah
Gal don't just fantasize yeah
Light up and free your mind yeah

Ooh can I be free
(Ooh can I be free)
Relax make easy
(Relax and take easy)
We only get one life
(We only get one life)

So live your life (ooh ooh)
For yah you know am right (yeah)
Welcome to paradise a

Tuesday, 13 November 2018

FINYO LYRICS BY NYASHINSKI



Hodi kwa mama mtoto mkorofi
acha nikwambie ka unataka
Kuona machozi wa mtoto mchokozi.
Itabidi uongeze pili pili kwa Biriani

Otherwise ka sivyo wanachama
Watuliangi aaah tu tuliangi
Na ndukulu ni bangi
Na ina harufu mbaya aaah

Inaudhi majirani
Lakini aidhuru ni sawa aaah
Wacha wahamie mashinani
Ka inawadhuru vibaya
Zinatubastia ka bomb bomb kwa kona

Mimi Nina squad ...
Iko chrome na makonmen na wakora
Wanadiploma zakufunguanisha grogan ma corola

Na bado mnasorora vile amna Talent
Mmegeuza Sodoma na ngomora
Vuta hio trouser juu
Uache kutuonyesha tako
Vuta hio mini chini
Unamhaibisha mama
Ka unatafuta Yule anajua kupika uji
Sio kupiga picha uchi

Unfollow nyako
Follow nyayako ukitaka nyama
Hapa sawa chief hii buchari inaitwa ?
Usiwahi blunder na sisi uwanga ready ka skanga

Bonga shit utatandikwa ka kitambaa bedcover
Ama handkerchief

If your God is money
Then you are poor to me
I have aaah feeling
You are not who you pretend to be on IG

Kutoka nursery have been a winner
Msinieke gasoline na bado mjazima
Moto niliwasha ooh 03
Nakam na finyoo
Macho macho finyoo ooh
Ndivyo tuna Finyoo
Pasito na Finyo
Mwendo tuna
Mwenye tuna
Finyo sanaa aaah

Be ready for the word
As it's ready for you
Waiting your girl
As it's waits for you

Uliskia type yako ka..
Mabachela sijui ka ni true
IG bae ni ule carpenter
I feel ka ni true

Kureason si umang'aa
Ujinga ndio si ukataa
Sacrifice ni kuifanya for
Family sio chapaa aaah
Greatness ni kuamkia legacy
Sio chapaa.
Siwezi kuwa juu ya Thao
Ka kwangu Thao sio chapaa

My apartment is in Amsterdam
Certified rastaman
Aki sometime na hang
I feel like am sadam
I feel like am the best
Me kumake man impress zii
Kufake happiness zii

Mi ni mmerciless am iiih
Na nitawatesa until mkubali kesi
Ka sitaku impress na skill
Ni pamba freshi

Ukidai tuingie commercial still
Nakuwanga messy
Prepare kuingia kwa battle field na mwanajeshi
Hii ndio inaitwa one shot kill
Nafeelingi fiti nikiwamada
Ki action action film
Na believe hii muziki itanibuyia
Mansion still na ...

If your God is money
Then you are poor to me
I have aaah feeling
You are not who you pretend to be on IG

Kutoka nursery have been a winner
Msinieke gasoline na bado mjazima
Moto niliwasha ooh 03
Nakam na finyoo
Macho macho finyoo ooh
Ndivyo tuna Finyoo
Pasito na Finyo
Mwendo tuna
Mwenye tuna
Finyo sanaa aaah

Mwanaume aseme hii shamba siwezi lima
Nakam na plough mbili
Hiyo ingine ni ya finyo pekee (hahaha)

Nikona issue ikiwa juu yangu ka sio kofia
Kwa maissue za vitabu za historia
Jina yangu watoi wako wataisoma pia

Ata ka utadedi ukisema hukuwahi nisikia
Nishakuskia kila year ukilia
Utarun next year si this year
Palianza kulia " walai this year "
Next year nitakuhit niko high juu Niko hai this year
Sitakuwa hai next year juu nitakua high next year

Excuse excuse me
Please sorry Thank you
Mission impossible
Kifo ni ngori job.

Na isikupate ukitry too hard to be perfect
Sometime jipe ruhusa tu kuwa ratchet
Smile is bado ujapita budget
Na ka umepita ficha shida chini ya carpet

Inapiga inapiga eeh kushinda earthquake
Inapiga inapiga eeh kushinda earthquake
Watu na race nao wameshindwa kushusha landbrake
Uhunye na Rao wamepiga handshake a

Sunday, 11 November 2018

MWANZA LYRICS BY RAYVANNY FT DIAMOMD PLATNUMZ



Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi

Oyah wind your waist
Njoo nikupatie Comando
Nikupe cha mkwesi
Nikupe cha mkwesi
Kwa miuno ya Taikwondo

Asa chekele mwendo wa kandanda
Ndani ya nakwanda sa nisongee
Leta msambwanda nikazie
Ngangangaaa chiiii

Kana nivuta gheto
Nikapinge bunduki
High bunduki
Ile naogopa centre
Michezo ya amber rutti amber rutti

Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi
Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi

Yaani kama mjaluo shape ya mombasa
Hapendagi mpasuo
Hata akishinda basata

Tepe tape mtoto kama supu
Teke teke kongoro
Kwa mateke mwite fally pupa
Wa temeke

Dombolo shaku shaku ya masai
Ooh masai kama kama nachuma papai
Ooh papai

Funika funua twendelee
Bandika bandua twendeee
Anika anua twendee
Kanipa chukua twendee

Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi
Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Mmmh nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi

Ooh sa iweke
Aah iweke iweke aaah iwekeee
Ipitishe kwa chini
Aah iweke iweke aaah iwekeee
Miendo ya kazi kazini

Aah iweke iweke aaah iwekeee
Hii Ile ndindindii
Aaah iweke iweke aaah iwekeee
Ngoja shake it ivoo

Aaah iweke iweke aah iwekee
Twende shaku kidogo
Aaah iweke iweke aah iwekee
Chuma magimbimbi

Aah iweke iweke aaah iwekeee
a