Monday 11 February 2019

KAMASUTRA LYRICS BY SAUTI SOL FT VANESSA MDEE

Oooh..
Leo kama Kamasutra mama
(kamasutra)
Kama kama Kamasutra mama
(Yeah yeah yeah yeah)
Kama kama Kamasutra baba
(Kamasutra)

Ntakupa kazi upande mlima baby yeah
Na siri zangu zote ntatoboa yeah....
So many things I want to do to you my baby yeah
Na siri zako mi sitatoboa

Huh
Selector, I got something to make you better
Light the fire me napepeta
Light the fire me napepeta
Selector I got something to make you better
Light the fire me napepeta
Light the fire me napepeta

Leo kama kamasutra mama....
(kamasutra)
Kama kama kamasutra beiby
(Yeah yeah yeah yeah)
Kama kama kamasutra baba eeh
(kamasutra)

Chalk wa Nairobi
Manzi wa kipare
Leo ni mahaba nakupatia

Ushawasha nare
Hanjam kare
Leo michuano kiroja mila

Na si malimali(aah)
Hii vibe kali(aah)
Cash madame nakubalika

Mboga juu ya meza
Teleza ki murenda
Washa wood-i na kadhalika

Ooh Venessa
I got something to you wetter
Baby let me kiss better
Light the fire mi napepeta

Selector I got something to make you rise up
Lemmi back it up on you
Light the fire me napepeta

Leo kama kamasutra(kamasutra)
Kamasutra(kamasutra)
Kama kama kamasutra(kamasutra)
Kamasutra(kamasutra)

Mapenzi ya kihuni yanimaliza
Kiuno kama nyingu baby punguza
Nishakubali wanafunzi
Wewe professor wa kamasutra

Mapenzi ya kihuni nimepachika(pachika)
Kiuno kama Nicky beiby tulia(tulia)
Kubali wanafunzi Mimi ni professor(professor)
(Kamasutra)

Mizani kama mimi naondoka nawee
Napiga mahesabu naondoka nawee
Na Mimi nimekubali
Kuondoka na wewe,nawewe
(Kamasutra)

Mizani kama mimi naondoka nawee
Napiga mahesabu naondoka nawee
Na mimi nimekubali kuondoka nawee
Na wewe,baba nielewe

Leo kama kamasutra (kamasutra)
Kamasutra(kamasutra)
Na kama kama kamasutra(
Kamasutra aah aah...)
KAMASUTRA a

No comments:

Post a Comment