Thursday, 14 July 2016

NITAKUPWELEPWETA LYRICS BY YAMOTO BAND

                                                   (ASLAY)
Unajifanya bingwa wa kupenda (Dada ee)
kumbe bigwa wa kutenda kuliko kupenda  (Dada ee)
Tena unasifa ya kuogopwa kama difenda  (Dada ee)
Umeua wengi ila kwangu umedunda
ahh koma eeh sitaki nizikwe na kilo mbili kwenye mfuko
mama ee sitaki familia ilie kwa sababu yako
Dada ee ananitegemea mama ee (Aee)
nikifa atalia sana ee (aa)
katika familia na mimi ni Baba japo Baba yupo
nikija kufa ufa nami ataziba ebu kwenda zako
Ananitengemea mama eeh aaeee
nikifa atalia sana Ee
 (ENOCK)
Kuku wa kizungu mchinjaji ana tabu X2
Ebu niache (Eeh) Ebu niache unapita na dumu ya petroli ebu niache X2
una rambo mimi nina Mua mi ujinga ujinga tu Eee ujaniua X2

                           CHORUS
Unakichaa mimi nakuita wewe mwendawazimu
Nimepata habari mwili wako umeujaza sumu
Unang'ang'ana unataka mimi kunipa utamu
Umekosa sengeru ngoma ya kucheza huna nenda kaicheze
segere segere mama, segere segere ooh
segere segere mama (weeh mwali nenda kaicheze)X2
(maromboso mama mama mama mamaaa)

 Eti umetuma mashoga wake waje kuniambia
Roho inamuuma kiddudu penzi kinasumbua
siri imevuma mimenyula wengi wanajipakua
Hana huruma kajitoa wapi aje kuniua
ilikua siasa nikatoa nikagawanya
nikajua anandanganywa weeh mmbaya weeh
nusu ndegu nusu dona wengi wao unawadanganya
mama chidi weeh kitanda huna haya weeh
BRIDGE
Mimi sio saizi yako nitakupwelepweta bure
Tafuta taipu yako wa ilala, mimi wa kilungule X2

 (BEKA)
 Unataka kunipeperusha weeh kimbuga uniwezi ng'o
kina chako cha maji marefu kuongelea sikiwezi ng'o
unashinda kuwinda vyenye kungaa vya masizi uvitaki noo
unang'ang'ana kama ruba kwenye mwili wangu weeh nenda zako yeeh
na ushindwe ushindwe uniache mimi mwana wa mwenzio
kwetu ndio jembe jembe ukivunja mpini ni kilio X2

CHORUS
BRIDGE
Mimi sio saizi yako nitakupwelepweta bure
Tafuta taipu yako wa ilala mimi wa kilungule X2

ASLAY
Ana chuma cha moto huyoo
anauguza watoto huyoo
Apewe mkong'oto huyoo
ili ifike mwisho huyoo
tabia yake,tabia yake, tabia yake ASANTE.

No comments:

Post a Comment