Thursday, 14 July 2016

MAMA LYRICS BY YAMOTO BAND FT ZENNA


Tuna mba mba mba na pwani yetu X2



Zena yamoto band twafanaya yetu eh X2


                  (ASLAY)

Umenifunza mbaya na nzuri kipi mi sijasikiaga
Ukanipaga na ushauri uweze kunisaidiaga
Zile teteme teteme hutaki kuzisikiaga
Nipambane niweze kukusaidia mama
Ai Yaliyonikuta we , naona gondo oh naona ngoma leo
 kama dunia sio mbaya mama
(naiona gondo)x2

ai mtoto toto me kwako mtoto,
husitishwe na * yamenishinda nimekuja kwako
mama oh mama eh x2


mwanao nimekuwa ih ,najionea
mama oh  ,mama eh , yale ya dunia eh ,ulioniambia eh

umenifunza kuna kovu na adui , kuna masika na furi,
* pia simba na chui , eh mama ,muda mwingine najisaidia,
hauchoki kufua,mama eh mama eh,
muda mwingine nakusifia haukunichukia,
lipi nikufanyie sikioni leo mimi,lipi nikutendee sijaliona mama
ninavyokupenda mama anayejua ni mungux2

 ninavyokupenda mwanangu anayejua ni mungu,
ninavyokupenda mwanangu ,akulinde mwanangu,

usiku ukifika ulikuwa *ukiforce mapema me nilale
hutaki nikeshe wakati kesho inabidi niende shule,

usiku ukifika ulikuwa *ukiforce mwanao  me nilale
hutaki nikeshe wakati kesho inabidi niende shule,
mama uligombana na majirani,sababu  mimi kunitetea
na kama kosa nafanya mimi ,cha kukulipa mimi sioni,

hapa duniani ,nakuombea mimi uishi miaka mingi we mami
najivunia uwepo wako kwenye dunia
nakuombea  miaka uishi nisije potea njia

No comments:

Post a Comment