Tuesday 14 August 2018

SIKUPENDI LYRICS BY RAYVANNY




Sikupendi… (hmmmm) 
Sikupendi… (aaaahh) 
Sikupendi… (eeeehh) 
Sikupendi (Max Maixer) 
Sikupendi 

Kichwa wanipasua 
Unanichapa fimbo 
Moyoni napata tabu 
Unajishaua unamalingo 
Kama una sura ya Dhahabu 
Ni miaka sasa nakufata 
Ndala zangu zote umekata 
Kutoka tegeta hadi tabata 
Mpaka visigino vimechacha 

Mara nasikia kuna bakari kinyozi 
Ulishampa Hadi kaka yake Rose
Kwani we ni pilipili unitoe machozi 
Nikikufata waniletea mapozi 
Mapenzi uvumilivu  unajua 
Ila kwako nimeshidwa 
Upendo sasa majivu umeungua 
Basi mama we ndo Bima

 [HOOK] 
Oooh mamy looh (Sikupendi) 
Utanitoa roho (Sikupendi) 
Kila siku jibu lako no (Sikupendi) 
Sikutamani ng’o (Sikupendi )
Naonyesha dhahili (Sikupendi) 
Sikutamani tena (Sikupendi) 
Nimeghaili (Sikupendi) 
Na kwen siji tena (Sikupendi) 

Hadi nahisi gundu mzee mwenzenu
Kila mambo nikiset 
Nimegeuka mlinzi nyumbani 
kwenu Kila siku kwenye geti 
Nilikufata mpaka kigogo 
Kwenye shughuri yake mama Asha 
Modo Ukanitukana matusi nina shobo 
Pembeni yupo bwana yako Bengo Chogo

Akanitimba migumi kede kede 
Nikawa mjinga tena bwege bwege 
Kama nimetinga pombe bege bege 
Alinishinda nikawa lege lege 

Heee eeeh Nakata tamaa kuwa nawe 
Nikirudisha kumbukumbu 
Nilipo kuona na masawe 
Kwenye guest ya manungu 
Ulifanya nipagawe 
Kwa mawazo na uchungu 
Nilikesha nje oh mama wee 
Nikawa chakula cha mbu   
Mapenzi uvumilivu  
unajua Ila kwako nimeshidwa 
Upendo sasa majivu umeungua 
Basi mama we ndo Bima 

[HOOK] 
Oooh mamy looh (Sikupendi) 
Utanitoa roho (Sikupendi) 
Kila siku jibu lako no (Sikupendi) 
Sikutamani ng’o (Sikupendi ) 
Naonyesha dhahili (Sikupendi) 
Sikutamani tena (Sikupendi) 
Nimeghaili (Sikupendi) 
Na kwen siji tena (Sikupendi)
Oooh mamy looh (Sikupendi) 
Utanitoa roho (Sikupendi) 
Kila siku jibu lako no (Sikupendi) 
Sikutamani ng’o (Sikupendi ) 
Naonyesha dhahili (Sikupendi) 
Sikutamani tena (Sikupendi) 
Nimeghaili (Sikupendi) 
Na kwen siji tena (Sikupendi) a

No comments:

Post a Comment