Sunday, 26 August 2018
JIBEBE LYRICS BY WCB WASAFI FT DIAMOND PLATNUMZ $ MBOSSO $ LAVALAVA
Intro:
Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
Verse 1 : Diamon platnumz
i say wee ngoja nijiseti, siwalisusa nakula
fanya wainama kisha rotate, tuwakunjishe na sura
leo shimo limetema nimeshinda beti (shinda beti)
tuwaoneshe sinema wakina fetty
Hook up : Diamond platnumz
asaa joo nijoo (i like it)
when i dance jogodo ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kouno lasotojo (i like it)
baby joo joo joo ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kifupa joghodo ( i like it)
Uno lasotojo ( i like it)
Chorus : Diamond platnumz
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
Verse 2: Lava lava
anhee!!!
nataka kwenye pachu pachu
(pachu pachu)
kitandani mwendo kwachu kwachu
(kwachu kwachu)
nichanganye wauone niwe fyatu fyatu
(fyatu fyatu)
ilipenzi walikumoe washakunaku
(shakunaku)
enh baby sankololo (ennhee)
kerewa (ennhee)
naija soco soco
asa ndombolo (ennhee)
malewa (ennhee)
aya loco loco
mikwako shoti ya takila lewa vimba(vimba)
nikuchekeshe kama gwakila mkudesimba
Hook up : Diamond platnumz
asaa joo nijoo (i like it)
when i dance jogodo (i like it)
anh jinkolo jinkologo ( i like it)
kouno lasotojo (i like it)
baby joo joo joo (i like it)
anh jinkolo jinkologo ( i like it)
kifupa joghodo ( i like it)
Uno lasotojo (i like it)
(Chorus : Diamond platnumz)
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
Verse 3: Mbosso
oh darling
nipe chuzi lachuku chuku ninywe bakuli zima
mshede mtukutu azame kwenye kisima
fatuma wee kishtobe
mwite aisha miugunoee
alivo nyonde nyonde kama gobe
nimshindue na miunoee
twende kopa kabana (nheee)
kupumuana nana (nheee)
kwakugandana ( i like it)
nimufuate banna (nheee)
kwani nananaa (nheee)
tukikanana ( i like it)
Baby papasa kichwa jusi kafiri nisafishe mtaro
naulivo jaza nyuma kilo mbili nyanya za mataro
Hook up : Diamond platnumz
asaa joo nijoo (i like it)
when i dance jogodo ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kouno lasotojo ( i like it)
baby joo joo joo ( i like it)
anh jinkolo jinkologo (i like it)
kifupa joghodo (i like it)
Uno lasotojo (i like it)
Chorus : Diamond platnumz
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee a
Wednesday, 22 August 2018
TUJIANGALIE LYRICS BY SAUTI SOL FT NYASHINSKI
Barua toka Jaramogi na kenyatta,
wanauliza kama kenya kuko sawa
Nikawajibu kenya tukona disaster
Watoto wetu wanazidi kuzikana
Na Tom Mboya ameshika tama
Alituacha kama angali kijana
Je?
Angekua mambo yangekua sawa?
Ndivyo alivyopanga maulana
Deni mlizowacha bado tunalipa (tunalipa)
Na tumekopa zingine China
Tukajenga Reli pia barabara
Zilizobaki watu wakasanya
Tujiangalie tujiangalie
Tuko pabaya Leo kuliko jana
Sikio la kufa halisikii dawa
Tuko kwa Twitter tunajibizana
Tujiangalie
Tujiangalie tujiangalie
Tuko pabaya Leo kuliko jana
Tusipoziba ufa tutatenga ukuta
Tusake zetu tugali vijana
Waumini kwa mathree
Na passie kwa Bimmer
Kushoto fungu la kumi
Sadaka kulia
Ndio maana mbele ya kanisa
Mheshimiwa anakula sacramenti kabla ya raia
Siku za mwisho zimeshawadia
Na revelation inatuambia
Hii generation inachoma picha
Ni generation yetu so
Tujiangalie tujiangalie
Tuko pabaya Leo kuliko jana
Sikio la kufa halisikii dawa
Tuko kwa Twitter tunajibizana
Tujiangalie tujiangalie tujiangalie
Tujiangalie tujiangalie tujiangalie
Tuko pabaya Leo kuliko jana
Tusipoziba ufa tutatenga ukuta
Tusake zetu tugali vijana
Michuki alisema tufungeni mikanda
Ona leo twavuna tulichopanda
Kura zetu zilitugawanya
Makabila na pesa pia tulimanga
So when you make your "bed-oh"
You lie on it ooh
Usingizi ngani tumelala ?
Tutajua hatujui
Vision 2030 itabaki story
tujiangalie tujiangalie
Tuko pabaya Leo kuliko jana
Sikio la kufa halisikii dawa
Tuko kwa Twitter tunajibizana
Tujiangalie tujiangalie tujiangalie
Tujiangalie tujiangalie tujiangalie
Tuko pamoya Leo kuliko jana
Tusipoziba ufa tutatenga ukuta
Tusake zetu tugali vijana
Mdosi aliniambia freedom never comes for free
We vote in tribe ama real cash Ask Boni
Tuna roho mahali hamwezi
Ita gsu plus doggy
World mzima twitter
KOT ndio first body
Burn picha si ni waAfrica
Black koffi Annan
Am richer than my neighbour
But we both live in the slum
If the rich always win
Why should the popular run
Unless democracy ni word si usema only for fun
Tujiangalie tujiangalie
Uuh na hii weekend
Tuko church tunauza sura kabisa
Post ya haga huenda poa
Sana na caption ya scripture
Kaa ndio gospel pitisha bag ya sadaka kwa club
Tujiangalie uuh traffic madrug ubuy ndai
Traffic Mandai zinadrag
Kuadmire mwizi amemek it
Story za shamba wamegrab
Mkono nahoga imevaa bracelet
Ya colours za flag yeah a
Tuesday, 21 August 2018
BABY LOVE LYRICS BY OTILE BROWN
BABY LOVE LYRICS BY OTILE BROWN
Dhamani yako Uzuri wako, Naujua mwenyewe
Sikuach, pengine uniache wewe Raha ili mradi unanipenda
Peke yetu tutaishi kwenye dunia Sikuachi Pengine uniache wewe
We ni jiko Wewe jiko langu mama, Mboni ya macho yangu
Nitakulinda mpenzi wangu, We ni jiko jiko langu mama
Mboni ya macho yangu, Nitakulinda mpenzi wangu
Achana nao (nao)
Achana nao (nao)
Uuuuh Achana nao
Hao wenye roho mbaya wanatusema vibaya
Baby love Wewe wangu mimi wako wa moyo
Oooh baby love Usije niacha kwa fitina Na maneno yao
Baby love wewe wangu mimi wako wa moyo
Oooh baby love Usije niacha kwa fitina Na maneno yao
Huna habari jinsi gani, moyo Wangu unaupendeza
Wewe ndio furaha yangu, wewe ndo wa maini yangu
wewe ni jiko langu mama, Mboni ya macho yangu
Nitakulinda mpenzi wangu, wewe ni jiko jiko langu mama
Mboni ya machoa yangu, Nitakulinda mpenzi wangu
Achana nao (nao)
Achana nao (nao)
Uuuh achana nao
Hao wenye roho mbaya
Wanatusema vibaya
Achana nao (nao)
Achana nao (nao)
Uuuh achana nao
Hao wenye roho mbaya
Wanatusema vibaya
Baby love Wewe wangu Mimi wako wa moyo
Oohh baby love usije niacha Kwa fitina na maneno yao
Baby love Wewe wangu Mimi wako wa moyo
Oh baby love usije niacha Kwafitina na manero yao
Baby love Wewe wangu Mimi wako wa moyo
Oh baby love usije niacha kwa fitina Na manero yao
Baby love wewe wangu mimi wako wa moyo
Oh baby love usije niacha kwa fitina Na manero yao
Jiko langu mama Mboni ya macho yangu Nitalinda mpezi wangu a
Dhamani yako Uzuri wako, Naujua mwenyewe
Sikuach, pengine uniache wewe Raha ili mradi unanipenda
Peke yetu tutaishi kwenye dunia Sikuachi Pengine uniache wewe
We ni jiko Wewe jiko langu mama, Mboni ya macho yangu
Nitakulinda mpenzi wangu, We ni jiko jiko langu mama
Mboni ya macho yangu, Nitakulinda mpenzi wangu
Achana nao (nao)
Achana nao (nao)
Uuuuh Achana nao
Hao wenye roho mbaya wanatusema vibaya
Baby love Wewe wangu mimi wako wa moyo
Oooh baby love Usije niacha kwa fitina Na maneno yao
Baby love wewe wangu mimi wako wa moyo
Oooh baby love Usije niacha kwa fitina Na maneno yao
Huna habari jinsi gani, moyo Wangu unaupendeza
Wewe ndio furaha yangu, wewe ndo wa maini yangu
wewe ni jiko langu mama, Mboni ya macho yangu
Nitakulinda mpenzi wangu, wewe ni jiko jiko langu mama
Mboni ya machoa yangu, Nitakulinda mpenzi wangu
Achana nao (nao)
Achana nao (nao)
Uuuh achana nao
Hao wenye roho mbaya
Wanatusema vibaya
Achana nao (nao)
Achana nao (nao)
Uuuh achana nao
Hao wenye roho mbaya
Wanatusema vibaya
Baby love Wewe wangu Mimi wako wa moyo
Oohh baby love usije niacha Kwa fitina na maneno yao
Baby love Wewe wangu Mimi wako wa moyo
Oh baby love usije niacha Kwafitina na manero yao
Baby love Wewe wangu Mimi wako wa moyo
Oh baby love usije niacha kwa fitina Na manero yao
Baby love wewe wangu mimi wako wa moyo
Oh baby love usije niacha kwa fitina Na manero yao
Jiko langu mama Mboni ya macho yangu Nitalinda mpezi wangu a
Monday, 20 August 2018
ATARUDI LYRICS BY HARMONIZE
Angalieni wanadamu na Dunia tunapita
Kama kupata kwa zamu Ooh! Zamu yangu itafika
Suizika na damu kesho watajanizika
Ila ningependa fahamu haya mateso ulonipa
Mmh tena mwambieni aloninyima mimi
Ndio kampa yeye yee
Kupata foleni nasubiri yangu mimi
Ata ichelewe eheee !! Ooh
Sina furaha naingiza Ili mradi watoto wasijihisi vibaya
Aah uyu mdogo ananiuliza,eti Dad mama amehihama kaya
Cha kujibu sina nabaki tu kusema.
Aah atarudi (eeh) atarudi mama
Aah atarudi anawapenda sana
Aah atarudi atawaletea zawadi
Aah atarudi atarudi mama
Aah atarudi atarudi mama
Aah atarudi anawapenda sana
Aah atarudi atawaletea zawadi
Aah atarudi iiiih
Siwezi sema sijui tatizo, hali yangu duni
Imefanya ukanikimbia
Ni vyema ungefanga maigizo
Mara kumi usingenizalia
Mmh ingali mapenzi pekee
Ningesema ni changa moto nijifunze
Ameniacha mpwekee na watoto niwatunze
Eeh ila siwezi mlaumu aah
Uenda yupo sawa Aah
Kipato changu kigumu Aah
Kutwa kumunda na kahawa Aah
Mmh ila mwambieni aloninyima mimi
Ndio kampa yeye yee
Kupata foleni nasubiri yangu mimi
Ata ichelewe eheee !! Ooh
Sina furaha naingiza Ila mradi watoto wasijihisi vibaya
Aah uyu mdogo ananiuliza,eti Dad mama amehihama kaya
Cha kujibu sina nabaki tu kusema
Aah atarudi (eeh) atarudi mama
Aah atarudi anawapenda sana
Aah atarudi atawaletea zawadi
Aah atarudi atarudi mama
Aah atarudi atarudi mama
Aah atarudi anawapenda sana
Aah atarudi atawaletea zawadi
Aah atarudi iiiih
a
HELLO LYRICS BY NYASHINSKI
Paposera bu find you
And I now see iiiih (Hello)
Ata tukikosana isikie nafsi iiiih (Hello)
Mi naomba usiwe (usiwe)
Mkali sana
Oh na na na na na
Usiwe mkali sana
Ona na na na na (Hello)
Eh! Eh!
From the first time I looked in your eyes I knew
(Eh ! eh)
Shinski!
Loving you feels like destiny
Zawadi yangui sauti Yako
Even a rich man envies me
Utajiri wangu tabia zako
I wish I could give you the world
Thamani yako haipimiki
The world would not be enough
Oh na na na na na na
Roho yangu hairidhiki inakuita
Paposera bu find you
And now I see iiiih (Hello)
Ata tukikosana isikie nafsi iiih (Hello)
Mi naomba usiwe
Mkali sana ukiziwi war oho
Mama usiwe
Mkali sana itikia roho inakuita
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Na kitu nakuahidi
Hautawahi boeka ukiwa na mimi
Mahali nimekuweka ni mahili sijawahi weka mwingine
Roho inakuita itikia usikimye
Kitu nakuahidi
Hautawahi boeka ukiwa na mimi eh
Mahali nimekuweka
Ni mahalo sijawahi weka mwingine
Roho inakuita itikia usikimye yeah
I wish ungejua tu
Sio kuzingua tu
Unanifungia roho yangu nikikufungulia ndani
Najua unajiambia mi ni sumbua tu
Na kitu nakuahidi
Hautawahi boeka ukiwa na mimi
Mahali nimekuweka
Ni mahali sijawahi weka mwingine
Roho inakuita itikia usikimye
Paposera bu find you
And now I see iiiih (Hello)
Ata tukikosana isikie nafsi iiih (Hello)
Mi naomba usiwe
Mkali sana ukiziwi wa roho
Mama usiwe
Mkali sana Itikia roho inakuita
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Thank God for life (thank God for Life)
Sunshine for light (sunshine, sunshine for light)
And you for making me feel all right
Oh na na na na (feel alright)
Thank God for life (Thank God for Life)
Sunshine for light (sunshine for light…)
And you for making me feel all right (making me feel, feel alright)
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello
Hello we, Hello we (yeah)
Hello we, Hello, Hello, Hello a
Tuesday, 14 August 2018
SIKUPENDI LYRICS BY RAYVANNY
Sikupendi… (hmmmm)
Sikupendi… (aaaahh)
Sikupendi… (eeeehh)
Sikupendi (Max Maixer)
Sikupendi
Kichwa wanipasua
Unanichapa fimbo
Moyoni napata tabu
Unajishaua unamalingo
Kama una sura ya Dhahabu
Ni miaka sasa nakufata
Ndala zangu zote umekata
Kutoka tegeta hadi tabata
Mpaka visigino vimechacha
Mara nasikia kuna bakari kinyozi
Ulishampa Hadi kaka yake Rose
Kwani we ni pilipili unitoe machozi
Nikikufata waniletea mapozi
Mapenzi uvumilivu unajua
Ila kwako nimeshidwa
Upendo sasa majivu umeungua
Basi mama we ndo Bima
[HOOK]
Oooh mamy looh (Sikupendi)
Utanitoa roho (Sikupendi)
Kila siku jibu lako no (Sikupendi)
Sikutamani ng’o (Sikupendi )
Naonyesha dhahili (Sikupendi)
Sikutamani tena (Sikupendi)
Nimeghaili (Sikupendi)
Na kwen siji tena (Sikupendi)
Hadi nahisi gundu mzee mwenzenu
Kila mambo nikiset
Nimegeuka mlinzi nyumbani
kwenu Kila siku kwenye geti
Nilikufata mpaka kigogo
Kwenye shughuri yake mama Asha
Modo Ukanitukana matusi nina shobo
Pembeni yupo bwana yako Bengo Chogo
Akanitimba migumi kede kede
Nikawa mjinga tena bwege bwege
Kama nimetinga pombe bege bege
Alinishinda nikawa lege lege
Heee eeeh Nakata tamaa kuwa nawe
Nikirudisha kumbukumbu
Nilipo kuona na masawe
Kwenye guest ya manungu
Ulifanya nipagawe
Kwa mawazo na uchungu
Nilikesha nje oh mama wee
Nikawa chakula cha mbu
Mapenzi uvumilivu
unajua Ila kwako nimeshidwa
Upendo sasa majivu umeungua
Basi mama we ndo Bima
[HOOK]
Oooh mamy looh (Sikupendi)
Utanitoa roho (Sikupendi)
Kila siku jibu lako no (Sikupendi)
Sikutamani ng’o (Sikupendi )
Naonyesha dhahili (Sikupendi)
Sikutamani tena (Sikupendi)
Nimeghaili (Sikupendi)
Na kwen siji tena (Sikupendi)
Oooh mamy looh (Sikupendi)
Utanitoa roho (Sikupendi)
Kila siku jibu lako no (Sikupendi)
Sikutamani ng’o (Sikupendi )
Naonyesha dhahili (Sikupendi)
Sikutamani tena (Sikupendi)
Nimeghaili (Sikupendi)
Na kwen siji tena (Sikupendi) a
Subscribe to:
Posts (Atom)
-
Verse 1 Pombe ni kichwa kinauma, kishalewa, anajipoza na maji Na mimi hata muda sina, nishamkanya, ninasikiza mamelody Nis...
-
[Chorus] Watu walishachonga sana Eti Vailet simpati tena Na kuongea uzushi bwana Kwa kuona mambo yetu yananyooka Hata kiss, hug si...