Monday 27 November 2017

Mbeleko lyrics by Rayvanny




[Verse 1]

Alisemanga dunia ina mapambo yake eeh
Ukiacha majumba pesa magari ni wanawake eeh
Nimezunguka aah, nimefika kwake eeh
Siwezificha nimeshanasa
Kwa pendo lake eeh
Halabaani
Kukuumba kimwana, mwenye sifa ya upoleupole
Ata mama kakusifu sana, kitofauti na wale (wajana)
Kule nilizama tafadhali niokoe mamamaa, unipulze nipoe


[Pre-Chorus]
We ndo my queen baby my only
Sitopenda uende mbali one day
We ndo my queen baby my only
Sitopenda uende mbali one day

[Chorus]
Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebebe)
Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebebe)
We kama mtoto mii nakubembeleza (jiachie tu nikubebe)
Na jicho lako la kungu kama la nikonyeza (jiachie tu nikubebe)
Eeeh ummmmh umh

[Verse 2]

Umenivuta kwa urembo mpaka matendo umenikamata.
Kisura shepu sio tembo taweka nembo watoto kupata
Umenivuta kwa urembo mpaka matendo umenikamata
Kisura shepu sio tembo taweka nembo watoto kupata
Koleza motoo tupike temble
Kisamvu cha nazi njegele
Sisi tukishe kelele sikwachi iih
Linda na shamba wasije ngedele,
Kuku niitee kwa muchelee,
Mii sipigani na wewe manatii iih
Ndio manaa kwako nimezamaa sitaki mii
Wanitowee mama maaa
Unipulize npoee


[Pre-Chorus]
We ndo my queen baby my only
Sitopenda uende mbali one day
We ndo my queen baby my only
Sitopenda uende mbali one day

[Chorus]

Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebebe)
Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebebe)
We kama mtoto mii nakubembeleza (jiachie tu nikubebe)
Na jicho lako la kungu kama la nikonyeza (jiachie tu nikubebe)
Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebebe)
Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebebe)
We kama mtoto mii nakubembeleza (jiachie tu nikubebe)
Na jicho lako la kungu kama la nikonyeza (jiachie tu nikubebe)



[Outro]
Eeeh ummmh umh
Jiachie tu nikubebe
Jiachie tu nikubebe
We kama mtoto mii nakubembeleza
Na jicho lako la kungu kama la nikonyeza

a

No comments:

Post a Comment