Thursday, 14 July 2016

TWENZETU LYRICS BY THE KANSOUL

Twenzetu leo ni lazima niende dunda mwanangu 

Twenzetu leo ni lazima niende dunda kwa raha zangu (x2) 

Du-dunda 


VERSE 1 

Leo ni lazima niende dunda 

Nione kina njeri kina kilunda 

Achieng’ eh! kina Nduta 

Cheki nimeng’ara marinda 

Akala chini juu label ya adidas 

Nawashwa nina mapesa 

Waiter chafua meza 

Ukiona shawty beshte kuja 

Akikulenga katika na ukuta 

Dj akiboo tunamshtuka 

Akwende achapwe na machupa 

Lakini akibamba tunawika 

Leo staki shida kusumbua medulla 

Cheki ule ameingia club na miwa 

Mistari zimekwisha zote kwa kichwa 

So verse mi namada papaparipa 

papaparipa 



CHORUS 

Twenzetu leo ni lazima niende dunda mwanangu 

Twenzetu leo ni lazima niende dunda kwa raha zangu (x2) 

Du-dunda 



VERSE 2 

Leo ni lazima niende dunda 

Lakini kwanza kuku beba kisha kadunga 

Mashawty hao manze nawazungusha 

Ai si madtrizzy anakuaga lugha 

Na mi ni mwenye naingia club na miwa 

Wadhani kumerera lakini nalima 

Najifanya siezi kudrop sina ngata 

Afadhali mchezo kwa sofa paka 

Nacheza reggea reggea madoba ragga 

Mared red wine UB40 ahaa 

Raundi mwenda nitoke hapa 

Next time tuonane mwisho wa mwaka 

Kisha unipate kwa mbar 

Eish boss leta round moja jamaa 

Iyo si ueke kwa bill ya mejja 

Siezi amini vile club imenjaa aish! 



CHORUS 

Twenzetu leo ni lazima niende dunda mwanangu 

Twenzetu leo ni lazima niende dunda kwa raha zangu (x2) 

Du-dunda 



VERSE 3
 

Verse ya tatu mic check one two 

Tizi bake huku babu 

Beef na jasho nenda bafu 

Naingia mtaa kuskia udaku 

Unakumbuka yule chali wa viatu 

Yule chali kutoka kiambu 

Anaiba tu akiwapiga bafu 

Wacha alafu 

Mama Kathanja anacon watu 

Na akiganga watu anaongeza taabu 

Dadake abdul amebeba 

Aiyaya manyu? 

Madtraxx jo ni bibi watu 

Naona sa takosana na watu 

Acha verse ikwishe twenzetu 

Twenzetu 



CHORUS 

Twenzetu leo ni lazima niende dunda mwanangu 

Twenzetu leo ni lazima niende dunda kwa raha zangu (x2) 

Du-dunda

No comments:

Post a Comment