Saturday 5 May 2018

JINYCE LYRICS BY KANSOUL FT SUPA MARCUS

[Intro: Supa Marcus]
Tuko ndani kama
Hii track ni ya kuji-nice
Ikubambe through the stereo kwenye ma-three
Ukiwa kwenye disco yenye dancehall
254's Supa Marcus
Huyu ni mejja
Madtraxx
(The Kansoul)
Cheki

[Chorus]
Mifuko zimejaa joh nikuji-nice
Ka-swagger nimegonga joh inani-nice
Vile track inagonga joh ni kuji-nice ku kuji-nice ku kuji-nice
Mkulima ni tembe leo ni kuji-nice
Ule dame ako na teke joh anani-nice
Ukiskia magenge leo ni kuji-nice ku kuji-nice ku kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji eeh kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji eeh kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji eeh kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji-nice kuji-nice

[Verse 1: Mejja]
Nilikuwa nimeenda dunda na mabeshte
Meditation nilikuwa nachoma
Kidogo nikaona manzi ameiva
Nikashindwa niaje ametulia
Si unajua mwanamke ni tabia
Ka' ni sura hata mbuzi alipatiwa
Mimi huyo nikaenda kumkatia
Excuse me shawty very nice
Mtoto wa Khadija nakuambia ameku-like
Akanipa number akipiga smile
Nikamwabia "nimetoka ghetto" akasema "usi-mind"
Ha, akani-nice
 [Chorus]
Mifuko zimejaa joh nikuji-nice
Ka-swagger nimegonga joh inani-nice
Vile track inagonga joh ni kuji-nice ku kuji-nice ku kuji-nice
Mkulima ni tembe leo ni kuji-nice
Ule dame ako na teke joh anani-nice
Ukiskia magenge leo ni kuji-nice ku kuji-nice ku kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji eeh kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji eeh kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji eeh kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji-nice kuji-nice

[Verse 2: Madtraxx]
A gal a gal a gal on my cell phone
A mama katananga na hio tempo
Mdogo mdogo tuonje ka' sample
Ni kuji kuji-nice flow mi hustle
Miko zote mbili weka chini
Awache tei angalie mimi
Na 'shara yangu si unajua ni nini
Nashika waist nimetoa ulimi
Kudunga ni ma-jeans na ma-timbo
Kunuka ni kunuka tu ulaya
Wafala wanakaza sura mbaya
Mimi naji-nice mambo mbaya

[Chorus]
Mifuko zimejaa joh nikuji-nice
Ka-swagger nimegonga joh inani-nice
Vile track inagonga joh ni kuji-nice ku kuji-nice ku kuji-nice
Mkulima ni tembe leo ni kuji-nice
Ule dame ako na teke joh anani-nice
Ukiskia magenge leo ni kuji-nice ku kuji-nice ku kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji eeh kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji eeh kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji eeh kuji-nice
Kuji eeh kuji-nice kuji-nice kuji-nice

[Outro: Supa Marcus] a

No comments:

Post a Comment